" Kaa tu hapo hapo sebuleni wewe si hamu ya kukaa sebuleni bado unayo yani mimi niingie chumbani wewe ubaki sebuleni.
" Mume wangu naomba niingie ndani.
" Uwaga sirudi nikisema ni vitendo tu lala sebuleni.
( Dah kwa mala ya kwanza Nalala sebuleni mimi siwezi kwenda kulala chumbani kwa Shemeji...sasa choo kimoja kipo nje namaanisha chumbani kwa Shemeji akuna choo basi Shemeji saa nane usiku akatoka kwenda kukojoa akaniona nimelala sebuleni kwakuwa mkojo umembana akuniamsha alinipita kwanza...mimi usingizi sipati nimemuona Shemeji ametuna mbele kumbe Shemeji kajaaliwa akarudi akaniamsha)
" Shemeji vipi mbona upo hapa.
( Nikamwelezea akaniambia)
" Basi wewe nenda kalale chumbani kwangu mimi nilale hapa kwenye sofa au chini.
" Hapana Shemeji wewe nenda kalale Muda umebaki kidogo inafika asubuhi.
" Sawa ila naomba nikupe shuka basi.
" Hapana Shemeji wewe nenda kalale.
( Shemeji akaenda kulala...mimi nikalala chini maana kwenye sofa naogopa kudondoka asubuhi...mume wangu kaamka kaoga akanipa pesa ya matumizi na nyengine nimpe Shemeji kama mshahara wake wa Jana...alipoondoka nilienda kumwamsha Shemeji nikampa pesa uku mgongo unaniuma nimelala chini pale nikamwambia Shemeji)
" Ivi unaijua dawa ya mgongo maana unaniuma nimelala chini.
" Huo auna dawa ila dawa yake ni kunyoshwa tu.
" Samahani Shemeji naomba uninyoshe basi.
" Poa ingia ndani.
( Nikaingia chumbani kwa Shemeji nikasimama akaniambia)
" Panda kitandani lala kifudi fudi nikunyoshe.
" Sawa.
( Nililala kitandani nipo na dera ila ndani kufuli ipo Shemeji akaanza kuninyosha kweli nilikuwa nanyoka nasikia raha sijui kilanga gani kimenikuta nashangaa namwambia Shemeji)
" Ninyoshe na mapaja.
( Shemeji alipogusa mapaja sasa ananyoosha mwili wangu ukaanza kusisimka natamani alipandishe dela aniguse na viganja vyake yeye yupo bize tu nikajikuta nasema)
" Shemeji unaweza kukaa na siri.
.
" Shem mala ya pili Leo Jana si uliniuliza na nikakujibu naweza.
" Ya Leo naona aibu kusema ila si unaweza kukaa na siri.
" Naweza Shemeji vipi umeshanyoka sasa unataka tuonge.
( Jamani sielewi nasukumwa na nini najikuta nalikudua dera mimi mwenyewe Shemeji akakuna kweli kwa ncha ya vidole vyake...mwili wangu ukawa kama umepigwa short najikuta napeleka mkono wangu mbeleni kwake uku nasema)
" Naomba hii...
ITAENDELEA
JE JAMAA ATAMPA SHEMEJI YAKE ANACHOOMBA?
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 21 MPAKA 23
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
" Usijiinamie Sana kichwa kitauma nenda kalale Shemeji.
" Shem vaa kiatu changu kaka yako wa damu anakufanyia aya ππ
" Usiwaze...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utani-wa-shemeji-kaichomeka-kweli-aaaaaaaaa-chomoa-sehemu-ya-tatu-oya-njoo-unilishe-nataka-nikulipe-