Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 6
Gonga94 ยท Stories

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


" Bro muache huyo demu aishi hapo kwa huo mwezi mmoja najua hupendi ku share nyumba na watu wengine lakini mvumilie kidogo anamatatizo nyumbani kwao "

" Hizo ni shida zake sio zangu "
aliongea maverick huku anamuangalia Gabriella , Gabriella aliweka sura ya huruma

"afu kumbuka ni mtoto wa kike huyo hapo kwako Nina uhakika atakuwa salama kuliko akienda kwingine ni mwezi mmoja tu kaka "
bakari alijaribu kuendelea kumshawishi maverick
Maverick alimuangalia Gabriella ni kama aliingiwa na roho ya huruma

" Poa nitamuacha aishi hapa ila ni kwa mwezi mmoja tu na sio zaidi " maverick alikata simu

" Jina lako ?"
Aliuliza maverick

" Jina langu ni Gabriella " alijibu Gabriella kwa adabu

" nitakuacha uishi hapa lakini sitaki karaha zako ,sipendi uchafu na ukiwa nyumbani sitaki ulete mwanaume wako hapa ,ukinunua mwanaume nenda hotelini malizana nae huko huko tumeelewana Gabzilla"

" Ndiyo tumeelewana.. ,what umeniutaje ?"

Gabriella alimuuliza maverick
Maverick hakumsikiliza Gabriella aliingia chumbani kwake

" Jina langu zuri Gabriella , cute Gabby , Gabby babe , Geebee yeye anaanzaje kuniita Gabzilla sijui hata Ina maana gani itakuwa tu Ina maana mbaya " Gabriella aliburuza begi lake akaiingiza chumbani Mchana Gabriella akiwa chumbani kwake alianza kuhisi njaa alielekea jikoni alifungua hotpot alipakua chakula na kuanza kula

" Mmmh mkaka anapika chakula kitamu kama Cha hotelini "
Gabriella alijikuta anakula tu aliongeza na kuongeza tena mpaka chakula kiliisha chote

Maverick alirudi kutoka matembezini aliingia bafuni alioga na baada ya hapo alitenga mahotport mezani Alifungua Cha ajabu alikuta hotpot limejazwa maji na hakuna chakula

" Huyu binti anataka kuvuka mipaka yake sasa "
maverick alimfuata Gabriella chumbani aliingia bila kugonga mlango

" Vipi wewe unaingia bila hodi ungenikuta Sina nguo je "
Gabriella aliongea huku amekunja sura

" Binti nimekubali uishi humu ndani kwa huruma zangu tu na Sasa naona unataka kuupima uvumilivu wangu kama unataka kula pika wewe si mwanamke katika vitu sipendi ni mtu kula msosi wangu Leo iwe mwisho ....na kingine Hata nikukute kama ulivyozaliwa siwezi kukutamini hauna kipya " maverick aliondoka

" Uchoyo tu lione afu anadharau mbwa huyu wenzie wananililia yeye anajifanya kauzu enzi zangu chuoni nimewatesa sana wenzio nyau wewe " Gabriella aliendelea kuangalia vedio za tick tock Usiku Gabriella akiwa anaperuzi mtandaoni alikutana na picha aliyo post Tristan akiwa na Silvia alijikuta anaumia sana

" Utalipia hili Tristan nilikupenda kweli lakini wewe uliamua kuniumiza lazima siku moja na wewe uje utoe machozi kama sio mimi nitakaye kuuliza basi utalizwa na uliyempenda na hato Iona thamani yako "
Gabriella alifuta machozi alizima data akaweka simu pembeni akaiwasha redio sauti mpaka mwisho alianza kuimba na kucheza Maverick alikuwa akijaza report zake kwenye laptop yake alikunja sura baada ya kusikia mziki uliotokea chumbani kwa Gabriella

" Gabzilla zima huo mziki "
aliongea maverick kwa sauti lakini Gabriella hakusikia aliendelea kuimba na kucheza

" Huyu mwanamke ni kichaa kama isingekuwa huruma zangu ningemtinua usiku huu huu "

maverick alienda kufungua mlango wa chumba Cha Gabriella alienda moja kwa moja kuzima redio

" Ahhhhh nani kazima tena Yani palikiwa panaenda kukolea " Gabriella aligeuka akakutana USO kwa USO na maverick

" Sitaki kelele nyumbani kwangu unataka mziki nenda club hii ni mara ya mwisho Gabzilla sitoongea tena " maverick aliondoka

" Huyu nae ana boa , hii ni mara ya mwisho sitoongea tena " Gabriella alimuiga maverick anavyoongea kwa sauti yake ya besi

Kesho yake asubuhi Gabriella alienda kupika chai yake alikaanga na mayai alitenga mezani alikula na baada ya hapo vyombo aliweka kwenye sinki bila kuosha

"Gabzilla vile vyombo ulivyotumia umemuachia nani aje akuoshee ?"
Maverick alimuuliza Gabriella

" Kwani hauna mfanyakazi mimi siwezi kuosha vyombo kwanza sijawahi kuosha vyombo kwenye maisha yangu " Gabriella aliongea huku anaangalia kucha zake zilizopambwa vizuri

" Hii ni nyumba yangu na Sheria zangu hakuna Cha mfanyakazi Wala nini ukitumia jiko kupika sharti uoshe vyomba baada ya kutumia na usafishe jiko ,kile ni nini ulichokifanya jikoni chai tu na mayai umechafua jiko zima na vyombo nusu ya kabati nataka nikitoka kuoga nikute jiko safi "
maverick alielekea chumbani kwake

" Watu wengine wana shida gani jamini mimi Gabriella mimi nikaoshe vyombo kweli Tristan hakuwa ananifanyia hivi nilikuwa na wafanyakazi kila Kona na nyumbani kwetu pia Kuna wafanyakazi hapa nimekuja kuteseka tu " Gabriella alilalamika alitamani asifanye lakini akikumbuka Hana pesa na account zake zimefungiwa aliishiwa pozi

Zilipita dakika kumi maverick alitoka chumbani alielekea jikoni alibaki mdomo wazi Gabriella alikuwa amevunja sahani na vikombe

" Una Fanya upuuzi gani ?"
Aliuliza maverick kwa kufoka

" Mimi si nilikwambia mimi siwezi kufanya kazi vyombo vyako vyenyewe vinatereza kama nini "
aliongea Gabriella huku analia Maverick alimuonea huruma

" Sio kosa lako ni kosa la waliokulea , likizo yangu imekuwa mbaya sana " alijiongelea maverick

"Ondoka nitafanya mwenyewe "
maverick alichukua fagio na kuanza kusafisha Gabriella aliondoka huku anatabasamu
Maverick alianza kuandaa chakula cha mchana Gabriella alienda

" Naweza kusaidia chochote ?"
Aliuliza Gabriella

" Kata vitunguu " maverick alimsogezea Gabriella chopping board na vitunguu majiGabriella alianza kukata vitunguu hakuwa anajua kukata alikata vipande vikubwa kitunguu kimoja alikata mara nne tu tena alikata huku amefumba macho

" Achaa acha sogea pembeni nitaandaa mwenyewe "
maverick alikata vitunguu vizuri Gabriella alimuangalia akamzomea

" Ingekuwa sio hii njaa hata usingeiona hii sura yangu zuri huku jikoni kwako "
alijiongelea Gabriella Baada ya kula ilibaki kazi kwa Gabriella

" Gabzilla natoka kidogo safisha hivyo vyombo pamoja na jiko ,sitaki kukuta umevunja chombo chochote " maverick aliongea kwa msisitizo

" Sawa nitafanya lakini usiongee na mimi kama unanipa amri za kijeshi " aliongea Gabriella Maverick alimuangalia akaondoka bila kusema chochote

" Mijitu mingine bhana ndo aninyanyase kisa hicho chakula chake ana bahati Sina pesa hata nisinge hangaika nae ningekuka zangu hotelini "
Gabriella aliondoka mezani hakutoa hata kijiko alienda kujilaza kwenye kochi alipeluzi mtandaoni

" Wow hili gauni ni zuri sana tena lio hapa hapa mjini ngoja niulize bei" Gabriella aliuliza alitajiwa laki tatu na nusu
" Usiliuze hili gauni kesho nakuja kulinunua " Gabriella aliingia makubaliano na muuzaji

" Oh mungu wangu kumbe Sina hata mia kwenye pochi yangu ..Sasa nitafanya nini na hili gauni nimelipenda sana na nimemuahidi nitaenda jamani "
Gabriella alikuna kichwa Kuna wazo lilimjia

:" yes ngoja nitapata tu hiyo pesa tena kirahisi sana "

Gabriella alienda kutoa vyombo mezani siku hiyo alijitahidi kuosha vyombo kwa uangalifu na kuvipamga vizuri alitumia masaa mawili kuosha vyombo na kusafisha jiko

" Kiuno changu ....mgongoo" Gabriella alilalamika alienda kujilaza kwenye kochi alipitiwa na usingizi bila kutarajia kutokana na kuchoka....

FULL 1000
whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 6



" Bro muache huyo demu aishi hapo kwa huo mwezi mmoja najua hupendi ku share nyumba na watu wengine lakini mvumilie kidogo anamatatizo nyumbani kwao "

" Hizo ni shida zake sio zangu "
aliongea maverick huku anamuangalia Gabriella , Gabriella aliweka sura ya huruma

"afu kumbuka ni mtoto wa kike huyo hapo kwako Nina uhakika atakuwa salama kuliko akienda kwingine ni mwezi mmoja tu kaka "
bakari alijaribu kuendelea kumshawishi maverick
Maverick alimuangalia Gabriella ni kama aliingiwa na roho ya huruma

" Poa nitamuacha aishi hapa ila ni kwa mwezi mmoja tu na sio zaidi " maverick alikata simu

" Jina lako...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 16
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 16
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.05K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

948
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

360
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

293
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

259
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

220
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

217
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

184
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

175
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

153

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest