Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.
Gonga94 ยท Stories

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MTUNZI: SMILE SHINE

Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi, kulikucha tulichelewa sana kuamka, tulijikuta tumeamka saa 6, tena Mimi ndo nilichelewa zaidi, niliingia kuoga nakuta simu na line kitandani, vicram akaniambia, salha mke wangu naomba uangalie hizo simu apo ziko tatu chagua utakayoipenda zaidi,vicram we nipe tu yoyote, salha ujue unanichanganya sana, sawa acha nikuangalizie mwenyewe, alichagua iphone ya maana, nikaweka line, wakwanza kupiga alikuwa ni baba, niliitambua no yake , nikaikaushia, salha mbona hupokei simu?..

Sikujibu kitu, alichukua simu akapokea Mimi kimya wakaongea na mzee, akanipa nikakata, vicram alinitizama sana hakusema kitu, niliamua kuizima tu mawazo yalinisumbua mno,sikujua nini kiliendelea kwa king mpaka siku naondoka tz kwenda ujerumani, sikuwa nimejua Hali ya king na mama...

Nilifika ujerumani nikiwa n stress zangu, sikuwa nafuraha hata kidogo, vicram alijitahidi kunifurahisha, alikuwa Kila ruti yake ya ndege alitaka niondoke nae, nilitembea nchi nyingi na pilot vicram, alijitahidi kunifurahisha, lakini sikuwa nafuraha,niliamua kuigiza kufurahi, mwaka uliisha, nikiwa bado sijampokea vicram kutoka moyoni, nilikuwa namuigiazia tu, salha mke wangu, nahitaji unisaidie kitu, vicram aliongea hapo tulikuwa mwaka wa pili Sasa...

Kitu Gani?, umwshakaa na Mimi ni mwaka Sasa na nusu, nafkiri umeshanijua vizuri, nahitaji kuwekeza king air Tanzania, naona wewe pekee ndo wakunisaidia mke wangu, tunapaswa kupambana Kwa ajili ya kesho yetu na watoto wetu tutakao jaliwa,huu kwangu ulikuwa mtihani, natambua kabisa king air na flower air ni paka na panya hawawezi kushirikiana Kwa sababu ya uhasama walionao...

Lakini pia kuwapatanisha ni hatari mno, ikitokea mmoja Kati Yao, akamgeuka mwenzake Mimi ndie nitakuwa tatizo, kuliko ije kuleta shida badae ni bola Kila mtu afanye kazi zake mwenyewe,nilivyojihakikiahia na moyo wangu hili jibu ni sahihi, niliamua kumjibu vicram mme wangu, naona ni vyema Kila mtu afanye mambo yake...

Ninyi kuwa pamoja ni vigumu lazima tu Kuna mmoja ataleta ujuaji na nitakaeathilika ni mimi, ninyi nyote ni watu wathamanj sana kwangu, hivyo naona hio haiwezekani kwangu, tupambane tu wenyewe sio lazima tuungane na king air,nilivyojibu hivyo viclam alipanick, akaniwasha kibao, hivi unajua Kwa nini nimekuoa kweli wewe?, unajua nimepoteza vitu vingapi Ili niwekeze tz, kilahisi tu badala ya kunisaport mme wako unaenda kumsaport hawala Yako, ama unafikili sitambui kama alikuwa bwana Ako? Na ndio maana niliamua nisikutongoze niendw kwenu Moja Kwa Moja, Ili kuvunja uhusiano wenu, mwanzo nilijitahidi nikupe nafasi angalau ya mke huenda ukaniungaa mkono, kumbe Ata akili huna, kuzaa mwenyewe huzai, mpaka Sasa hivi huna hata dalili...

Nilijikuta nalia, nimeona Sasa uhaalisia qa vicram, kumbe alinitoa Kwa sababu ya kumfunja moyo king na kunitumia Mimi kuwashawishi king na mama Fatuma , wakubali kuungana na vicram,na alinioa makusudi kumuumiza roho king, nakumchamganya Ili asifanye kazi zake vizuli, kampuni iyumbe na ashindwe kurusha ndege, huku vicram apaki kwenye soko la Africa bila mpinzani...

Japo hili nililihisi mapema Mimi na mama Fatuma na hii ndio Siri aliyonioa siku ya harusi yangu, na kuniomba niwe makini, alinipa na simu ya Siri Kwa ajili ya kuwasiliana nao, hivyo hapa kilichoniumiza ni Kofi tu ila ujinga wake wote Mimi nishauelewa mapema, king alikuwa ananitizama sana pind tukiwa kazini tena Kwa kujificha ikapelekea vicram kutambua jambo lake, kupitia wapambw wake...

Akaamua kufatilia mambo yangu kuanzia pale bar, alivyofatilia akaelekezwa Kwa anty yangu, na huyo ndie alietoa maelekezo yote ya nyumbani Kwa rushwa ya ml 2 tu, Toka siku nikataae kumsaidia vicram alibadilika akawa mtu walunipiga na kunifungia ndani, some time anakuja na Wana wake mpaka chumbani tunakolala, miaka mitatu ilitimia nilikonda na mwili ulijaa alama za vipigo, sijui nilifanya ujinga Gani Kuoa mwanamke kama wewe HUNA utamu, unanuka, alikuwa na kauli za kunifanya nisijiamani kabisa...

Baada ya muda alinipa taarifa anatoa, na nilazima nihudhurie harusi yake, ilitakiwa kufanyika dar Kwa wazazi wake, tulifunga safari kuludi tz...

Itaendelea...๐Ÿ”ฅ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.



MTUNZI: SMILE SHINE

Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi, kulikucha tulichelewa sana kuamka, tulijikuta tumeamka saa 6, tena Mimi ndo nilichelewa zaidi, niliingia kuoga nakuta simu na line kitandani, vicram akaniambia, salha mke wangu naomba uangalie hizo simu apo ziko tatu chagua utakayoipenda zaidi,vicram we nipe tu yoyote, salha ujue unanichanganya sana, sawa acha nikuangalizie mwenyewe, alichagua iphone ya maana, nikaweka line, wakwanza kupiga alikuwa ni baba, niliitambua no yake , nikaikaushia, salha mbona hupokei simu?..

Sikujibu kitu, alichukua simu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-hot-pilot-rubani-wangu-ep-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-hot-pilot-rubani-wangu-ep
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11.
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14.
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63

1.37K
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

251
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*

208
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

204
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11.

202
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

193
SHAMIRA 62 63 na 64

SHAMIRA 62 63 na 64

189
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.

152
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.

106
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.

65

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.84K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.73K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.72K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
๐Ÿšจ SIMAMA KWANZA USIPITE! ๐ŸŒ BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Kenya ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ, Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ, Rwanda ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Wote wamevaa rangi za nchi zaoโ€ฆ lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? ๐Ÿ‘‘๐Ÿ”ฅ โš ๏ธ CHAGUA NCHI MOJA...

SHAMIRA 67 to 70 Post Mpya
SHAMIRA 67 to 70
@majario LIVE

62 MPK 70 (SEASON THREE) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 67&68 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikiwa nawaza sana pale akaingia husna .akagonga mlango...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
@majario LIVE

:01 Natafuta ni wapi nianzie na ni wapi nimalizie, sijui kabisa yaani kwa maana moyo wangu, roho yangu, na hisia zangu vyote kwa pamoja vimejawa na furaha isiyo kifani. Maisha yangu ni...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž *season 3* *64&65*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 62 na 63
@majario LIVE

Baada y kumuacha mchumba sasa nikawa hoi yani , sio powa basi zena akanikumbatia akanambia nakupenda san mwanaume wangu, basi apo sasa , nikamwambia zena ,naomba nikuamishe apa mke wangu,...

SHAMIRA 62 63 na 64 Post Mpya
SHAMIRA 62 63 na 64
@majario LIVE

Sehemu ya 62 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina...

SHAMIRA Sehemu ya 60&61 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr ...

SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest