SHEMU KAUTAKA SEHEMU 07
SEHEMU 07
?Alifumba macho ili apewe juisi tamu mtoto kautaka na kautaka kweli katepeta mrendaaaa..
?Aliinua kidole chake, akapasa nywele moja iliyokuwa imeshuka kwenye paji la uso wa Rahma. “Samahani,” alitamka kwa sauti ya mvuto.
?
?Rahma aliondoka ghafla na kusimama. “Acha utani wako, Ramadhani…” alijishtukia
?
?Ramadhani naye alisimama, “mmmmmh bhana nilikuwa nakutania shemu kama shemu si unajua utani ni suna.”
?
?Alimfuata nyuma hatua moja. Rahma alihisi mgongo wake ukiguswa na kifua cha Ramadhani. Akasimama. Hakusema kitu. Mikono ya Ramadhani ilienda kiunoni… ikasita… halafu ikajitoa.
?
?“Sawa,” alijisemea. “we endelea na utani wako unajua sipendi shemeji jamani .”
?
?Dakika tano baadaye…
?
?Rahma alijifungia chumbani kwake taratibu. Aliegemea mlango kwa mgongo, akavuta pumzi ndefu. Moyo wake bado ulikuwa unapiga kwa kasi. Mikono yake ilitetemeka.
?
?“Rahma… umefanya nini?” alijiuliza kwa sauti ya chini, akishika kichwa.
?
?Alienda moja kwa moja kitandani, akajifunika na shuka kana kwamba lingeweza kumficha na yale aliyoanza kuhisi. Lakini kumbukumbu ya Ramadhani kusogea karibu, kupasa nywele yake, na joto la kifua chake mgongoni haikuondoka akilini mwake.
?
?Aliinua uso wake juu kidogo, akatazama dari.
?
?“Wewe ni mke wa Richard…,” alijisemea kwa sauti ya kukata tamaa. “Mbona unaanza kuyumbishwa na kaka yake mwenyewe?”
?
?Machozi madogo yalijikusanya pembeni ya macho yake. Hakulilia huzuni… alilia hatia.
?
?Lakini moyoni, alikataa kukubali kwamba alihisi ladha fulani ya msisimko isiyoelezeka. Kosa lililokuwa na ladha ya utamu.
?
?Chumbani kwa Ramadhani
?
?Ramadhani naye alikuwa chumbani kwake, amejilaza kifudifudi kitandani, mikono yote miwili nyuma ya kichwa. Aliangalia juu, akihema.
?
?“Hivi nilitaka kumgusa shemeji yangu kweli?” aliuliza kimoyomoyo.
?
?Lakini kilichomchanganya zaidi hakikuwa kitendo chenyewe. Ni ile hali ya Rahma kutoshtuka. Hakuonekana kuwa na hasira. Alikaa kimya. Aliyeyuka kimya.
?
?“Ile kimya chake… hakikuwa cha kawaida,” alijiambia.
?
?Alisimama, akatembea hatua chache hadi dirishani, kisha akarudi. “Rahma ni mrembo, na zaidi ya hapo, ananielewa… lakini ni mke wa mdogo wangu.”
?
?Alifumba macho. Picha ya macho ya Rahma ilimjia tena jinsi alivyomtazama pale sebuleni, bila maneno.
?
?“Hili jambo linahitaji moyo wa chuma,” alijisemea. “Lakini sasa limeanza. Na najua… si mimi tu ninayehisi moto huu unaowaka kimya kimya.”
?
?
?Siku ya tatu baadaye ........................
?
?Ilikuwa majira ya jioni, muda mfupi baada ya saa kumi na moja. Rahma alikuwa jikoni, akiwa amevalia kanga moja tu ya juu, na T-shirt nyepesi yenye mikono mifupi. Alihisi amani fulani, akiwa peke yake jikoni huku maji ya kuchemsha yakikoroma juu ya jiko.
?
?Alihama kutoka sinki hadi stoo ndogo pembeni, huku akiburuta miguu yake polepole. Hakujua macho ya Ramadhani yalikuwa nyuma yake, kimya, kutoka sebuleni alipokuwa amesimama.
?
?Kwa sekunde kadhaa, Ramadhani alimwangalia kwa jicho la kutamani. Mkao wake, sauti ya kanga inayopiga mapaja yake alipokuwa anatembea, na namna alivyokuwa ananyonga kiuno bila hata kujua vilimfanya Ramadhani alewe kwa tamaa ya kimya kimya.
?
Ramadhani ?Alijikuta akitembea taratibu kuelekea jikoni, hatua moja baada ya nyingine. Hakutoa sauti. Alipofika mlangoni, aliegemea ukutani na kusema kwa sauti ya utulivu:
?
?“Hujambo mrembo wa jiko?”
?
?Rahma alishtuka kidogo, akigeuka kwa kasi. “Wewe tena…! Umekuwa kimya kama mwizi.”
?
?Ramadhani alicheka, akakaribia zaidi. “Sio mwizi… labda mwizi wa harufu ya mapishi yako.”
?
?Rahma alicheka kwa aibu, lakini macho yake yalionyesha mchanganyiko wa furaha na tahadhari. Aliendelea kusafisha vyombo huku akizungumza: “Mbona siku hizi umekuwa karibu sana na jikoni? Au unataka kupika na mimi?”
?
?Ramadhani alimsogelea zaidi. “Sipendi kupika, ila napenda kuwa karibu na anayepika.”
?
?Rahma alinyamaza. Akamwangalia kwa jicho la pembeni. Alimkuta Ramadhani akiwa amesimama karibu kabisa — umbali wa hatua moja tu. Alihisi pumzi yake. Alinyanyuka kidogo kuufuta uso wake kwa leso, lakini kabla hajamaliza, Ramadhani alinyosha mkono na kumshika kiuno polepole.
?
?“Ramadhani…,” alijaribu kusema, lakini sauti yake ilitetemeka.
?
?“Niseme ukweli?” aliuliza Ramadhani. “Siku ile nilipojaribu kukugusa… nilihisi kitu ambacho sijawahi kukihisi.”
?
?Rahma alimuangalia, macho yake yakiwa na mkanganyiko wa kupambana na tamaa na uhalali. Alimwangalia kwa sekunde kadhaa, akasema kwa sauti ya chini: “Hii ni hatari...”
?
?“Ndio maana ni tamu,” alijibu Ramadhani, akimvuta taratibu zaidi karibu.
?
?Mikono yake ikashuka kwenye nyonga ya Rahma, ikatulia pale. Rahma hakuondoka. Alijua si sahihi. Lakini kwa sababu isiyoelezeka hakuweza pia kusogea. Aliishia kufumba macho, pumzi yake ikipanda na kushuka kwa kasi.
?
?“Ninajua huwezi sema, lakini naona macho yako… Rahma,” alisemea kwenye sikio lake.
?
?Rahma alifumbua macho taratibu. Akamwangalia kwa muda. Halafu akageuka polepole, akachukua kijiko, akakikoroga kwenye sufuria kama vile hajui kinachoendelea nyuma yake lakini alimwacha Ramadhani akiwa amemshika na kumpapasa...
?
?Aliamua kutosema "ndiyo", wala "hapana".
?
?mara ghafla Rama akaupeleka mkono kijijini
" Jamani shemu "
FULL 1500
0699286085
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi


Maoni