๐ฅ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA.1..5 KUIBA NGUO YA NDANI๐ณ
Sehemu... kwanza.
Ila usichana kazi jamani
Nilipata baby mpya, Sasa akawa ameniomba tuonane, nikajua tu kwenye kuonana lazima baby ataniomba ๐ฅ (tunda) si nawajua Hawa watu wanavyo penda nyama
Nikiangalia Sina nguo nzuri ya ndani alafu jirani kaanika kinguo chake pale na nikijipimia naona kabisa Ile size yangu sijui na yeye alikua anataka kwenda kwa honey wake sijui๐คท mimi nikaenda kukianua kile kinguo, nikatinga huyoo nikaondoka zangu. Nikaenda kuonana na baby wangu, nikakuta yupo na marafiki zake teleโน๏ธ akanitambulilisha tukawa tunapiga story.
Sasa nikaona muda unaenda Lakini sioni dalili ya kuombwa kitu, na mpaka tunaagana mtu aniombi chochote, nikaona kama amenidharau ila sikuweza kumwambia. Basi mpaka tunaondoka baby hakuniomba tunda
Nilichukia Kwa sababu nilisha jiandaa na game, alafu kumbe yupo na marafiki zake si makusudi haya ?
Badae akamuita boda wake aje kunibeba anipeleke nyumbani, nilivyo panda pikipiki nikawa namchokoza chokoza yule boda najisogeza kwenye mgongo wake namuwekea maziwa yangu yamguse hili asisimke ajiongeze ila bodaboda kiboko akaniambia)
" Unanisisimua ujue.
" Na nini tena?
" Kifua chako.
( Nyege izi sifikilii ajali niliweka mkono wangu mbele ya bodaboda uku namwambia)
" Mbona uku akujanyuka?
" Twende gest ukaone umezidi kunisisimua.
" Yule kwani rafiki yako.
" Yule nani?
" Aliyekuita unipakie.
" Sina urafiki nae hii bodaboda yangu ni bolt.
" Sawa twende nilizani ni rafiki yako.
" Sina urafiki nae.
( Iyo siku nilikuwa na hamu kweli kweli tulienda gest akanipunguza uzito vizuri akaondoka mimi nikawa namuwaza yule bwana angu,
Nikajiuliza sana hivi huyu yupo sawa kweli? Mana ninavuowajua wanaume, sio rahisi kuacha nyama inaondoka kizembe. Kama huyu boda chap tu kaichangamkia fursa. Unaachaje nyama?
Basi Nikarudi nyumban, nakuta jirani analalamika haoni nguo yake, mi nikajifanya kama sijui lolote. Mpaka alienda kwa mganga...mimi nawaza nguo ya ndani tu ndio aende kwa mganga shauri yake niliivua nikaiweka kwenye tenga langu la nguo kimya...usiku namsikia anasema)
" Yani kama mtu kaichukua Nia yake anifunge mimi uzazi au anipe nuxsi atajuta.
( Mala mama mtu mzima anamwambia)
" Ila na wewe umezidi nguo zako za ndani unaanika ovyo wenzio wanafunika na mtandio ila wewe unaacha adhalani inawezekana aliyechukua anataka kukufundisha kuanika nguo ya ndani kwa vitendo.
" Mimi zangu azina kutu naanika popote kwani kuna mtu asiyejua nguo zile.
" Basi yaishe waulize wasichana wenzio inawezekana imedondoka wenzio wamekuanulia.
" Mganga ameniambia niende Kesho hapa nisiyemuuliza ni amina tu karudi atujaonana.
" Kamuulize.
( Yani anakuja chumbani kwangu wakati mimi uku bwana yule nina mashaka nae kanitumia sms)
" Wageni wameondoka njoo my wangu Samahani sana kwa yaliyotokea mchana"
( Sijajibu ndio hodi inagongwa nafungua nakutana na uyu msichana)
" Amina Samahani umeanua nguo yangu ya ndani nyekundu?.
( Mtihani huu nikisema ndio nishaivaa atanionaje?...alafu nataka niende tena kwa bwana angu iyo iyo naitegemea tena nilikuwa kimya nawaza cha kumjibu yeye akaniambia tena)
" Amina mbona unipi jibu?
" Nashangaa ilo swali lako ndio maana nipo kama nimepigwa bumbu wazi kweli mimi nikaanue nguo yako ya ndani.
" Samahani basi kama ujaanua nimekuuliza tu.
" Sawa.
( Niliingia ndani nikaivaa nguo yenyewe imenitoa bomba yani mashavu yamejichora vizuri uyo naondoka zangu kwa bwana angu japo sina nyege kama za mwanzo ila acha na yeye nimpe tu ale tunda nilifika kwake cha ajabu kwenye kuniandaa alitoa nguo zote ilivyobaki nguo ya ndani yakamtoka macho anaishangaa)
" My itoe basi mbona unashangaa nimezidiwa mwenzio.
ITAENDELEA
JAMAA ANAISHANGAA KWANINI?
USIKOSE EPISODE IJAYO.
FULL TSH 1000๐ฅ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI๐ณ
Sehemu... pili.
๐ My itoe basi mbona unashangaa nimezidiwa mwenzio...๐
" Subili kwanza nitaitoa.
( Nawaza uyu mzima kweli kinachomshangaza nini sasa hapa...mala nasikia mlango unagongwa akastuka alafu akaniambia)
" Tulia nakuja.
( Alivyotoka nikavaa fasta kama amekuja mwanamke wake tukipigana niwe na nguo zangu sio nibaki na chupi hii tena nyekundu nizalilike...mala namsikia anaongea nje)
" Ndani kuna rafiki zangu wewe niambie hapa hapa.
" My ile nyumba ninayoishi ina uswahiri ila nitawakomesha.
( Sauti ya jilani yangu yule nikawa namsikiliza)
" yani sijakuelewa uswahiri kivipi?
" Joji ile chupi ulioninunulia imeibiwa kwenye kamba.
( Nikapata jibu kumbe ndio maana alikuwa anaishangaa uyu mwanaume kicheche sasa basi anili mimi yani anichanganye na jilani yangu imekula kwake namsikia anasema)
" Basi usijari nitakununulia nyengine.
" Sawa mimi naenda hapa nina hasira hatari.
" Pole mwenyewe unaipenda ile.
" Sana nikivaa inatuna vizuri hapa mbele acha niende si umesema wapo rafiki zako alafu unanichokoza nionge maneno yasiofaa.
" Sawa.
( Jilani kaondoka...joji anaingia ndani mimi natoka)
" Amina unaenda wapi?
" Niache nikakojoe chooni pale.
" Sawa twende wote.
" Sina mahaba ayo nikikojoa najambaga niache nikawe free.
( Akajichanganya akaniacha...nikapitiliza mlango wa chooni uyo naondoka zangu uku namtumia sms)
" Mimi sio wa ivyo kumbe kila mwanamke wako Samahani najipenda sijakata tamaa na mwili wangu"
( Akujibu sms anapiga...mimi sijapokea uyo nikarudi nyumbani nasema kimoyoni ivi mwanaume wa peke yako kwenye dunia hii ndio amna...nimetulia ndani wasichana nje wanaongea)
" Hii tabia iliyoanza kuibiana chupi inatakiwa mtu uwe na kamba ndani uanike chupi zako ukitaka kuvaa unaipiga pasi.
" Ila watu awana kinyaa mtu unavaa vipi chupi ya mwanamke mwenzio.
" Dunia ina mambo hii kuna wanawake wenzetu wajaa lana wananyonyana kabisa wewe unashangaa chupi.
( Mimi kimya ndio kwanza naivua chupi yenyewe uku nasema yani kanunuliwa ndio anaitafuta ivi angenunua kwa pesa yake si angepitisha msako uyu nyumba zote za hapa...naongea uku naiweka kwenye tenga napanda kitandani nalala saa nane usiku nasikia mlango wangu unagongwa nikastuka kutoka usingizini naota au mala nasikia mchanga juu ya Bati kama mtu anamwaga ivi...nikaanza kuogopa natamani kupiga kelele nikawasha taa ilivyowaka nikasikia vicheko)
" Hahahaha hahahaha hahahaha.
( Wee nilifungua mlango nikakimbia chumba changu bahati nzuri kuna kaka mpangaji mwenzangu yeye hana mke alikuwa anatoka chooni kuoga akaniuliza)
" Amina vipi?
" Sielewi kaka yangu sijui majini au wachawi.
" Basi twende ukalale chumbani kwangu.
( Nipo na tenge tu ndani sijavaa kitu nikalale chumbani kwa mwanaume kweli ila shida nikawa sina ujanja zaidi namwambia)
" Kanifungie mlango wangu.
( Kweli alienda kufunga akarudi akanishika mkono tunaingia chumbani kwake akaniambia)
" Mimi naanza maisha sina sofa panda kitandani ulale tu usiku huu amina.
" Alafu wewe unalala wapi?
" Mwisho wa ukuta kule au wewe ndio ulale kule mimi nilale hapa mwanzo.
( Nawaza hapa kutoka salama sijui napanda kitandani naenda kulala mwisho wa ukuta na yeye akapanda kitandani nashangaa anafungua taulo kabaki na boxsa ananiambia)
" Nikazime taa au tulale na taa.
( Kabla Sijajibu umeme ukakatika kukawa giza nashangaa ananiletea mkono kifuani ananiambia)
" Amina acha nikulinde wachawi wasikuchukue.
" Toa basi mkono wako kaka hapa kifuani.
" Utoe uweke sehemu unayotaka nafanya ivi kwa sababu ya kukulinda wewe au unataka kuchukuliwa na wachawi.
( Na mimi naogopa wachawi nikajikuta namwambia)
" Basi usiiutoe.
( Jamani si nashangaa anaanza kunipapasa uku ananiambia maneno)
" Unajua amina kwanini wachawi awaendi kuchukua watu gest?
" Sijui ila usinipapase sasa.
" Kwa sababu wale kule wanakuwa wachafu mwanaume na mwanamke wakifanya mapenzi wanakuwa wachafu hapo wachawi awawachukui wala majini amina.
( Aendelei anaushusha mkono...nataka kumzuia mala nasikia mapaka yamelia karibu na dirishani na mimi nipo kwenye ukuta nilistuka nikamkumbatia jamaa kwa nguvu uoga wangu umeniponza kitenge nacho kikafunguka)
" Amina joto zuri.
" Usiweke mikono kwenye matako yangu uko.
.
( Namzuia ndio akaanza kuniminya minya matako alafu sijui mikono yake ina nini nasikia raha anavyoyaminya minya)
Dah yani..
ITAENDELEA๐ฅ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI๐ณ
Sehemu...tatu.
๐ Namzuia ndio akaanza kuniminya minya matako alafu sijui mikono yake ina nini nasikia raha anavyoyaminya minya...๐
Dah yani nawaza naliwa hapa Muda si mrefu)
" Niachie sio vizuri kunifanyia ivyo.
" Na wewe nishike basi mbona unakuwa ivyo amina kama vile sio mkubwa.
" Hapana sijajianda naomba niachie.
( Yani akanishika mkono wangu akanigusisha kwenye kichwa chake cha chini cha moto alafu amenyanyuka kisawa sawa ananiambia)
" Si unaona mwenzio nimezidiwa naomba.
" Hapana naomba uniachie tu.
( Nimetoa mkono wangu alipouweka...akataka kutumia nguvu anile kwa nguvu akapanda juu yangu chaga ikavunjika....ndio ikawa salama kwangu)
" Uyu fundi akuniwekea chaga zenye akili.
" Nyanyuka naumia.
( Alinyanyuka akachukua simu akampigia fundi)
" Mbona usiku mkuu vipi?
" Nani mkuu unaniwekea chaga za ajabu mimi.
" Zimefanyaje?
" Zimevunjika.
" Iyo ni ajali tu kama ajali nyengine Kesho njoo ofisini.
( Mimi Nikatoka nikaenda chumbani kwangu kuvumilia mauzauza maana akili ya mimba ndio inanichanganya kuliwa ovyo mwisho unabeba mimba hapa unaanza kuteseka....Nikaingia chumbani kwangu ndio mawazo ya hamu yanakuja....si ningempa kidogo tu ningemwambia amwage nje......nawaza ujinga nipo kitandani nawaza mpaka usingizi umenichukua...asubuhi nikaondoka kwenye miangaiko yangu...ni siku ambayo joji alipiga sana simu sikupokea simu yake...nilirudi nyumbani nilimkuta jilani amelala nje ya mrango wangu)
" Kulikoni unalala hapa.
" Samahani amina hapa mlangoni kwako kuna kaupepo kazuri.
" Sawa naomba unipishe.
" Bila kusema mimi mwenyewe ningekupisha.
( Kweli akanipisha namsikia dada mwengine anaongea nae jilani)
" Pili Leo una nini unalala kila mlango usiokuhusu au ndio unafanya dawa kwa sababu ya chupi yako maana sikuelewi umetoka kulala kule umeona aitoshi umelala kwenye mlango wa amina saizi unalala kwangu.
" Mnisamehe tu Leo sipo Sawa.
( Akanyanyuka akaondoka...mimi nasema kimoyoni atajua mwenyewe na ujinga wake...nikachukua maji nikaenda kuoga nikarudi Nikaingia jikoni kupika nikala wakati nakula ndio namsikia uyo pili anaongea na simu)
" Nishafanya ulivyonielekeza.
" Sawa basi aliyechukua chupi yako atawashwa mpaka aseme mwenyewe yeye ndio kachukua chupi yako.
" Sawa Nitashukuru maana chupi ya zawadi ile alafu mtu aichukue tu kirahisi akaniroge mimi.
" Aya usiku mwema.
( Nilimsikia yote nikasema kimoyoni siivai tena chupi yake Kesho naenda kununua chupi zangu mpya ata kama hii nitanunua tu...nikamaliza kula nikapanda kitandani kulala....usiku sana nasikia mkojo umenibana naamka niende chooni najikuta nimevaa ile chupi nikastuka...chupi sikuwa nayo nani kanivalisha....nawaza uku naenda kukojoa choo kipo nje...nikavua chupi ile nikakojoa...likaja wazo niache kulekule chooni chupi ile isinilete ujinga...nikaiacha mlangoni...narudi ndani naikuta juu ya kitanda...nilistuka nikauvaa ujasiri nikaishika nikaitupia nje nikafunga mlango nikapanda kitandani kulala ndio naona sasa muwasho unaanza kwenye mashavu kwa mbali nikawa najikuna uku nawaza nikamwambie pili mimi ndio nimechukua ile chupi au wakati nawaza uku najikuna...mala nasikia sauti anayeongea simuoni)
" Tanua miguu tu nikukune kwa ulimi alafu chupi yako nimekurudishia iyo hapo pembeni yako.
( Kuangalia naiona kweli chupi imekuja tena na nimeitupa nje...niliingia uoga nataka kupiga kelele sauti aitoki)
Dah yani...
ITAENDELEA๐ฅ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI๐ณ
Sehemu...nne.
๐ Kuangalia naiona kweli chupi imekuja tena na nimeitupa nje...niliingia uoga nataka kupiga kelele sauti aitoki...๐
Nilinyanyuka nikasimama mikono nimetanua kama kweli vile nina nguvu hapo nipo tayari kupambana...ile sauti siisiki tena.... nje nasikia kigodolo yani kuna mziki watu wanakesha...nilivaa nguo uyo nikaenda kukesha kwenye kigodolo bila kupenda...yani naogopa chumba changu uku mawazo ya kuhama nyumba yananijia...wenzangu wanacheza wanaruka ruka mimi sina mzuka wa kucheza mala mziki ukazimwa akapanda mama mmoja kwenye jukwaa mchwara akawa anasema)
" Ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu tumekua washindani Sana mtu anaambiwa inua mguu mmoja ndio itaingia size utakayo ye anakwenda kuinua miguu miwili iingie yote๐๐๐๐ hapa kuna wanawake wanaojielewa,Misungo ndio Iko mingi na walokata tamaa wapo Wanasema makungwi wengi wameachika ...nlizaliwa nikampata kungwi langu kwenye ndoa yake na mpaka sasa bado yupo kwenye ndoa yake Mashallah...Ila pia nadhani sasaivi akifufuliwa mtu alofariki Zamani ndio anaweza kutuelezea vizuri kile kinachotokea baada ya kufariki ndio maana nasema hongera sana kwa makungwi walioachika nyie ndio mna elimu nzuri sana Kwa watoto wenu maana mnajua makosa yaliyofanyika mpaka mkaachana ...hizi shanga hazivaliwi na Msungo wala asiejua maana yake kwaiyo acheni tunaojua kuzitumia tuzitumie .... mwanamke hutakiwi kukata tamaa endelea kujifunza kila siku maana Maisha ya mwanamke yamejaa matusi kwaiyo nyie Misungo endeleeni kujitukanisha tuwajue vizuri๐๐๐๐ mi wala siwaogopi nawasubiri.
( Watu wanacheka mala naisi ananiongelea mimi)
"Mwanamke asiyechezwa ndio anaweza kuiba chupi ya mwanamke mwenzie akaivaa au akaazima taiti ya mwanamke mwenzie jamani vipo vya kuazimana sio chupi au taiti au sidiria kuwa na aibu chupi zinauzwa 1000 moja hapo sokoni tandika ila uone ubahiri upo tayari ununue kava la simu zuri ila sio chupi nzuri mnatia aibu ndio nyie mkivua nguo mnaunganisha na sketi pamoja na chupi utaki kuvua moja moja.
( Niliondoka niliona majungu yanayoendelea...njiani namuona joji yupo na pili wamekumbatiana alafu pili ananiita)
" Amina amina.
( Wala sikumchunia nikaenda kumsikiliza)
" Amina uyu ni mchumba angu anaitwa joji.
" Asante kwa kumjua Shikamoo Shemeji.
( Joji kainama chini kwa aibu anaitikia kwa chini chini janaume maraya...pili anamuuliza)
" Mbona unainama chini kulikoni?
" Usiku muache rafiki yako akalale.
" Sawa.
( Mimi naondoka uku nasema kimoyoni akijichanganya kunipigia tena simu nitamnyosha ishafika saa kumi alfajiri naingia chumbani naona nguo zimejaa kwenye kitanda...nani kazitoa kwenye tenga kaziweka hapa nawaza hapa niliacha chupi tu kitandani...wakati nawaza naona mlango wangu unafunguliwa anaingia mkaka mweupe amevaa mavazi meupe ananiambia)
" Amina usiogope mimi sio mbaya kwako nilitumwa nikuue ila nimetokea kukupenda nitakulinda naomba uwe mpenzi wangu.
( Natetemeka uku namshangaa yeye nakuta namuuliza)
" Wewe ni jini?
" Naitwa sahadini.
( Hili jina naisi alipo duniani mkojo unanitoka kwa uoga naangalia kitandani nguo zile sizioni imebaki chupi tu...sahadini ananiambia tena)
" Ukikubari niwe wako nitakupa unachotaka mimi sio mbaya kwako panda kitandani tuonge kiutu uzima amina.
( Nafanyaje hapa naogopa kweli kweli najikuta naongea)
" Mimi naogopa sogea nitoke nje.
( Sasa akawa ananifata uku anasema)
" Usiogope nakupenda.
( Alinigusa mikono yake laini...)
ITAENDELEA๐ฅ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI๐ณ
Sehemu ya tano
๐ Alinigusa mikono yake laini...๐
Nikawa nazidi kutetemeka akaniambia)
" Ondoa of kuwa na amani nikwambie ukweli mimi ni msaada kwako.
" Niambie.
" Njoo ukae kitandani.
( Nilikaa uku naogopa...akawa ananiambia)
" Amina wewe uliiba hii nguo aukuwa na nia mbaya uliiba ujistili tu na aibu kwa bwana ako si ndio.
" Ndio niliiba.
( Nilikuwa mnyonge sana uku naogopa akaniambia)
" Sasa mwenzio alienda kwa mganga nia na mazumuni wewe uwashwe na mpaka kifo chako kitokane na muwasho kwa sababu ungejikuna sana ungetoka kidonda sasa ivyo vidonda ndio vingekumaliza...mimi sahadini nilimuuwa jini aliyetumwa kwako na nimekuokoa wewe je mimi ni mbaya kwako?
" Sio mbaya kwangu.
" Usiniogope nipo kwa sababu ya kukusaidia nimekupenda sana.
" Sawa.
( Ila neno lake ananipenda linajirudia rudia akaniambia)
" Kaweke chupi iyo kwenye kamba pale pale ulipoichukua.
( Nilitoka nje nikaiweka inakaribia saa 11 alfajiri...nikarudi ndani sikumkuta sahadini nimekuta barua tu)
" Usiwe na mahusiano na mtu yoyote nakupenda na nitakupa unachotaka mimi nimeondoka nyumbani mala moja"
( Nilishika simu yangu kuangalia Muda naona tena sms kama ile barua tu maneno yale yale...nawaza sahadini ni jini amejuaje namba zangu je nisiwe na mahusiano mimi yeye ndio atakuwa ananikuna uku alafu mwisho wa penzi letu inakuwaje...nawaza nawazua nikapanda kitandani nikalala usingizi ukanichukua makelele nje yakaniamsha pili anatukana hatari nje)
" Sio dawa kurudisha utaendelea kuwashwa mpaka ukome au ufe mmezoea kuchezea vyeupe sisi wengine vyekundu aliyeiba hii chupi kuma la mama yake.
( Tusi liliniuma sana ananitukania mama yangu nilikaa kimya ndani akachamba nje hapo mixsa matusi alafu akaiacha chupi hapo hapo akuichukua...mimi nikawa kimya ndani Muda wa kwenda kazini ushanipita...nampigia simu boss ananifokea...nikamuomba Samahani...ajui nayopitia...nilishinda ndani sikuwa na raha ata kidogo...saa moja usiku naona mlango unafunguliwa anaingia sahadini)
" My upo Poa.
" Nipo Poa.
( Kama nishaanza kumzoea ivi...akaniambia)
" Kitu gani kinakukwaza kwenye ulimwengu huu?
" Sahadini mimi nimetukaniwa mama yangu kisa chupi tu uliyoniambia nirudishe pale kwenye kamba.
" Nani kakutukana kipenzi changu.
" Pili mwenye chupi yake.
" Niambie unataka nimfanyaje.
" Kampige makofi.
" Unataka nimpige uku ananiona au nimpige nikiwa sionekani?
" Ukiwa auonekani.
" Saa ngapi niende kumpiga.
" Kuanzia saa Saba usiku akiwa amelala.
" Sawa mpenzi wangu wewe chochote utakacho niambia nifanye nitafanya nimekupenda sana.
" Sawa.
" Saizi nimekuletea pesa hii najua Leo ujaenda kazini nenda kale urudi ulale mimi saa Saba nitaenda kumpiga makofi pili alafu nitakuja kulala na wewe Sawa.
( Niliitika)
" Sawa.
( Kushika zile pesa kama laki tatu ivi...alafu sahadini akaondoka...nikaenda hotelini kula uku nawaza..sahadini kwani atataka kutoka na mimi kimapenzi majini ivi awana mboo kubwa kweli...nawaza tu mimi mwenyewe uku nakula...nikamaliza nikarudi nyumbani...pili anaendelea kutukana yani kaenda kunywa bia kwa ajili ya kutukana tu uku anaigusa chupi yake...mimi kimya nikaenda zangu kulala....sasa saa Saba kamili nasikia pili anaomba msaada)
" Yalaaaaa majilani nisaidieni napigwa.
( Tunasikia mkofi kabisa...paaaaaaaa paaaaaa.....yeye anaomba msaada watu wakavunja mlango aliyempiga aonekani ila pili alivimba dk tano tu...mama mmoja akasema)
" Pili mdomo mdomo wako umekuponza umetukana sana hapa Leo waswahiri wanasema ukijua ivi wenzio wanajua vile aya Pole.
" Mama naomba nilale kwako naogopa kulala peke yangu.
" Twende ukalale.
( Pili akaenda kulala kwa uyo mama...mimi naingia chumbani nakutana na sahadini yupo kitandani amelala ananiambia)
" Kazi uliyonituma nimeifanya umeiona.
" Ndio.
" Aya panda kitandani ulake na mimi.
" Sahadini ila tunalala atufanyi chochote.
" Sawa.
( Nilipanda kitandani..nashangaa ananiambia)
" Amina na mimi nina hisia naomba unipe kidogo usiogope.
" Sitaki sahadini.
( Alichukua mkono wangu akanigusisha mboo yake nashangaa aina tofauti na binadamu alafu imesimama akaniambia)
" Amina utanitumikisha unavyotaka naomba nimezidiwa si unaona imesimama amina wangu.
ITAENDELEA
JE AMINA ATATOA PENZI KWA SAHADINI...NA KASHAJUA SAHADINI NI JINI...ITAKUWAJE...SIMULIZI HII INA MAMBO MENGI MATAMU NA YA KUJIFUNZA NUNUA USOME KWENYE SIMU YAKO MIXSA CHOMBEZO NA MIKASA.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni