Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
12 Dec 2025
469 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wanawake wote heshima kwenu nikianza na mama angu jamn mamb hayaelezeki Yan unaona cjui kama tumbo linakufinyaπ ,na kibaya zaidi unalia machozi hayatoki ππ,Yan adi Robert akawa analia yeye ,Baada ya muda nikajifingua salama ila nilimwambia Robert kuwa sitak mtoto mwengine ππππ.
Nilivyojifungua tu kesho kutwa yake nikaruhusiwa ,siku na ruhusiwa dada yangu yule alinitukanaga alikuja kujifanya kumtembelea mtoto ila nilivyomuona tu nilishtuka na nikahisi Hana Nia nzur maana Toka alivyonilaanigi na kunifukuza hakuwa niongelesha Tena Walakunitembelea ata harusi yangu hakuja ndo aje Leo kulikoni.
Sasa kibaya zaidi siku iyo eti na Pendo akaja kunitembelea natena ni baada ya muda kidogo dada alivyoingia ,wote wamekuja Kwa madai ya kumtembelea mtoto .Hapo nipo nakatoto Kang mwenyew mume wangu katoka mara moja dada wakazi kaend sokoni kuhemea ,
Mwanangu Bright kaenda shule .
Niliogopa sana nikawa tegemezi langu ni mlinzi pekee ,Muda ukaenda wao wanajichekesha chekesha tu sasa dada akatoa Juice ya Embe ilikuwa kabisa silled kwaiyo nikajua ni salama alivyonimiminia na wao wakamimina tukawa tunaongea uku tunakunywa mara ghafla nikaanza kusikia kizunguzungu na nguvu zinaniishia ,Hapohapo nikasinzia ghafla .
Nakuja kuzinduka baadae nipo hospitali na mtoto Sina nakuta ninamadripu nikaanza kuuliza shida Nini nesi mmoja akawa ananificha ila baada ya kumpa ela kidogo akanielezea ,Yan nililia mpaka nikachanganyikiwa apo Bado maumivu ya uzazi hayajapoa mtu anakuibia mtoto.
Mume wangu yeye alikuwa analia kimya kimya mie ndo adi tumbo la uzazi nikawa naliskia ,uchunguzi ukaanza kufanyila wakati uo Mimi naumwa adi nikapata kifafa cha uzazi .Mume wangu akafanikiwa kuwa kamata Pendo na dada angu ilikuwa ni baada ya mwezi walikuwa wakijaribu kuama nchi wakakamatwa airport .
Siku niliomuona mwanangu Tena ,kidogo Hali yangu ikaanza kutengamaaa nikaanza kukaa sawa .Sababu iyo mume wangu akaomba ruhusa kazini ya mwezi mzima maaan nilihtaji uangaliz wa Hali ya juu kwanz maziwa yalikuwa hayatoki sababu ya kutokunyonywa muda mrefu ivo nilikuwa nasumbuliwa sana na iyo shida .
Mimi na mume wangu na watoto wetu tukaenda zetu Zanzibar ili kutuliza akili .
Muda ukaenda nikapona ugonjwa wangu familia yetu ikawa imara Tena na tunapendana sana .Bila ya kusahau Pendo na mwenzie walifungwa Kwa kosa la kujaribu kuua na kuiba mtoto
MWISHO
Asante Kwa support yenu usiache kufuatilia simulizi zetu mwisho wa simuliz hii ndo mwanzo wa simulizi nyingine nyingi na nzuri zaidi ya simulizi ya leo
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
wanawake wote heshima kwenu nikianza na mama angu jamn mamb hayaelezeki Yan unaona cjui kama tumbo linakufinyaπ ,na kibaya zaidi unalia machozi hayatoki ππ,Yan adi Robert akawa analia yeye ,Baada ya muda nikajifingua salama ila nilimwambia Robert kuwa sitak mtoto mwengine ππππ.
Nilivyojifungua tu kesho kutwa yake nikaruhusiwa ,siku na ruhusiwa dada yangu yule alinitukanaga alikuja kujifanya kumtembelea mtoto ila nilivyomuona tu nilishtuka na nikahisi Hana Nia nzur maana Toka alivyonilaanigi na kunifukuza hakuwa niongelesha Tena Walakunitembelea ata harusi yangu hakuja ndo aje Leo kulikoni.
Sasa kibaya zaidi siku iyo eti na Pendo akaja kunitembelea natena ni baada ya muda kidogo...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-19-20-miezi-ilienda-w
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert