Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
05 Dec 2025
287 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hapa dar ni mgeni hamna mahali ninapopajua zaidi ya nyumbn Kwa dada angu na Nyumbani Kwa Robert ,na kule kazini Umoja restaurant .Kwa dada nimefukuzwa na kule Kwa Robert nimeondoka mwenyew kazini nimefukuzwa .
Yan sijui ata niende wap ,huu mji mkubwa na usiku utaingia sasaiv.
Nikawazaaa wee mwishowe nikapata wazo kwanini nisiende Kwa Robert nimuombe kama Bado atakuwa na Yale mawazo yake ya kunio anioe ,ilinikate kauli ya dada kwamba sitoolewa ntakuwa ni mwanamke wa kutumika tuu mpaka wanaume wachoke.
Kwel nikaenda nyumbani Kwa Robert Chakushangaza Ile nafika tu getini pale mlinz ananiambia eti Karibu madam
.Kwanz nikaanza kucheka π ,nikamuuliza wewe vipi umepagawa au kazi zimekuchosha ,akaniambia aaah Samahn Shaima sikujua kama ni wewe nilijua ni bibi ake Bright ππππIV jamna mnamuelewa uyu yan mie ndo nimezeeka ivo adi nafanana na bibie Bright kwel. πππ
Nikamjibu sawa haina shida sio makosa yako ni umechoka tuu na kazi .
Nikamuuliza vipi Boss wako yupo ,akanijibu ndio yupo humo ndan Leo haujatoka kabisa yan .adi mie nimeshangaa.Aaaah ndo nikamkumbuka aliomba ruhusa kwaajili yangu ,ila mgonjwa mwenyw nimetembea Hadi miguu imekaa sawaπππ .
Nikamwambia sawa naomba niingie ndan bas .Yule mlinz akasema sawa ila boss alisema Leo ata aje Nan nisimruhusu kuingia ,nikamuuliza kwao Mimi hunijui ,sinamlea bright au umesahau akasema ndio najua ila vipi kuhusu boss .Nikamwambia mtajijua wenyew we. a uyo boss wako .Nikamwambia naomba unisindikize kuvuka apo Geti la pili maaana ninaogopa mbwa akasema sawa .
Nikapelekwa ndan na mlinz namkuta Robert kakaaa kweny kochi kama vile alikuwa ananisubiria nafika tu ananiambia ,mammy Karibu akanisaidia na mizigo akapeleka chumba cha wageni .Nikamwambia nimekuja naomba unioe sasaiv ,π Nilikuwa na mwambie ayo uku nalia ,Alivyo na huruma Robert akanikombatia akaniuliza kimenikuta Nini uko mbona unalia ,sasa alikuwa akiniuliza ndo nazidi kulia Yan ni kama ananiambia mammy endelea kulia π.
Akaniambia Aya mpenz wangu ,sasa apo unatakiwa uliee mpaka upone maumivu yote yaishe ndo tutaongea vizur sasa umemskia ,Yan alivyosema ivo na kilio kikazidi ππ nililia kama Kuna msiba vile adi wafanya Kaz wakawa wanataka kuja ila walivokuta nimekombatiana na Robert wakawa wanaondoka.
Baadae sasa maumivu yalivuoisha ndo Robert akanifuata akawa ananiuliza shida Nini mbona nimekuja ghafla alafu nalia Kwa uchungu ivo .
Itaendela
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
hapa dar ni mgeni hamna mahali ninapopajua zaidi ya nyumbn Kwa dada angu na Nyumbani Kwa Robert ,na kule kazini Umoja restaurant .Kwa dada nimefukuzwa na kule Kwa Robert nimeondoka mwenyew kazini nimefukuzwa .
Yan sijui ata niende wap ,huu mji mkubwa na usiku utaingia sasaiv.
Nikawazaaa wee mwishowe nikapata wazo kwanini nisiende Kwa Robert nimuombe kama Bado atakuwa na Yale mawazo yake ya kunio anioe ,ilinikate kauli ya dada kwamba sitoolewa ntakuwa ni mwanamke wa kutumika tuu mpaka wanaume wachoke.
Kwel nikaenda nyumbani Kwa Robert Chakushangaza Ile nafika tu getini pale mlinz ananiambia eti Karibu madam
.Kwanz nikaanza kucheka π ,nikamuuliza wewe...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-12-hapo-wakati-natemb
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert