Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?*  *___________*  *SEHEMU YA 01...02*  Jamani maisha haya sometimes yanatufanya tufanye kila jambo ilimradi tu tuzipate hizo sasampa😁😁
Gonga94 Β· Stories

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?* *___________* *SEHEMU YA 01...02* Jamani maisha haya sometimes yanatufanya tufanye kila jambo ilimradi tu tuzipate hizo sasampa😁😁

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mwenzenu mimi nilitamani sana nisome ili nije kuyabadirisha maisha ya kwetu maana maisha yetu yalikuwa ni magumu kupita kiasi..

Nilifanikiwa kumaliza primary nikajiunga na secondary kiukweli wala sijui nilifaulu vipi maana hata hizo akili my wenu sikujaaliwa kuwa nazo😁

Nilivofika secondary hali ilizidi kuwa mbaya kichwani nikazidi kuwa empty yani nilikuwa naenda tu shule kumridhisha mama maana alikuwa anapiga vibarua nisome ili kesho nimsaidie..

Nilipambana mwaka wa kwanza secondary ukapita ukaingia mwaka wa pili udada ukanikolea nikaanza usumbufu wa hapa na pale πŸ˜‘ukafika mtihani wa 4m2 nikafeli na huo ndo ukawa mwisho wa masomo yangu ..

Baada ya ndoto za shule kuishia njiani nikaanza kuwaza namna ya kupata maisha mazuri kwa urahisi... niliwaza kuolewa na mwanaume tajiri hiyo ndo njia pekee itakayonitoa kimaisha..

Kwa pale kijijini kwetu walikuwa wananifuata watu wa hali ya chini sana maboda boda wakulima na wafugaji hata hivo wala sikutaka kuwa na mtu wa pale kijijini ndoto yangu ni kuishi mjini..

Sasa mjini nitaendaje?? Nilianza kuumiza akili namna ya kufika mjini na nitafikia wapi?? Siku zilizidi kusonga namimi nikazidi kuipambania ndoto yangu ya kwenda mjini..

Namshukuru Mungu ndoto yangu ya kwenda mjini ilijibiwa baada ya kupata kazi katika familia moja hivi tajiri sana..

Nakumbuka that day aliniita jirani yetu akaniambia kuna mtu anatafuta mdada wa kazi anaishi huko mjini kama ikiwezekana niende mimi..

My wenu nilivosikia kuhusu mjini nikasema yes mambo si ndo haya sasa... yani haijalishi nini kinanipeleka kikubwa nifike mjini mengine yatajulikana mbele kwa mbele😁

Tulimpigia Boss anaehitaji mdada tukaongea nae tukakubaliana akaniambia ye atakuwa ananilipa vizuri sana na nitaishi vizuri sana kikubwa niwe mwelewa tu..

Basi nilielezewa machache kuhusu familia mpya nayoenda kuishi nayo huko mjini nikaambiwa pia niwashirikishe wazazi wangu nikikubaliwa nitatumiwa nauli ya kwenda..

Nilikwenda kumwelezea mama kuhusu mimi kupata kazi mjini lakini mama alinikatalia akaniambia mjini nitaenda kuharibikiwa...

Kwetu mimi ndo mkubwa mama aliniambia nikiharibikiwa mimi na wadogo zangu watadumbukia humohumo...

Niliambiwa kama shule imenishinda basi ni vyema tu niolewe niondoke nyumbani nikiwa nimeolewa na si hayo mambo mengine ya hΕ‘vyoπŸ˜‘πŸ˜‘ yani huyu mama nae..

Nilichukia baada ya mama kunikatalia ombi langu nikajisemea bora nitoroke tu nikifika mjini nikifanikiwa atanisamehe tu😁😁

Yani mimi niliamini huko mjini lazima nikafanikiweee kama ni urembo mashallah nimetimia kila idara😁😁

niliingia ndani nikaanza kupanga nguo zangu kwa ajili ya kutoroka hatuwezi kuwa masikini kila siku acha nitoke nikatafute maisha huko mbali..

Mama yangu kanilea kwa shida sana mimi na wadogo zanguπŸ˜”πŸ˜”yeye ni single maza na kwetu kila mtoto na baba yake...

Wnme wote alozaa nao mama hakuna hata mmoja anaemsaidia kwa chochoteπŸ₯ΉπŸ₯Ήndo maana mama anataka niolewe haraka kabla sijaharibikiwa kama yeye alivyoharibikiwa..

Wakati napanga nguo zangu mama alinikuta akaniambia mwanangu usije ukaondoka hapa nyumbani bila ruhusa yangu fuata kile nilichokwambia mwanangu kabla Dunia haijakuhadaa..

Ilibidi nimpigie mama magoti nikamwambia mama please ndoto yangu ni kuyabadirisha maisha yako kutoka kwenye hizi shidaπŸ₯Ή..

niruhusu mama niende mjini nikatafute maisha nakuahidi mama huko nitapata mume tajiri wa kuniowa na atayabadirisha maisha yetu..

Nilimbembeleza sana mama mwisho akakubali kishingo upandeπŸ˜”

Baada ya mama kukubali nilimpigia yule Boss anaehitaji mdada akaongea na mama aliahidi atakuwa ananilipa vizuri pesa ya kutosha ili niwe napata chochote kitu cha kutuma nyumbaniπŸ™

Mama alikubaliana naye lakini akamsisitiza nisiende kuteseka... nilifurahi sana jamani niliona ndoto yangu tyr ishatiki bado kufika tu huko mjini..nilitumiwa nauli yangu na pesa ya kula njiani..
Nilijiandaa fresh nikakata tkt huyoooooo nikaianza safari yangu kuelekea mujiniπŸ₯°πŸ₯°

Njia nzima nilikuwa nayafikiria maisha yangu ya mjini jinsi yatakavokuwaπŸ₯°πŸ₯°I can't wait πŸ‘ŒπŸ˜˜

Safari ilitia nanga katika stand kubwa za mabasi nikapokelewa na Boss wangu vizuri akanipakiza kwenye gari lake safari kuelekea nyumbani ikaanza..

Wakati tuko njiani yule Boss alianza kunipigisha story akaniambia nyumbani kwake wanaishi maisha mazuri sana ila kuna changamoto moja kubwa ambayo hiyo ndo ilomfanya atafute mdada wa kumsaidia..

Nilishtuka kidogo nikamuuliza ni changamoto gani?? Akaniambia usijali twende tu utaiona lakini kabla ya yote nataka uniahidi kitu kimoja..

Kitu gani??

Niahidi ya kwamba utavumilia kila kitu na hautonikimbia...kheee niliogopa..yule Boss aliniambia wasichana kadhaa wamekuwa wakimkimbia ndo maana akataka niweke ahadi kabisaaaa mapema kabla hatujafikaπŸ₯Ί..

Itaendeleaaaaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?* *___________* *SEHEMU YA 01...02* Jamani maisha haya sometimes yanatufanya tufanye kila jambo ilimradi tu tuzipate hizo sasampa😁😁



Mwenzenu mimi nilitamani sana nisome ili nije kuyabadirisha maisha ya kwetu maana maisha yetu yalikuwa ni magumu kupita kiasi..

Nilifanikiwa kumaliza primary nikajiunga na secondary kiukweli wala sijui nilifaulu vipi maana hata hizo akili my wenu sikujaaliwa kuwa nazo😁

Nilivofika secondary hali ilizidi kuwa mbaya kichwani nikazidi kuwa empty yani nilikuwa naenda tu shule kumridhisha mama maana alikuwa anapiga vibarua nisome ili kesho nimsaidie..

Nilipambana mwaka wa kwanza secondary ukapita ukaingia mwaka wa pili udada ukanikolea nikaanza usumbufu wa hapa na pale πŸ˜‘ukafika mtihani wa 4m2 nikafeli na huo ndo ukawa mwisho wa masomo yangu ..

Baada ya ndoto za shule kuishia njiani...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-___________-sehemu-ya-01-02-jamani-maisha-haya-sometimes-yanatufa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-___________-sehemu-ya
MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!*  *___________*  *SEHEMU YA 06*  Nilisogea hadi sehemu inapotokea sauti nilipofika mlangoni ghafla ikabadilika ikaanza kusikika sauti ya Kingston ile ya kizezeta😳😳
MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *___________* *SEHEMU YA 06* Nilisogea hadi sehemu inapotokea sauti nilipofika mlangoni ghafla ikabadilika ikaanza kusikika sauti ya Kingston ile ya kizezeta😳😳
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

1.16K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

745
SHAMIRA 114 mwisho ni 115

SHAMIRA 114 mwisho ni 115

715
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

630
LETICIA 7-----------14

LETICIA 7-----------14

246
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

196
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

171
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

80
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

65

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.85K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.57K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.86K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.36K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.97K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.75K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya GΓΆztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM  Liverpool 4-0 Galatasaray  ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️ Post Mpya
◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM Liverpool 4-0 Galatasaray ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️
@majario LIVE

Liverpool inatinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa kishindo kabisa nyumbani, ushindi ambao wali stahili kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo mpaka mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho , Liverpool...

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa? Post Mpya
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?
@majario LIVE

JIBU: Hili ni swala lenye khitilafu baina ya β€˜Ulamaa. Wako walioona kwamba Muislamu aswali Swalaah zote mbili; β€˜Iyd na Ijumaa kwa Jamaa’ah, na wako walioona kuwa akiswali Swalaah moja baina...

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF, Post Mpya
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF,
@majario LIVE

- Viongozi wamesisitiza kuwa pambano hilo halijaisha, huku baadhi ya wachezaji wakituma ujumbe mzito mtandaoni na kauli za 'njoeni mpige picha na kombe', Senegal inaita uamuzi huo kuwa si wa haki...

STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO. Post Mpya
STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO.
@majario LIVE

March 18, 2026 In football, the Laws of the Game are clear: the referee on the pitch is the final authority on decisions made during the match. Once play is allowed...

MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI Post Mpya
MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI
@majario LIVE

Mwaka 2007 , Wachezaji wa Lille walitoka uwanjani baada ya Gigs kufunga goli kwa mpira faulo [ Alipiga haraka ] muda ambao Lille walikuwa ndio wanaweka ukuta 2013, Kelvin Prince...

SHAMIRA 114 mwisho ni 115 Post Mpya
SHAMIRA 114 mwisho ni 115
@majario LIVE

( MWISHOOO ) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 114 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media AseΓ¨e nilikuwa sinanngibu kabisa nikasiki malngo unavunjwa apk mimi jilikuwa napata maumivu makari mno ya tumbo yani sama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Daaah apo na mm nilishachanganikiwa ,nikabaki nimemshika mkono zena sasa, nimemshika tu mke wangu kumtuliza, ila.wapi zena ana hasira ana lia tu, ananambia anataka twende viwege, akahakikishe uko kuna nani,...

LETICIA 7-----------14 Post Mpya
LETICIA 7-----------14
@majario LIVE

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’ LETICIA Sehemu ya 7 na 8 Mwandishi; LISSA Basi hata hatukukaa sana wazazi wakarudi saa 3 ,na wakawa wanalalamika wamechoka walipitiliza kuoga na kulala ata chakula hawakula ,mama alisema wamekula uko walikotoka.​ Mimi...

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. Post Mpya
wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
@majario LIVE

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest