Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MTEULE WA KUZIMU  SEHEM YA KUMI
Gonga94 ยท Stories

MTEULE WA KUZIMU SEHEM YA KUMI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

tina alitetemeka akaona sasa mwisho wake umefika ,akajua anaenda kutolewa kafara viungo vyake vitundikwe kama vile anavyoviona, akamuona Mery akivua nguo zote akibaki kama alivyozaliwa,. Nilsahau kukwambia uvue nguo 'unaona watu wote wanaoingia ukumbini wapo Kama walivyozaliwa, ni kweli kwenye ukumbi ule wa kutisha kila mtu hakua na nguo wala hakuna anaemshangaa mwenzake,si mwanamke la mwanaume ,wote walikua bize kukaa nafasi zao .baada ya ote kuketi kilipita kiza cha ghafla ukafatia mwanga mwekundu, kila mtu aliinama kuonesha heshima isipokua watu wachache sana walioonekana kushangaa. Kikapita kimya kifupi sauti ikasikika "nimekuja kupokea na kuwaapisha watumishi wapya ',nawakaribisha sana kwa moyo wao wa kufanya kazi na sisi, hakika maisha yako huku, ss ndio tumeishika dunia, bila ss hakuna chochote duniani, naomba wageni wote wapya waje hapa mbele. Mery akamwambia Tina nenda usiogope huyo ndio mkuu wetu, hofu ilimtawala Tina 'akanyanyuka kwa woga akiwa na watu kadhaa hadi mbele ,ghafla akajikuta yuko sehemu tofauti kwenye chumba akiwa amesimama, akiendelea kujishangaa akahisi joto kali, jasho lilianza kumtoka, pembeni aliona bomba la maji ndipo akaona afadhali ajimwagie maji kidogo kupoza hali ya joto ,alipofungulia bomba, badala ya kutiririka maji zikatiririka damu aliruka toka pale moyo ukipiga kwa kasi, sauti ikasikika kuwa hayo ndio maji yetu Tina 'usiogope we ingia uoge utatamani usitoke jinsi utakavyojisikia raha, sauti ikaendelea kumhimiza ikimwambia ingia, ingia, akahisi kusukumwa na kitu akajikuta yupo kwenye zile damu zikimloesha mwili wake, ajabu alijisikia raha sana tofauti na anavyooga maji ya kawaida, kidogo akaanza kujisikia kiu kadri muda ulivyokua unaenda kiu nacho kilizidi 'akaanza kusikia kizungu zungu "oh Mery uko wapi mwenzio kiu kinaniua huku. Akaona glasi iliyojaa damu, macho yalimtoka, sauti ikasikika kunywa ni tamu zaidi ya kinywaji chochote ulichowahi kunywa ukiacha unakufa shauri yako, alionja kwa kutumia ulimi akakutana na ladha nzuri tofauti alivyokua akifikiri, akaipeleka glasi yote kinywani, mh mbona tamu hivi,yani kule hospitali huwa tunaona kinyaa kumbe nilikua sijui ,ikatokea glasi nyingine tena, wala hakujishaua akaichangamkia fasta, akaanza kusikia nyama zilizobanikwa zikinukia harufu tamu, Tina udenda ukaanza kumtoka wa kula nyama, hakujua ni nyama gani hizo, akaanza kufatilia harufu inapotokea alifika akakuta nyama zimebanikwa vipande vipande, akachukua kipande cha kwanza akakila, utamu aliousikia acha tu akavishambulia tani yake mpaka akashiba ,aliposegea mbele akakuta mikono, vichwa, miguu navyo vimebanikwa .mamaaa ina maana nimekula nyama za watu??,kidogo akaona mtu akija kwa kasi ameshika fimbo wakati bado akimtafakari akashtukia anatandikwa fimbo mfululizo alitaka kupiga kelele sauti yake haikuotoka, zile fimbo zilimpeleka chini. Tina akaona asipojitetea atauwa kutazama pembeni akaona kisu, ukichanganya hasira na maumivu aliyokuwa nayo aliinuka na kile kisu moja kwa moja akakizamisha kifuani, alikitoa akamchoma zaidi ya mala moja ,yule mtu akaanguka chini na kufa papo hapo, hasira zake ziliisha akajikuta ameua, mikono ilimtetemeka akakitupa kisu akaanza kukimbia, akajikuta yuko tena pale ukumbini 'sauti ikasikika "nashukuru Sana kwa kupata watu majasiri ambao hawataogopa kwenda kutekeleza kile tutakachoitaji, kila mmoja atatumia nafasi aliyonayo duniani kututumikia, kabla ya kuja hapa mlikua hamjawai kuua ila Leo kila mtu ameua, sidhani kama mtaenda kuogopa kuua. Tina alitaka kumuona anaeongea hakumuona ,na ni kweli katika maisha yake hajawai kuua wala kusubutu lakini Leo ameua. Hawakujua kama ni moja ya somo tu la kuwafanya wawe majasiri zaidi. Waligawiwa Pete.,hizo Pete tutatumia kuwasiliana na nyinyi, pia zitawasaidia kufanya maajabu, ni imani yangu mtakua watiifu nawatakia majukumu mema. Ule mwanga mwekundu ulipotea ukarudi wa kawaida, Mery alimkimbilia Tina 'hongera jamani, hongera sana, akimkubatia na kumbusu, sasa umekua Tina, nimeshukuru pale hospitali sasa tutakua wawili, twende tukawaoneshe kua wapo chini yetu, Tina alifurahi kimoyo moyo kuona kuwa nae ana nguvu kama za mery.Tina alimwambia Mery 'tuondoke basi maana nina zamu ya kuingia asubuhi. We si mgeni tena wala si mtu wa kawaida, tangulia mi nitakuja shoga, iamuru iyo pete ikufikishe nyumbani. Na kweli alivyoiamuru tu Tina akawa kwake, ilikua saa moja kasoro, haraka ajavaa nguo zake za unesi kuwahi zamu, alipofika walikabidhiana na nesi anaemaliza zamu, alipita kukagua wagonjwa alipomaliza akarudi kwenye chumba chao kupumzika akiukumbuka usiku uliopita ulivyomwingiza kwenye ulimwengu wa ajabu usingizi ukampitia,. We nesi, nesi, nesiii "ilikua sauti ya mtu anaemuuguza mgonjwa wake ikimuamsha Nesi Tina, akiwa bado kwenye uchovu wa usingizi alifikicha macho yake "unasemaje??, siyo unasemaje!!!!?, nyie manesi wa siku hizi hamna huruma kabisa, mgonjwa wangu analalamika kwa maumivu makali badala uje umsaidie we unasinzia, kwani umekuja kulala hapa?, huko kwenu hujaacha kitanda. kaka kua mstaarabu basi. We ndio umekosa ustaarabu, mgonjwa analalamika muda mrefu unakoloma tu hapa. Nesi Tina hasira zilimshika mpaka mdomo wake wa chini ulicheza, alimtazama kwa jicho kali kisha akasema "naona unanifundisha kazi sawa nimekuelewa nenda, nakuja kumhudumia sasa hivi mgonjwa wako. Jamaa aliondoka akitabasamu kwamba amemkomesha " hawa manesi wa siku hizi ndio dawa yao ukijifanya kuwaogopa mgonjwa wako atateseka bure .Nesi Tina akiwa amefura hasira alichukua chupa yenye sumu akaelekea kwenye kitanda cha yule mgonjwa.Naomba unipe bomba lake la sindano na hiyo chupa ya dawa, alipopewa aliichanganya ile dawa na sumu aliyokuja nayo, akaivuta kwenye bomba la sindano, akamchoma begani. Haya kaka tayari nishamtibia mgonjwa wako una lingine?? , hapana nesi nashukuru sana
ITAENDELEA

FULL 1000
0699286085

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTEULE WA KUZIMU SEHEM YA KUMI


tina alitetemeka akaona sasa mwisho wake umefika ,akajua anaenda kutolewa kafara viungo vyake vitundikwe kama vile anavyoviona, akamuona Mery akivua nguo zote akibaki kama alivyozaliwa,. Nilsahau kukwambia uvue nguo 'unaona watu wote wanaoingia ukumbini wapo Kama walivyozaliwa, ni kweli kwenye ukumbi ule wa kutisha kila mtu hakua na nguo wala hakuna anaemshangaa mwenzake,si mwanamke la mwanaume ,wote walikua bize kukaa nafasi zao .baada ya ote kuketi kilipita kiza cha ghafla ukafatia mwanga mwekundu, kila mtu aliinama kuonesha heshima isipokua watu wachache sana walioonekana kushangaa. Kikapita kimya kifupi sauti ikasikika "nimekuja kupokea na kuwaapisha watumishi wapya ',nawakaribisha sana kwa moyo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mteule-wa-kuzimu-sehem-ya-kumi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mteule-wa-kuzimu-sehem-ya-kumi
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest