????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA
*****
*****
"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..
Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....
" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...
Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..
Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na kulala huku naogopa sana.. Wakati huo mashine ilikuwa bado imesimama sana pamoja na wasiwasi nilionao...
"" "Kweli hii kitu haijali hata kwenye vita inaweza kusimama tu.. Niliwaza Mwenyewe na kucheka.. Sikuwa na hofu sana kwasababu nilijua mtu na dada yake wataelewana tu... ....
******
******
"" "" Hivi Mariana utakuwa lini My young.. Sasa ulikuwa unaenda kumwambia mama mambo gani hayo..??? Au unataka nifukuzwe hapa ili uanze kulala mwenyewe ndio utafurahi eti.
Aliongea Dayana kumsihi mdogo wake aache utoto kama ule..
"" "" Basi dadaangu nisamehe jamani siwezi kurudia.. Lakini usie unaondoka bila kuniaga sawa dada Dayana..
Aliongea Mariana na kumkumbatia mdogo wake...
"" "" "Ndomaana nakupenda mdogoangu.. Kesho namuomba mama hela tukatembee mjini ukitoka shule, sawa my...
Haya lala mdogoangu...
Walikumbatiana mabinti wale wawili na kulala..
*****
*****
Asubuhi niliamka mapema sana na kuoga kisha kukaa tayari kwa kwenda kazini kuripoti kwa mkuu wa shule kuwa mimi ni mwalim mgeni niliepangiwa shuleni kwake.
Niliketi sebuleni nikimsubiri mama mwenye nyumba atoke ili nimuage..
Lakini dakika kadhaa baaadae alitoka akiwa yupo tayari kwenda kazini kwake.. Nilifurahi kupata lift ya kwenda hadi mjini...
Tulipanda gari na Safari ya kwenda mjini ilianza..
"" "" " Pole mkaka mzuri... Nashukuru jamani jana umenikumbusha jambo ambalo nilikuwa na miaka sijafanya.. Nilisikia raha ya ajabu daaahhh...
Aliongea Mama yake Dayana huku ananitazama kwa kuibia huku anaendesha gari....
" "" usijali dear.. Mimi mwenyewe umenikosha sana.. Nimeenjoy sana.. Ujue ndio mara yangu ya kwanza kukutana na mwanamke..
Shuleni nilikuwaga muoga na mpole sana..
Zile mbwembwe zote nilikuwa nikisikia tu story kutoka kwa wenzangu..
Ilibidi siku ya Jana nijitahidi sana ili nisije kuaibika...
Niliongea na kumshika mkono mama mwenye nyumba...
"" "" Saa yako nzuri sana.. Niliongea na kuishika ile saa.. Alishika steling ya gari kwa mkono mmoja na ule mwingine aliniachia niendelee kuishangaa saa huku anatabasam sana..
"" "Bana.. Unavituko frenk. Haya nitakununulia na wewe ya kiume nzuuri ya gharama.. Unaonekana unapenda sana saa dear...
Aliongea yule mama na kunitazama...
Tuliendelea kupiga story mingi hadi tukafika shuleni.. Alinipatia noti tatu za Elfu kumi na kuniambia zitanisaidia kwa chakula cha mchna..
Nilishuka kwenye gari na bahasha zangu mkononi na kwenda moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu wa ile shule...
Niliingia ofisini na kumkuta mdada wa usafi tu ndio anahangaika na kufuta meza na kupanga vitu.. Mwalimu alikuwa bado hajafika.
Alinielekeza tu sehemu nikae ili kumsubiri....
Hazikupita dakika mbili nikiwa bado naangalia simu, yangu nilisikia harufu ya Pafyum.. Alipita Mama mmoja wa umri wa makamo na kunisalimia..
"" "" Habari za Asubuhi kijana.. Karibu sana.. Aliongea yule mama..
"" "Asante.... Niliitika na kupiga hatua kumfuata yule Mama ndani ya ofisi...
Alinionyesha kiti nikakaa na kutoa barua yangu ya kupangiwa kazi kwenye ile shule......
******
******
Upande wa pili Mama Dayana alikuwa anafikia kazini kwake. Lakini huko kazini alikuwa akifahamika kwa jina la" "" Daktari Moureen..
Alikuwa na hospitali yake kubwa kiasi fulani yenye hadhi ya kuwa hata hospitali ya wilaya kwasababu ilikuwa ikifanya hadi upauji..
Yeye alikuwa ni Daktari mkuu wa ile Hospitali.... Akiwa anaipaki gari alishangaa kuona dereva bodaboda katoka ndani ya Ofisi yake...
Alishtuka kidogo ila baadae alihisi huenda kuna kitu aliagizwa na msichana wa usafi..
Dr Moureen alipiga hatua na kwenda hadi ofisi kwake na kumkuta dada wa kazi...
"" "" Shkamoo boss.. Kuna mzigo wako huu kaleta bodaboda fulani katoka sasaivi humu ndani..
Aliongea dada aliekuwa anafanya usafi wa ofisi....
"" "hivi unaakili.. Kwahiyo hii bahasha ulishindwa kuipokelea mlangoni hadi kumruhusu dereva bodaboda kuingia hunu ndani. Ukiniletea wezi hapa nitakunyonga..
Aliongea Dokta na kuishika ile bahasha...
Dada wa usafi alitulia kimya na kutoka na mandoo yake ya kudekia baada ya kukamilisha kazi..
Dokta Moureen aliifungua ile bahasha ili kuja kilichomo ndani..
Aliingiza mkono na kutoa picha kama saba hivi..
Alizigeuza na kuzitazama ila alibaki ametumbua tu Macho kwenye zile picha...
Pembeni yake kulikuwa na ujumbe Mfupi ulioandikwa...
"" "" "Nahitaji Milioni 30 ili kukutunzia hii siri ya kwamba Daktari Tajiri na mkubwa kama wewe unatoka na kijana mdogo..
Hii kashfa ni mbaya sana.. Hadi video mliyokuwa mkifanya mapenzi kwenye ile Lodge ninayo.. Nitakutumia Whatsapp..
Nakupa siku 3 hiyo pesa ipatikane na unipigie simu sehemu ya kuja kuichukua....
Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..
ITAENDELEA.....
Full 1000
Whatsp 0784468229.