Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15
Gonga94 ยท Stories

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Umekuja kufanya nini chumbani kwangu ?"

" Nataka kuongea na wewe nataka kukuomba msamaha mke wangu "

" Tristan sikutaki nenda kaendelee na maisha yako siwezi kurudiana na wewe Kuna vikwazo vingi mbele yetu toka nje " Gabriella alifungua mlango ili Tristan aondoka

" Vikwazo vipi kama huyo mtoto uliyembeba tumboni mwako au Kuna kingine "
Gabriella alishtuka sana alifunga mlango haraka

" Umejuaje kama mimi ni mjamzito ?"

" Hilo halina umuhimu nataka tu kukwambia nitalea huyo mtoto kama mtoto wangu na umsahau baba wa huyo mtoto "
aliongea Tristan bila aibu

" Naona umechanganyikiwa Tristan bado tu kubeba makopo Yani hicho ndo kilichobaki "

" Gabriella namaanisha ninachokisema na hakuna mtu yoyote atakayejua kuwa mtoto sio wa kwangu najutia sana kukupoteza mama angu "
Tristan alipiga magoti

"Tristan Hilo haliwezekani nyanyuka tu uondoke unapoteza muda wako Bure Gabriella wasasa sio kama yule wa zamani Gabriella wa Sasa anampenda sana mwanaume mwingine na nimembeba mtoto wetu kama ishra ya upendo wetu , ondoka tu Tristan "

" Sitokata tamaa Gabriella nitapambana hadi mwisho ili nikurudishe kwangu " Tristan aliondoka kwa hasira Gabriella alifunga mlango akaanza kulia

" Uko wapi maverick wewe mwanaume mbona unanitesa hivi " Kwa upande wa kambi ya Ndundu askali waliokuwa kwenye mafunzo walirudi kambini wakiongozana na captain maverick

" Naona unatabasamu tu niambie huyo mwanamke unampenda sana ee ?"
Captain Raymond alimuuliza maverick

" Umejuaje kama ni mwanamke anayenifanya nitabasamu hivi ?"

"Sio hapo tu najua hadi jina lake Gabriella si ndio"
aliongea Raymond huku anatabasamu

" Hahaha umejuaje wewe boya"

" Kila siku ulikuwa unaweweseka ukitaka jina lake Fanya haraka usije ukatufia hapa " Maverick alitabasamu akaondoka alienda moja kwa moja nyumbani kwake alikuta nyumba imefungwa nafunguo ipo kwa jirani

" Gabriella nisameheni najua nilikukwaza sana kuondoka bila kukuaga " maverick alijiongelea mwenyewe Simu ya maverick ilimshtua kutoka kwenye mawazo yake alikuwa ni baba yaler flanklin

" Baba .."
aliita maverick

" Nimepata taalifa toka kwa general kuwa umerudi "

" Ndiyo nimerudi baba "
" Leo usiku kutakuwa Kuna sherehe nyumbani kwa baba yako mkubwa hutakiwi kukosa ni sherehe ya uzinduzi wa kampuni yake mpya " alisema Mr flanklin

" Sawa baba nitafika kwenye sherehe bila kukosa "
maverick alikata simu

Kwa upande wa nyumbani kwa Mr Alphonse , Gabriella alijifungia chumbani kwake

" Wewe Gabriella nataka ufungue huo mlango Leo jioni utaenda kwenye sherehe utake usitake " bi Carina aligonga mlango kwa nguvu

" Usimlazimishe unatakuwa kuongea nae taratibu "
alisema Mr Alphonse

" Gabriella binti yangu mimi kama baba yako nakuomba Leo jioni twende kwenye sherehe kwa heshima yangu tafadhali "
mr Alphonse alimuomba Gabriella

" Sawa Dady nitaenda kwaajili yako "
Jioni ilifika nyumbani kwa Mr Edward kulikuwa kumepambwa vizuri na lilikuwa ni jumba la kifahari wageni waalikwa walikuwa wengi sana

Gabriella hakufurahia kabisa kuwa pale aliamua kwenda kukaa nje hakutaka kusumbuliwa na Tristan Alishtukia amekumbatiwa kwa nyuma alishtuka sana mwanzo alidhani ni Tristan

" Tristan naomba uniache Sina mood ya kuzozana na w..." Gabriella hakumalizia sentence yake alibaki amezubaa..

" Maverick .."
aliita Gabriella huku machozi yanamtoka alimuhisi maverick hata bila kugeuka na kuiona sura yake Gabriella aligeuka akamkumbatia maverick kwa nguvu alianza kulia

"Usilie mrembo wangu Niko hapa Sasa nisamehe niliondoka bila kukuaga "
maverick alimbembeleza Gabriella , Gabriella alijitoa kifuani kwa maverick

" Unadhani nitakusamehe sikupendi nakuchukia "
Gabriella alitaka kuondoka maverick alimvuta akamkumbatia

" Nisamehe Gabriella nakupenda sana nitakuelezea kila kitu hata ambavyo hukuwahi kuhisi vinaweza kutokea "
Gabriella alimuangalia maverick usoni

" Kama vipi ?"
Maverick alitaka kumuelezea Gabriella lakini Kuna mtu alimuita kwa mbali

" Maverick umekuja kwenye sherehe na hutaki kumsalimia baba yako mkubwa " aliyesema hivyo hakuwa mwingine alikuwa ni Mr Edward
Mr Edward hakuwa amemuona Gabriella

" Nakuja uncle "
alijibu maverick Gabriella alisukuma mikono ya maverick akaondoka Maverick alitaka kumfuata ila aliona aende akaongee na Mr Edward kwanza

" Gabriella unaota utakuwa unaota Yani imekuwaje maverick anamuita Mr Edward uncle "
Gabriella aliendesha gari huku anaongea mwenyewe kama mtu aliyechanganyikiwa

Maverick aliingia ndani alikutana na Mr Edward akiwa na Tristan

" Hongera sana uncle hii ni hatua kubwa sana uliuyopiga "
alisema maverick , Tristan alimuangalia maverick kwa jicho Kali alikumbuka alimuona akiwa na Gabriella kwenye sherehe ya Jonas lakini hakujua kama ni ndugu yake ila
kwa upande wa maverick yeye alimfahamu Tristan kama ndugu yake

" Asante sana ,ngoja niwatambulishe naona mtakuwa hamkumbukani ni muda mrefu sana umepita hasahasa Tristan kwasababu hakuwepo Tanzania kwa muda mrefu ,maverick huyu ni mtoto wangu Tristan kama unamkumbuka , Tristan huyu ni maverick mtoto wa baba yako mdogo flanklin "

" What ? Dad hiki ni nini huyu mwanaharamu anawezaje kuwa ndugu yangu "
Tristan alipaniki alitaka kumvaa maverick alikuja Mr flanklin

" Kwani Kuna shida gani mbona kama mnagombana?
" Aliuliza Mr flanklin

" Mimi sijui chochote baba labda mumuulize yeye ?"
Maverick aliongea huku anamuangalia Tristan kwa hasira

" Unasemaje wewe eti hujui kwanini nipo hivi ,unajua vizuri sana ulichokifanya na kamwe sitokusamehe "
Tristan aliondoka

" Huyu kijana ana mawenge sana siku hizi ngoja niongee nae " Mr Edward alitaka kumfuata Tristan,maverick akamzuia

" Uncle acha mimi nikaongee nae " maverick alimfuata Tristan

" Simama hapo wewe boya "
maverick alienda kumzuia Tristan asipande kwenye gari lake..
" Unataka nini ? Pisha nipite "

" Hasira zako haziwezi kusaidia kitu Tristan ukweli utabaki pale pale ulimuacha Gabriella kipindi alipokuwa anakuhitaji sana na ulikuwa na mwanamke mwingine unajua ni Kiasi gani ulimuumiza ?,Sasa nakwambia hivi Kaa mbali na Gabriella sitaki kumuona anahuzuni tena kwasababu yako " alisema maverick

" Nini ? Unakisikia unachokiongea maverick,wewe ndo unatakiwa kukaa mbali na Gabriella kwasababu ni mke wa ndugu yako "

" Umesahau kwamba ulipoteza hiyo haki ya kuwa mume kwake? ,sitaki kuongea sana Tristan nakuonya tena hii ni mara ya mwisho Kaa mbali na Gabriella la sivyo nitasahau kama wewe ni ndugu yangu, "
maverick alipanda kwenye gari akaondoka....... Itaendelea

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI โ€“ Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15



"Umekuja kufanya nini chumbani kwangu ?"

" Nataka kuongea na wewe nataka kukuomba msamaha mke wangu "

" Tristan sikutaki nenda kaendelee na maisha yako siwezi kurudiana na wewe Kuna vikwazo vingi mbele yetu toka nje " Gabriella alifungua mlango ili Tristan aondoka

" Vikwazo vipi kama huyo mtoto uliyembeba tumboni mwako au Kuna kingine "
Gabriella alishtuka sana alifunga mlango haraka

" Umejuaje kama mimi ni mjamzito ?"

" Hilo halina umuhimu nataka tu kukwambia nitalea huyo mtoto kama mtoto wangu na umsahau baba wa huyo mtoto "
aliongea Tristan bila aibu

" Naona umechanganyikiwa Tristan bado tu kubeba makopo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 16
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 16
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.05K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

947
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

360
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

292
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

258
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

220
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

217
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

184
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

175
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

151

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest