Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
48 views
VYOTE NDANI GONGA94
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda mbali sana na kusema kaka yake Chikatilo alikua moja ya watu waliochinjwa enzi hi
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda mbali sana na kusema kaka yake Chikatilo alikua moja ya watu waliochinjwa enzi hizo na kuliwa nyama. Hii inatosha kutuambia Chikatilo alitokea katika maisha gani. Lakini…
Wakati wa ujana wake alikua mtu safi tu. Akiwa kijana alihitimu shahada ya ualimu katika chuo cha Rostov. Baadae aliajiriwa kama mwalimu kabla ya kufukuzwa kutokana na matukio yake ya ukatili wa kijinsia. Na kuhusu mauaji yake…
Bado haijulikani kwanini alikua akiua zaidi watoto na wanawake. Taarifa zinasema alikua akitumia vitu vidogovidogo kuwatamanisha wahanga wake. Na kila walipojaa kwenye mfumo… aliwaua vibaya kwa kuwatia vitu vyenye cha kali kwenye miili. Baadhi ya maiti alizibaka huku nyingine zikiwa na ishara za kukeketwa.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na...
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda mbali sana na kusema kaka yake Chikatilo alikua moja ya watu waliochinjwa enzi hi
Miaka ya 1930s wakati Urusi ikipigwa na lile janga la njaa kali kuwahi ikumba nchi hiyo. Inasemekana kuna baadhi ya watu walianza tabia za kula nyama za watu. Wapo walioenda mbali sana na kusema kaka yake Chikatilo alikua moja ya watu waliochinjwa enzi hizo na kuliwa nyama. Hii inatosha kutuambia Chikatilo alitokea katika maisha gani. Lakini…
Wakati wa ujana wake alikua mtu safi tu. Akiwa kijana alihitimu shahada ya ualimu katika chuo cha Rostov. Baadae aliajiriwa kama mwalimu kabla ya kufukuzwa kutokana na matukio yake ya ukatili wa kijinsia. Na kuhusu mauaji yake…
Bado haijulikani kwanini alikua akiua zaidi watoto na wanawake....
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miaka-ya-1930s-wakati-urusi-ikipigwa-na-lile-janga-la-njaa-kali-kuwahi-ikumba-nchi-hiyo-inasemekana-
Maoni