Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MTOTO WA BOSS  Sehem ya pili   Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!
Gonga94 ยท Stories

MTOTO WA BOSS Sehem ya pili Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Habari kaka alisalimia wangesi
Fresh kwan vipi alijibu dereva
Hapana kaka nimeona unahangaika hapa muda mrefu Mimi nilikuwa naanda shamba pale hivyo nimekuja kujua tatizo ni nini tusaidiane hat kwa mawazo
Hata kama ukijua huwez kuwa na msaada wowote hapa kama nimeshindwa Mimi mtoto wa mjini utaweza wewe mtoto wa shamba we endelea kuandaa shamba
Hapana kaka mawazo tu ni msaada tosha alisema wangesi
Hebu toka kwanza huend wew unataka kuniibia alisema dereva

Gafl sauti ya msichana ilitoka ndani ya gari lile ikilalamika majibu ya dereva wake alianza kumtetea Wangesi alisema ahaaaaaaaaaa kaka muache atusaidie bwana mbona hivo huyu ni mwenyeji wa sehemu hii huenda akawa anapafahamu vizuri embu mpe nafasi atusaidie!

Dereva alisema na wew Monica endelea kukaa huko huku hayakuhusu Mimi niko na huyu jamaa

Monica alisema kaka tunachelewa embu mruhusu atusaidia maana muda unaenda sana!

Hapo dereva alimuita wangesi aliyekuwa ameshaanza kuzipiga hatua kadhaa kuelekea shambani kwake ailiita we jombaaaaaa brother nakuomba kidogo .

Wangesi aligeuka na kusimama muda huo alirudi kwa ajili ya kumsikiliza dereva yule wangesi alifika na kuitika wito

Dereva alianza kuomba radhi na kusema samahani kaka naomba utusaidie nisamehe kaka!
Wangesi hakuweza kuongea kitu alijisemea ufundi wangu utakujibu pumbavu wew.

Muda huo wangesi alifunua gari mbele ya bodi na alianza kutengengeneza na alikuta hitirafu kwenye betry ya gari kuna waya ulikatika hivyo aliunga kufunika tena derveva wa gari lile hakuwa na ujuzi wowote zaidi ya kuendesha tu!

Wangesi alimaliza na aliingia ndani ili kuendesha gari lile duuuuu alipoingia alikutana na msichana nzuri sana kiasi kwamba alihisi mwili kusisimuka alijikaza na kuanza kulitoa gari mahali pale na kulipeleka sehemu nzuri

Alifanikiwa kuliwasha na kulitoa sehemu ile muda huo Monica aliyekuwa amekaa nyuma alianza kuvutiwa na kazi nzuri ya kijana Wangesi baada ya Wangesi kuhakikisha kuwa gari liko sehemu salama alimgeukia Monica alitabasam na kusema mnaweza kuendelea na safari gari iko salama

Monica alishukuru na dereva wake aliingia na kuanza kuendesha gari lile!
Monica alianza kufikilia tabasam la kijana Wangesi

Wangesi alizipiga hatua kuelekea shambani kwake!

Muda huo Monica alizidi kufikilia tabasamu la Wangesi na alianza kuwaza atampata wapi ...ikiwezekana aweze kuongea nae lakini asingeweza kumpata maana alikuwa anapelekwa shule na huko atakaa muda mrefu sana !

Huku wangesi aliendelea na kazi yake akiwaza kwenda mjini kutafuta kazi muda huo maana ufundi wake anaiamini na udereva wake pia siku hio ilipita alimaliza kazi zake na kurudi nyumbani kama kawaida yake hakuweza kumsimulia mtu yeyeto yaliyotokea shambani alibakia kuwaza tu uzuri wa Monica muda huo japo asingeweza kumpata

Maana hakupatiwa namba wala yeye kuwapatia namba za simu ilifika muda akasema haitowezekana kuonana nae tena hivyo ngoja nifanye mambo yangu!

Asubuhi mvua ilinyesha sana na muda huo mtaa wa pili kutoka kwa nyumbani kwa mzee Kamau kuna msiba ulitoke kuna binti aitwae Salome alibakwa na kufa hivyo watu walikusanyika kushuhudia tukio lile kitu ambacho kiliwasikitisha wengi na ndugu wa salome walitoa taarifa kwa ndugu na jamaa ambapo police walikuja kufanya uchunguzi na baadhi ya vijana walichukuliwa huku wengi walikimbia mazingira yale

Muda huo Wangesi alikuwa hajui lolote kuwa police walikuja alishangaa tu anakamatwa muda huo wananchi wengi walisema huenda ni yeye maana hana mwanamke na hawajawahi kusikia kuwa mchumba wake ni yupi muda huo akichukuliwa na kupelekwa kituoni kwa ajiri ya kuchukuliwa maelezo alifikishwa na kuwekwa sehemu ya mahojiano aisee wangesi alipigwa pamoja na wenzake

Kulingan na ukaidi alikuwa nao wangesi police walimuonea sana maana alipigwa huku alikuwa haongea chochote alijua kabisa kuwa sio yeye na hawafahamu waliofanya vile!

Walisoteshwa kwa muda Kule police na waliweza kuhukumiwa miezi sita jera muda huo wangesi shuguli zake zilisimama na kama ujuavyo jela wangesi alionewa sana na wenzake kwa muda akiwaza kutoroka lakini akiwaza ataelekea wapi wakati alipelekwa kwa gari na hakuweza kuiona njia ya kupitia wangesi alikonda na mwili wake ulipungua sana

Kwa muda huo aliamua kuvumilia tu maana miezi sita sio mingi japo ataharibikiwa na mambo mengi baada ya kuvumilia na hali iliyopo alianza kufanya kazi za jera akiwa na wenzake na hali ile ya ufungwa akaizoea na mwili wake ulianza kurudi

Muda ulienda na miezi sita ilikatika watu wale waliachiwa huru baada ya kumaliza kifungo chao wangesi na wenzake waliachiwa baada ya kuonekana hawana kosa lolote

Wangesi hakutaka kurudi nyumbani tena maana alipachukia tangu siku hio baada ya kupewa vitu vyake aliwatoroka wenzake na hawakujua ameelekea wapi waliamua kurudi zao nyumbani huku wakimuacha Wangesi mjini na dhamira ya Wangesi ulilikuwa ni kutafuta kazi ya kufanya yoyote atakayoona lazima angefanya tu!
Baada ya kuwatoroka wenzake Wangesi hakuwa na sehemu ya kuishi aliamua kujificha kichakani usiku huo na uaingizi ulimpitia alisinzia sana kichakani pale kulingana na maisha ya mbanano huko jera sehemu ya kulala ilikuwa mbaya sana hivyo sehemu ile alipaona ni pazuri mno

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTOTO WA BOSS Sehem ya pili Wangesi alimsalimia tena lakini dereva alimjibu kwa nyodo!



Habari kaka alisalimia wangesi
Fresh kwan vipi alijibu dereva
Hapana kaka nimeona unahangaika hapa muda mrefu Mimi nilikuwa naanda shamba pale hivyo nimekuja kujua tatizo ni nini tusaidiane hat kwa mawazo
Hata kama ukijua huwez kuwa na msaada wowote hapa kama nimeshindwa Mimi mtoto wa mjini utaweza wewe mtoto wa shamba we endelea kuandaa shamba
Hapana kaka mawazo tu ni msaada tosha alisema wangesi
Hebu toka kwanza huend wew unataka kuniibia alisema dereva

Gafl sauti ya msichana ilitoka ndani ya gari lile ikilalamika majibu ya dereva wake alianza kumtetea Wangesi alisema ahaaaaaaaaaa kaka muache atusaidie bwana mbona hivo huyu ni mwenyeji wa sehemu hii huenda akawa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtoto-wa-boss-sehem-ya-pili-wangesi-alimsalimia-tena-lakini-dereva-alimjibu-kwa-nyodo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtoto-wa-boss-sehem-ya-pili-wangesi-alimsalimia-tena-lakini-dereva-alimjibu-kwa-nyodo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

503
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

253
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

239
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

232
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

231
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

146
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

94

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest