Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

?NASEMA KWA MAMA

"" "" "" Hapana mama.. Usichukie.. Huyu binti siyo mtu mbaya. Na angekuwa ni mbaya kwako angekuacha hata ufie porini...
Kwanini kakusaidia ndio swali la kujiuliza.. Jana amekesha hapa hadi kunapambazuka ili kujua hali yako. Angekuwa ni mbaya kwako sisi tungekwambia ukweli.
Mimi ni daktari hapa kwa zaidi ya miaka ishiri sasa. Nimekutana na matukio mengi sana.....
Nakuomba msikilize huyu binti huenda ni msaada kwako....
Aliongea Daktari mmoja huku anamtazama yule mama kwa umakini sana...

"" "" "Uuuhhhhh.. Kwanza naombeni nipewe dawa nilizohitaji nijitibu upesi kisha mengine yafuate..
Alishusha pumzi yule mama na kuongea....

Nesi alieagizwa alikuwa ndio anaingia kwa muda ule na madawa aliyoagizwa...

Yule mama aliyapokea na kuanza kujitibu baadhi ya makovu na kumeza dawa ya maumivu..
Alikunywa na maji ya kutosha kisha kukaa vizuri kitandani...

"" "" "Hapa sawa... Pia msishtuke madaktari.
Mimi pia ni daktari tena bingwa sana hasa wa mifupa.. Nimejaribu kujikagua hapa hakuna sehemu nimevunjika, ni maumivu ya hapa na pale tu.. Lakini ndani ya dakika chache nitakuwa sawa.
Mnaweza kuondoka madaktari mniache niongee na huyu binti..

Aliongea yule mama na kumtazama Lidya aliekuwa kimya tu akitazama matukio yote...

Madaktari walitoka wakabaki wawili tu mule ndani..

""""""Mama.. Kwanza nitangulize pole na Samahani sana....
Jana nilikuwa na kazi ndiomaana nikachelewa kidogo kufika ulipo niita..
Nilivyofika pale nikaambiwa kuna mabinti wawili walikuja kukuchukua..

Nilihisi kuchanganyikiwa sana.. Nilimpigia Frenk lakimi hakupokea sim.. Nilikupigia sana na wewe pia ila hukupokea sim...
Hapo niliamini umetekwa mamaangu...

Lakini usiwe na shaka. Upo kwenye mikono salama kuanzia sasa.. Kuna watu walijaribu kudukua taarifa zangu na m kuanza kufuatilia kila simu ninayo ongea..

Kama unavyojua mtu anae tetea haki huwa na maadui wengi sana...

Naomba nisamehe mama.. Mengi utayajua tukifika nyumbani.. Kwasasa unajisikiaje.???

Lidya aliongea kwa hisia sana hadi machozi yalikuwa yakitaka kumtoka...
********

"" "" "" Basi binti.. Nimekuamini. Naomba uniimarishie ulinzi tafadhali... Nimetokea kupachukia sana hapa Dar es salam..

Nakuomba tutoke hapa hospitali, naendelea vyema sasa..

Nipelekea pale Lodge nilipochukua chumba ili nikafuate baadhi ya nguo zangu kisha nihame kabisa maeneo yale...
Mama aliongea na Lidya aliitika..

Lidya alishika simu yake na kuita Tax upesi..

Muda huo mama hakuwa na maumivu yeyote. Dawa alizomeza zilisaidia kumaliza maumivu kwa kiasi kikubwa..

Walitoka njee ya hospitali na dakika si nyingi Tax ilifika kisha kuondoka..

"" "" Tupeleke maemeo ya Ubungo.. Aliongea Lidya na Tax iliondoka..

Hawakuwa na maongezi sana wakiwa kwenye tax, ilitembea hadi ubungo..

"" "" "Haya nenda mbele kidogo.. Ingia kulia nyumba ya Ubungo plaza hapo.. Haya kata kushoto.. Okyyyyyy... Simamisha kwenye Lodge unayo iona hapo mbele.." "" " Aliongea Lidya....

Walifika wakashuka kisha yule mama akaingia chumbani kwake na kuchukua vitu vyake..

Kwasababu alilipia siku mbili basi hakusumbuliwa....
Alibeba mizigo yake yote na kupakia kwenye gari kisha wakaondoka...

" "" "Tunaenda wapi.????? Aliuliza mama yake dayana..

" "" "Nyumbani kwangu ndio utakuwa salama zaidi kuliko sehemu nyingine yeyote kwa hapa mjini...
Pia kuna mtego tunataka tumuwekee yule mzee aliekuteka...
Aliongea Lidya na kumtazama yule mama.....

" "" "" Sawa........ Nimetokea kukuamini.. Naomba unilinde hadi nitakapo rudi salama kwenye majukumu yangu Moshi.. Pia kama kuna tatizo la pesa utaniambia tutaongeza sawa.?????
Aliongea mama yake Dayana....

Gari ilitembezwa kwa mwendo wa haraka hadi Sinza Mori alipokuwa akiishi Lidya.. Nyumba aliyopangishiwa na Boss wake..

Lidya alilipia tax na kuingia ndani wakiwa na yule mama..

Waliketi kwenye kochi kisha Juice ya matunda ikaletwa na mazungumzo yalianza kuhusu baadhi ya mambo...

Siku ya Leo lidya alikuwa na usingizi sana kwasababu hakupata mda wa kulala vizuri kwa takribani Siku mbili...

*************

"" "" "" Mama yangu... Nadhani hadi unakuja hapa ni kwamba tayari unaijua kazi yangu...
Mimi nipo kitengo cha intelijensia ndani ya jeshi la ulinzi na usalama wa raia...
Nadhani mambo yote Frenk alishakwambia kiundani zaidi.. Sina haja ya kuyarudia sana...

Pia naomba nikutoe hofu kwasababu najua ulitekwa na kuteswa na bado unahofu sana hata na mimi au Frenk...

"" "" Mama Frenk ni mtu Mwema sana na nimesoma nae elimu ya Sekondari tena alikuwa rafiki mkubwa sana kwangu....
Kwahiyo hadi wakati najiunga na jeshi Frenk alikuwa akijua..
Hadi nakwenda Marekani kuongeza ujuzi na hatamie kupewa kitengo cha siri kama hiki pia Frenk alikuwa akijua...

Ndiomaana hata ulivyopatwa na tatizo Frenk alikuagiza kwangu kwasababu ananijua vyema....
**********

Pia nadhani unajiuliza sana kwanini ulitekwa.?????

Ukweli ni kuwa hiviii....

Kwa kazi ngumu kama hizi lazima niwe na maadui...

Kwa jana nilisahau nikakupigia simu kwa namba zangu za kawaida ambazo najua kabisa lazima kuna watu wamedukua na kusikiliza maongezi yangu...
Nilipaswa kukupigia kwa namba za Kazini ambazo hakuna mtu wa kuweza kudukua mawasiliano yale.
Naomba nisamehe kwasababu mimi ndio chanzo cha yote hayo.....

Pia ninamashaka sana kuwa aliekuteka ni mzee mmoja anayo kampuni ya kuingiza na kutoa mizigo Tanzania na China...

Yule mzee anatabia mbaya sana ya kuajiri watu kwa kutaka apewe rushwa ya ngono...

Kama mpelelezi basi ilinibidi nikaombe kazi ili kujithibitishia hilo na nimpeleleze kwa undani zaidi.,

Baada ya kumpa taarifa zile mkuu wangu wa Upelelezi hakufurahi sana, nadhani walikuwa na urafiki na yule mzee..
Kwahiyo mkuu wangu aliamua kumpa ukweli boss kuwa mimi ni mpelelezi kwake na siyo mfanyakazi..

Yule mzee ilibidi adukue mawasiliano yangu ili ajue vyote ninavyo vifanya..

Pia alinitafuta na kuniwekea mtego wa kutaka kunibaka mbele ya walinzi wake,
Nashukuru nilifanikiwa kumdhibiti na kuwapiga walinzi wake pia....

Baada ya hapo tulienda kumtupa mzee yule kwenye misitu ya kibaha nikiwa nimempotezesha fahamu....
******

Kilichonifanya niamini kama ni yeye muhusika wa tukio hilo, ni kwamba alikutupa na wewe kwenye sehemu ileile niliyowahi kumtupa yeye...

KWAHIYO HUO NDIO MKASA WENYEWE KWA UFUPI...
ONDOA SHAKA JUU YANGU NA JUU YA FRENK... sisi ni watu wema na nipo kwaajili ya kuwasaidia...

Alimaliza kuongea Lidya na kuinua glass ya Juice kisha kunywa fundo moja zito...

*****
*****

"" " Pole sana Lidya... Umenifumbua mengi nisiyo yafahamu kuhusu wewe..
Kwasasa ninakuamini na tunaweza kuendelea na kazi iliyonileta hapa..
******

" "" "Mwanangu.. Kwa ufupi ni kwamba... Frenk alivyofika Moshi ilibidi nimpe makazi kwenye nyumba yangu.
Kwasababu alikuwa ni mwalimu basi niliona atanisaidia kumfundisha mwanangu hata baadhi ya masomo....
Aliendelea kuongea yule mama.....

" "" "" Lakini bahati mbaya nilijikuta nimeingia kwenye dimbwi la kumpenda Frenk, nilijikuta naingia kwenye mapenzi na kijana yule na siku hiyo tulikutana Lodge na kufanya mambo hayo..

Chaajabu ni kwamba... Nilitumiwa picha za chumbani nikiwa na Frenk na hata video tuliyokuwa tukifanya mapenzi..
Pia mtu huyo alitaka nimpe Milioni 30 ili asisambaze habari zile kwenye mitandao....

Niliwaza sana kwasababu nikimpa hizo pesa huenda akanisumbua tena kutaka zingine zaidi kwasababu wao wanazo picha na video zote na wananitisha kuzisambaza mitandao..

Hii ni kashfa kubwa sana kwangu kwasababu ninaheshimika sana pale Moshi...
Mimi ni daktari mkubwa sanaa na ninayo hospitali kubwa pia inayokaribia kuitwa ya rufaa sasa kwasababu ya huduma zipatikanazo hapo....

Hizo picha zikisambaa ni kashfa kubwa sana...

Aliongea mama yake Dayana huku anamtazama Lidya kwa umakimi sana...
*********
*********

Usijali mama.. Hilo tutalitatua.. Je Naweza kuona hizo picha ili nijue namna gani zilipigwa na je ni nani aliepiga.. Huenda ni mhudumu kahusika au hakuhusika...
Aliongea LIDYA..

Picha nilizibeba jana na nilipoteza baada ya kutekwa.... Sikujua ni wapi niliziacha.....

Lakini kuna baadhi nilizihifadhi kwenye begi.. Niliogopa kuzibeba kwasababu zilikuwa za uchi sana na tulikuwa tupo kwenye Tendo la ndoa....

Aliongea Dokta kwa hofu huku anafungua moja ya mabegi yake...

Alitoa picha zilikuwa za kudhalilisha sana... Lidya alizitazama kwa muda na kumrudishia yule mama zile picha....

"" "" Mmmmhhh Frenk nae jamani... Aliwaza Lidya kimya kimya na kujikuta anacheka kwa Sauti....
Alishika mdomo kujizuia na kuinuka kukimbialia ndani kwake...

ITAENDELEA.....

Full 1000.
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********


?NASEMA KWA MAMA

"" "" "" Hapana mama.. Usichukie.. Huyu binti siyo mtu mbaya. Na angekuwa ni mbaya kwako angekuacha hata ufie porini...
Kwanini kakusaidia ndio swali la kujiuliza.. Jana amekesha hapa hadi kunapambazuka ili kujua hali yako. Angekuwa ni mbaya kwako sisi tungekwambia ukweli.
Mimi ni daktari hapa kwa zaidi ya miaka ishiri sasa. Nimekutana na matukio mengi sana.....
Nakuomba msikilize huyu binti huenda ni msaada kwako....
Aliongea Daktari mmoja huku anamtazama yule mama kwa umakini sana...

"" "" "Uuuhhhhh.. Kwanza naombeni nipewe dawa nilizohitaji nijitibu upesi kisha mengine yafuate..
Alishusha pumzi yule mama na kuongea....

Nesi alieagizwa alikuwa ndio anaingia kwa muda ule na madawa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-15-na-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.15K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

602
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

528
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

499
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

199
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

176
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

111
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

86
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest