Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)😭😭😭😭😭
Gonga94 Β· Stories

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)😭😭😭😭😭

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


kubhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wengine walipitiliza na kukimbilia mtoni wengine walipalamia vyakula

Nyuki waliongezeka na kuleta janga kubwa sana kwenye kijiji hali ya dharula ilitangazwa na mjumbe alie valia mifuko mwili mzima ,jamani njia ya kuelekea kijiweni nyuki wamejaa tafadhali msipite alitangaza kila kona ya kijiji kwa kuwa yeye alikuwa kajikinga na mavazi yake ya asili ya kubuni alikuwa na moto kwenye makopo ya mikaa na kulikuwa na mavi ya ng'onge anakwenda huku moshi mkali ukifuka kwenye baiskeli yake siku ya leo yeye ndie mjumbe na barozi wa kila mtaa Msindo

Nyuki waliendelea kugawa dozi gawa dozi vibaya mnoo mubaba nae namuona huyo na dereva wake wakiwa na manundu usoni , kwa dharula hii kukawa tena hakuna taratibu za hawa wafiwa wala nini ikawa ni mchanganyiko tu lakini cha kushangaza watu walio kuwa wanakimbilia majumbani kwao nyuki walikimbiza na walipo geuka na kufuata njia ya msibani nyuki wale hawakuwasumbua tena hivyo kupelekea watu wengi sana kujazana msibani hapa nyumba

Muda nao ukawa unasogea ikawa majira kama ya saa tisa hivi hali ikaanza kukaa sawa

Mwenyekiti wa kijiji alijitokeza na kutaja watu ambao wapo mautiuti walio kimbizwa hospitali lakini cha ajabu majina ya Shangazi mkubwa na Bamkubwa yalitajwa hapo kila mtu alipigwa na butwaa he Bamkubwa wengine walishangaa kuona jina la Shangazi mkubwa nalo lipo

Tuanze kwa Bamkubwa bamkubwa ni mgonjwa wa kupooza mwili yani upande mmoja wa mwili wake ni mbovu kabisa yani hawezi kutembea wala kushika kitu kuoga anaogeshwa kula analishwa sasa imekuwaje ang'atwe na nyuki mbona sisi tulio kuwepo nyumbani hatuja umwa na nyuki kabisa basi ikawa hali ya mshangao kwa kila mtu miguno shonyo na mengine mengi yaliendelea

Mwenyekiti aliendea kutoa pole kwa familia na wanakijiji wote kwa janga kubwa kama hili la leo

"wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia janga kama hili sijui labda kwa baba zetu na babu zutu , wazee wote wa msindo na vijiji jirani walikataa kwa pamoja hapana na sisi hatujawahi kuona kabisa janga kama hili Itaendelea........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)😭😭😭😭😭



kubhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wengine walipitiliza na kukimbilia mtoni wengine walipalamia vyakula

Nyuki waliongezeka na kuleta janga kubwa sana kwenye kijiji hali ya dharula ilitangazwa na mjumbe alie valia mifuko mwili mzima ,jamani njia ya kuelekea kijiweni nyuki wamejaa tafadhali msipite alitangaza kila kona ya kijiji kwa kuwa yeye alikuwa kajikinga na mavazi yake ya asili ya kubuni alikuwa na moto kwenye makopo ya mikaa na kulikuwa na mavi ya ng'onge anakwenda huku moshi mkali ukifuka kwenye baiskeli yake siku ya leo yeye ndie mjumbe na barozi wa kila mtaa Msindo

Nyuki waliendelea kugawa dozi gawa dozi vibaya mnoo mubaba nae namuona huyo na dereva...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/haku-huko-mi-siwezi-part-9-hali-mbaya-kijini-leo-nyukiii

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi haku-huko-mi-siwezi-part
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 8
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯  Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 4
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 4
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga)  wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
HAKU HUKO MI SIWEZI 😭😭😭πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

897
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21

684
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

673
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

455
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

325
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

214
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4

103
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

64
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.76K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.61K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.46K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA β€œ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa β€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers β€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest