Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Chumba cha hospitali kilijaa ukimya mzito baada ya daktari kutoa taarifa. Maneno yale “Nadia ni mjamzito wa mwezi mmoja na wiki kadhaa” yalibaki yakining’inia hewani kama radi iliyopiga katikati ya anga.
Mama yake Nadia alishika kifua chake kwa mshangao.
“Eeeh Mungu wangu… Nadia, hivi ni kweli hiki nilichokisijia?
Nadia alimuangalia mama yake huku machozi yakitiririsha.
Baba yake alisimama akitetemeka kwa hasira
“Hii aibu umetuletea kutoka wapi? Wewe ni binti wa heshima, uliyekuwa ukitazamwa na jamii nzima. Umekuwaje? Na hii mimba ni ya nani?

Nadia alishindwa kujibu maswali ya baba yake alijikuta machozi yakimtoka bila kukoma. Alitamani ardhi ipasuke imfunike pale pale.
“Baba… mimi… mimi…” alijikuta akishindwa kuendelea kuongea sauti ilikwama.

Kwa upande wa pili, Jawad alikuwa amekaa kwenye kiti alipata habari za ujauzito wa Nadia alienda wodini haraka huku uso wake umebadilika ghafla. Macho yake yalikosa mwangaza, moyo wake ulipasuka vipande vipande.
“Nadia… hivi mimi ni wakilipwa haya? nilikupenda kwa dhati, nikakungoja kwa miaka yote hii. Halafu leo siku ya harusi yetu ndio ninasikia mambo kama haya?” aliuliza kwa sauti ya maumivu.
Nadia nilijua unajitunza kwaajili yangu kumbe ulikuwa unanizinguka na kuniona mjinga.
" Niambie Nadia hiyo mimba niya nani?
Nadia alishindwa kabisa kuongea alikuwa analia tu.

Jawad alitamani kumkunja na kumlazimisha aongee lakini aliona sio sawa alinyanyuka kwa ghadhabu, akatoka nje ya chumba, alisimama nje na kupiga ngumi ukutani kwa hasira. Rafiki zake walimshika lakini machozi yalikuwa yanamtoka mwanaume mzima.

Mama yake Jawad naye ambaye alikuwa ameambatana nao hospitalini, alitikisa kichwa kwa uchungu.
“Hatuwezi tena kuwa sehemu ya aibu hii. Hii si familia tuliyokuwa tunaiheshimu. Mtoto wangu hatamwoa binti wa aina hii.”
Alimshika mkono kijana wake wakaondoka.

Baba yake Nadia alimuangalia bila kummaliza alafu akasema.
" Asante mwanangu kwa kunivua nguo, nashukuru sana mama. Baada ya kuongea kwa uchungu aliondoka na kumuacha Nadia na mama yake.

Baada ya kelele zote, usiku uliwadia Nadia alibaki hospitali akiwa amekaa kitandani, macho yake yakiwa yamevimba kwa kulia. Mama yake alikaa pembeni, akimnyooshea glasi ya maji.
" Kunywa maji alafu uniambie hii mimba umeokotwa wapi?
Nadia alipokea grass ya maji akanywa kidogo. Mama yake alichukua grass na kuweka juu ya kabati dogo.
" Niambie na usinifiche kitu.
Nadia alimuelezea mama yake kila kilichotokea mpaka kupelekea kubeba ule ujauzito.
“Mwanangu, kwa nini ulinificha? Kwa nini hukuniambia mapema?”
Nadia aligeuka na kuanza kulia kwa sauti ya chini.
“Mama… sikuweza. Sikuweza kueleza. Yote yalinitokea ghafla, na nilijuta kila siku. Sijui nifanye nini sasa.”
Mama yake naye machozi yakamtoka.
“Sasa kila kitu kipo hadharani Kila mtu anajua. Baba yako hayuko sawa kabisa. Hata Jawa, sijui kama atakuangalia tena kwa macho yale yale ya upendo.
" Nisamehe mama.
" Kama mama siwezi kuacha kusamehe binti yangu . Unenyea kiganja sitaweza kuukata mkono nitauosha maisha yataendelea.
Nadia hakuamini akimkumbatia mama yake kwa mapenzi makubwa sana.
" Asante mama, nakupenda.
" Nakupenda pia mwanangu, kuwa na amani kwenye hali hiyo hutakiwi kuwa na mawazo.
" Sawa mama, vipi kuhusu baba nae atanisamehe?
" Nitaongea nae.

Siku iliyofuata asubuhi, daktari alirudi kuangalia hali ya Nadia.
“Kwa sasa mama na mtoto wako wako salama. Lakini unahitaji kupumzika, kupunguza msongo wa mawazo. Mnatakiwa kusahau kila kilichotokea.

Baba yake hakutaka hata kumuangalia.
“Nadia, mimi sina maneno. Umekosea, umetuangusha. Na sasa utakabiliana na matokeo yako mwenyewe. Umeniharibia heshima.
" Mume wangu usimuhukumu mtoto bila kujua chanzo ni nini.
" Alafu wewe ndio chanzo cha haya yote kuendekeza sana huyu mtoto .

Muda ule waliruhusiwa wakarudi nyumbani , Nadia alikuwa kapumzike chumbani kwake na wazazi wake walikuwa chumbani kwao .
" Baba Nadia mtoto alipata matatizo alipokuwa vacation.
" Matatizo gani?
Mama Nadia alimuelezea mume wake kama alivyoelekezwa na Nadia.
" Sasa mbona hakusema?
" Huenda alikuwa na uwoga na hata angesema tungefanya je? Huenda haikupangwa aolewe na Jawad.
" Sasa huyo mwanaume yuko wapi?
" Hata nae hajui huyo mwanaume anapatikana wapi.
" Mmmmmmm huu ni mtihani mke wangu.
" Ndio imeshatutokea tukabiriane nao.
Wazazi wa Nadia waliamua kumsamehe binti yao na kuamua kulea mimba.

Baadaye mchana Amina rafiki yake wa karibu alienda nyumbani kwao kumtembelea. Alimkuta Nadia akiwa kajipumzisha
“Hei rafiki yangu kipenzi unaendeleaje?
" Nashukuru naendelea vizuri.
Pole sana kwa kilichotokea.
" Bado sijapoa Amina , nitaweka wapi sura yangu ,nitafanya nini kuhusu hili mimba?
maisha yangu yamekwisha. Sasa kila mtu ataniona kama msaliti. Jawad hatanivumilia. Baba yangu hawezi kusamehe. Na Kabir… sijui kama nitaona nae tena.
“Hapana Nadia, maisha yako hayajaisha. Kumbuka, mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu. Wazazi wanaweza kuumia, Jawad anaweza kuondoka, lakini bado kuna maisha mbele yako. Na kuhusu Kabir… hujui Mungu ana mipango gani.”

Nadia akajifuta machozi, akitazama dirishani. Moyoni mwake swali moja likawa linamtesa:
“Kabir uko wapi? Je, utawahi kujua kuwa mimi nimebeba mtoto wako?”

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*



Chumba cha hospitali kilijaa ukimya mzito baada ya daktari kutoa taarifa. Maneno yale “Nadia ni mjamzito wa mwezi mmoja na wiki kadhaa” yalibaki yakining’inia hewani kama radi iliyopiga katikati ya anga.
Mama yake Nadia alishika kifua chake kwa mshangao.
“Eeeh Mungu wangu… Nadia, hivi ni kweli hiki nilichokisijia?
Nadia alimuangalia mama yake huku machozi yakitiririsha.
Baba yake alisimama akitetemeka kwa hasira
“Hii aibu umetuletea kutoka wapi? Wewe ni binti wa heshima, uliyekuwa ukitazamwa na jamii nzima. Umekuwaje? Na hii mimba ni ya nani?

Nadia alishindwa kujibu maswali ya baba yake alijikuta machozi yakimtoka bila kukoma. Alitamani ardhi ipasuke imfunike pale pale.
“Baba… mimi… mimi…” alijikuta akishindwa kuendelea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-sehemu-ya-sita

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest