Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BARUA YA HABARI ZA KIFO CHA ABU BAKR (R.A) KUTOKA MADINA NA KUPOKELEWA NA KHAALID BIN WALID KATIKATI YA VITA VYA YARMUUK
Gonga94 · Stories

BARUA YA HABARI ZA KIFO CHA ABU BAKR (R.A) KUTOKA MADINA NA KUPOKELEWA NA KHAALID BIN WALID KATIKATI YA VITA VYA YARMUUK

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Wakati wa vita vikubwa vya Yarmuuk, ambavyo vilikuwa chini ya uongozi wa shujaa wa Kiislamu na bingwa wa mbinu za kivita, Khaalid bin Walid (r.a), kulitokea tukio muhimu sana katika historia ya Uislamu.

Katikati ya mapambano makali, alifika mjumbe kutoka Madina akiwa na barua kutoka kwa Khalifa mpya, Sayyiduna Umar bin Khattab (r.a). Barua hiyo ilikuwa na taarifa nzito kuhusu kufariki kwa Khalifa wa kwanza wa Waislamu, Abu Bakr as-Swiddiq (r.a).

Khaalid bin Walid aliipokea barua ile akiwa kwenye mstari wa mbele wa vita. Alipoifungua na kuisoma kwa haraka, alikuta imeandikwa kwamba:

Abu Bakr (r.a) amefariki na tayari amezikwa Madina.

Khalifa mpya wa Waislamu ni Umar bin Khattab (r.a).

Na kwamba kwa uongozi na maelekezo mapya, Khaalid ameondolewa katika nafasi ya uongozi mkuu wa majeshi, na nafasi hiyo inachukuliwa na Abu Ubaidah (r.a).

KWA NINI KHAALID ALIFICHA BARUA?

Ingawa vita ilikuwa inaendelea kwa nguvu, Khaalid bin Walid hakumtajia mtu yeyote kuhusu maudhui ya barua ile. Aliificha kwa makusudi mpaka vita itakapomalizika.

Sababu yake ilikuwa ya kimkakati:
Alifahamu kuwa kama angesema wakati ule kwamba Khalifa amefariki, huenda wanajeshi wangeathirika kihisia, wakapoteza nguvu, nidhamu na umakini—na hilo lingeweza kusababisha kushindwa kwa Waislamu.

Kwa hekima na uzoefu wake wa kivita, aliamua kuendelea kuongoza mapambano hadi mwisho. Hatimaye Waislamu walishinda vita vya Yarmuuk licha ya kupoteza askari takribani elfu tatu.

Baada ya ushindi huo ndipo Khaalid aliwakusanya wanajeshi na kuwasomea barua hiyo rasmi.

MAELEZO YA BARUA YA UMAR (R.A)

Katika barua yake, Umar (r.a) aliandika wazi kuwa:

Hamuondoi Khaalid kwa sababu ya chuki au tofauti binafsi.

Bali anafanya hivyo kwa hekima na maslahi ya watu, kwa kuwa Khaalid alikuwa shujaa, mwenye kasi na nguvu kubwa katika mapambano, kiasi kwamba baadhi ya watu waliogopa ukali wa mbinu zake.

Umar aliona ni busara kuweka uongozi wa kijeshi mikononi mwa Abu Ubaidah (r.a), ambaye alikuwa mtulivu zaidi na mpole kwa watu.

Huu ndio ukweli wa kusudio la Umar (r.a) hakuna uhasama, bali ilikuwa ni hatua ya kiutawala na ya huruma kwa maslahi ya Umma.

TAARIFA ZA ZIADA ZA KIHISTORIA

Mtume Muhammad (s.a.w) alifariki mwaka wa 11 Hijria.

Abu Bakr (r.a) alifariki mwaka wa 13 Hijria.

Hivyo Ukhalifa wake uliendelea kwa takribani miaka miwili.

Baada ya kufariki Mtume (s.a.w), Maswahaba waliendelea kuutangaza Uislamu kwenye maeneo mbalimbali duniani.

Wapo waliotumwa hadi Afrika, na riwaya zinazotajwa kuhusu kufika kwao maeneo kama Kilwa zinaonyesha jinsi jitihada za kuitangaza dini zilivyokuwa pana na zenye kujitolea.

Lengo lao lilikuwa kuifikisha dini ya Allah duniani kote, na kuendeleza kazi ambayo Mtume (s.a.w) aliiongoza katika uhai wake.

Kama umesoma mpaka mwisho, baasi usiondoke bila kuacha athari kwa mkono wako kuandika moja miongoni mwa majina matukufu 99 ya "ALLAH " Subhaanahu wataala na Allah atakubariki zaidi 🤲♥️☝️✅️

#SufianMzimbiri

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BARUA YA HABARI ZA KIFO CHA ABU BAKR (R.A) KUTOKA MADINA NA KUPOKELEWA NA KHAALID BIN WALID KATIKATI YA VITA VYA YARMUUK



Wakati wa vita vikubwa vya Yarmuuk, ambavyo vilikuwa chini ya uongozi wa shujaa wa Kiislamu na bingwa wa mbinu za kivita, Khaalid bin Walid (r.a), kulitokea tukio muhimu sana katika historia ya Uislamu.

Katikati ya mapambano makali, alifika mjumbe kutoka Madina akiwa na barua kutoka kwa Khalifa mpya, Sayyiduna Umar bin Khattab (r.a). Barua hiyo ilikuwa na taarifa nzito kuhusu kufariki kwa Khalifa wa kwanza wa Waislamu, Abu Bakr as-Swiddiq (r.a).

Khaalid bin Walid aliipokea barua ile akiwa kwenye mstari wa mbele wa vita. Alipoifungua na kuisoma kwa haraka, alikuta imeandikwa kwamba:

Abu Bakr (r.a) amefariki na tayari amezikwa Madina.

Khalifa mpya wa Waislamu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/barua-ya-habari-za-kifo-cha-abu-bakr-r-a-kutoka-madina-na-kupokelewa-na-khaalid-bin-walid-katikati-y

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi barua-ya-habari-za-kifo-cha-abu-bakr-r-a-kutoka-madina-na-kupokelewa-na-khaalid-bin-walid-katikati-y
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest