Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
07 Dec 2025
618 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ya Mungu maaan hata hakaelewi yeye mtu yoyote akitambilishwa kama mama ,anamuita mama Yan kamekuwa bila malezi ya mama yanayohitaji nilikaonea sana huruma jamna .Na nikamuhaidi Robert sasa Mimi ni mama ake na Bright na usije ukaja kumwambia mie sio mama ake tusubir adi akuwe sanaaaa .Kwasasaiv akiuliza nilikuwa wap utamwambia nilikuw hospital nachoma sindano ila ndo nimerudi Leo .
Tukakubaliana pale na yeye akanipa maelekezo baadhi ya vitu ambavyo Bright huwa anavipenda na jinsi anavyopenda mtu awe kwake ,Robert aliniambia yote ayo ili Bright akiwa na Mimi afeel kama yupo na mama ake .
Siku ikapita salama ,kesho yake Robert akawa anafanya mchakato wa mahari Mimi niponipo nacheza na Bright akitoka shule Sina hata stress na pia sikutaka stress adi nikaanza kusahau kuhusu mateso aliyonipa dada angu ndani ya muda mfupi sana .
Mchakato wa mahari ulikuwa unaend vizur ,Robert akawa anawapigia ndugu zake kama baba zake wajomba zake kaka zake wajuaje jinsi ya kupeleka mahar.Mie nilikuwa Sina usemi nawasikiliza watu watakavyosema tu Yan nipo tayri Kwa Kila kitu .
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,muda na siku ya kwend kupeleka mahar ikafika pale nyumban alikuja mama ake Robert ilikumchukua waondoka kwenda morogoro uko watakutana na Ndugu zao wengine .Mama ake Robert ni mtu mzima anaelewa ugumu wa safar akanituma nenda ukamuage Robert ili tuondoke ,nikamwambia mama mbona mie nishamuaga mama akasema we nenda nikawa nasema nimeshamuaga ,Nikakatwa jicho ilo la mwana ukome ππππ. Ikanibidi niamke niende kumuaga uyo Robert .
Ila Toka nimekuja pale Kwa Robert mara ya pili sikuwai kulala nae ata siku moja Yan ata Kwa bahati mbaya na ata uyo Robert mwenyew hajawai kunilazimisha hata siku moja .
Nikaanza safar ya kwenda chumbani Kwa Robert A.K.A mume mtarajiwaππ naend kumuaga ila nilikuwa naogopa hatariπππππyan napanda gazu uku natetemeka ,hatimae nikafika Ile nafika tuu Aya nawaza nifunge mlango au nisifungue ππ
yan naogopa hatr ππ
Itaendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
ya Mungu maaan hata hakaelewi yeye mtu yoyote akitambilishwa kama mama ,anamuita mama Yan kamekuwa bila malezi ya mama yanayohitaji nilikaonea sana huruma jamna .Na nikamuhaidi Robert sasa Mimi ni mama ake na Bright na usije ukaja kumwambia mie sio mama ake tusubir adi akuwe sanaaaa .Kwasasaiv akiuliza nilikuwa wap utamwambia nilikuw hospital nachoma sindano ila ndo nimerudi Leo .
Tukakubaliana pale na yeye akanipa maelekezo baadhi ya vitu ambavyo Bright huwa anavipenda na jinsi anavyopenda mtu awe kwake ,Robert aliniambia yote ayo ili Bright akiwa na Mimi afeel kama yupo na mama ake .
Siku ikapita salama ,kesho yake Robert akawa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-14-nikamuonea-sana-hu
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert