KAKA ME DADA YAKO 30 .
Sikilizeni niwambie kwa tatizo
La ndugu kufanya mapenzi kaka na dada yake
Tukipuuzia baada mda itawatafuna vijana na binti zetu
Kila mmoja tamaa itawaka kwa ndugu yake
Mda huu tuwabebeni wote hadi kwa
Mganga wa kijiji
Akatuambie cha kufanya
Ili kusafisha hii laana. Lakini kikawaida huwa ni kuwauwa wote saa sita usiku
Wakiwa wamelaliana
Hapo laana haitakuwepo
KAKA MIMI DADA YAKO SEHEMU YA 30
SONGA NAYO π β₯οΈ π
........................IMEZAMINIWA NA ASIA YAHAYA
Samirat Kiswakala
Hapa sasa niliona mda wa kufa
Umetufikia hadi nilianza
Kujilaumu kwanini
Nimesema huyu ni kaka yangu
Tulifikishwa hadi kwa mtabili wa kijiji
Yaani mganga wa kijiji hiki
Alipotuona tu alingua kilio
πππππππ
Wuuuu wu wuuuu
Tumeisha tumeisha hee he heee
Wazeee wote wakaungana na mganga
Kulia ..
Huku ukimya umetawala kila mtu anatuangalia
Kwa uchungu
Hajui itakuwaje
Tuma alinisogerea akawa ananinong'oneza
Jenn kumbe unalala na kaka yako
Ulikosa nini Mbona nilikupa kila mke wangu
Ona sasa
Alipaza sauti kwa nguvu jamani
Tuko hatarini ndugu zangu
Watu wote macho kodo heeee
Zilisikika sauti za mishangao tu
Jamani tusaidie Mtabili
πππππ
Ntawasaidia lakini kwa leo mda umeenda mno saivi
Ni saa mbili usiku hivo tafuteni
Sehemu mukawahifazi
Kesho asubuhi na mapema
Watu wote wakusanywe wote
Tulipelekwa kwenye ofis ya balozi wa mtaa
Kaka mika ametepeta amechapwa hana hamu
Asubuhi watu walikusanyika
Tulitolewa mbele ya umati wawatu
Hadi niliogopa hofu ilitanda kila mtu anatuzomea
Jaman huyu dada mrembo hivi kweli
Anaenda kulala na kaka yake
Jaman mbona aibu
Hii ni tabia mbaya kweli
Alafu hawa watatuharibia watoto wetu
Tusikilizane ndug wana kijiji
Nimesimama mbele yenu
Kuzungumzia hili tatizo lililo jitokeza
Jaman mimi kama mtabili wenu
Ninaemalizaga matatizo mengi
Nataka niwambie ukweli hili
Limekuwa gumu kwa sababu
Huyu binti ameshabeba mimba ya kaka yake tena
Ni mimba ya watoto mapacha . Kuna wa kike na wa kiume
Watu wote anamimba aaaa
Haaaa watu waligeuka
Kunitazama
Mtabili aliendelea
Jaman ndug zangu na hawa watoto endapo
Wakifanikiwa kuzariwa ndiyo watakuja
Kufanya kufuru kubwa hadi mizimu yenu
Itawacha watu wenu watakufa kama wanyama
Dawa ya hili nikuwauwa ili kuondokana na hili Tatizo
Hii ni laana
Nilishika mimba yangu nikawaza
Nikawaza kumbe ninamapacha mbona hii ni habari njema kwangu sikuwaza tena kufa nilichokiwaza
Niwazaa wanangu niwaone sitakubali kufa
Bila kuzaa hawa watoto mimi ndiye jenn
Kwa nyuma kulisikika viganja vikipiga
Makofu vikisindikizwa na kicheko
Hahaha aaaa π π π
Safi kabisa nmwote tuligeuka
Sikuamini kumbe madam suzy akiwa na jeshi lake
Alitia timu Heeeee mbona hiii ninoma
Lakini mimi ndiye jenn hapa sitakufa bali nitawaona wanangu
Haijalishi watakufa wangapi kikubwa nione kizazi
Changu wakati nawaza haya gafura giza
Likatanda angani
Jua likatiwa giza
KAKA MIMI DADA YAKO SEHEMU YA 30
MWISHO TUKUTANE SEHEMU YA 31
.....IMEZAMINIWA NA ASIA YAHAYA
FACEBOOK ACOUNT NI SAMIRAT KISWAKALA
Imezaminiwa na ASIA YAHAYA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

