Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,

1st Jun, 2025 Views 412

????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 21, 22,

Endeleanayo.....
*
Dayana alitoa macho kama mjusi kabanwa na Mlango, Aliinuka kwa hasira na kwenda chumbani kwa Frenk huku anahema utadhani anakimbuzwa..

*******
*******
" "" "" Weeeeeehhhhh Frenk, Mpuuuuzzziiiiiiii weweeeeee...
Weeee frenk weweeeee..

Aliongea Dayana kwa ukali huku anapiga hatua kunifuata kitandani nilipokuwa nimejilaza..
*
*
*****
Nilibaki nimeduwaa nisielewe anamaanisha nini yule binti.. Niliinuka na kukaa kitandani huku naendelea kumtazama...

Alinifikia na kunizaba kofi zito shavuni huku ananitolea macho kwa hasira hadi machozi yanamtoka....

"" "" kuna nini dayana mbona mimi sikuelewi jamani. Niliongea kwa sauti ya upole nikiwa naamini lazima kuna jambo ambalo si la kawaida huenda kalijia... "" "

."""""" Freeenk... Freeeenk... Freeeenk... Alitamka dayana huku akishindwa kuongea zaidi na kubaki analia kwa sauti...

Nilikuwa kimya huku natafakari kitu gani nimefanya na taratibu nilikumbuka kuwa jioni ya siku ile nilikuwa nimemalizia kutoa bikira ya Mariana na alitoka sebuleni akiwa anatokwa na damu...

"" "" "" Mariana amekwambia.???? Dayana plz nieleze kama umeambiwa na mdogo wako... Niliongea huku natetemeka...

"" "" "Frenk.. Damu ya mdogo wangu iliyotapaakaa kwenye mashuka itakugharimu nakwambia... Nakwambia damu kama ile itakutoka pia..
Aliongea Dayana huku analia na kugeuka kurudi ndani kwao...

Niliendelea kutafakari huku mapigo ya moyo yanaenda mbio sana..
Ukimya wangu wote ulikuwa ni wakutafakari nini anataka kunifanyia yule binti..

"" "" Alafu huyu mtoto amekaa kifedhuli fedhuli tu, asijenitafutia manjemba wakanifanyizia makalio yangu..
Niliwaza na kucheka mwenyewe utadhani mazuri....

Nilivuta shuka na kulala..

******
******
******

HUKO DAR ES SALAM ilikiwa ni usiku sana na mazungumzo baina ya Mama yake Dayaa na Lidya yalikuwa yakiendelea....

"" "" "" kwanini umesema muhusika huenda akawepo pale pale nyumbani kwangu.?? Aliuliza mama yake Dayana huku anamtazama Lidya...

"" "" "" sikia mama, kulingana na tukio lilivyokaa huenda kuna mtu wa karibu yako au anae ishi kwako kahusika.. Huu ni mchezo unachezewa na huenda huyo mtu analengo baya sana na wewe..
Aliongea Lidya na kuinuka kwenda kwenye Fruji kuchukua Chupa ya Dodoma Wine na Glass mbili..

"" "" "" Daktari.. Unatumia hii kitu.??? Aliuliza Lidya...

"" "" Ndio natumia, nitaachaje kutumia mali za nchini kwangu jamani..
Wagogo wanaita Chozi la Zabibu...
Alijibu Dokta Moureen ambaye ni mama yao akina Dayana na Mariana...

"" "" "" " Sikiliza binti.. Kama muhusikaa yupo kwangu basi huenda ni Frenk.. Wanangu nimewalea kwa maadili na hawana muingiliano na watu wa njee hata kidogo..
Pia nyumba yangu inalindwa kwa fensi ya umemme na Camera zipo kila kona ya nyumba..
ALIONGEA mama yake Dayana..

"" "" " Kama CCTV camera zipo nyumbani kwako basi usijali tutabaini tu kama kuna mtu huwa anakuja kwako.. Usijali kesho inabidi tuende Moshi kwaajili ya kazi hiyo...
Pia kama Mchezo huu Frenk anahusika lazima aumie....
Lidya aliendelea kuongea na kumshika mkono yule mama kuelekea chumbani wakalale..

**********
Yule mama aliingia kuoga na kuvaa nguo za kulalia na Lidya pia alifanya hivyo na kila mmoja kujifunika shuka huku wanatafakari baadhi ya mambo...

"" "Lakini Mwanangu Lidya. Sijategemea kama wewe ni binti mwema kiasi hiki..
Kuna muda huwa nawaza kama huenda Frenk anahusika kwenye hili lakini nikiwaza zaidi naona hapana.. Kwanini aniunganishe na wewe kama na yeye ni muhusika.??

Huenda kuna mambo mengi napaswa kuyajua kuhusu hatma yangu kwenye hili jambo..
Aliongea Mama yake Dayana kisha kuvuta shuka na kugeukia upande wa pili ili alale...

ENDELEA...

"" "" "" Sikiliza mama.. Mimi ni mpelelezi hata kwenye kundi langu la wana Intelihensia...

Mkuu wangu ananipa Oda ya kazi za kufanya lakini hata yeye nampeleleza bila kujijua.. Kwahiyo mimi nafanya kazi kwa Kiapo nililo apia taifa langu...

Naweza ficha ufedhuli mmoja ukaja kuwa tatizo kwenye taifa langu na ikawa laana kwangu na vizazi vyangu...

Kwahiyo hatakama Frenk anahusika basi lazima awajike kwasababu ya Haki, usawa na Amani kwa watu wote..
Mimi na yeye ni marafiki ila akiwa mkiukaji wa sheria nitamuwajibisha tu..
ALIONGEA LIDYA NA KUVUTA SHUKA KULALA PIA...

****
****
****

HUKO MOSHO NYUMBA BADO ILIKUWA KIMYAA....

Dayana alikuwa anakusanya mashuka machafu na kwenda kuloeka na sabuni ya unga bafuni,
Alimnawisha mdogo wake na kumvalisha Ped ili asiendelee kuchafua mashuka mengine..

Alimaliza na kumlaza mdogo wake kitandani..

"" "" Poleee mdogo wangu ila nakuomba sana usije Mwambia mama hili suala.. Mimi mwenyewe nitamalizana na Frenk...
Leo leo lazima aumie huyu mbwa....
Aliongea Dayana na kumkumbatia mdogo wake ili walale...

Mariana alipitiwa na usingizi ila dayana alikuwa macho bado anatafakari nini cha kumfanya Frenk...

"" "" "Kesho nitoke nikaweke mipango na mpenzi wangu ili kuandaa wababe hata watatu waje kumfanya kama alivyomfanya mdogo wangu..
Lazima ajue maumivu aliyo yapata mdogo wangu ili asirudie kumfanyia mtoto mwingine ule upuuzi..
Aliwaza Dayana na kuzima Taa kisha kulala...

Usiku ulikuwa mzito sana na kila mmoja kwenye kona yake alikuwa amelala...

HUKO DAR ES SALAM wote Lidya na Mama yake Dayana walikuwa wamelala,,

Hadi Adhana yakwanza ya Alfajiri inasikika walikuwa bado wamelala,
Lakini sauti ya zile Spika zilimwamsha mama yake Dayana na kukaa kitandani..

Aliwaza kwa muda na kumuamsha Lidya pia...

"" "Tunapaswa kuanza safari ya kwenda Moshi sasa...
Hakuna haja ya kutumia Basi.. Tutapanda ndege asubuhi hii naamini tutapata Private jet itakayo tubeba sisi wawili tu...
ALIONGEA MAMA YAKE DAYANA...

Lidya aliamka na kuingia bafuni kuoga. Yule mama pia aliingia bafuni na kuoga kisha kuvaa na kuwa sawa..

Walipendeza sana, ila Lidya alikuwa amevalia Suruali yake ya Jeans na Koti ndefu kiasi fulani na bastola yake alikuwa ameichomeka kiunoni... Kwa haraka ukimtazama lazima utajua huyu si binti wa kawaida...

Walitoka na kuita Tax kisha kuelekea Uwanja wa ndege... Walipata ndege ya Private (binafsi) na kuanza safari ya kwenda moshi...

Walitumia kama Lisaa limoja na Dakika Ishirini hadi kufika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro..

Kulikuwa kumeanza kupambazuka, ilikuwa saa 12 na madakika asubuhi...

Walipanda Tax na kuelekea nyumbani kwa Dokta Moureen bila kutoa taarifa..

Walifika na kumkuta Dayana ndio anafungua mlango ili atoke kwenda kwa mpenzi wake...

Dayana alishtuka sana baada ya kumuona mama yake ndio anashuka kwenye Tax..

Alipotezea tu na kwenda kuwapokea kisha kuingia nao ndani.

"" "" "" Alfajiri hii unaenda wapi Mwanangu..... Aliuliza mamaa yake Dayana huku akimtazama mwanae kwa macho makali sana...

"" "" Mama, nilisikia kama gari njee ndio nikatoka kufungua geti...
Alijibu Dayana...

"" "" "" Unanifanya mtoto eti.. Kuja kufungua geti ndio ujipake mapoda kiasi hicho na kujipulizia pafyum na kuvaa raba...
Hivi unanifanya mimi mtoto etii....

Hembu kaweke haya mabegi chumbani kwangu.. Utanieleza vizuri we ngoja....

Aliongea Mama yake Dayaana na kumkaribisha Lidya kwenye Kochi...

Muda wote huo Lidya alikuwa makini kumtazama Dayana Machoni.. Nadhani kuna jambo tayari alianza kuhisi...

Baada ya muda wakiwa wanaongea.. Frenk pia alitoka ndani kwake na kwenda kuwasalimia kwa Furaha sana..

Kelele zile sebuleni zilimuamsha na Mariana aliekuwa bado amelala..

Aliamka pia na kwenda sebuleni huku anachechemea sana...

Alivyomuona mama yake,
Mariana alimkimbilia na kumkumbatia mama yake huku anatokwa na Machozi...

Dokta Moureen alimkumbatia mwanae na kumshika kichwa kumtazama usoni....

"" "" "" Umefanya nini miguuni mwanangu mbona unatembea hivyo..
Aliongea Mama yake Mariana....

Mariana Aligeuka na kunitazama machoni kwa hasira kisha kushusha pumzi na kugeukia kwa Mama yake....

ENDELEA....
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest