Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WA RAFIKI YETU  Episode 1
Gonga94 · Stories

MUME WA RAFIKI YETU Episode 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MUME WA RAFIKI YETU Episode 1

Ilikuwa ni wikiendi tuliyoingoja kwa hamu sana. Kwa majina naitwa Chautamu, mimi na rafiki yangu Aggy tulikuwa tumechoka na kelele za jiji, maisha ya haraka na mihangaiko ya kila siku. Tulihitaji kupumua. Na ilipokuja mualiko wa Sandra rafiki yetu wa karibu kabisa tulijua hiyo ilikuwa nafasi ya dhahabu. Wazungu huita golden chance .......

Sandra alikuwa ameolewa na kuhamia kijijini kwa mumewe, maeneo ya milimani kule Mbinga. Mara kwa mara alikuwa akitutumia picha akiwa kwenye mandhari ya kijijini, bustani ya kupendeza , na nyumba yao yenye paa la bati jeupe inayometameta juani. Tulijua Sandra anaishi maisha ya amani.

"Tunaenda lini kumtembelea shemeji na rafiki yetu sandra ?" Aggy aliuliza siku moja tukiwa tunakunywa wine nyumbani kwangu. Yeye na mimi tunapenda sana kuwa pamoja na kitu tunachokipenda ni utamu wa bakora tunyime kila kitu ila sio kiboko tunapenda sana....

Na kutokana na hivyo tumeliwa sana ndogo tena muda mwingine ndogo yangu inaliwa na mchumba wake na yake inaliwa na wangu hata hatukuoneana wivu ....

Endelea sasa ....,.

"Ndio maana nime kuita ," nikamwambia kwa tabasamu zito katutumia . "Kesho tunapanda basi, safari inaanza."Alitabasamu sana Aggy na kusema kuwa kesho ni lazima twende uko lengo letu ni kwenda kumsalimia rafiki yetu na kitu kingine tuliambiwa wanaume wavijijini wako vizuri kwenye michezo ya kusaka kunguni ...

Tuliondoka asubuhi na mapema. Safari ilichukua saa kadhaa, tulipitia milima, mabonde, misitu na vijiji vya kuvutia. Mwishoni, tulifika kwenye kituo cha mwisho ambako Sandra alitufuata kwa pikipiki iliyoegeshwa pembeni ya barabara. Kisha akatubeba hadi kwake ....

"Karibuni nyumbani kwangu jamani!" Sandra alitukaribisha kwa furaha, macho yake yakitabasamu kwa upendo ule ule tuliomzoea naye mjini.

Hatukujua kuwa muda mchache ujao tungekutana na kitu kilichotufanya tusahau hata uchovu wa safari.

Tulipofika nyumbani, mlango wa mbele ulikuwa wazi kidogo. Kulikuwa na harufu ya kahawa iliyokuwa inachemka jikoni. Lakini kilichotushangaza zaidi siyo kahawa, bali sauti nzito na ya kuvutia ya mwanaume aliyekuwa akipiga miayo ya nguvu akitokea uani.

Tuligeuka wote kwa wakati mmoja.

Alikuwa anakuja mbele yetu taratibu, mwili wake umetoka mazoezini jasho linamtiririka mabegani na kifuani, shati lake jeupe la kubana limezama kwenye misuli yake kama limechorwa juu ya mwili. Alikuwa amevaa bukta fupi ya kijivu iliyomuacha mapaja wazi mapaja yenye nguvu, yaliyobeba historia ya mazoezi ya miaka.

Macho yake yalikuwa kama ya simba anayechunguza mawindo. Ndevu zake fupi zilizonyooka vilivyo zilikuwa zimeshika tone la jasho kwenye kidevu. Alipotuangalia, alitabasamu taratibu tabasamu la mtu anayejua kuwa ana mvuto na ana mamlaka.

“Honey, hawa ndio marafiki zangu wa mjini niliokuwa nawasimulia. Huyu ni Chautamu na huyu ni Aggy,” Sandra alisema kwa furaha.

Shemeji Erick alitusogelea na kutupa mkono mmoja mmoja.

“Karibuni sana nyumbani kwetu. Naitwa Erick,” alisema kwa sauti iliyojaa ukomavu na utulivu. “Mmefika salama?”

Tulijibu kwa nyuso za tabasamu lakini mioyo yetu ilikuwa haijatulia. Mimi, Chautamu, nilihisi joto lisilo la kawaida, mkono wake ulipogusana na wangu. Ulikuwa wa joto, wenye nguvu, na wenye msisimko fulani ulioanzia kwenye vidole hadi kwenye mgongo.

Aggy naye alionekana kupigwa na butwaa, japo alijaribu kuficha. Alimwangalia Erick kwa haraka, kisha akatazama chini kana kwamba aliwaza jambo ambalo hakutaka ninyi wengine mjue.

Tulipoingia ndani, Sandra alituonyesha vyumba vya wageni. Kila kitu kilikuwa kimepangwa kwa utaratibu. Dirisha lililokuwa upande wa kitanda changu liliangalia moja kwa moja uani – uani ambako Erick alionekana muda mfupi baadaye, akiwa sasa hana shati kabisa, akifanya mazoezi ya kukimbia mahali pale pale. Misuli yake ilirukaruka na ngozi yake iling'aa kwa jasho.

Nilishindwa kujizuia. Niliangalia kwa muda mrefu.

Nilihisi hisia ambazo sikuwa nazo awali. Shemeji alikuwa zaidi ya kawaida. Alikuwa ni mwanaume kamili, wa kuvutia, asiyehitaji hata kuzungumza ili kukushika akili.

Lakini huyu ni mume wa rafiki yetu Sandra…

Nilitazama dirishani, na ghafla macho yangu yakakutana na ya kwake. Erick alikuwa amenikamata macho. Hakuyatoa. Tabasamu lake taratibu likaanza kuchanua… kisha akaniinamia kwa kichwa,

Nilihema pole pole. Nilifunga pazia. Huku mapigo ya moyo yanakimbia ......

Ngoja tusubiri Episode ya 2...

Watu wote wanaopenda kazi zangu wapo humu ambako ndiko kuna simulizi zangu zote kama ni mgeni utanijua kupitia humu ......hakikisha unanifollow

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WA RAFIKI YETU Episode 1

MUME WA RAFIKI YETU Episode 1

Ilikuwa ni wikiendi tuliyoingoja kwa hamu sana. Kwa majina naitwa Chautamu, mimi na rafiki yangu Aggy tulikuwa tumechoka na kelele za jiji, maisha ya haraka na mihangaiko ya kila siku. Tulihitaji kupumua. Na ilipokuja mualiko wa Sandra rafiki yetu wa karibu kabisa tulijua hiyo ilikuwa nafasi ya dhahabu. Wazungu huita golden chance .......

Sandra alikuwa ameolewa na kuhamia kijijini kwa mumewe, maeneo ya milimani kule Mbinga. Mara kwa mara alikuwa akitutumia picha akiwa kwenye mandhari ya kijijini, bustani ya kupendeza , na nyumba yao yenye paa la bati jeupe inayometameta...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wa-rafiki-yetu-episode-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wa-rafiki-yetu-episode
‎MUME WA RAFIKI YETU  ‎Episode 3
‎MUME WA RAFIKI YETU ‎Episode 3
MUME WA RAFIKI YETU  Episode 2
MUME WA RAFIKI YETU Episode 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

937
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

760
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

625
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

594
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

135
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

84
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

7

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest