MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π * sehemu ya Sita
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π
* sehemu ya Sita
Wakiwa Ofisini Saraah Na Jordan, Saraah
Anaamuaa kutoka kwenda kuchukua kahawaa. Akiwa anavuka barabara Gari lililo kuwa speed aina ya cruzer linampitia na kumgongaa Jordan Anashuhudiaa tukio zima kwa mbali. Hali ya Saraah inaonekana kuwaa mbaya sana maana anavuja damu nyingi sana upande wa kichwa chake. Jordan anakimbia na kumuinuaa saraah huku akiwa ameshika kichwa cha Saraah kwa machozi mengi akilia na kutetemeka. Jordan: Saraah Mamaangu Amkaa kipenz Amkaaa Saraa Wangu, Jamn msaadaa.
Kwa bahati nzur wafanyaa kazi wanatokaa njee na kupiga simu kwaajir ya kuita Ambulnce. Ambulnce inafika na kumchukua Saraah na
kumuwaishaa hospitalin. "Kwa nmn Saraah hali aliyonayo ni ngumu sanaaa kuponaa "Watu wengi walisemaa huku Saraah akisindikizwa kwa macho juu ya machela katika chumba cha Operation kuu
Jordan anaonekana kuliaa sanaa huku akibembelezwa na wafanyakazi wengine.
Tunarudii Upande wa Narshaa. "Boss kazi yako tyr" Mask Man Alisema.
"Hahhahahah hmn mtu atakae pinga Amri yangu Narshaa alisemaa kwa sautii kubwaa ya kejeli sana, huku akihesabu pesaa kias cha million 5 na kumkabidhil Mask Man na kuondokaa.
Upande wa Jay anaonekanaa kuendeleaa kumfatiliaa sanaa Madam Linda kwa kumkazia jicho kali wakiwa wamekaa wote sebleni. Lakini kwa ghaflaa simu yaa Jay inaltaa na anaepigaa sio mwingne ni Jordan. "Jay haiwezekani akiliaaa. Jordan Alisemaa huku
Kwa Mshituko mkubwaa Jay alisimama. "Nini haiwezek na mbnaa unaliaa shidaa nn Jorda kunaa nn ?"Jay alijibu.
Naa baada ya Madam Lindaa kusikiaa ivo anaamuaa kusogelea Jay kwa harakaa ili asikilize shidaa nn.
"Saraah kapataa Ajarii na halii yake ni mbayaa sanaa sidhani kama anawezaa ishii." Jordan alisema huku akiliaa kwa machungu sanaa "Mungu wangu Nini?? Tunakujaa sasaa hivii naaendaa kukataa Tiketi nakujaa nakuja najaa" Alisema Jay huku akiwaaa anatokwa na machozii mengi sanaaa. Jay anaamua kukataa tiketi na na ya Madam Lindaa Lakini huwezi Amini Madam Lindaa anakataaa kwend uko kwaa ajirii ya Saraah.. "Haa haa hapnaa si si sitaendaa" Madam Lindaal
Alisema kwa uoga sana "What ?? Ivi saraah sini kama mwanao kbsaa na bado Jordan ni mwanao plaa kwann tusiendee ?? Nakupaa dakika mbili pangaa nguo zako tuondoke kwa hili sitakusikiliza Jay Aliongeaa akiwaa na hasira huki machozi yakee hayaachi kudondoka juu ya Saraah. Jay na Madam Linda wanapandaa ndegee kwa haraka huo huo mchan ili wa wahi kufikaa Arushaa. Baada ya masaa machache wanafika Jordan akiwa hospitalini anaagizaa mtu
kwendaa kuwapokea kinaa Jay Na Lindaa. Wanapofika Hospitali huo mdaa na huo huo mda masaa yaa saa kumi na ndip madaktari wanatokaa njee katikaa chumb cha upasuaji. "Daktari anaendeleajee Saraaah dactarii niambie basi Jordan anaonekanaa akiongea uku akiwa na huzuni sanaa. Kwa jicho la hurumaa na suraa ya hurumaa ya
dactari ili bidi awasogele kinaa Jordan Jay na
Madm Lindaa akaanza kwa kusema "Mmh mgojwa hanaa hali nzurii tumepambanaa sanaa lakini anaonekanaa ku Undergo Comaa Yaan Damu imeingiaa katikaa ubongo wakee kwahiyo hatawezaa kufanyaa chochote zaid ya kupataa chakulaa kwa njiaa ya mlijaa ilaa hawezi kuongeaa walaaa kusogeaa hapa nahis mnaelewaa kwahiy naombaa mkapuumzikee mmuachee mgojwaa atulieee na kupumzikaa plaaa. Dactari alisemaa huku akiwaa anaondokaa.
Jordan alitamani sanaa Ikn hakuwezaa kwendaal kwa Saraah ucku ulifikaa na hawaa watatu waliamuaa kurudii nyumbn kwa ajiri ya mambo mengine. Walifikiaa katikaa nyumbaa ya Jordan na Saraah na walipataa chakulaa na kwenda kulala lakini Jordan hakupataa usingiziii maan alikuw ameshaazoeaa uwepo wa Saraah jambo hilo lilimfanyaa aend kulala kweny chumbaa cha Saraah na ukweli baada ya kulala mulee alipitiwa na usingizi mzuri wenyee amani sanaa moyoni mwakee.
Hatimaye pana pambazukaa na wakwanza kuamkaa anakuwa Jay anapokaguaa vyumba anakutaa Jordan kalala kweny chumb cha Saraaah "Daah unaweza hisi wanadet kumbe hpn daah mapenz upofuu Jordan ndo wakuwaa hivi naombaa sana kwa Allah Saraaah awahi kuponaa Jay alisemaa.
Mda unakwenda na wote hawa wanamalizaa kuijiandaa na kwnd hospitalini wanapofikaa hospitalini Jordan anawahi kuingiaa katikaa chumba cha Saraah alipokuwaa amelazwaa. "Saraah ni lini utaamka mamaangu na mengi ya kukuambiaa hataaa kuwaa mm ni ndiye Abdulh wako wa utotoni daaah Saraaah nisamehee kwa kukuachaa uende mwenyew labda tungekuwaa wotee usingeumiaaa hivil mamaangu Naombaa nikwambiee tu kituu kwambaa Nakupendaal Saraah Amkaa bas nikuone tenaaa nmemiss utani wako, uogaa wako na jeuri yako piaaa ilaa hainaa namna ntakuwaa pamoja na ww mpk pale utakapo amkaa Jordan Anasemaa huku akifutaa machozii yakee
Saraah akiwaa katikaa kitanda kilee watu wengii wanavunjika moyoo kwa maana hmn anayejuaa kamaa Saraaah ataponaa au laa
Masaa yanaendaa watuu wengii wanakujaa kumsalimiiaaa Saraaah ingawapo yeye ni kama mtuu mfuu kwa wakati huo wengil wanaondoka na kuliaa na kuuzunikaaa, lakini ghaflaa garii flan linaingia na anashukaa mdada ambayee kwa mavazii yakee ni kama ya mtuu ambay anaendaa kweny party au sherehee ya kifahali, Watuu wengil wanashangazwaaa sanaa maana wapo hospitalini na sio sehem ya mavazli hayoo suraa yakee inaonekanaa kuvaliaa miwanii kubwa sana huyu mtu sio mwingne baril ni Narsha anapofikaa anapitilizaa kwendaa
mapokezii na hatimayee anapewaa namb ya
chumba alipokuwaa Saraaah.
Anapofikaa katika kolidoo hiloo anakutanaa na
Jay. Jay kwa hasiraa alisema "Ivil ni wewe Narsha unafanya nn hapaaa eeeh"
Narshaa kwa jicho la dharau anamungalia Jordan na kufyonzaa na kusema: Naona umenimiss ayaa semaa shidaa yako... Jay Ivi nikwelii kbsaa huogopi kbsa na unakuja hapaaa uklijuaa wewe ndio muhusika wa ajarli
hiyoo. Narsha "Hahahahah Ivii kwan sina hadh ya kujakumuonaa kabsa hahaha kuja ntakuja bilaa kizuizii."
Mdaa huo huo Jordan anatoka kumuonaa
Saraah bilaa ataa aibu Narsha anamkimbiliaa Jordan na kumkumbatiaa kwa hasira Narshaa anasukumwaa na kushushiwaa kofii kali la usoni
na Jordan Jordan "Ivi hivoo drama zako ni za mpk lini wewe ndiye chanzo lakn kwasasa unajionesha kamaa mtu mwemaa kweli ? Na ninakuhakikishiaa kamaa Saraah Atakumbwa na chcht bas tutakulaa sahani moja". Jordan hataki Story nyingi anaondoka.
Narsha anabakii akiwa ameduwaa. "Hivii kweli Jordan kwasasa kapoteza upendo wake kwangu kiasi ichoo kisa Saraah hahha siamni" Narshaa alisemaa.
Narshaa anaonekana kuondokaa na kwendaa katika sehem iliyo jifichaa ndani ya hospitali ilee anapofikaa anampigiaa mtuu flani ili afikee palee, kinachoo shanganzaa anayefikaa palee sio mwingnee ni Madam Lindaa !!
Heee je Madam Lindaa Yupo Nyumaa Ya Hill Swala Au Vipi Na Kama yupo Nyumaa Ya Ili Swalaa Ni Kwasababu gani ??Na kama hayupo nyumaa ya swala hilo mbona anaendaa kuongea na Narsha sehm iliyojifichaa Ivo Mmh Tukutane Katikaa Sehemu ya Saba Ili Kufahamu Ukweli
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi