Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na kulala huku naogopa sana.. Wakati huo mashine ilikuwa bado imesimama sana pamoja na wasiwasi nilionao...
"" "Kweli hii kitu haijali hata kwenye vita inaweza kusimama tu.. Niliwaza Mwenyewe na kucheka.. Sikuwa na hofu sana kwasababu nilijua mtu na dada yake wataelewana tu... ....

******
******
"" "" Hivi Mariana utakuwa lini My young.. Sasa ulikuwa unaenda kumwambia mama mambo gani hayo..??? Au unataka nifukuzwe hapa ili uanze kulala mwenyewe ndio utafurahi eti.

Aliongea Dayana kumsihi mdogo wake aache utoto kama ule..

"" "" Basi dadaangu nisamehe jamani siwezi kurudia.. Lakini usie unaondoka bila kuniaga sawa dada Dayana..
Aliongea Mariana na kumkumbatia mdogo wake...

"" "" "Ndomaana nakupenda mdogoangu.. Kesho namuomba mama hela tukatembee mjini ukitoka shule, sawa my...
Haya lala mdogoangu...

Walikumbatiana mabinti wale wawili na kulala..

*****
*****

Asubuhi niliamka mapema sana na kuoga kisha kukaa tayari kwa kwenda kazini kuripoti kwa mkuu wa shule kuwa mimi ni mwalim mgeni niliepangiwa shuleni kwake.

Niliketi sebuleni nikimsubiri mama mwenye nyumba atoke ili nimuage..

Lakini dakika kadhaa baaadae alitoka akiwa yupo tayari kwenda kazini kwake.. Nilifurahi kupata lift ya kwenda hadi mjini...

Tulipanda gari na Safari ya kwenda mjini ilianza..

"" "" " Pole mkaka mzuri... Nashukuru jamani jana umenikumbusha jambo ambalo nilikuwa na miaka sijafanya.. Nilisikia raha ya ajabu daaahhh...
Aliongea Mama yake Dayana huku ananitazama kwa kuibia huku anaendesha gari....

" "" usijali dear.. Mimi mwenyewe umenikosha sana.. Nimeenjoy sana.. Ujue ndio mara yangu ya kwanza kukutana na mwanamke..
Shuleni nilikuwaga muoga na mpole sana..
Zile mbwembwe zote nilikuwa nikisikia tu story kutoka kwa wenzangu..

Ilibidi siku ya Jana nijitahidi sana ili nisije kuaibika...
Niliongea na kumshika mkono mama mwenye nyumba...

"" "" Saa yako nzuri sana.. Niliongea na kuishika ile saa.. Alishika steling ya gari kwa mkono mmoja na ule mwingine aliniachia niendelee kuishangaa saa huku anatabasam sana..

"" "Bana.. Unavituko frenk. Haya nitakununulia na wewe ya kiume nzuuri ya gharama.. Unaonekana unapenda sana saa dear...
Aliongea yule mama na kunitazama...

Tuliendelea kupiga story mingi hadi tukafika shuleni.. Alinipatia noti tatu za Elfu kumi na kuniambia zitanisaidia kwa chakula cha mchna..
Nilishuka kwenye gari na bahasha zangu mkononi na kwenda moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu wa ile shule...

Niliingia ofisini na kumkuta mdada wa usafi tu ndio anahangaika na kufuta meza na kupanga vitu.. Mwalimu alikuwa bado hajafika.
Alinielekeza tu sehemu nikae ili kumsubiri....

Hazikupita dakika mbili nikiwa bado naangalia simu, yangu nilisikia harufu ya Pafyum.. Alipita Mama mmoja wa umri wa makamo na kunisalimia..

"" "" Habari za Asubuhi kijana.. Karibu sana.. Aliongea yule mama..

"" "Asante.... Niliitika na kupiga hatua kumfuata yule Mama ndani ya ofisi...

Alinionyesha kiti nikakaa na kutoa barua yangu ya kupangiwa kazi kwenye ile shule......

******
******

Upande wa pili Mama Dayana alikuwa anafikia kazini kwake. Lakini huko kazini alikuwa akifahamika kwa jina la" "" Daktari Moureen..

Alikuwa na hospitali yake kubwa kiasi fulani yenye hadhi ya kuwa hata hospitali ya wilaya kwasababu ilikuwa ikifanya hadi upauji..

Yeye alikuwa ni Daktari mkuu wa ile Hospitali.... Akiwa anaipaki gari alishangaa kuona dereva bodaboda katoka ndani ya Ofisi yake...

Alishtuka kidogo ila baadae alihisi huenda kuna kitu aliagizwa na msichana wa usafi..

Dr Moureen alipiga hatua na kwenda hadi ofisi kwake na kumkuta dada wa kazi...

"" "" Shkamoo boss.. Kuna mzigo wako huu kaleta bodaboda fulani katoka sasaivi humu ndani..
Aliongea dada aliekuwa anafanya usafi wa ofisi....

"" "hivi unaakili.. Kwahiyo hii bahasha ulishindwa kuipokelea mlangoni hadi kumruhusu dereva bodaboda kuingia hunu ndani. Ukiniletea wezi hapa nitakunyonga..
Aliongea Dokta na kuishika ile bahasha...

Dada wa usafi alitulia kimya na kutoka na mandoo yake ya kudekia baada ya kukamilisha kazi..

Dokta Moureen aliifungua ile bahasha ili kuja kilichomo ndani..
Aliingiza mkono na kutoa picha kama saba hivi..

Alizigeuza na kuzitazama ila alibaki ametumbua tu Macho kwenye zile picha...

Pembeni yake kulikuwa na ujumbe Mfupi ulioandikwa...
"" "" "Nahitaji Milioni 30 ili kukutunzia hii siri ya kwamba Daktari Tajiri na mkubwa kama wewe unatoka na kijana mdogo..
Hii kashfa ni mbaya sana.. Hadi video mliyokuwa mkifanya mapenzi kwenye ile Lodge ninayo.. Nitakutumia Whatsapp..

Nakupa siku 3 hiyo pesa ipatikane na unipigie simu sehemu ya kuja kuichukua....

Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

ITAENDELEA.....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*

????SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA

*****
*****

"" "" "Dada mimi naogipa kulala mwenywe... Nimestuka usingizini alafu sikuoni. Bahati yako taa ilikuwa inawaka... Ningelia mimu leo... Aliongea Mariana mdogo wake dayana..

Nilishusha pumzi na kuvuta shuka upesi kujifunika....

" "" "Heeeeee... Jamani dada hamana haya mnafanya tabia mbaya jamani.
" "" "NASEMA KWA MAMA" "" ilikuwa kauli ya Mariana huku anarudishia mlango ili anende kwa mama yake...

Kwa haaraka nilimsukuma Dayana awahi kumzuia mdogo wake ili habari zile zisije kufika kwa mama yao, kwasababu ingekuwa ni balaa lingine tena..

Dayana aliwahi na kumshika mkono mdogo wake na kuingia nae ndani kwao...
Mimi nilifunga mlango wangu upesi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

741
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

556
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

223
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

217
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

170
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

169
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

169
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

67
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

46
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.29K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest