Chombezo : Khadija Mtanuko Sehemu Ya 2 IMEANDIKWA NA : JOE MARICK ILIPOISHIA Nilipofika alinikaribisha?, na tukawa na maongezi machache yaliyopelekea
ENDELEA
Kwanza alivyokuwa ananiingilia utafikiri alikuwa ananibaka?, nilikuwa naumia ila ni vile nilikuwa najikaza tu, na ponepone yangu ilikuwa ni Kimoja Chali yaani Mack alikuwa hajiwezi kitandani, ? na ndipo alinipa ahuweni ya kupumua. ?
Mack alikuwa sio mtundu wala, ila alijua tu Kuchomeka na kupampu utafikiri anajaza taili ya baiskeli. ?
Na hata alipomaliza nahisi kimoyo moyo alikuwa anajiita? “Dume la mbegu” kisa kunitoa bikra yangu tena kwa kuniumiza?, wala hakujua hata kuniandaa, yani kifupi nilidondokea mikononi mwa mla Chips tu. ? Asiyejua kula Dona. ?
Kile kitu kilinifanya nianze kuona hakuna utamu wowote wa kufanya mapenzi?, hata niliporudi nyumbani kwangu na maumivu yangu, sikutamani tena kurudia. ?
“Lily me nilikwambia, yani nilijua tu lazima ntaumia, ona sasa nahisi mpaka viungo havifanyi kazi.” ? Nilikuwa nalaani kwa kile nilichokipata baada ya kurudi nyumbani. ?
“Dija mbona kawaida sana, ni kwa vile ni mara yako ya kwanza, ukirudia utazoea tu shoga yangu.” ?
“Anh!, me staki tena kusikia mambo hayo, bora nibaki tu hivihivi.” ?
“Unasema tu, mbona zitakupanda na wemwenyewe utarudi tena kwa Huyo Mack wako.” ?Lily alizidi kunishawishi, lakini kwa kile nilichokipata, niliamua kutuliza mapepo yangu kwanza. ?
Lakini huwezi amini?, nilipomaliza wiki moja nilianza kutamani tena kurudia, na hii ni kutokana na ushawishi niliokuwa naupata toka kwa Lily, ? aliyekuwa ananiaga kila mara anaenda kwa bwana ake, ? yaani nilijikuta tu najawa na wivu kwa ushawishi wake na ni kitu kilichonifanya nirudi tena kwa Mack kwa mara nyingine?, lakini mambo yalikuwa yaleyale tu, sikuona mabadiliko yoyote kitu kilichosababisha nikaangukia kwa mtu mwingine nikiachana na habari za Mack. ?
Kifupi tangu nimeanza kuwa na tamaa ya kukunwa?, nilijikuta naanza kuwachanganya marafiki Denis na Elly lakini wote hao sikuona wa kunitosheleza, yaani hata akili yangu iliharibika kabisa, nikajikuta naanza kujimalizia hamu zangu mwenyewe. ?
“Dija siku hizi umekuwa Malaya mpaka basi yani hata wiki haijaisha ushatembea na Wanaume watatu?” ? Alikuwa ni Lily akiongea hayo. ?
“Asa kama sipati mtu wa kuniridhisha me nafanyaje Lily?” ?
“Anha!, ushaanza kuwashwa saivi eeh?” ?
“Kawaida kwanza we ndo umefanya nimekuwa hivi!, angalia saivi mpaka natumia haya mambo.” ? Nilimuonyesha Lily Mchi wa bandia akaanza kunicheka. ?
“Kama ndo umefikia hadi huko mama, basi kuna mtu nakuunganisha naye, huyo atajua kukumalizia hamu zako.” ?
“Afadhali, bora hata ufanye hivyo kwamaana ntakufa kwakweli.” ? Nilimjibu Lily nikiwa na shahuku ya kutaka kuunganishwa na huyo mtu, na Lily hakufanya makosa, aliweza kuniunganisha naye, huyo mtu hakuwa kama wale wa mwanzo.?
Huyo mtu atafanya kile Dija anapenda? Mambo ndo kwanza yanaanza, na huu ni ukurasa wa mwanzo tu, hatujafungua yaliyomo ?? Tulikuwa tunamjua Dija tu.
**
?“Hi, darling mbona muda wote huo nakusubiri ufike haufiki tu, unatatizo gani lakini, naumia mwenzio na nyeg** au unataka nifee.”? Nilikuwa nambembeleza mkaka mmoja kwa simu, niliyekutana naye siku hiyo tukapanga kukutana ?lodge moja na wala sikuwa na mahusiano naye bali ni tamaa zangu tu za kubadilisha ladha ya tango kwani niliyokuwa nimeyaonja hayakuwa na utamu wowote huko nyuma.?
?“Nakuja Dija, nakaribia kufika usijali.”?Yule mkaka kwa jina Suley alinijibu wakati huo nikiwa na kimuhemuhe cha kukatwa malinda, yani kifupi Hadija mimi nilikuwa na Shetani wa ngono,? nilikuwa nikilala nawaza kuchomekw* tu?, nikiamka nawaza kulambwa uwiii napenda kupitishwa ulimi mimi, na ndiyo maana nikataka kumuona huyo Suley kama atanitoa hizo nyeg* zangu zisizoisha.?
?Basi kwa hamu nilizokuwa nazo nilivua nguo na kuchukua kanga yangu nikajifunga kihasara?, ndani nikabaki na kichupi changu na dodo zangu niliziacha zipunge upepo wa feni kwani sikupenda kabisa kubana chuchu zangu?, pia ili hata kama Suley angefika muda huo basi aanze kunikanda tu sikutaka maongezi naye mengi zaidi ya kitu kilichotupeleka hapo Lodge.?
?Kweli baada ya muda kidogo Suley alinipigia na kunimbia yupo nje,? nikampa maelekezo ya chumba nilichokuwa, haikuchukua muda nikasikia mlango unagongwa,? Niliinuka na kwenda kumfungulia mlango, na kwa hamu niliyokuwa nayo nilimpokea kwa busu zito nikihitaji anipe Mate yake,? Suley alinisukuma kidogo na kunambia.?
?“Dija mama tulia kwanza usiwe na papara kiasi hiko.”? aliongea kisha akanitupia kitandani.
“Suley hujui ninavyoteseka mwenzio, ninahamu sana na wewe.”? Nilimjibu lakini Suley alionyesha kutokuwa na haraka na mimi badala yake akavua nguo zake na kuingia bafuni,? na hapo ndipo nilikumbuka nyeg* zangu zinanipeleka vibaya nikisahau kabisa kama kuna kufanya maandalizi ya kwenda bafuni kwanza.?
?Ilinibidi nimfuate Suley hukohuko bafuni kwani chumba kilikuwa ni self hivyo ilikuwa ni rahisi kwangu kujinogesha kwa Suley kuanzia hukohuko bafuni.?
?Tukiwa bafuni tulianza kuogeshana kwa madaha huku tukianza kuamsha hisia zetu.?, kwa kiasi fulani Suley alikuwa ni mtundu kwani aliutumia mwili wangu vile nilivyokuwa nikitamani kwa muda mrefu kufanyiwa,? yaani kidogo nilianza kujipa matumaini kwa mipapaso ya Suley.?
?”Aaaiiissss!! Uusinishiiike hukoo Suley jomoniii”? Nilisisimka sana mara baada ya mkono wa suley kupita katika vifungashio vyangu vya nyuma na baadae kupita katika vipele vidogo vidogo vya juu ya kipapatio changu mwili ukihisi kupokea joto la mkono wa Suley.?
?Sikutaka kuwa nyuma nyuma, nilikuwa nampapasa Suley, mpira wake wa maji uliokuwa unataka kutoa maji muda huo,? ukichanganya na povu la sabuni niliyokuwa nampaka.?
“Dija, acha usiendelee kuchezea. ?” Suley alininong'oneza kwa sauti yake nzito kidogo aliyoilemba kwa mahaba ndani yake,? Iliyonipenya mpaka kunako. ?
“Kwanini jamanii suuu....sule..oops! Nishike hapo hapo jamanii mpenzii.” ? Niliongea kwa kusitasita mara baada ya suley kupitisha kidole chake kwenye kinemb* changu, ? wakati muda huo kum* yangu ikiwa imeanza kuwa tepetepe na kuvimba kwa nyeg* zilizonidi mara dufu, na Suley alinikatalia nisimchezee tena Dudu lake lililokuwa limevimba haswa!.?
?yani kifupi nilianza kufaidi bado mapema tukiwa bafuni, ? Nikiwashusha kabisa vyeo Denis na Elly niliokuwa nimetembea nao wiki moja kabla ya siku hiyo kuwa na Suley. ? Tena ukiachana na Mack aliyenifumua Malinda nikaujua utamu wa kupukuchuliwa, ingawa siku ya kwanza Mack alinifanya vibaya mpaka nikakataa kumpa tena uchi wangu, ? ila kwa kuwa Rafiki yangu Lily alinishauri nirudie tena nitafaidi vizuri utamu basi nilirudia tena kumpa uchi Mack?, lakini tatizo lake nilikuja kuona kama hawezi kunipekenyua vizuri, ?.
?Na ndiyo maana nikatembea na Denis pamoja na Elly ili tu kutafuta mpekenyuaji wa kipapatio changu vizuri, lakini wote walikuwa ni wanafunzi kwa Suley aliyeanza kunionjesha utamu toka huko bafuni. ?
#Usikose kabisa sehemu inayofuata, mambo yanazidi kuwa moto
Jamani twende chapu , bonyeza LIKE 150 sasa hivi ili nipost EPSOD Y 3 ✨
Kila LIKE yenu ❤️ ndio nguvu ya kuendelea kuweka content bora zaidi kwa ajili yenu!
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni