VYOTE NDANI GONGA94
NDEFU HALAFU NENE ILA INANIKUNA SEHEMU 10 SONGA NAYO....
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi hapo nikakaa zangu kimya na hapo hata sielewi kabisa nini nifanye ama nini niamue ,kwa namna nilivyokuwa mshamba hata kioo cha gari sikuweza kukifungua kabisa yaani nikabaki naduwaa tu hata kutoroka au kujiokoa sikuweza kabisa.Hapo safari ikawa mkukumkuku hadi tukazama ndani ya jumbakoja kubwa sana..nikabaki nashangaa tu.
Nilipoanz kuona swimming poola na wanyama wazuri nikajikuta naanza kucheka ni wazi nilisahaunkama nimetekwa😀ila nuru mimi ni kichaa hakika.
Mwendo ulikuwa ni uleule ,sikusemeshwa bali nilibebwa mkuti hadi ndani ya nyumba hio.Ni zaidi ya ghadabu kwani hakukuwa na mtu bali mimi na huyo mkaka tu ndani ya hilo jumba.
Akili ikaanz akwenda mbali sana kila nitazamapo ,jumba hilo na ukimya huo...nilianza kuwaza marinda yangu...skuacha kusali nikihofia kutolewa kinyeo siku ya leo.
"Karibu..."alizungumza akiwa amwnipa mgongo.
Nami kwa dharau sikuitikia kabisa .
"Unaonekana kuwa na dharau sana wewe ila si mbaya kabisa ...nitakunyoosha ..."alizungumza hayo kisha akaondoka.
Baada ya muda alikuja na kama poti hivi akaweka mezani kisha akaondoka...nyie japo sikufanikiwa kuona sura ya mkaka huyi ...kwanamna nilikuwa na njaa nikajikuta nikila hio supu na chapati kama sina akili nzuri....niliposhiva sikuacha kujilaza kwenye kochi😀.
"Anaonekana kachoka sana...nahitaji kumpeleka kitandani akapumzike"nikiwa nimelala nilisikia sauti ikizungumza...
Raha ya kubebwa niliyokuwa nikiipata huku nikipapaswa mgongoni ilinipa goosepumps......alinifurahisha zaidi pale alipoanza kunipeti peti kwa madai ya kunibembeleza nilale.....
Akiwa anaondoka sikukubalia aende hivihivi nilimvuta.....
Maskini mkaka wa watu akajikuta kaniangukia kwa juu.....
Nakuja
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ndefu-halafu-nene-ila-inanikuna-sehemu
