Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....3 Na
Gonga94 · Stories

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....3 Na

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....3
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia......

Manga alijibu kwa kutikisa kichwa na basi akarudi kuendeleza na majukumu yake.....

SONGA NAYO......

Bi.mwamvua na binti yake mambo yaliwageukia ilibidi sasa wakapange nguo zao waondoke.
Hawakutegemea kama Jarden angewatolea uvivu wa namna ile.

"Mama tungemuomba msamaha tukabaki kuendelea kukaa hapa mama".

"Mwanangu tumefeli wewe huoni kwa jinsi alivyoongea anaonekana kabisa anatuchukia, hatuwezi tena kukaa hapa mwanangu elewa hilo".

Basi walijiandaa na siku iliyofuata asubuhi na mapema waliondoka zao.

********

Baada ya siku mbili kupita mrembo wa kuitwa Nancy alianza kazi katika ofisi ya Mr jarden baada ya kufuzu katika Usahili wake.

Alikuwa ni mchapa kazi mzuri kiasi cha kuwa karibu sana na Mr jarden hadi wakazoeana.

Mala ambapo Nancy alimuona jarden hayupo sawa basi alipenda kumuomba watoke out kwa ajili ya kurefresh wote pamoja.

Nancy alifahamu alionekana kama mtu ambaye anafahamu yote yanayomuhusu mr jarden na ndio maana alikuwa akitumia nafasi hiyo kumliwaza.

Basi walijikuta wameingia katika mahusiano ya kimapenzi.

Waliodumu kwa takriban miezi Sita ndipo jarden akaamua kutangaza ndoa.

Mr jarden alikwenda mpaka nyumbani kwa wazazi wake na kuwaambia suala lile.

Baba yake jarden alimuu ninga mkono kijana wake kwani alichokuwa anataka ni kuona mwanae ana furaha tu.

Lakini mama jarden kwake alilipokea lile kwa utofauti,

"Mwanangu unauhakika imechagua chagua sahihi kwako? Kumbuka ni mapema bado tokea yatokee yale matatizo kuwa makini.
Una mtoto tazama anahitaji kupata malezi mazuri je huyo mwanamke unamuona ni sahihi? Bado una waamini wanawake wa mjini".

"Mama yeye ndie chanzo mpaka walau nimefikia katika hali hii, nafurahi,naenjoy ni kwa sababu yake kwaiyo namuamini sana"

"Sawa kama ni ivyo basi na iwe heri mlete nyumbani tumuone".

"Hilo ndilo la msingi mama nadhani kesho nitamleta".

Walikubaliana na kweli siku iliyofuata jarden alikwenda kumtambulisha Nancy kwa wazazi wake ivyo ndoa ikapangwa.

Nancy alikuwa akiishi na baba yake tu na maisha yao yalikuwa ya kawaida ivyo Nancy kupata kazi ndo kama walionekana kuwa na ahueni ya maisha.

Ndoa ilifungwa na maisha yakaendelea.

Awali Nancy alionesha kuwa anampenda mtoto nafsa ambaye sasa ni mwanae wa kambo.
Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda alianza kumchukia mtoto yule.

Hakuwa akimpa nafasi kabisa ya kukaa nae pamoja wala kujua chochote kinachomuhusu mtoto yule.

Manga alilishtukia lakini halikumsumbua kwa kuwa yeye yupo na anamjali mtoto yule basi kwake ilitosha kufanya majukumu yake.

Kitendo cha Jarden kuonesha kumpenda mtoto wake kiasi hata maeneo ambayo alikuwa wakienda kutembea basi mwanae pia alikuwepo.

Lile lilizidi kumkera Nancy aliona ni kama anakosa uhuru wa kuwa na mumewe.
Alitamani familia ikamilike kwa watoto ambao yeye akawazaa na Jarden na sio yule ambaye tayari alikuwepo.

Nancy aliona njia ni kumuwekea sumu mtoto yule akiamini Kama ni matatizo yatamuangukia Manga wote wataondoka kisha yeye atabaki na furaha katika mjengo ule.

Roho mbaya ilimjaa mrembo huyo sio kawaida.

Sasa kulikuwa na ukawaida kwamba mtoto akitoka shule anakunywa ajuice tu na manga alikuwa akimuandalia na kuiweka mezani.

Alichokifanya Nancy siku ile ni kuwahi kurudi nyumbani alafu kisha akaweka sumu katika juice ile akimlenga Nafsa akipewa tu lolote limkute.

Lakini wakati anatoka Upande wa mlango wa nyuma alikuwa anaingia Manga akashangaa tu kukuta juice kama imetingishwa na Nancy akiondoka haraka haraka.

Alijiuliza kwa haraka haraka kuwa madam huyo alikuwa akitumia kinywaji kile au vipi?.
Hakuwaza kibaya ivyo Aliendelea na shuhuli zake.

Sasa kama kawaida mda wa mtoto kurudi nyumbani ulipofika Manga alimuandaa kwa kumbadilisha nguo na kisha Akamuandalia juice anywe kisha akacheze kama kawaida.

Alimuacha mtoto akiendelea kunywa juice huku akicheza game katika Tablet alionunuliwa na baba yake.

Manga akiwa jikoni anaosha viombo si ndio mala mtoto yule akamfuata akiwa anakohoa huku anatapika.

"Nafsa unajisikiaje? Kuna nini? Niambie nini mamaaa".
Alimbeba ndipo mtoto yule akaanza kutapika mapovu.

Manga alishtuka akahisi basi amekula kitu sio kizuri.

Kuna maziwa katika fridge yalikuwepo Ndipo akamimina na kumnywesha mtoto yule.

Kisha bado hakuridhika alitoka na mtoto yule huku amechanganyikiwa machozi yanatoka kumuwahisha hospital.

Alijihisi yeye ni kama mama kwa mtoto yule,alijihisi ni kama Yasinta kamuachia mtoto yule amlee yeye ivyo nae alimpokea mtoto yule kama wa kwake.

Bahati alibahatika kufika hospital na mtoto yule alipokelewa emergency kwa ajili ya uchunguzi kuanza.

Bahati sumu ile haikusambaa kuleta shida kwa mtoto ivyo kuna drip aliwekewa nafsa huku manga akiwa anamshikia mkono drip ipite vizuri.

Wa kwanza kupigiwa simu alikuwa ni mama yake Jarden akafika haraka hospital na kumkuta Manga akiwa na mtoto yule wodini.

"Manga nini kinaendelea siku zote asinywe sumu akanywe leo kweli?".

"Mama sio kwa ubaya lakini namuwazia vibaya dada Nancy nahisi ameweka nilimkuta maeneo ya pale dinning baada ya chakula cha mchana.
Sikujua alikuwa anafanya nini sikutaka kumuwazia vibaya ila kwa hili ni yeye mama.
Nimekosa ujasiri wa kumpigia simu kaka Jarden naogopa nitamuambia nini asinifikilie vibaya".

"Sawa nakuelewa nakuamini na isitoshe nakupenda sana manga.
Wewe sasa sio mfanyakazi bali ni kama ndugu kwetu.
Wacha tuone jarden nampigia simu aje na nitakueleza kila kitu alafu pengine niachie mimi kuna kitu nitafanya mbaya hatojificha".

Mwanamama huyu aliyekaa hekima ya hali ya juu Ndipo alimpigia simu Kijana wake jarden kumuambia yaliyotokea na kumtaka afike hospital pale.

Jarden alipofika alielezwa kilichotokea lakini hakuamini kwa haraka.

"Mama huwenda hiyo sumu hata shuleni huko mkewangu wala manga hakuna anaeweza kufanya ivyo ".

"Sawa Mwanangu tuishi humo lakini nataka uchagua moja kati ya haya mawili".

"Jambo gani mama?"
"Mtoto aje kuishi nyumbani kwangu au ufunge Cctv camera nyumbani kwako naamini kama kuna kitu kibaya utakijua lakini iwe siri yako asijue mtu mwingine yoyote zaidi yako ".

"Sawa mama nitafanya ivyo na nitaomba waniunganishie niwe natazama popote nilipo siwezi kukaa mbali na mwanangu nadhani unalijua hilo mama".

Basi walikubaliana hapo na kufikia usiku walirudi nyumbani jarden akiwa na Mwanae pamoja na manga.

Nancy alishangaa kuwaona wacha aanze kumfokea manga.

"Nipo chumbani ukashindwa kuniambia kilichotokea kwanini? Unaitaka kazi au huitaki.... mmewangu alivyofanya unaona ni sawa kweli?".

Mr jarden alimtaka Manga aingie ndani na mtoto kisha akabaki na mkewe.

"Usijali mkewangu huwenda alichanganyikiwa kwa hali ile ya mtoto hadi akashindwa kukuambia.
Mimi mwenyewe hakunipigia simu yani kaomba simu kampigia mama moja kwa moja hadi namba ya mama kaikumbuka kuliko ya kwangu".

"Mhhh lakini anatakiwa kujua kuwa mimi ndie mama Wa huyu mtoto sasaivi".

"Usijali mtazoeana tu".

Basi usiku ule ulipita kwa namna hiyo.

Baada ya siku kadhaa kupita hali ya nafsa ilikuwa sawa ndipo Jarden akaamua kufanya wazo kama la mama yake alivyomshauri.

Alimuaguza Manga kwenda super market na mkewe alimuacha ofisini kisha yeye akarudi nyumbani na mafundi kufunga Cctv camera.

Hakutaka mtu mwingine yoyote ajue kama njia ya kumlinda mtoto wake kutokana na kile kilichotokea.

Kila dakika macho yake yalikuwa ni kutazama tu hata akiwa ofisini na Sehemu zingine.

Wiki ilipita pasina kubaini kitu chochote.

Basi siku hiyo Bibie Nancy Alikwenda nyumbani kwa baba yake.

"Baba njia ile niliyojaribu nimeshindwa kiukweli sijui njia gani nyingine nitumie".

"Mhhhh mwanangu wewe lazima uwe malkia wa pale utimize nilichokutuma katika ile familia".

"Baba mimi nataka kufanya kazi uliyonipa kisha niishi na jarden waumize wengine wote sio Jarden ".

"Haya njia ya pili tutume watu wamteke shuleni yule mtoto hapo vipi".

Nancy kuambiwa vile akaona sawa akatikisa kichwa.
Hapo ndipo tunapata kujua kumbe Nancy anaendeshwa na baba yake kufanya hayo anayofanya hatujui ni kwa sababu gani tutajua hapo baadae....

Full 1000.
Whatsa no 0716730000.

Tukutane Sehemu ya ....4

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....3 Na

*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....3
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia......

Manga alijibu kwa kutikisa kichwa na basi akarudi kuendeleza na majukumu yake.....

SONGA NAYO......

Bi.mwamvua na binti yake mambo yaliwageukia ilibidi sasa wakapange nguo zao waondoke.
Hawakutegemea kama Jarden angewatolea uvivu wa namna ile.

"Mama tungemuomba msamaha tukabaki kuendelea kukaa hapa mama".

"Mwanangu tumefeli wewe huoni kwa jinsi alivyoongea anaonekana kabisa anatuchukia, hatuwezi tena kukaa hapa mwanangu elewa hilo".

Basi walijiandaa na siku iliyofuata asubuhi na mapema waliondoka zao.

********

Baada ya siku mbili kupita mrembo wa kuitwa Nancy alianza kazi katika ofisi ya Mr jarden baada ya kufuzu katika Usahili wake.

Alikuwa ni mchapa kazi mzuri kiasi cha kuwa karibu sana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chaguo-sahihi-sehemu-ya-3-na

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chaguo-sahihi-sehemu-ya
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd  (0716730000)  Tulipoishia.....  "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".  Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia..... "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu". Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....10
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

682
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

649
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

637
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

543
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

434
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

46
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest