????MAMA WEEEE UTANICHANA????
????????????????
Sehemu ya 21..22
Mwisho
???? na akamvua nguo na akamwingiza mb???????? ile,
Dah yani....????
Alimuumiza kwakweli wifi yani alipoona damu inatoka alichomoa mb???????? na akamwambia,
" Baki na mumeo tabia ya kwenda kuniharibia kwa demu wangu ife sitaki ujinga mimi.
" Wifi anavaa nguo anachechemea anatoka chumbani mule kwa bahati mbaya anakutana na robyson,
Hapo alipigwa wifi makofi aseme ukweli,
Na bahati yake walinzi walimuokoa wifi kutoka kwenye kipigo,
Yani wifi ana bahati mbaya chini kaumizwa na mb???????? juu kaumizwa na makofi,
Robyson alikuwa na hasira sana alipomuona Patrick anatoka chumba alichokuwa anatoka wifi,
Ila robyson aliwaza mabaya anayomfanyia Patrick kumchukulia wanawake zake akaona amuache tu wifi ila awezi kugombana na Patrick kwanza wanafanya kazi moja pili ni marafiki sana,
Wifi anaachwa pakwenda ana amebaki ameduwaa,
Analia anawaza anachojua mwenyewe,
Bahati nzuri Sisi tulikuwa tumesharudi mjini mimi na mume wangu ila mimi nimekuwa mpya sina tena tabia za kijinga,
Mume wangu alimuona dada yake na akaongea nae na dada yake akamwambia yote yaliyojili na mume wangu akamwambia,
" Basi twende nyumbani ukakae na wifi yako maisha yaende utakuwa umejifunza kitu.
" Wifi anawaza mabaya aliyonifanyia na anakuja kukaa na mimi yeye mwenyewe anasema,
" Kaka ivi wifi atakubali kweli kukaa na mimi au mimi nitakuwa chanzo cha kuharibu ndoa yenu.
" Dada wifi yako ni mtu wa imani amesha kusamehe wewe twende tu nyumbani.
( Sasa wakawa wanakuja)
" Upande wa mama mdogo wa zai anaulizia gali lake wakiwa na boss kule hotelini na boss akamwambia,
" Gali lako lipo ila nitakukabizi mwisho wa mwezi.
( Yani mama mdogo wa zai alit????
.mbwa kwa funguo tu ya gali pasipo kuliona gali na hapo walitoka hotelini uku boss anawaza akamt????..mbe zai)
" Haloo zai uko wapi?.
" Nipo kwa mama mdogo wewe upo wapi?.
" Basi usiku wa Leo tutakuwa wote naomba tuonane land mack hotel saa moja usiku.
" Sawa my nitakuja.
( Zai alifurahi sana kupata namba za bwana ake na anamuita land mack hotel aliporudi mama yake mdogo si akamwambia yote na hapo mama yake mdogo akakasilika ila akumuonyesha zai kama maneno yake yanamchoma moyoni alichofanya akatoka nje akampigia simu boss na akamwambia)
" My kwani utosheki na mimi mpaka unamwambia na mwanangu aje saa moja.
" Boss akakata simu akutaka kuongea nae,
Sasa boss aliendelea na majukumu yake.
( Mama yake zai mzazi alimwita zai na akamuita aliyekuwa mume wa zai nia ya mama awasuruhishe warudiane na aliyekuwa mume wa zai alikubali kurudiana na mkewe ila zai akawaka)
" Mama mimi sirudii matapishi mimi ndio nakaa kwenye ndoa naomba barua iliyoletwa isomwe tu uyu akatafute mwengine.
" Mama mzazi chozi lilimtoka akiona mwanawe anaongea yale maneno akiwa mkavu ana chembe ata ya hofu ya kujua anakosea,
Aliyekuwa mume wa zai alinyanyuka na kuondoka akimwambia mkwewe,
" Mama niliitika wito wako na maneno ya zai ni ayo sina budi kuondoka tu Kwaheri mama.
( Mume wa zai alimfata tatu na kumwambia yaliyojili alipoitwa na tatu akamshauri aoe tu aache kumfatilia asiye mpenda,
Na kweli aliyekuwa mume wa zai alitangaza ndoa mtaani kwa mwanamke mwengine kabisa na taarifa ya ndoa zai aliipata alichofanya yeye ni kunyari tu kuona uyo anayeolewa ana jipya,
Sasa siku ya zai kwenda land mack hotel iliingia sitofahamu zai akwenda land mack hotel,
Zai sasa alienda kwa bwana ake nia na madhumuni akimuona aliyekuwa mume wake imuume zaidi,
Kumbe ndio siku anaenda kuona mama yake mdogo anat????..mbwa na bwana ake,
Mlinzi mlango aliacha wazi alipitiwa na usingizi na zai aliingia moja kwa moja ndani akafika dirishani kwa bwana ake anasikia miguno ile achungulie alishika kichwa alimuona mama yake mdogo anaruka kichura chura kwenye mb???????? ya bwana ake,
Dah yani...
ITAENDELEA
????MAMA WEEEE UTANICHANA????
????????????????
Sehemu ya 22
???? Mlinzi mlango aliacha wazi alipitiwa na usingizi na zai aliingia moja kwa moja ndani akafika dirishani kwa bwana ake anasikia miguno ile achungulie alishika kichwa alimuona mama yake mdogo anaruka kichura chura kwenye mb???????? ya bwana ake,
Dah yani...????
Zai alitaka kupiga kelele anashangaa amezibwa mdomo na mlinzi,
Yani mlinzi aliamka akamuona zai yupo dirishani tayari mlinzi amemziba mdomo zai kutetea kibarua chake na akamvuta zai mpaka kwenye kibanda chake,
Akamwambia,
" Tulia usije nihalibia ugali wangu mimi mwenyewe nimeshangaa kama wewe mimi nilikuwa mshenga na barua nimempa yeye uyu anayet????..mbwa ila dunia hii.
" Zai analia tu kwa uchungu uku anasema,
" Mama mdogo mama mdogo anatembea na bwana angu mama mdogo kweli.
" Mlinzi akaanza kumliwaza kwa maneno matamu,
" Usilie inawezekana uyu boss kapewa mashalti ya UTAJILI atembee na mama mkwewe sasa wewe ukilia utaumia tu moyo TULIA wakitoka utaongea nao.
" zai aelewi anataka kutoka aende kugonga mlango mlinzi akaona mambo yasiwe mengi,
Alimfungia kwenye kibanda chake cha ulinzi alafu akaenda kumgongea boss wake,
Na boss wake akatoka na taulo mlinzi akamwambia yote yaliyojili na boss akasema,
" Wewe kamfungulie aondoke zake uyu mama yake mdogo mwenyewe NAMTOA sasa ivi acha nikamt????..mbe bao la mwisho.
" Mlinzi akaona boss ana wasiwasi kabisa ikabidi arudi kibandani kwake anataka kumtoa zai akaona zai kachukua bia zake anakunywa kwa hasira mlinzi akaona fursa hii kwanini uyu anywe bia zake akamshika shika akamshawishi kwa vitendo zai anasukumwa na hasira akapandisha dera juu,
Mlinzi akamchomeka mb???????? akamt????..mba fasta fasta kimoja alafu akamwambia,
Tulia mimi nitawagombanisha tu hawa.
" Sasa boss anatoka na mama mdogo wa zai hapo zai alichomoka kibandani akamfata mama yake mdogo na akampa kibao,
" Mama yake mdogo anataka kurudisha tu mlinzi kashawai kufika akamshika zai,
Boss anashangaa afanyaje aliyekuwa mume wa zai anaingia anaona valangati lile na mama mdogo wa zai anataka kuingia kwenye gali la boss milango aifunguki sasa aliyekuwa mume wa zai akamwambia boss ukweli.
" Boss uyu ndio alikuwa mke wangu na uyu ni mama mkwe wangu mdogo.
" Boss pale pale alisema,
Kumbe hawa ni waongo sana uyu alisema ajaolewa nikalala nae ile siku wewe unaomba ruxsa ya kumtafuta mkeo nisamehe sana sikujua kama uyu ndio mkeo kumbe kaomba taraka kisa mimi????.
( Boss anatoa leso anafuta chozi la masikitiko alafu akaendelea kuongea)
Na uyu mama yake mdogo si mkweli kwanini akuniambia ukweli yote kwa yote hawa wote siwataki hapa kwangu mlinzi ondoa hawa watu wote uyu mama na uyu mwanawe maraya watupu hawa.
" Zai anamwangaria aliyekuwa mumewe analia mama yake mdogo anaangaria chini uku anaona aibu analia na mlinzi anawasukuma nje waondoke ndani.
" Boss alimuomba msamaha sana aliyekuwa mume wa zai na akampa milioni moja kama samahani yake iyo pesa ikamsaidia aliyekuwa mume wa zai kufanya sherehe kubwa ya kiuswahilini uswahilini kigodolo tena vibe kama yote,
Zai alijuta sana kuacha ndoa yake na kufakamia bwana alikumbuka masomo aliyokuwa anayapuuzia alirudi kwa mama yake mzazi na akamchukia mama yake mdogo,
Mama ni mama alimwambia zai sasa atulie inawezekana akapata mume tena na akajua thamani ya mume.
--------
Upande wa robyson na Patrick waliachana na umaraya wakawa ni watu safi wanafanya kazi na akili zao zipo kwenye maisha.
Upande wangu wifi alikuja nyumbani na nikamsamehe kabisa kutoka moyoni wifi akawa ni mtu wa imani kweli kweli akaenda kusali kwa mwamposa guludoza uko kawe yani umwambii kitu juu ya imani,
Mama mkwe aliposikia aya alifurahi sana mwanawe kuwa kwenye imani na kuacha tabia mbaya,
Na mimi ninampenda sana mume wangu nakusihi mwanamke mwenzangu uliye kwenye ndoa inawezekana ukapata kishawishi kibaya kama nilichopata mimi nikafanya nilichofanya kama unafanya acha mjali mumeo,
Kama ujafanya usifanye maana uzinzi ni dhambi,
Sina mengi mimi kwenye simulizi hii hapa nimefika mwisho mazuri yachukueni mabaya yaacheni...
Mwisho.