Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya kwanza.  " Shemeji tabia gani hii si unaona mimi nakaa wewe umeweka mkono
Gonga94 · Stories

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya kwanza. " Shemeji tabia gani hii si unaona mimi nakaa wewe umeweka mkono

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

" Umeniumiza Shemeji badala unipe Pole mimi sikujua unakaa.

" Utavunjika mkono na utani wako usio kuwa na macho.

" Shemeji nyanyuka sasa.

" Komaa wewe si ulitaka niukalie mkono wako.

( mala nasikia hodi...nilinyanyuka fasta alikuwa mume wangu anaingia)

" Karibu mume wangu.

" Asante.

" Alafu mume wangu hapa kwako unapiga hodi.

" Chumbani ndio siwezi kupiga hodi ila hapa napiga naweza kuingia kumbe upo na mama mkwe sio kitu kizuri.

" Sawa nimekuelewa mume wangu.

( Mdogo wake akamwamkia kaka yake)

" Shikamoo kaka.

" Kelele sitaki izo salamu.

" Mume wangu si anakupa heshima yako.

" Heshima pesa Shikamoo kelele.

( Akaingia ndani mimi nimetoa mimacho mambo ya ndugu aya Nikaingia na mimi ndani namwambia mume wangu)

" Mume wangu unaonaje umtafutie kazi mdogo wako na yeye afanye apate pesa.

" Mke wangu usije kuniambia tena ilo swala uyu apaswi kufanya kazi muache akae hapa akiona kero atarudi kijijini mimi nawajua ndugu unaweza kumsaidia akaja kukuzingua wewe ujasikia fadhira bora umfadhili mbuzi akikuuzi unamnywa mchuzi.

" Nasikia ila sio kwa ndugu unajua mume wangu uyu akitoka kimaisha anaweza kusaidia wengine.

" Mimi sitaki sasa kumsaidia tuishie hapo.

" Sawa.

( Niliogopa kimoyoni uyu ni mume wa aina gani...sasa toka nimwambie ivyo akabadilisha life Style yake akawa ni mtu wa ukari tu kila kitu kwake ni ukari... ilipita siku tatu yupo ivyo nikamuuliza)

" Mume wangu mbona umebadilika umekuwa mkari mkari kwanini?

" Sitaki mazoea naona mazoea yakizidi unaniongelesha mpaka upumbavu.

" Nisamehe.

" Nishakusamehe.

( Tulilala asubuhi akaondoka aina kuniaga...nilitoa nguo nje kufua Shemeji ndio akaniambia)

" Shem wewe fua nguo laini laini izo jinzi niachie mimi nifue Shemeji sitaki ukomae mikono hii.

( Shemeji akiongea lazima akuguse anapenda utani wa mwilini...ameigusa mikono yangu akaiachia...akaanza kufua na alifua zote mpaka nguo zangu...nilimpenda Shemeji yangu ananisaidia ila kaka yake ampendi mdogo wake...sikutaka kujua yaliyo nyuma ya pazia...mimi kimya siku zilienda kidogo mdogo wake akamwambia kaka yake)

" Kaka Samahani naomba Kesho nitoke nikatafute kazi.

" Wewe unataka kazi?

" Ndio.

" Kesho toa vyombo vyote ivi nje safisha hii nyumba alafu virudishie vyote ndani niambie nikupe shilingi ngapi?

" Kaka simaanishi unavyofikilia.

" Wewe unajua mimi nafikilia nini?

" Naisi unawaza kwa sababu nakaa bure nina hamu ya kazi mimi nachotaka nipate pesa nijikimu mahitaji yangu nisikutegeme kwa kila jambo kaka unataka mpaka pesa ya wembe niombe kwako kaka.

" Ndio maana nimekwambia toa vitu ndani safisha nyumba alafu viingize tena nitakulipa wewe si unataka pesa?

" Sawa nitafanya ivyo je Kesho kutwa nitafanya nini?

" Maliza ya Kesho kwanza.

( Mimi kimya mambo ya ndugu ayo....Kesho yake kweli Shemeji alifanya alivyoambiwa na kaka yake bila iyana akamaliza jioni kaka yake akampa elf kumi akamwambia)

" Kesho umsugue Shemeji yako miguu na ujifunze kupaka rangi kwenye kucha.

" Nayo ni kazi.

" Wewe mjinga uoni mabango mtaani wanabandika kucha na kusugua miguu.

" Naona.

" Kesho utafanya wewe hapa nyumbani.

" Sawa.

( Mimi kimya mambo ya ndugu ayo...asubuhi kufika mume wangu kaondoka akanipa pesa ya kwenda kununua rangi nije kupakwa na mdogo wake...nikaona aya ndio mwanzo wa kukandikwa mirangi kwenye kucha...nilienda kununua nikarudi nikamwita Shemeji anikwangue miguu sasa si ajui kukwangua miguu akaanza kunitekenya kwenye unyayo)

" Shemeji sio ivyo Unanitekenya niachie.

( Asikii anapitisha midole taratibu katikati ya unyayo wangu nasisimka mwili mzima)

" Shemeji niachie nitapiga kelele Unanitekenya uko.

( Shemeji asikii ndio kwanza kaninyanyua mguu vizuri ananichezea unyayo jamani jamani mpaka hamu ya nanii naisikia kabisa)

" Shemeji acha bana....

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya kwanza. " Shemeji tabia gani hii si unaona mimi nakaa wewe umeweka mkono

.

" Umeniumiza Shemeji badala unipe Pole mimi sikujua unakaa.

" Utavunjika mkono na utani wako usio kuwa na macho.

" Shemeji nyanyuka sasa.

" Komaa wewe si ulitaka niukalie mkono wako.

( mala nasikia hodi...nilinyanyuka fasta alikuwa mume wangu anaingia)

" Karibu mume wangu.

" Asante.

" Alafu mume wangu hapa kwako unapiga hodi.

" Chumbani ndio siwezi kupiga hodi ila hapa napiga naweza kuingia kumbe upo na mama mkwe sio kitu kizuri.

" Sawa nimekuelewa mume wangu.

( Mdogo wake akamwamkia kaka yake)

" Shikamoo kaka.

" Kelele sitaki izo salamu.

" Mume wangu si anakupa heshima yako.

" Heshima pesa Shikamoo kelele.

( Akaingia ndani mimi nimetoa mimacho mambo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-kwanza-shemeji-tabia-gani-hii-si-unaona

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-kwanza-shemeji-tabia-gani-hii-si-unaona
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

901
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

497
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

437
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

316
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

246
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

104

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest