????MAMA WEEEE UTANICHANA????
????????????????
Sehemu ya 10
???? Aliyekuwa mume wa zai akashika pikipiki vizuri na deleva akaongeza mwendo)
Dah yani....????
Deleva anafika devc cona mbele kuna leli sasa TRENI likawa limesimama limefunga njia kukawa akuna chombo cha moto kinachopita,
Zoezi lile lilikaa dk 15 mpaka njia inafunguka Kule zai na bwana ake washaondoka zao,
Ila wao walienda gongo la mboto wakapita juu kwa juu uku bwana wa zai kashamtamani mama yake mdogo zai,
Sasa aliyekuwa mume wa zai anafika na begi la nguo pale kwa mama mdogo wa zai alijuta kwanini alipeleka begi pale mama yake mdogo alimtukana matusi ya nguoni aliyekuwa mume wa zai,
" Wewe umetahiriwa hospital sio polini aujui miko ya kiume unaleta nguo hapa za aliyekuwa mkeo unazo akili wewe au akili zako zipo matak????..ni.
" Aliyekuwa mume wa zai awezi kumjibu matusi alichofanya akamwambia deleva twende.
" Kweli wakaondoka na sula ya aliyekuwa mume wa zai ilikuwa na unyonge sana juu ya tukio ilo anafika mbagara anakutana na tatu kwa msongo wa mawazo aliyekuwa mume wa zai anamsimulia tatu matatizo ya zai uku chozi linamtoka la kiume na tatu akamwambia.
" Usilie, muda utafika utagundua nani anastahili kumpa maisha yako na sahihi kwako,
Anaekutamani kamwe hajui thamani yko ila anaekupenda ndo anajua thamani yko,
Kuna muda inakubidi ukae CHINI na kuangalia ni WAP umekosea ukajipanga upya. Ukafaulu vizingiti.
" Aliyekuwa mume wa zai akamwambia tatu.
" Nimekuelewa acha tu nikalale na wazo la mke linitoke kichwani.
" Tatu akamwambia sikiliza huu ujumbe kupitia simu yangu.
" Aliyekuwa mume wa zai akasikiliza.
" Jee Mapenzi Na Mahaba Ni sawa?
Mapenzi na Mahaba ni vitu ambayo vinaingiliana kwa pamoja kwa lengo moja ya kuleta ladha katika ndoa. Ingawa kwa upande mwengine unaweza kusema ni vitu viwili tofauti vyenye ladha moja ndani ya ndoa. Kwani kunaweza katika ndoa kukosekana Mapenzi lakini kukawa na Mahaba. Au kukakosekana Mahaba kukawa na Mapenzi na ndoa kama hiyo yenye moja kati ya hayo huwa haijakamilika ladha yake. Kwani ladha ya Ndoa lazima itimie Mambo mawili hayo na zaid ya hayo ili upatikane utulivu,
Wengine wanaweza wasikubaliane nami wakaona ni kitu kimoja. Siwapingi mawazo hayo Kwani kila mmoja na ufahamu wake. lakini wengi wamekubaliana kuwa ni vitu viwili tafauti. Mfano ni kama Chumvi na Sukari ni vitu viwili vinavyofanana lakini kila kimoja kina ladha yake kwenye chakula. Na ukitaka chakula kikolee utamu basi vitu viwili hivi vipatikane kisawasawa.
Mapenzi ni hisia za upendo kwa mwenza wako hisia hizi zinapatikana ndani ya moyo na kuupa moyo utulifu furaha na hisia tafauti na mahaba ni vitendo vya kuyathibitisha mapenzi hayo!una fanya mahaba ili kudhihirisha na kudumisha penzi lako,
Mahaba ni Safari ndefu ndani ya ndoa ukimpenda mwenza wako tu Moyoni na bila kumuonyesha Mahaba utakuwa unampenda na atajua kuwa unampenda lakini ili kujakuza mapenzi hayo lazima uwe na Mahaba ambazo ni kila Action juu ya Mapenzi yako juu yake. Na matendo hayo yawe Madhubuti ili kuifanya Ndoa iwe Imara vitendo ambayo vitamfanya mwenza wako ajue mahaba juu yako na akasahu maudhi machofu n.k . Mke anaweza kumuangalia mume Jicho la mapenzi kwa kumuangalia tu lakini Jicho hilo hilo linaweza kurembushwa kukazwa Na kukonyezwa huko kwa huba kukalifanya Jicho hilo kuingia kwenye Mahaba,
Nitamalizia tu kwa kusema mapenzi yaso mahaba Ni sawa na nyumba iliyo sanifiwa vyema ila ikawa haina plaster ,rangi hata dari !hakika haitapendeza,
Allah atujalie mahaba na mawarda ktk ndoa zetu zipate utulivu na ucha mungu ndani yke ammyn.
" Aliyekuwa mume wa zai akasema amina,
Na akaingia ndani kwake uku anaenda kutupa mawazo ayo afungue ukurasa mpya kichwani.
----------------
Upande wangu wiki ikakatika wifi apewi pesa na mumewe akaingia kwenye siku zake anakuja kuniomba ped mimi kwa unyonge uku ananiambia,
" Wifi yani mume wangu simwelewi kabisa ataki kuongea na simu yangu yani nikimpigia apokei na pesa anitumii sijui kapata mwanamke uko mjini au nini kimemkuta mume mpaka mimi nakosa pesa ya ped.
" Mimi nikawa nampa maneno ya kinafki tu ukweli naujua,
Usijari wifi shika elfu tatu iyo kanunue ped ikustili ila upande wa mumeo inawezekana mambo ayapo sawa ndio maana amekuwa ivyo.
" Wifi acha nipone siku zangu naenda mjini atanitambua mimi kumuuguza mama yangu aiwezekani yeye anichepukie.
" Sawa.
( Sasa kuanzia siku iyo akawa ananisaidia kazi ndogo ndogo mpaka akapona akaenda mjini kwa mumewe sasa na mimi nikampa taharifa mumewe na mumewe akaniambia)
" Yeye anakuja uku mimi nakuja uko tuonane pale stendi nikale vyangu uyo nitamtesa kama alivyokutesa wewe anakufanya mfanyakazi.
" Jamani moyoni nimefurahi wifi anapishana na mumewe njiani na kweli wifi alifika mjini akumuona mumewe na akaenda kwa Patrick kumuulizia alimkuta Patrick anayo minyeg..???? yake anakunywa zake POMBE na wifi akaanza kunywa POMBE uku anamwelezea Patrick matatizo ya mumewe na Patrick akamwambia,
" Wewe shemeji mumeo anao mademu ndio wanamchanganya kunywa POMBE upumzike kesho nakupeleka kwa demu wake.
" Wifi akakasirika sana kwanini mumewe anamsaliti alikunywa POMBE na mwishoni akazima hapo ndio Patrick akaona mbuzi kafia kwa muuza duka,
Akamnyanyua akampeleka chumbani kwake na akamvua nguo zote wifi kazima,
Patrick anamgusa k????...ma anaiyona ya moto na inashawishi kwa matumizi,
Akutaka kulemba,
Akachukua mafuta ya mgando yani baby care akampaka kwenye mashavu ya k????..ma na yeye akapaka kwenye bichwa la mb???????? na mb???????? ya Patrick kama mb???????? mbili kasusiwa yeye,
Akaanza kuukandamiza ub???????? kwenye k????..ma ya wifi,
Dah yani...
ITAENDELEA.. JUMANNE
PATA FULL KWA TSH 1000
NO YA MALIPO NI 0657 774735
JINA MKEGANI MPONDA
MTANDAO NI TIGO.