Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....4
Gonga94 · Stories

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....4
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia.......

"Baba mimi nataka kufanya kazi uliyonipa kisha niishie na jarden waumize wengine wote sio Jarden".

"Haya njia ya pili tutume watu wamteke shuleni yule mtoto hapo vipi".

Nancy kuambiwa vile akaona sawa akatikisa kichwa.
Hapo ndipo tunapata kujua kumbe Nancy anaendeshwa na baba yake kufanya hayo anayoyafanya .....

SONGA NAYO.......

Wiki moja ulipita ndipo siku hiyo muda ulipita ambao mtoto nafsa huwa anarudi nyumbani lakini haikuwa ivyo.

Siku hiyo Manga alisubiri pasina kuona mtoto akifika.
Punde alirudi Nancy mapema ndipo manga kumuona akamuwahi.

"Habari za kazini dada?"
"Nzuri vipi?"
"Samahani nilikuwa nataka kuwapigia simu hapa mtoto hajarudi mpaka sasaivi labda muwasiliane na walimu wao kama wamechelewa kutolewa leo".

"Ok sawa nashuhulikia".

Alijibu Nancy bila hata kuonesha mshtuko sana kisha akaondoka zake kuelekea chumbani.

Manga alibaki akisikilizia kama dakika 5 akaona Nancy hatoki chumbani kumueleza kama labda kashafanya mawasiliano kabaini chochote.

Wasiwasi alionao manga akajikuta anashindwa kusuburi ndipo akaelekea chumbani kwa Boss wake huyo ili amuulize yeye walau apate nafuu.

Basi kabla hajagonga mlango akamsikia Nancy akiwa anazungumza na simu.

"Sawa baba mmeshamteka huyo mtoto kinachofuata nini? Kuweni makini sana sana.
nimempigia simu Jarden amechanganyikiwa akienda polisi lazima watachunguza sana kuweni makini....haya kila kitu nitakuwa nawaambia".

Manga alishtuka haraka akaondoka hapo hadi chumbani kwake.

Alipata kuujua ukweli wa Nancy akaona hata asinyamaze liwalo na liwe.

Alishika simu na kumpigia Mr jarden lakini simu kwa wakati ile ikawa haipokelewi.

Akaamua kumpigia Mama jarden na kumueleza ukweli ule wote aliousikia.

Kwa wakati ule mama jarden alikuwa katika gari akielekea katika kituo cha redio ili akatangaze kupotea huko kwa mjukuu wake.

Baada ya jarden kuwapigia simu wazazi wake basi kila mmoja alipanga lake ivyo mama jarden yeye aliwaza kwenda redioni.

Sasa alipopewa habari zile na manga ikabidi ampigie simu kijana Tizo ambae alijua atakuwa pamoja na jarden kwa Wakati huo.

"Haloo shangazi"
"Mpo wapi na kaka yako umebaini chochote kuhusu mtoto?"

"Hapana broo amechanganyikiwa tu hapa yaaani analia kama mtoto mdogo".

"Mpe simu muambie nataka kuzungumza nae kitu muhimu".

Tizo alifanya ivyo kama alivyoambiwa Ndipo jarden akapata kuzungumza na simu ile,

"Haloo mama"
"Jarden nisikilize kuna kitu manga ameniambia sasa kama ni kweli tutajua angalia kupitia vile tulipoongea ".

Basi Jarden ikabidi awe mpole kwanza akarudi katika katika gari lake nia kutazama.
Aliunganisha kiasi cha kuweza kuangalia Cctv camera ya nyumbani kwake akiwa kwenye gari au ofisini.

Alifuatilia hatua kwa hatua ndipo akaona wakati ambao Nancy alirudi nyumbani na kupewa habari zile na manga.
Pia alimuona Nancy alipoingia Chumbani na kufanya mawasiliano yote.
Alisikia kila kilichozungumzwa hapo sasa ndo ilikuwa balaa.

Bila kusema kitu Jarden alishuka kwenye gari huku Tizo akiwa amepigwa na mshangao.

"Nini kimetokea kaka umeingia kwenye gari yako mala umeshuka usemi kitu kuna nini?"

"Mhhh subiri Tizo kila kitu kipo sawa turudi kwa polisi".

ilibidi waende tena kwa polisi jarden akawapa maelekezo kuwa waende nyumbani kwake wakamkamate Nancy.

Aliwaeleza ukweli ule wote ikabidi waanze safari sasa kuelekea nyumbani kwa Jarden.

Baada ya muda kidogo walifika na bila kupoteza muda Nancy alishikwa kama mtuhumiwa.

"Kuna nini mmewangu mbona mmekuja mnanikamata mimi?"

"Utakwenda kuyajua haya na mengine kituoni Nancy".

Nancy alipata wasiwasi sana lakini alijikaza na kupanda kwenye gari kuelekea polisi.

Jarden alimtazama manga ambae alijawa na wasiwasi kisha akaondoka pasina kusema chochote.

Punde alifika mama Jarden nyumbani hapo kwa Jarden na kumkuta Manga.

"Asante sana umekuwa masada mkubwa sana katika familia hii mwanangu atasema wapi mtoto alipo na ameolewa hapa ana nia gani".

"Mama vipi kama atakana na kunisingizia mimi naogopa sana".

"Hawezi upo ushahidi na umeshapatikana Hawezi kukataa kwaiyo kuwa na amani".

Manga alibaki ameduwaa hajui huo ushahidi ni upi na umetokea wapi.

Basi Nancy kufika polisi ndipo aliambiwa kila kitu, Jarden hakubakisha jambo alimueleza ukweli wote kwamba alifunga Cctv camera.

Nancy hakujua aseme nini kwani aliumbuka.
"Nisemehe Jarden naomba nisamehe tafadhali ".

Mbele ya polisi pale alipokea makofi kutoka kwa Jarden,
"Cha kwanza namtaka mwanangu kabla ya kila kitu kuendelea unajua yule ndie mboni yangu aliyobakia? Yule ndie sababu ya mimi kuwa ivi unavyoniona nina Furaha ni kwa sababu yake nampenda sana sana tena sana ".

Nancy alilia sana akaamua kusema ukweli kuwa alitumwa na bwana ambae anajulikana kama ndie baba yake mzazi Nancy lakini kumbe haikuwa ivyo.

Alieleza ukweli kuwa huyo sie baba yake mzazi ila walipanga tu iwe ivyo akiwa hajui sababu nini.

Walimtaka Nancy awapeleke nyumbani kwa baba yake huyo ambaye jina halisi aliitwa bwana msame.

Kufika huko walimkuta bwana msame ndipo kuona Nancy amefika akiwa analia pamoja na mapolisi alielewa kuwa wamekamatwa.
"Nancy umefanya nini Nancy umeamua kunizalilisha si ndio?"

"Nisamehe baba nimekamatwa".

Bwana msame Palepale aliwekwa chini ya ulinzi na kushurutishwa aseme wapi mtoto alipo.

Nancy alikagua vyumba vyote pale na kutoka akiwa na Mtoto yule nafsa.

Jarden alimchukua mwanae anamkumbatia.
Huku bwana msame na Nancy wote waliwekwa chini ya ulinzi kwa ajili ya kesi kufunguliwa.

Kufika kituo cha polisi bwana msame alibanwa sana aseme kwanini alimtuma Nancy kufanya kitendo hicho aligoma kabisa kusema.

Alipewa adhabu kali mpaka alikiri kusema ukweli.

Alimuambia Jarden,

"Kama unataka kuujua ukweli kwanini nimefanya ivi basi njoo na wazazi wako utajua kila kitu".

"Wazazi wangu? Wewe unawajua wazazi wangu? Umewajuaje?"

"Majibu hayo yote ukitaka kuyajua fanya kama Nanyokwambia njoo na wazazi wako hapa".

Jarden alikosa cha kusema alijawa na shauku ya kujua kwanini bwana msame kamuambia aende na wazazi wake.

Muda ulikuwa umekwenda usiku ovyo alirudi nyumbani na mtoto wake pamoja na kijana yule Tizo.

Kufika alimkuta mama yake bado yupo nyumbani pale akamuelezea kila kitu.

Walikubaliana kuwa siku
inayofuata wataenda wote sasa huko polisi wakajue ukweli.

Basi kweli siku iliyofuata wote walielekea polisi.

Hadi Manga pia alikwenda kwa ajili ya kuwa karibu na mtoto kwani mtoto huyo alitakiwa kuwepo kwa kuwa kesi ilimuhusu.

Basi kufika familia walikaa katika chumba cha askari mkuu wa kituo na punde watuhumiwa Nancy na bwana msame walifika wakiwa wamefungwa pingu.

Mama Jarden kumuona Bwana msame alimshangaa sio kawaida.

Bwana msame ndipo akawaambia,
"Asanteni sana kwa hili lakini Jarden ulitaka kujua ukweli sasa muambie mama yako akuambie ukweli mbele ya baba yako hapa akikataa nitakuambia mimi".

Mama Jarden aliinuka huku jasho zinamtoka.

"Wewe mzeee haufai hata kusikilizwa unataka kuongea nini?kwamba Unatufahamu sisi au?"

"Mhhh naweza kuwa siwafahamu wote ila hakufahamu wewe na kijana wangu huyo jarden.
Muambie ukweli kuwa mimi ndiye baba yake mzazi huyo mumewako ulimbambikia tu sababu ana pesa mimi ukaniacha sema ukweli".

Wote walishtuka sio kawaida Manga haraka aliibuka na kutoka eneo la nnje kwanza maana aliona mambo mazito.

Mama Jarden alikataa kata kata huku akilia na kumkana huyo mzee msame.

"Kama mimi nadanganya basi tufanyieni vipimo mimi ndie baba mzazi wa Jarden na nimefanya hivi kwa sababu zangu binafsi ili niwe karibu na damu yangu basiiii ".

Jarden alipata hasira akamkwida bwana msame.

"Siku zote ulikuwa wapi mjinga wewe hadi umejileta leo una njaa sio? Mama yangu hawezi kufanya ujinga kama huo hata siku moja ".

"Usiukimbie ukweli jarden tupime DNA itaamua majibu".

"Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".

Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.....

Full 1000.
Whatsapp no 0716730000

Sijui itakuwaje?
Tukutane Sehemu ya 5

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....4

*CHAGUO SAHIHI*

SEHEMU YA....4
Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia.......

"Baba mimi nataka kufanya kazi uliyonipa kisha niishie na jarden waumize wengine wote sio Jarden".

"Haya njia ya pili tutume watu wamteke shuleni yule mtoto hapo vipi".

Nancy kuambiwa vile akaona sawa akatikisa kichwa.
Hapo ndipo tunapata kujua kumbe Nancy anaendeshwa na baba yake kufanya hayo anayoyafanya .....

SONGA NAYO.......

Wiki moja ulipita ndipo siku hiyo muda ulipita ambao mtoto nafsa huwa anarudi nyumbani lakini haikuwa ivyo.

Siku hiyo Manga alisubiri pasina kuona mtoto akifika.
Punde alirudi Nancy mapema ndipo manga kumuona akamuwahi.

"Habari za kazini dada?"
"Nzuri vipi?"
"Samahani nilikuwa nataka kuwapigia simu hapa mtoto hajarudi mpaka sasaivi labda muwasiliane na walimu wao kama...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chaguo-sahihi-sehemu-ya-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chaguo-sahihi-sehemu-ya
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....15
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd  (0716730000)  Tulipoishia.....  "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".  Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia..... "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu". Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....3 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....3 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....10
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

682
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

647
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

637
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

543
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

433
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

45
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest