VYOTE NDANI GONGA94
๐ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐ฅ Sehemu ya tatu. ๐ Oya njoo unilishe nataka nikulipe nikalale mimi...๐
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
" Kaka Samahani naomba nauli nirudi tu home.
" Yani unaomba nauli kirahisi rahisi wewe si ulisema unataka kazi nakupa kazi unakataa.
" Siwezi kufanya kazi iyo kaka mimi wa kiume.
" Unamaanisha?
" Namaanisha kazi iyo ni ya Shemeji kama ungekuwa unaumwa Shemeji ayupo ningekulisha.
" Unachagua kazi sasa mjini.
( Shemeji alikaa kimya ila amesimama kiume...mume wangu akaniita mimi nikaenda kumlisha uku Shemeji amejiinamia anawaza nini sijui...kwa ukari wa mume wangu nashindwa kumwambia unachofanya sio kizuri....nimemaliza kumlisha nikamnawisha akaenda kulala mimi nikamfata Shemeji nikamwambia)
" Usijiinamie Sana kichwa kitauma nenda kalale Shemeji.
" Shem vaa kiatu changu kaka yako wa damu anakufanyia aya ๐ญ๐ญ
" Usiwaze sana alafu usilie sasa Shemeji wewe si umesema wa kiume mwanaume apaswi kulia kitu kidogo.
" Inauma sana inauma sana Shemeji ila Poa.
( Akanyanyuka akaenda kulala chumbani kwake...mimi naenda kufungua mlango wa chumbani nilale...nashangaa mume wangu ameufunga mlango namgongea ananiambia)
" Kaa tu hapo hapo sebuleni wewe si hamu ya kukaa sebuleni bado unayo yani mimi niingie chumbani wewe ubaki sebuleni.
" Mume wangu naomba niingie ndani.
" Uwaga sirudi nikisema ni vitendo tu lala sebuleni.
( Dah kwa mala ya kwanza Nalala sebuleni mimi siwezi kwenda kulala chumbani kwa Shemeji...sasa choo kimoja kipo nje namaanisha chumbani kwa Shemeji akuna choo basi Shemeji saa nane usiku akatoka kwenda kukojoa akaniona nimelala sebuleni kwakuwa mkojo umembana akuniamsha alinipita kwanza...mimi usingizi sipati nimemuona Shemeji ametuna mbele kumbe Shemeji kajaaliwa akarudi akaniamsha)
" Shemeji vipi mbona upo hapa.
( Nikamwelezea akaniambia)
" Basi wewe nenda kalale chumbani kwangu mimi nilale hapa kwenye sofa au chini.
" Hapana Shemeji wewe nenda kalale Muda umebaki kidogo inafika asubuhi.
" Sawa ila naomba nikupe shuka basi.
" Hapana Shemeji wewe nenda kalale.
( Shemeji akaenda kulala...mimi nikalala chini maana kwenye sofa naogopa kudondoka asubuhi...mume wangu kaamka kaoga akanipa pesa ya matumizi na nyengine nimpe Shemeji kama mshahara wake wa Jana...alipoondoka nilienda kumwamsha Shemeji nikampa pesa uku mgongo unaniuma nimelala chini pale nikamwambia Shemeji)
" Ivi unaijua dawa ya mgongo maana unaniuma nimelala chini.
" Huo auna dawa ila dawa yake ni kunyoshwa tu.
" Samahani Shemeji naomba uninyoshe basi.
" Poa ingia ndani.
( Nikaingia chumbani kwa Shemeji nikasimama akaniambia)
" Panda kitandani lala kifudi fudi nikunyoshe.
" Sawa.
( Nililala kitandani nipo na dera ila ndani kufuli ipo Shemeji akaanza kuninyosha kweli nilikuwa nanyoka nasikia raha sijui kilanga gani kimenikuta nashangaa namwambia Shemeji)
" Ninyoshe na mapaja.
( Shemeji alipogusa mapaja sasa ananyoosha mwili wangu ukaanza kusisimka natamani alipandishe dela aniguse na viganja vyake yeye yupo bize tu nikajikuta nasema)
" Shemeji unaweza kukaa na siri.
.
" Shem mala ya pili Leo Jana si uliniuliza na nikakujibu naweza.
" Ya Leo naona aibu kusema ila si unaweza kukaa na siri.
" Naweza Shemeji vipi umeshanyoka sasa unataka tuonge.
" Hapana nataka viganja vyako viguse mapaja yangu.
" Yana nini?
" Yanawasha Shemeji naomba unikune.
" Sawa kunjua dera.
( Jamani sielewi nasukumwa na nini najikuta nalikudua dera mimi mwenyewe Shemeji akakuna kweli kwa ncha ya vidole vyake...mwili wangu ukawa kama umepigwa short najikuta napeleka mkono wangu mbeleni kwake uku nasema)
" Naomba hii...
ITAENDELEA
JE JAMAA ATAMPA SHEMEJI YAKE ANACHOOMBA?
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-tatu-oya-njoo-unilishe-nataka-nikulipe-