Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na kulala huku naogopa sana.. Wakati huo mashine ilikuwa bado imesimama sana pamoja na wasiwasi nilionao...
"" "Kweli hii kitu haijali hata kwenye vita inaweza kusimama tu.. Niliwaza Mwenyewe na kucheka.. Sikuwa na hofu sana kwasababu nilijua mtu na dada yake wataelewana tu... ....

******
******
"" "" Hivi Mariana utakuwa lini My young.. Sasa ulikuwa unaenda kumwambia mama mambo gani hayo..??? Au unataka nifukuzwe hapa ili uanze kulala mwenyewe ndio utafurahi eti.

Aliongea Dayana kumsihi mdogo wake aache utoto kama ule..

"" "" Basi dadaangu nisamehe jamani siwezi kurudia.. Lakini usie unaondoka bila kuniaga sawa dada Dayana..
Aliongea Mariana na kumkumbatia mdogo wake...

"" "" "Ndomaana nakupenda mdogoangu.. Kesho namuomba mama hela tukatembee mjini ukitoka shule, sawa my...
Haya lala mdogoangu...

Walikumbatiana mabinti wale wawili na kulala..

*****
*****

Asubuhi niliamka mapema sana na kuoga kisha kukaa tayari kwa kwenda kazini kuripoti kwa mkuu wa shule kuwa mimi ni mwalim mgeni niliepangiwa shuleni kwake.

Niliketi sebuleni nikimsubiri mama mwenye nyumba atoke ili nimuage..

Lakini dakika kadhaa baaadae alitoka akiwa yupo tayari kwenda kazini kwake.. Nilifurahi kupata lift ya kwenda hadi mjini...

Tulipanda gari na Safari ya kwenda mjini ilianza..

"" "" " Pole mkaka mzuri... Nashukuru jamani jana umenikumbusha jambo ambalo nilikuwa na miaka sijafanya.. Nilisikia raha ya ajabu daaahhh...
Aliongea Mama yake Dayana huku ananitazama kwa kuibia huku anaendesha gari....

" "" usijali dear.. Mimi mwenyewe umenikosha sana.. Nimeenjoy sana.. Ujue ndio mara yangu ya kwanza kukutana na mwanamke..
Shuleni nilikuwaga muoga na mpole sana..
Zile mbwembwe zote nilikuwa nikisikia tu story kutoka kwa wenzangu..

Ilibidi siku ya Jana nijitahidi sana ili nisije kuaibika...
Niliongea na kumshika mkono mama mwenye nyumba...

"" "" Saa yako nzuri sana.. Niliongea na kuishika ile saa.. Alishika steling ya gari kwa mkono mmoja na ule mwingine aliniachia niendelee kuishangaa saa huku anatabasam sana..

"" "Bana.. Unavituko frenk. Haya nitakununulia na wewe ya kiume nzuuri ya gharama.. Unaonekana unapenda sana saa dear...
Aliongea yule mama na kunitazama...

Tuliendelea kupiga story mingi hadi tukafika shuleni.. Alinipatia noti tatu za Elfu kumi na kuniambia zitanisaidia kwa chakula cha mchna..
Nilishuka kwenye gari na bahasha zangu mkononi na kwenda moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu wa ile shule...

Niliingia ofisini na kumkuta mdada wa usafi tu ndio anahangaika na kufuta meza na kupanga vitu.. Mwalimu alikuwa bado hajafika.
Alinielekeza tu sehemu nikae ili kumsubiri....

Hazikupita dakika mbili nikiwa bado naangalia simu, yangu nilisikia harufu ya Pafyum.. Alipita Mama mmoja wa umri wa makamo na kunisalimia..

"" "" Habari za Asubuhi kijana.. Karibu sana.. Aliongea yule mama..

"" "Asante.... Niliitika na kupiga hatua kumfuata yule Mama ndani ya ofisi...

Alinionyesha kiti nikakaa na kutoa barua yangu ya kupangiwa kazi kwenye ile shule......

******
******

Upande wa pili Mama Dayana alikuwa anafikia kazini kwake. Lakini huko kazini alikuwa akifahamika kwa jina la" "" Daktari Moureen..

Alikuwa na hospitali yake kubwa kiasi fulani yenye hadhi ya kuwa hata hospitali ya wilaya kwasababu ilikuwa ikifanya hadi upauji..

Yeye alikuwa ni Daktari mkuu wa ile Hospitali.... Akiwa anaipaki gari alishangaa kuona dereva bodaboda katoka ndani ya Ofisi yake...

Alishtuka kidogo ila baadae alihisi huenda kuna kitu aliagizwa na msichana wa usafi..

Dr Moureen alipiga hatua na kwenda hadi ofisi kwake na kumkuta dada wa kazi...

"" "" Shkamoo boss.. Kuna mzigo wako huu kaleta bodaboda fulani katoka sasaivi humu ndani..
Aliongea dada aliekuwa anafanya usafi wa ofisi....

"" "hivi unaakili.. Kwahiyo hii bahasha ulishindwa kuipokelea mlangoni hadi kumruhusu dereva bodaboda kuingia hunu ndani. Ukiniletea wezi hapa nitakunyonga..
Aliongea Dokta na kuishika ile bahasha...

Dada wa usafi alitulia kimya na kutoka na mandoo yake ya kudekia baada ya kukamilisha kazi..

Dokta Moureen aliifungua ile bahasha ili kuja kilichomo ndani..
Aliingiza mkono na kutoa picha kama saba hivi..

Alizigeuza na kuzitazama ila alibaki ametumbua tu Macho kwenye zile picha...

Pembeni yake kulikuwa na ujumbe Mfupi ulioandikwa...
"" "" "Nahitaji Milioni 30 ili kukutunzia hii siri ya kwamba Daktari Tajiri na mkubwa kama wewe unatoka na kijana mdogo..
Hii kashfa ni mbaya sana.. Hadi video mliyokuwa mkifanya mapenzi kwenye ile Lodge ninayo.. Nitakutumia Whatsapp..

Nakupa siku 3 hiyo pesa ipatikane na unipigie simu sehemu ya kuja kuichukua....

Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

ITAENDELEA.....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

536
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

467
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

437
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

429
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

221
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

188
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

119
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

74
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

68
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

14

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Kauli ya ole wako uinuke na inuka zilikuwa nyingi hadi nikahisi kuchanganyikiwa ikawa ni mwendo wa simama kaa kama mtoto wachekechea . Mwisho Aunt Vero aliingilia kati na kusema "...

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*
@majario LIVE

🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴 Basi bibi mie nikaanzaa safari ya kagera uo mdaa ulikuwa jioni . Nakumbuka gari ilitoka pale stand jioni saa 12. Nilikuwa na mawazo mnoo. Rahul ananiuliza mama tunaenda...

REALLY LOVE* 16 Post Mpya
REALLY LOVE* 16
@majario LIVE

waliondoka wakiwaacha familia ya cathe wakiwa na majonzi makubwa sana hawakuamini kabisa kilichotokea walitamani iwe ndoto upande mwingine kwa mama fatuma alikuwa akimshangaa mumewe tangu asubuhi yuko ndani tu hakutaka kula...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Aseeee akanmbia basi sawa hkuna shida. Ntajalibu kufatilia aseeee hii siku .nilipata amani ya moyo ambayo niliikoss kwa mda sana. Mana jamaa alinihakikishia kabisa kuwa ni wanangi na nimefanana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
@majario LIVE

Basi mi nikanyamaza . Nikainuka nikaenda kuoga .nikaja kupumzika na maumivu na mtoto wangu. Yani mtoto ananingalia ananambia pole mama. Pole mama yangu. Basi namwambia usijali sijaumia lala mwanagu....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest