( Dada alitoa huduma ya penzi chooni akamaliza akarudi kwenye meza...mimi nashangaa wale wasichana wenzangu na wao kila mmoja akaenda kwa wazungu wengine ambao wamekuja wakaingia mavyumbani...dada aliniona mimi mshamba sana...asubuhi Tuliondoka tulipofika nyumbani dada ananisema)
" Vumy kwani wewe ujawai kuguswa na mwanaume.
" Kwenye basi wakati nashuka ndio tuligusana.
" Wee nitolee ujinga wako nakuuliza ujawai kufanya mapenzi?
" Sijawai na siyataki mimi bado nasoma.
" Kwani inasoma kuma.
( Mmm nilistuka dada kasema neno Zito sijawai kumsikia nilikaa kimya dada ananiambia)
" Nakuuliza?
" Dada kumbuka mimi ni mdogo wako.
" Umenikera unakataa laki tatu alafu utakuja kumpa mwanaume kwa chips mayai.
" Dada Samahani naomba nauli nirudi kijijini.
" Wewe unasemaje?
" Naomba nauli.
" Ondoa ilo wazo kichwani kaoge ulale.
( Nikaenda kuoga uku nawaza kwenye begi ipo elf 50 dada akitukana tena naondoka kimya kimya...nawaza uku naoga namaliza kuoga naona Happy shoga yake dada amekuja anamsema dada)
" Nimesikia ulienda na vumy kwenye sherehe ile ya wazungu kwanini unataka kumkuza mdogo wako wale wazungu nawajua mimi mapenzi popote.
" Mwenzangu kumbe mdogo wangu bado chungwa ajakuwa chenza.
" Mimi nakuuliza lengine unajibu lengine sikia shoga yangu nikwambie unaona sisi tunaojiuza ila akuna ata mmoja anatamani mwanawe aje awe kama yeye na vile vile wewe usitake mdogo wako aje awe kama wewe nakushauri tu.
" Sasa ivi mbona ndio jambo la mjini mtu yupo kwa mumewe na anadanga.
" Kama unataka ivyo mrudishe kwanza akasome akimaliza najua akili zitakuwa za kikubwa akija kudanga yeye na akili zake ila sio sasa.
" Happy nenda acha nilale mimi.
" Sawa.
( Happy akaondoka mimi nikarudi ndani dada ananiambia)
" Shika simu angalia video hii niambie wewe na uyu nani mkubwa.
( Nashika simu kuangalia video nilikwepesha macho naona Bint mdogo kakaa juu ya mwanaume tena wakiwa bila nguo)
" Wewe unakwepesha macho nimekwambia angalia.
" Siwezi dada kuangalia matusi mimi.
" Sasa vumy wewe unazani inauma au?
( Mimi kimya maswali yake mazito...alinyamaza usiku ukafika mimi nikalala....dada alikuwa anachezea simu usingizi ukanichukua mazima maana usingizi wa kukesha unakuwa mzito...nilistuka baada kusikia kama kuna kitu kinapekechua mashavu yangu ya chini na kweli ulikuwa mkono nilipaza sauti)
" DADAAAAAAA...
ITAENDELEA.
JE NI NANI?
JIBU LIPO EPISODE YA TANO...FULL
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
majario27 Nov 2025 09:30
JE NI NANI?
JIBU LIPO EPISODE YA TANO...FULL.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha ...
Kipande cha 10 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
kipande cha 9 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ...
7 MPAKA 8 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie iyo ...
( Dada alitoa huduma ya penzi chooni akamaliza akarudi kwenye meza...mimi nashangaa wale wasichana wenzangu na wao kila mmoja akaenda...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/niliona-mwenyewe-dada-yangu-anageuzwa-sehemu-ya-nne-alinishikisha-mkononi-laki-tatu-anataka-penzi
Maoni
JIBU LIPO EPISODE YA TANO...FULL.