Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

KAKA ME DADA YAKO 14
Gonga94 ยท Stories

KAKA ME DADA YAKO 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SIMLIZI:


Zaidi ya kisasi tu
Lakini madam utalipa na utaniambia
Ila aaa madam nimachozi tu huko polini
Walipomuuwa mika walianza kunitafuta na mimi

Mmh na hapa nimechoka mungu wangu
Uko wapi mbona umeniacha mungu wangu nini nimekukosea baba mbona umenisahau
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Songa nayoo ๐Ÿ‘‡ โ™ฅ๏ธ โค๏ธ
Sasa nikukimbia ili kunusuru uhai wangu
Maana police wanakuja kwa kasi
...japo nimechoka
Giza nalo limetanda nikajificha kwenye kichaka
Nikatulia

Upande wa pilly na madam
Baada kumpiga yule jamaa alietumwa kumubaka hadi achanganyikiwe
Pilly alikimbia aende zake alipotoka nje

Alikutana na madam alipomuona madam lingua kicheko
Waoooo shujaaa umetoka salama
Nilijua tu maana wewe ni shujaa

Madam aliendelea kuongea maneno ya kejeli
Huku akichekelea
Pilly alimkazia macho madam
Alijaaa hasira ivi wewe madam kwanini unafanya hivi kwanini hutuinei huruma sisi watoto wa mwanamke mwenzio

Madam alichomoa bunduki
Alitaka kumshuti Pilly
Wewe mbwa usinikumbushe mbali
Unajua kwanini naganya hivi
Nakuuliza wewe nyao
Madam aliongea huku machozi yakimtoka

Hadi Pilly alisituka akawa anawaza
Moyoni mwake nini kilimpata madam maana inaonekana ni kisasi analipa
Please madam suzy unaweza kuniambia kwanini
Unafanya haya Pilly alimuuliza madam suzy

Madam kuulizwa tu alipiga lisasi juu
Huku akipiga kelele noooooooooooooooooooooooooo
Nitakuuuwa kama nilivomuuwa baba yako na mama yako sitabakiza kizazi
Tena kwenu

Weee Pilly aliposikia hayo
Wewe madam unasemaje inamaana wewe ndiye uliuwa mama yangu
Wewe ndiye uliuwa baba yangu
Wewe ni nani madam
Pilly hakujali cha bunduki alimvagaa madam
Alisha ngumi teke
Lakini alipelea kwa madam
Alipigiwa moja tu
Akaanguka chini akatema damu
Pilly aliniika tena akalusha teke .madam akalidaka
Nakumpa kionjo kidogo cha kifuani
Pilly akaanguka chini
...madam alimwambia natamani sanajue
Kwanza kwanini nafanya haya alafu nikuuwe
Siwezi kukuacha hai

Kwa upande wake jenn
...
Nikiwa pale nimejificha nikawa nasikiwa
Miguu kama kuna mtu ananyata
Mmh uoga sasa moyoni nasema mungu
Nisaidie nimzalie kaka yangu mika
Huyu mtoto
Alafu nilipe kisasi kwa madam

Kile kishindo kilizidi kunikalibia weeeee
Niliogopa nikawaza ninani huyu
Nikabana mdomo nisitoe sauti lakini
Pale pale tochi kali ilinimlika
Usoni daaaa nimeisha๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Itaendelea 15

SWALI MADAM KWANINI ANAFANYA HAYA
JE JENN ATAKUWA AMEKAMATWA NANANI
JAMAN HUUU MOTO NDIYO UMEWAKA
SASA ..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KAKA ME DADA YAKO 14

SIMLIZI:


Zaidi ya kisasi tu
Lakini madam utalipa na utaniambia
Ila aaa madam nimachozi tu huko polini
Walipomuuwa mika walianza kunitafuta na mimi

Mmh na hapa nimechoka mungu wangu
Uko wapi mbona umeniacha mungu wangu nini nimekukosea baba mbona umenisahau
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Songa nayoo ๐Ÿ‘‡ โ™ฅ๏ธ โค๏ธ
Sasa nikukimbia ili kunusuru uhai wangu
Maana police wanakuja kwa kasi
...japo nimechoka
Giza nalo limetanda nikajificha kwenye kichaka
Nikatulia

Upande wa pilly na madam
Baada kumpiga yule jamaa alietumwa kumubaka hadi achanganyikiwe
Pilly alikimbia aende zake alipotoka nje

Alikutana na madam alipomuona madam lingua kicheko
Waoooo shujaaa umetoka salama
Nilijua tu maana wewe ni shujaa

Madam aliendelea kuongea maneno ya kejeli
Huku...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kaka-me-dada-yako-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kaka-me-dada-yako
 KAKA ME DADA YAKO  3  SEHEMU YA TATU
KAKA ME DADA YAKO 3 SEHEMU YA TATU
KAKA ME DADA YAKO 2  Sehemu ya pili
KAKA ME DADA YAKO 2 Sehemu ya pili
KAKA ME DADA YAKO 4
KAKA ME DADA YAKO 4
KAKA ME DADA YAKO SEHEMU YA KWANZA
KAKA ME DADA YAKO SEHEMU YA KWANZA
KAKA ME DADA YAKO 5
KAKA ME DADA YAKO 5
 KAKA ME DADA YAKO 27
KAKA ME DADA YAKO 27
KAKA ME DADA YAKO 7
KAKA ME DADA YAKO 7
KAKA ME DADA YAKO 9
KAKA ME DADA YAKO 9
KAKA ME DADA YAKO 6
KAKA ME DADA YAKO 6
KAKA ME DADA YAKO 8
KAKA ME DADA YAKO 8
KAKA ME DADA YAKO 30 .
KAKA ME DADA YAKO 30 .
KAKA ME DADA YAKO 28
KAKA ME DADA YAKO 28
 KAKA ME DADA YAKO 12
KAKA ME DADA YAKO 12
KAKA ME DADA YAKO 32
KAKA ME DADA YAKO 32
KAKA ME DADA YAKO 21
KAKA ME DADA YAKO 21
 KAKA ME DADA YAKO 10
KAKA ME DADA YAKO 10
KAKA ME DADA YAKO 20
KAKA ME DADA YAKO 20
KAKA ME DADA YAKO 11
KAKA ME DADA YAKO 11
 KAKA ME DADA YAKO 13
KAKA ME DADA YAKO 13
KAKA ME DADA YAKO 26
KAKA ME DADA YAKO 26
KAKA ME DADA YAKO 25
KAKA ME DADA YAKO 25
KAKA ME DADA YAKO 23
KAKA ME DADA YAKO 23
KAKA ME DADA YAKO 24
KAKA ME DADA YAKO 24
KAKA ME DADA YAKO 31
KAKA ME DADA YAKO 31
KAKA ME DADA YAKO 15
KAKA ME DADA YAKO 15
KAKA ME DADA YAKO 19
KAKA ME DADA YAKO 19
KAKA ME DADA YAKO 18
KAKA ME DADA YAKO 18
KAKA ME DADA YAKO 17
KAKA ME DADA YAKO 17
KAKA ME DADA YAKO 29
KAKA ME DADA YAKO 29
KAKA ME DADA YAKO 16
KAKA ME DADA YAKO 16
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42

958
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

669
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final

389
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

140
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

109
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

83
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

64
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ.

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.

4
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali

3
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.66K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.38K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.29K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.89K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.81K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.62K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.56K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 19 to 20 final
@majario LIVE

SEHEMU YA 19 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Asubuhi Mr Marvel alipoenda chumbani kwa Noela kama kawaida yake ili kumuamsha, anakuta chumba kipo kimya, hakuna mtu wala baadhi ya vitu vya Noela havipo๐Ÿ˜ณ. Anadhani labda ameenda chuo...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 41 to 42
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Sehemu ya 41 Basi bwana , zena alivyoniona mnazani alisimama,hapana bali ndo kwanza akaongeza speed ya kuelekea kwake ,na mm nikawa namfata kwa haraka ili asije akajifungia, basi zena akaingia...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 18
@majario LIVE

โ€œDad, Ninakupa masaa 24 Uchague. Ukimchagua Noela, huta niona tena. Lakini Ukinichagua mimi, utaachana na Noela then tutaendelea na maisha yetu kama zamaniโ€ Baada ya kusema hivyo, Salmon na mama yake...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
@majario LIVE

Basi mimi nikaludi nyumbani nipo stressed kinoma , yani mawazo yamenijaa mnoo, nawaza inakuwaje sasa demu ndo kashanikazia ,ila naumia mnoo kwa ile hali yake na bado anaendelea kufanya biashara...

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.๐Ÿ‘‡ Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.๐Ÿ‘‡
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:๐Ÿ‘‡ 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆAfrika Kusini haswa wa Kaizer...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest