Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nadia alibaki amekaa kwenye kiti chake, akili yake ikimzunguka kama upepo mkali. Kila jambo lililokuwa likitokea maishani mwake lilionekana kama sinema ya ajabu.
“Jayden anataka kuwa baba wa mtoto wangu?” alijiuliza taratibu huku akijiegemeza nyuma ya kiti.
Machozi yalijaa machoni kwake sio kwa sababu ya huzuni , bali kwa mshangao na mchanganyiko wa hisia.
Hakuwahi ameota ndoto kwamba siku moja mwanaume mwingine angejitokeza kwa ujasiri kiasi hicho, akitamani kumchukua yeye na mtoto wake kama sehemu ya maisha yake.
Lakini bado kaburi la maumivu ya Kabir na kumbukumbu za usaliti wa Jawad halikuwa limefukiwa.

Usiku Nadia alikaa kitandani akimwangalia Tawakal aliyekuwa amelala usingizi mnono. Uso wa malaika yule mdogo ulimpa tumaini jipya, lakini maswali yalimsonga:
"Nitakubali upendo wa Jayden? Nitakuwa na ujasiri wa kuanza upya?"
Amina aliingia chumba kwa Nadia.
" Vipi mbona leo upo chumbani mapema hivi?
" Sina hamu ya kukaa na kuangalia TV kichwa changu linasonga na mawazo mengi sana.
" Kama kawaida yako na yote itakuwa ni kabir.
" Hapana yameibuka mapya kabisa.
Amina alimuangalia huku akiwa anakaa vizuri.
" Niambie hayo mapya.
" Jayden amenishsngaza sana siku ya leo .
" Acha kukatisha maneno sema ilivyokuwa.
" Anataka nimpe nafasi kwenye maisha yetu , anataka kuwa baba wa Tawakal.
" Unasemaje?
" Ndio hivyo unajua kanishangaza sana.
“Wewe kweli una bahati Nadia. Mungu anaweza kuwa amekufungulia ukurasa mpya kupitia Jayden. Huyo siyo mwanaume wa kawaida, amekusoma vizuri kazini, amekuona ukiwa dhaifu na bado anakutaka. Wengine wangeikimbia hiyo hali yako ila yeye kajitokeza kifua mbele .
Nadia aliguna.
“Lakini Amina, moyo wangu bado una alama za Kabir. Na Jayden anajua kuwa bado kuna mwanaume mwingine ambaye ndiye baba wa mtoto wangu.

Amina akacheka kidogo “Ndio maana nakwambia mpe nafasi, usiogope. Wakati mwingine mwanamke anaweza kujikuta ameanguka mara mbili au tatu lakini bado akasimama na kupata furaha.”
" Yani wewe unazidi kunichanganya kabisa.
" Yani Nadia una bahati wewe, sijui kwanini mimi sipati hizo bahati?
" Amina hebu fanya kwenda kwanza nataka kumpumzisha hiki kichwa maana ninapozidi kuongea na wewe ndio akili Angu inazidi kuchoka.

Kesho yake kazini
Jayden hakumsemesha Nadia kwa lolote la kimapenzi, aliheshimu ahadi yake ya kumpa muda.
Alikaa mbali kidogo, lakini macho yake yalikuwa yakimfuata Nadia kila wakati.
Kila mara alipoona Nadia akitabasamu, moyo wake ulikuwa na faraja.
Baada ya kazi Nadia alipotoka ofisini, Jayden alimsubiri nje.
“Nadia…” aliita kwa sauti ya upole.
Nadia alisimama, akashusha pumzi ndefu.
“Jayden, sina jibu kwa sasa. Lakini nataka ujue, maneno yako yameingia moyoni mwangu. Hata hivyo, naomba tuende taratibu.
" Sawa na kuelewa sana Nadia na bado nimekupa muda. Nilikuwa naomba nikupeleke nyumbani pia nilikuwa nataka kumuona Tawakal.
Nadia hakuwa na neno alikubali.
Walielekea parking wanapanda kwenye gari la Jayden wakaelekea mitaa ya njiro.
Walifika kwenye nyumba anayoishi Nadia walimkuta dada wa kazi anamnywesha maziwa Tawakal.
Nadia akisalimiana na dada wa kazi na kutaka kujua wanaendelea je . Alimkagza mtoto wake na kumuona yupo sawa.
" Mr J karibu sana jisikie upo nyumbani.
" Asante sana.
" Naweza kumbeba Tawakal?
" Bila shaka.
Jayden walimchukua Tawakal akamuangalia .
" Hongera una mtoto mzuri sana.
" Asante.
" Huyu mtoto baba yake ni Mmanga au kwenu mna asili ya ushombeshombe?
Nadia alicheka
" Hapana labda niseme baba yake ni shombeshombe.
" Umepata mbegu mzuri sana.
" Mmmh utakunywa kinywaji gani?
" Maji yanatosha sana.
" Maji tu?
" Ndio.
" Hapana kuna juice , nitakupasua juice na maji.
Nadia alienda kuchukua juice na kipande cha keki akarudi sebleni alimkuta jayden akimrusha rusha Tawakal na kufanya mtoto kucheka kwa sauti.
Kile kitendo lilimpeleka Nadia mbali kimawazo alitamani kabir ndio afanye lile tukio kwa mwanae.......

Full 1000
Whatsp 0784478229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*



Nadia alibaki amekaa kwenye kiti chake, akili yake ikimzunguka kama upepo mkali. Kila jambo lililokuwa likitokea maishani mwake lilionekana kama sinema ya ajabu.
“Jayden anataka kuwa baba wa mtoto wangu?” alijiuliza taratibu huku akijiegemeza nyuma ya kiti.
Machozi yalijaa machoni kwake sio kwa sababu ya huzuni , bali kwa mshangao na mchanganyiko wa hisia.
Hakuwahi ameota ndoto kwamba siku moja mwanaume mwingine angejitokeza kwa ujasiri kiasi hicho, akitamani kumchukua yeye na mtoto wake kama sehemu ya maisha yake.
Lakini bado kaburi la maumivu ya Kabir na kumbukumbu za usaliti wa Jawad halikuwa limefukiwa.

Usiku Nadia alikaa kitandani akimwangalia Tawakal aliyekuwa amelala usingizi mnono. Uso wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-_____________________________________-sehemu-ya-kumi-na-moja

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura-_____________________________________-sehemu-ya-kumi-na-moja
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest