Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 16
Gonga94 ยท Stories

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


" Simama hapo wewe boya "
maverick alienda kumzuia Tristan asipande kwenye gari lake
" Unataka nini ? Pisha nipite "

" Hasira zako haziwezi kusaidia kitu Tristan ukweli utabaki pale pale ulimuacha Gabriella kipindi alipokuwa anakuhitaji sana na ulikuwa na mwanamke mwingine unajua ni Kiasi gani ulimuumiza ?,Sasa nakwambia hivi Kaa mbali na Gabriella sitaki kumuona anahuzuni tena kwasababu yako " alisema maverick

" Nini ? Unakisikia unachokiongea maverick,wewe ndo unatakiwa kukaa mbali na Gabriella kwasababu ni mke wa ndugu yako "

" Umesahau kwamba ulipoteza hiyo haki ya kuwa mume kwake? ,sitaki kuongea sana Tristan nakuonya tena hii ni mara ya mwisho Kaa mbali na Gabriella la sivyo nitasahau kama wewe ni ndugu yangu, "
maverick alipanda kwenye gari akaondoka

Kwa upande wa Gabriella Hakwenda nyumbani kwao alienda nyumbani kwa Veronica

" Gabby ulisema utakuwa kwenye sherehe mbona upo hapa ?"

" Maverick amerudi lakini nachanganyikiwa nahisi kuchanganyikiwa kabisa Vero "
Gabriella alikaa chini

" Kwanini uchanganyikiwe badala ya kufurahia baba wa mtoto wako amerudi, au humpendi tena ? "
Veronica alimuuliza Gabriella

" Nampenda bado nampenda sana Rick yeye ni mwanaume wa tofauti sana hakuniwekea wafanyakazi kama alivyofanya Tristan ila upendo wake ulikuwa wa kipekee na alifanya juu chini nijue vitu muhimu ambavyo mwanamke anatakiwa kujua kuhusu nyumba na Hata kupika , lakini kilichotokea Leo sielewi kama ni masikio yangu yananidanganya au laa nimemsikia maverick akimuita Mr Edward uncle "

" What ? Embu nielezee vizuri "
Gabriella alimuelezea Veronica jinsi alivyokutana na maverick kwenye sherehe

"Lakini Hilo sio tatizo sio kama umemcheat Tristan mlikuwa mmeshaachana "

" Tatizo watu wataniangaliaje mimi si wataniona mdangaji hao ni kama watoto wa baba mmoja vero "

" Acha ushamba shoga yangu historia yako na Tristan imeshafutwa na Sasa ni wakati wako wa kuandika historia yako mpya ya mapenzi na mwanaume unayempenda nae ni maverick bila shaka... na ni baba wa mtoto wako pia "

" Hapana siwezi Vero hiyo ni ngumi sana najiona kama mjinga sijui kwanini nilimpenda maverick haraka kiasi hiki Sasa naishia kuumia tena "

" Ukiumia utakuwa umechagua mwenyewe iwe hivyo, kama maverick anakupenda hakuna haja ya kuwa na wasiwasi watu wanaenda hata kinyume na familia zao kwasababu ya upendo tu"

" Usinishauri ujinga Vero haya ni maisha halisi sio kama kwenye michezo ya kuigiza , siwezi kuitupa familia yangu najua watakasilika sana kusikia natoka kimapenzi na kaka wa Tristan "

" Apo unaharibu Sasa sio kaka ukisema hivyo inakuwa ni kama wamezaliwa tumbo moja na wakati kila mmoja ana wazazi wake "

" Hata hivyo pia siwezi , hata ikitokea wazazi wamekubali ila mimi sitoweza kuolewa na maverick "
Gabriella hakutaka kuelewa alishikilia msimamo wake ule ule hataka kuonana na Tristan Wala maverick alitaka kuishi maisha yake

Maverick alijitahidi kumpigia Gabriella na kumtumia message lakini hakujibiwa

Siku moja Gabriella alikuwa supermarket mdogo wake Gladness Gabriella aliishikwa mkono kugeuka alikuwa ni maverick

" Maverick niachie " Gabriella alitaka kujitoa kwa maverick

" Nataka kuongea na wewe nipe dakika moja tu "
kabla Gabriella hajajibu chochote alishtukia ameshikwa mkono wake mwingine kugeuka alikutana na Tristan Gladness alibaki kushangaa hakujua kama ule ulikuwa ni mchezo wa kuigiza au maisha halisi alishuhudia dada yake akigombaniwa na wanaume wawili tena wote wakiwa watanashati

"Achia mkono wa mke wangu maverick sitojali kama sisi ni ndugu nitakuumiza "
alisema Tristan

" Kwanza Gabriella sio mke wako futa hiyo kauli na hayo maneno nilitakiwa mimi nikwambie wewe , achia mkono wa Gabriella kabla sijazifanya kitu mbaya hizo Taya zako "

" Usinitishe maverick mimi sio muoga kama unavyofikilia "
Maverick alicheka kwa dharau alimsogelea Tristan alitaka kumpiga ngumi Gabriella akamzuia

" Sitaki mpigane kwasababu Yangu kati yenu hakuna hata mmoja nitakaye mchagua msipoteze muda wenu kwangu na kama mnataka kupigana piganeni kwa yenu " Gabriella alimshika mkono Gladness wakaondoka waliwaacha maverick na Tristan wanatunishiana vifua

" Nakupa onyo Tristan sitaki kuona unamsogelea Gabriella ..narudia hili ni onyo la mwisho " maverick aliondoka Alienda nyumbani kwa dada yake Nicole

" Umeshaongea na Gabriella?"
Nicole alimuuliza maverick

" Hapana sikupata muda wa kuongea nae hataki kunisikiliza hata mara moja "

maverick alienda kukaa kwenye kochi

" Sasa itakuwaje?" Aliuliza Nicole

" Nasubiri atakapokuwa tayari kunisikiliza basi nitamuelezea kila kitu bila kumficha "

" Okay ,lini unaenda nyumbani kuwasali wazazi mama amekumiss sana " alisema Nicole

" Nitaenda weekend hii hata mimi nimemiss sana mama yangu " Weekend kama alivyosema maverick alienda nyumbani kwao

" Mama... "
maverick alienda kumkumbatia mama yake

" Sitaki niachie ,Yani kuja kumtembelea mama yako mpaka uombwe mtoto mbaya wewe "
alisema bi Vanessa

" Sio hivyo mama Kuna mambo yaliingiliana ndomana sikuweza kufika hapa nisamehe hili halitojirudia tena " maverick alimkumbatia tena mama yake

" Sawa nimekusamehe na Leo nitakupikia chakula kitamu sana " alisema bi Vanessa

" Wow na mimi nitakuwa hapa kusaidia vitu vidogo vidogo " maverick na mama yake walipika huku wanapiga story

" Nicole aliniambia umepata mchumba"

" Ndiyo mama nampenda sana huyu mwanamke ila tumekwaluzana kidogo na hataki kuongea na mimi "

" Fanya juu chini uongee nae na muyamalize mimi nasubiri ndoa tu sitaki ucheleweshe nataka wajukuu " aliongea bi Vanessa huku anatabasamu

" Usijali mama nitamaliza tofauti zetu na soon atakuwa mke wangu ".....

Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800

Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 16



" Simama hapo wewe boya "
maverick alienda kumzuia Tristan asipande kwenye gari lake
" Unataka nini ? Pisha nipite "

" Hasira zako haziwezi kusaidia kitu Tristan ukweli utabaki pale pale ulimuacha Gabriella kipindi alipokuwa anakuhitaji sana na ulikuwa na mwanamke mwingine unajua ni Kiasi gani ulimuumiza ?,Sasa nakwambia hivi Kaa mbali na Gabriella sitaki kumuona anahuzuni tena kwasababu yako " alisema maverick

" Nini ? Unakisikia unachokiongea maverick,wewe ndo unatakiwa kukaa mbali na Gabriella kwasababu ni mke wa ndugu yako "

" Umesahau kwamba ulipoteza hiyo haki ya kuwa mume kwake? ,sitaki kuongea sana Tristan nakuonya tena hii...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿ˜ SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’”  SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI ๐Ÿ’”๐Ÿ’” SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI๐Ÿฅ‘๐ŸŠSEHEMU : 14
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโคSEHEMU : 17
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZIโค SEHEMU : 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.05K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

949
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

362
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

294
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

261
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

220
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

217
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

185
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

175
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

154

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest