Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya tatu.  👉 Oya njoo unilishe nataka nikulipe nikalale mimi...👇
Gonga94 · Stories

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya tatu. 👉 Oya njoo unilishe nataka nikulipe nikalale mimi...👇

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


" Kaka Samahani naomba nauli nirudi tu home.

" Yani unaomba nauli kirahisi rahisi wewe si ulisema unataka kazi nakupa kazi unakataa.

" Siwezi kufanya kazi iyo kaka mimi wa kiume.

" Unamaanisha?

" Namaanisha kazi iyo ni ya Shemeji kama ungekuwa unaumwa Shemeji ayupo ningekulisha.

" Unachagua kazi sasa mjini.

( Shemeji alikaa kimya ila amesimama kiume...mume wangu akaniita mimi nikaenda kumlisha uku Shemeji amejiinamia anawaza nini sijui...kwa ukari wa mume wangu nashindwa kumwambia unachofanya sio kizuri....nimemaliza kumlisha nikamnawisha akaenda kulala mimi nikamfata Shemeji nikamwambia)

" Usijiinamie Sana kichwa kitauma nenda kalale Shemeji.

" Shem vaa kiatu changu kaka yako wa damu anakufanyia aya 😭😭

" Usiwaze sana alafu usilie sasa Shemeji wewe si umesema wa kiume mwanaume apaswi kulia kitu kidogo.

" Inauma sana inauma sana Shemeji ila Poa.

( Akanyanyuka akaenda kulala chumbani kwake...mimi naenda kufungua mlango wa chumbani nilale...nashangaa mume wangu ameufunga mlango namgongea ananiambia)

" Kaa tu hapo hapo sebuleni wewe si hamu ya kukaa sebuleni bado unayo yani mimi niingie chumbani wewe ubaki sebuleni.

" Mume wangu naomba niingie ndani.

" Uwaga sirudi nikisema ni vitendo tu lala sebuleni.

( Dah kwa mala ya kwanza Nalala sebuleni mimi siwezi kwenda kulala chumbani kwa Shemeji...sasa choo kimoja kipo nje namaanisha chumbani kwa Shemeji akuna choo basi Shemeji saa nane usiku akatoka kwenda kukojoa akaniona nimelala sebuleni kwakuwa mkojo umembana akuniamsha alinipita kwanza...mimi usingizi sipati nimemuona Shemeji ametuna mbele kumbe Shemeji kajaaliwa akarudi akaniamsha)

" Shemeji vipi mbona upo hapa.

( Nikamwelezea akaniambia)

" Basi wewe nenda kalale chumbani kwangu mimi nilale hapa kwenye sofa au chini.

" Hapana Shemeji wewe nenda kalale Muda umebaki kidogo inafika asubuhi.

" Sawa ila naomba nikupe shuka basi.

" Hapana Shemeji wewe nenda kalale.

( Shemeji akaenda kulala...mimi nikalala chini maana kwenye sofa naogopa kudondoka asubuhi...mume wangu kaamka kaoga akanipa pesa ya matumizi na nyengine nimpe Shemeji kama mshahara wake wa Jana...alipoondoka nilienda kumwamsha Shemeji nikampa pesa uku mgongo unaniuma nimelala chini pale nikamwambia Shemeji)

" Ivi unaijua dawa ya mgongo maana unaniuma nimelala chini.

" Huo auna dawa ila dawa yake ni kunyoshwa tu.

" Samahani Shemeji naomba uninyoshe basi.

" Poa ingia ndani.

( Nikaingia chumbani kwa Shemeji nikasimama akaniambia)

" Panda kitandani lala kifudi fudi nikunyoshe.

" Sawa.

( Nililala kitandani nipo na dera ila ndani kufuli ipo Shemeji akaanza kuninyosha kweli nilikuwa nanyoka nasikia raha sijui kilanga gani kimenikuta nashangaa namwambia Shemeji)

" Ninyoshe na mapaja.

( Shemeji alipogusa mapaja sasa ananyoosha mwili wangu ukaanza kusisimka natamani alipandishe dela aniguse na viganja vyake yeye yupo bize tu nikajikuta nasema)

" Shemeji unaweza kukaa na siri.
.
" Shem mala ya pili Leo Jana si uliniuliza na nikakujibu naweza.

" Ya Leo naona aibu kusema ila si unaweza kukaa na siri.

" Naweza Shemeji vipi umeshanyoka sasa unataka tuonge.

" Hapana nataka viganja vyako viguse mapaja yangu.

" Yana nini?

" Yanawasha Shemeji naomba unikune.

" Sawa kunjua dera.

( Jamani sielewi nasukumwa na nini najikuta nalikudua dera mimi mwenyewe Shemeji akakuna kweli kwa ncha ya vidole vyake...mwili wangu ukawa kama umepigwa short najikuta napeleka mkono wangu mbeleni kwake uku nasema)

" Naomba hii...

ITAENDELEA
JE JAMAA ATAMPA SHEMEJI YAKE ANACHOOMBA?

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya tatu. 👉 Oya njoo unilishe nataka nikulipe nikalale mimi...👇



" Kaka Samahani naomba nauli nirudi tu home.

" Yani unaomba nauli kirahisi rahisi wewe si ulisema unataka kazi nakupa kazi unakataa.

" Siwezi kufanya kazi iyo kaka mimi wa kiume.

" Unamaanisha?

" Namaanisha kazi iyo ni ya Shemeji kama ungekuwa unaumwa Shemeji ayupo ningekulisha.

" Unachagua kazi sasa mjini.

( Shemeji alikaa kimya ila amesimama kiume...mume wangu akaniita mimi nikaenda kumlisha uku Shemeji amejiinamia anawaza nini sijui...kwa ukari wa mume wangu nashindwa kumwambia unachofanya sio kizuri....nimemaliza kumlisha nikamnawisha akaenda kulala mimi nikamfata Shemeji nikamwambia)

" Usijiinamie Sana kichwa kitauma nenda kalale Shemeji.

" Shem vaa kiatu changu kaka yako wa damu anakufanyia aya 😭😭

" Usiwaze...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-tatu-oya-njoo-unilishe-nataka-nikulipe-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-tatu-oya-njoo-unilishe-nataka-nikulipe-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

288
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest