Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WA RAFIKI YETU  Episode 2
Gonga94 · Stories

MUME WA RAFIKI YETU Episode 2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MUME WA RAFIKI YETU

Episode 2
Basi mambo yalipita ,na tukawa tumeelekea sebuleni kwa ajilo ya chakula cha usiku ...tulikula chakula lakini nilizidi kumtazama Erick kweli ananivutia jamani ...

Baada ya chakula, tulikaa sebule tukiongea mambo ya maisha ya mjini. Erick alikuwa amekaa pembeni kidogo, akiwa kimya llakini nilikuwa namgusa gusa na mgui wangu.....Naye alitulia alikuwa hana shida wala kushtuka ....

Nilimwangalia kwa jicho la kuibaiba. Mikono yake ilikuwa bado imetuna, iliyoonyesha alichotoka kukifanya uwanjani. Hakuwa na shati, bali fulana ya madoa ya jasho, ambayo kwa njia isiyo ya kawaida, iliongeza tu mvuto wake.

Aggy naye alionekana kimya isivyotarajiwa kwake. Kawaida alikuwa muongeaji sana. Lakini usiku huo, alikuwa akigusa simu yake kila baada ya sekunde kadhaa, kisha anamtupia Erick jicho dogo, haraka na la aibu. Nilimjua. Nilimwelewa. Hakusema, lakini nilijua.

“Nawaachia wageni wangu,” Sandra alisema kwa furaha baada ya muda. “Ninaenda kumalizia kazi . Shemeji Erick atasindikiza wageni hadi vyumbani, si ndiyo mume wangu?”

Erick alitabasamu. “Lazima kabisa,” alijibu kwa sauti yake nzito yenye ukarimu. “Msijali, najua wageni wa mke wangu ni wageni wangu pia.”

Sijui kama Sandra alitambua kuwa nafaai ile nilikuwa naitafuta sana na yeye kanipa nafasi ya wazi kwanink nitegee sasa jamani niligurahi sio siri...

Tulisimama wote watatu mimi, Aggy na Erick kuelekea kwenye korido ya vyumba. Aggy alikuwa mbele, nikafuatia, na Erick nyuma yetu. Tulifika mbele ya chumba cha Aggy, akasimama na kufungua mlango wake.

“Nahisi nitapata usingizi wa mapema,” alisema Aggy kwa sauti ya chini.

“Lala salama, mrembo,” Erick alimjibu kwa sauti ya kutuliza.

Macho ya Aggy yalicheza cheza, kisha akaingia ndani na kufunga mlango wake kwa upole.

Sasa tulibaki wawili tu – mimi na Erick.

“Na wewe je?” aliniuliza kwa utulivu.

“Nipo sawa. Nashukuru kwa ukaribisho. Kweli hapa ni paradiso,” nilijibu kwa tabasamu la kujizuia.

“Tuliamua kuhama mjini kwa ajili ya utulivu huu. Huku maisha ni rahisi, ya kweli.”

Alisogea kidogo karibu na mimi. Mwanga wa taa ya ukutani ulimuonyesha vivuli vya misuli yake vikicheza kifuani na shingoni mwake. Macho yake yalikuwa yamejawa na maswali yasiyo na sauti.

Nilifikia mlango wa chumba changu. Alinifungulia, kisha akashikilia mlango kwa mkono mmoja. Nilipogeuka kumuaga, macho yetu yalikutana. Na wakati huo, kulikuwa na ukimya uliosikika. Ukimya uliojaa hisia. Ukimya ulioandika maandishi

“Usiku mwema Chautamu,” alisema taratibu.

“Usiku mwema Erick…”

Alisubiri sekunde moja zaidi, kisha akarudi nyuma taratibu na kutoweka kwenye kivuli cha korido. Nilipoingia chumbani, moyo wangu ulipiga kwa kasi ya ajabu. Nilifunga mlango na kukaa kitandani bila hata kuvua viatu.

‘Mume wa rafiki yangu…’ nilijikumbusha.
Lakini sauti nyingine ndani yangu ilijibu, ‘Lakini mbona macho yake yamesema mengine?’

Nilinyanyuka taratibu na kufungua pazia. Dirisha lilionyesha sehemu ya uani. Nilijaribu kuona kama Erick alikuwa huko, lakini hapakuwepo. Lakini hisia zake zilikuwa bado karibu, kama harufu ya manukato mazito yaliyobaki hewani.

Nikiwa pale dirishani, mlango wa chumba cha Aggy ukafunguliwa polepole. Nilimwona akitoka na kujifanya kama anakwenda chooni, lakini alipotoka kwenye kivuli, alikuwa kavaa kanga moja ...... Anaelekea alikoelekea Erick

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WA RAFIKI YETU Episode 2

MUME WA RAFIKI YETU

Episode 2
Basi mambo yalipita ,na tukawa tumeelekea sebuleni kwa ajilo ya chakula cha usiku ...tulikula chakula lakini nilizidi kumtazama Erick kweli ananivutia jamani ...

Baada ya chakula, tulikaa sebule tukiongea mambo ya maisha ya mjini. Erick alikuwa amekaa pembeni kidogo, akiwa kimya llakini nilikuwa namgusa gusa na mgui wangu.....Naye alitulia alikuwa hana shida wala kushtuka ....

Nilimwangalia kwa jicho la kuibaiba. Mikono yake ilikuwa bado imetuna, iliyoonyesha alichotoka kukifanya uwanjani. Hakuwa na shati, bali fulana ya madoa ya jasho, ambayo kwa njia isiyo ya kawaida, iliongeza tu mvuto wake.

Aggy naye alionekana kimya isivyotarajiwa kwake. Kawaida alikuwa muongeaji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wa-rafiki-yetu-episode-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wa-rafiki-yetu-episode
‎MUME WA RAFIKI YETU  ‎Episode 3
‎MUME WA RAFIKI YETU ‎Episode 3
MUME WA RAFIKI YETU  Episode 1
MUME WA RAFIKI YETU Episode 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

911
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

719
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

603
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

556
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

119
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

77
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

4

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.58K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.48K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest