Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na kulala huku naogopa sana.. Wakati huo mashine ilikuwa bado imesimama sana pamoja na wasiwasi nilionao...
"" "Kweli hii kitu haijali hata kwenye vita inaweza kusimama tu.. Niliwaza Mwenyewe na kucheka.. Sikuwa na hofu sana kwasababu nilijua mtu na dada yake wataelewana tu... ....

******
******
"" "" Hivi Mariana utakuwa lini My young.. Sasa ulikuwa unaenda kumwambia mama mambo gani hayo..??? Au unataka nifukuzwe hapa ili uanze kulala mwenyewe ndio utafurahi eti.

Aliongea Dayana kumsihi mdogo wake aache utoto kama ule..

"" "" Basi dadaangu nisamehe jamani siwezi kurudia.. Lakini usie unaondoka bila kuniaga sawa dada Dayana..
Aliongea Mariana na kumkumbatia mdogo wake...

"" "" "Ndomaana nakupenda mdogoangu.. Kesho namuomba mama hela tukatembee mjini ukitoka shule, sawa my...
Haya lala mdogoangu...

Walikumbatiana mabinti wale wawili na kulala..

*****
*****

Asubuhi niliamka mapema sana na kuoga kisha kukaa tayari kwa kwenda kazini kuripoti kwa mkuu wa shule kuwa mimi ni mwalim mgeni niliepangiwa shuleni kwake.

Niliketi sebuleni nikimsubiri mama mwenye nyumba atoke ili nimuage..

Lakini dakika kadhaa baaadae alitoka akiwa yupo tayari kwenda kazini kwake.. Nilifurahi kupata lift ya kwenda hadi mjini...

Tulipanda gari na Safari ya kwenda mjini ilianza..

"" "" " Pole mkaka mzuri... Nashukuru jamani jana umenikumbusha jambo ambalo nilikuwa na miaka sijafanya.. Nilisikia raha ya ajabu daaahhh...
Aliongea Mama yake Dayana huku ananitazama kwa kuibia huku anaendesha gari....

" "" usijali dear.. Mimi mwenyewe umenikosha sana.. Nimeenjoy sana.. Ujue ndio mara yangu ya kwanza kukutana na mwanamke..
Shuleni nilikuwaga muoga na mpole sana..
Zile mbwembwe zote nilikuwa nikisikia tu story kutoka kwa wenzangu..

Ilibidi siku ya Jana nijitahidi sana ili nisije kuaibika...
Niliongea na kumshika mkono mama mwenye nyumba...

"" "" Saa yako nzuri sana.. Niliongea na kuishika ile saa.. Alishika steling ya gari kwa mkono mmoja na ule mwingine aliniachia niendelee kuishangaa saa huku anatabasam sana..

"" "Bana.. Unavituko frenk. Haya nitakununulia na wewe ya kiume nzuuri ya gharama.. Unaonekana unapenda sana saa dear...
Aliongea yule mama na kunitazama...

Tuliendelea kupiga story mingi hadi tukafika shuleni.. Alinipatia noti tatu za Elfu kumi na kuniambia zitanisaidia kwa chakula cha mchna..
Nilishuka kwenye gari na bahasha zangu mkononi na kwenda moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu wa ile shule...

Niliingia ofisini na kumkuta mdada wa usafi tu ndio anahangaika na kufuta meza na kupanga vitu.. Mwalimu alikuwa bado hajafika.
Alinielekeza tu sehemu nikae ili kumsubiri....

Hazikupita dakika mbili nikiwa bado naangalia simu, yangu nilisikia harufu ya Pafyum.. Alipita Mama mmoja wa umri wa makamo na kunisalimia..

"" "" Habari za Asubuhi kijana.. Karibu sana.. Aliongea yule mama..

"" "Asante.... Niliitika na kupiga hatua kumfuata yule Mama ndani ya ofisi...

Alinionyesha kiti nikakaa na kutoa barua yangu ya kupangiwa kazi kwenye ile shule......

******
******

Upande wa pili Mama Dayana alikuwa anafikia kazini kwake. Lakini huko kazini alikuwa akifahamika kwa jina la" "" Daktari Moureen..

Alikuwa na hospitali yake kubwa kiasi fulani yenye hadhi ya kuwa hata hospitali ya wilaya kwasababu ilikuwa ikifanya hadi upauji..

Yeye alikuwa ni Daktari mkuu wa ile Hospitali.... Akiwa anaipaki gari alishangaa kuona dereva bodaboda katoka ndani ya Ofisi yake...

Alishtuka kidogo ila baadae alihisi huenda kuna kitu aliagizwa na msichana wa usafi..

Dr Moureen alipiga hatua na kwenda hadi ofisi kwake na kumkuta dada wa kazi...

"" "" Shkamoo boss.. Kuna mzigo wako huu kaleta bodaboda fulani katoka sasaivi humu ndani..
Aliongea dada aliekuwa anafanya usafi wa ofisi....

"" "hivi unaakili.. Kwahiyo hii bahasha ulishindwa kuipokelea mlangoni hadi kumruhusu dereva bodaboda kuingia hunu ndani. Ukiniletea wezi hapa nitakunyonga..
Aliongea Dokta na kuishika ile bahasha...

Dada wa usafi alitulia kimya na kutoka na mandoo yake ya kudekia baada ya kukamilisha kazi..

Dokta Moureen aliifungua ile bahasha ili kuja kilichomo ndani..
Aliingiza mkono na kutoa picha kama saba hivi..

Alizigeuza na kuzitazama ila alibaki ametumbua tu Macho kwenye zile picha...

Pembeni yake kulikuwa na ujumbe Mfupi ulioandikwa...
"" "" "Nahitaji Milioni 30 ili kukutunzia hii siri ya kwamba Daktari Tajiri na mkubwa kama wewe unatoka na kijana mdogo..
Hii kashfa ni mbaya sana.. Hadi video mliyokuwa mkifanya mapenzi kwenye ile Lodge ninayo.. Nitakutumia Whatsapp..

Nakupa siku 3 hiyo pesa ipatikane na unipigie simu sehemu ya kuja kuichukua....

Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

ITAENDELEA.....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

139
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

139
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

99
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

62
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest