Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Gonga94 · Stories

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 01
Leo nataka niwape story ya kijiji chetu,kuna story nyingi sana kuhusu kijiji chetu,hadithi nyingi sana zenye kusisimua!Mmmh!Ila kijiji chetu!Acha nigune tu maana mmh!
Jambo kubwa zaidi kwenye kijiji chetu bwana ni wageni,aiseeh!Kijiji chetu kinapendwa san asana na wageni,na siyo wageni tu kutoka Dar huko au hapa nchini,kijiji chetu kinapokea wageni kutoka ulaya,eeh!eeeh!Yaani hapa naongelea wazungu sasa,kutoka Marekani huko,Ufaransa,Denmark yaaani daaaah!
Eeh bwana eeh itoshe kusema kijiji chetu kinapendwa sana na wageni,najua unajiuliza kwanini kijiji cha TEGAMOYO kinapendwa hivi!Kama lilivyo jina lake,ukiingia kijijini kwetu bwana moyo wako uwe umeuacha huko kwenu!Najua hunielewi,ila sasa nakusanua,ukija na moyo wako uko wazi wazi lazima uondoke na mke au ubaki kuwa mwanakijiji wa Tegamoyo maisha yako yote!
Ndiyo,acha ubishi sasa mimi ndo nakusimulia ivyo,mpaka sasa huko kijijini kuna wanakijiji wazungu kibao,tena wanakipiga Kiswahili kama wamezaliwa huku huku!Tunakula nao ugali na tembele,dagaa mchele,kachumbari na mchuzi wa pweza!
Walikuja kama wageni ila mwisho wa siku wakajikuta wamekuwa wenyeji,mabinti wakaolewa na vijana wa Tegamoyo,lakini wanaume nao wakazama kwenye huba na mabinti zetu!Kwahiyo machotara Tegamoyo utakutana nao wengi mno!
Lakini siyo ivyo tu,huko ulaya kuna mabinti zetu wengi sana na vijana wetu!Wazungu wamekuja hapa wamewapenda wamewabeba wameondoka nao!Kwahiyo ndugu yangu tuna mbegu nyingi sana huko duniani,hahahaha!Oooh Tegamoyo,kijiji chetu kimebarikiwa bwana!Weee Tegamoyo weeeeh!
Tegamoyo,kijiji cha pwani,bahari ileeeee waiona,samaki wa kutosha,hatuna shida na mboga sisi,MUNGU anavyokipenda kijiji chetu,ukifika tu ufukweni we tupa ndoano,sema namtaka Kolekole,kibua,nguru,jodari!Aaaah MUNGU atupe nini wana Tegamoyo!?
Ardhi yenye rutuba haswa,hata ukisema unapanda mawe yanaota Tegamoyo,ardhi ya kijani,miti yenye kivuli tulizo la nafsi,Tegamoyo tunafuga nyama tunazo,kiufupi tulichokosa labda madini tu,lakini nayo tukiyatafuta vizuri tunayaona mbona!
Tunawapenda sana wageni,sababu wamebadilisha maisha ya kijiji chetu kwa kiasi kikubwa sana,japo hawajaharibu tamaduni zetu!
Wageni wametuletea nyumba za bati,wametuletea mitumbwi ya kisasa kwa shughuli zetu za uvuvi,lakini pia wametuchanganyia mbegu bwana,nisisahau mashule na vituo vya afya,ni hawa hawa wageni wetu wametufanyia wema huu!
Najua unajiuliza kwanini wazungu wanamiminika kuja kijijini kwetu,sasa mimi nakupa hii siri leo,bwana kijiji chetu kina wanawake warembo mno,maumbo yao,sura zao mama yangu weeeh!Sijawahi kumuona mwanamke mbaya Tegamoyo,na sidhani kama atakuja kuzaliwa!Hao vijana sasa ukiwaona walivyopanda hewani,humkuti mfupi hata mmoja wa dawa,ukiambiwa utafute mwasnaume mfupi Tegamoyo,hata wa dawa aaaah!tunakuzika mchana kweupeeeee!Mimi nakuambia ukiugua hapa kijijini kwetu,halafu mganga akuambie eti nenda kamletwe mwanaume mfupi ndiyo unapona,basi mi nakuambia ndugu yangu unakufa huku tunakuona!Hakuna binadamu mfupi hapa,labda wageni,na hata hao wageni wakijaga Tegamoyo ukiwa mfupi hakuna anayekubabaikia!Hutopata binti wala kijana wa kusuuza naye moyo!
Tegamoyo tunapenda sana wageni,na wao wanatupenda sana tu!Tunapokea wageni wote,ila sisi tunawapenda sana wazungu,sababu ya dola zao,ukimkaribisha mzungu kwako ujue umekaribisha pesa,umekaribisha dola za kigeni nyumbani kwako!
Wote wanaokaribisha wageni,mwisho wa mwezi huwa kuna bus la kwenda mjini,unakuta wamebeba dola zao wanaenda kubadilisha kuwa pesa za Mwalimu Nyerere!Wakirudi wanarudi wamejaa tele,wamenunua kama ni nguo,vyombo na kadhalika!
Kwa ajili ya wageni sasa kuna umeme wa Sola na REA,kuna TV za kisasa,kuna redio,na vingine vingi mno ambavyo hatukuwa navyo kabla!
Sasa nataka nikupe kwanza historia ya Tegamoyo,ndugu yangu vuta kiti ukae,maana hapa sijaenda bado kwenye visa vilee vya kusisimua!Baado sijakusimulia mambo mambo ya Tegamoyo,weeh!Kuna mambo humu,acha tu hawa wageni wana balaa wewe kijana wewe!
Basi bwana,hapo mwanzo tulikuwa sisi kama sisi,yaani hakuna wageni wala hakuna machotara,ilikuwa siku moja tu ndiyo ilibadilisha maisha ya kijiji chetu!
Siku hiyo binti mmoja alikuwa anaenda zake baharini kuogelea,basi binti yule wa kuitwa Moza,akafika ufukweni na kuvua nguo zake akaanza kuoga!Sehemu hiyo ni maalumu kwa wanawake tu kuoga!Basi wakati anaoga kumbe kuna mzungu mmoja mtembezi,namuita mtembezi sababu aliamua yeye na familia yake kuizunguka dunia na meli yao ya kifahari!Sasa katika pitapita zao ndiyo wakauona ufukwe wa Tegamoyo!Mandhari yake yakawavutia na kuamua kusimama hapo walau kidogo!
Mr Franklin akaamuru wakae hapo kwanza kabla hawajaendelea na safari yao,alikuwa na mkewe Rosa,pamoja na binti yao mrembo Blenda!
Sasa wakati ule wa jua kali,ni mara chache sana kumkuta mtu ufukweni,na hapa nikuambie tu,wanakijiji wa Tegamoyo hatupendi tabu sana,kwahiyo jua kali tunajifungia ndani na wake zetu tunaenjoi maisha!Hatujazoea maisha ya mateso kabisa!Kwanza wanawake wetu ni kama wa kitanga,wanajua kutudekeza bwanaaa!Basii basi tuendelee na Mr Franklin!
Sasa yule mzungu bwana wakati ametia nanga pale,akaanza kuzunguka huku na kule kuangalia mazingira,ndiyo katika pitapita zake akamuona Binti mrembo Moza anaosha mwili wake!Franklin akapagawa!Kwa kutembea kwake ni wazi hakuona kabisa mrembo kama yule machoni mwake!
Haraka bila kupoteza muda,akachukua kamera yake na kumpiga picha kadhaa Moza bila kujua kama anapigwa picha,ghafla katika harakati za kupiga mbizi ndiyo anamuona mzungu!
Moza alishtuka sana,haraka akatoka kwenye maji,sasa wakati anamshangaa mzungu,akasahau kama hana nguo yuko uchi!Ni kama alikuwa anajiuliza huyu kiumbe wa aina gani huyu!Kosa alilolifanya Franklin ni kupiga hatua kumsogelea!
“Mamaaaaaaaaaa!Jiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!”,hapo akatoka nduki nguo kashika mkononi,akaenda kuvalia mbele huko!
“Nooo!Wait!Please wait!”,alijarivu kumsimamisha Moza,lakini binti aliendelea kuchanja mbuga,na kijiji chetu kipo karibu na ufukwe sana,makelele ya Moza yakawafikia wanakijiji,wakatoka haraka kwenda kuangalia kuna nini?Wakakutana na Moza njiani yuko uchi wa mnyama!Wanawake wakamshika na kumvisha nguo kwanza!
“Jiniiii! Jini mama nimeona jiniiii!”,Moza aliendelea kupiga kelele!
“Moza ebhu tulia!”
“Nimeona jini mweupe mama ni jiniiiiiiiiii!”,mama yake alipoona binti hatulii,akamchapa vibao vitatu ndiyo akatulia na kutoa maelezo yaliyonyooka!
“Una uhakika umeona jini!?”
“Ndiyo nimeona!”
JE NINI KITAENDELEA?WANAKIJIJI9 WATACHUKUA HATUA GANI WAKIWAONA WATU WEUPE WAMEVAMIA KIJIJINI KWAO?

????SOMA VIPANDE YA MBELE VYA HADITHI HII KWA KULIPIA VIPANDE 10 KWA 1,000/= AU YOTE FULL KWA SH 4,000/=
NAMBA ZA MALIPO NI HIZI!
TIGOPESA ????0715919396
M PESA ????0760199396
Majina ???? JACKSON MAGOSHA
LIPA NAMBA M PESA 5892883
Jina???? MR MAMBO
????MTAG MWENZAKO...MWAMBIE TUMEWASHAAAAA!
????Bandika...Banduaaaaaa!
#LIKEEEEEEEEEEEEEEEEEE????

#KOMENTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????

#SHAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE????????????????
#ProfesaMambo
#GOD over everything!
[28/04, 11:05] Mr Mambo:
[20/08, 18:47] Tabasamu na Mambo:

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 01
Leo nataka niwape story ya kijiji chetu,kuna story nyingi sana kuhusu kijiji chetu,hadithi nyingi sana zenye kusisimua!Mmmh!Ila kijiji chetu!Acha nigune tu maana mmh!
Jambo kubwa zaidi kwenye kijiji chetu bwana ni wageni,aiseeh!Kijiji chetu kinapendwa san asana na wageni,na siyo wageni tu kutoka Dar huko au hapa nchini,kijiji chetu kinapokea wageni kutoka ulaya,eeh!eeeh!Yaani hapa naongelea wazungu sasa,kutoka Marekani huko,Ufaransa,Denmark yaaani daaaah!
Eeh bwana eeh itoshe kusema kijiji chetu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo-whatsapp-0715919396-umri-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo-whatsapp
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.56K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.44K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

1.16K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

361
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

215
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

181
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

150
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

63
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

41
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

34

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest