Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????
NASEMA KWA MAMA
SEHEMU YA 13 na 14*
*****
Lidya aligeuza gari aliyokuwa anaiendesha na kuanza safari ya kuelekea Kibaha..

Akiwa njiani alishika simu yake na kumtumia Frenk ujumbe ili apate picha za huyo mama ambae alipaswa kuonana nae..

"" "Picha zake sina labdaa niende sebuleni kupiga baadhi ya picha zilizopo ukutani.." "" "
Frenk alijibu ujumbe...

" "" "Sasa hilo ni lakuniambia mimi kweli au ulipaswa kujiongeza tu na kunitumia hizo picha.. Hembu changamka.." ""
Lidy alijibu ujumbe kwa haraka huku anaendelea kuendesha gari...

Dakika kadhaa baadae alitumiwa pich alizohitaji.. Alizitazama na kuikariri sura ya huyo mama...

Aliendelea kukimbuza gari hadi kibaha.. Alifika na kukuta gari la polisi linambeba huyo mama kwaajili ya kumpeleka Mochwari....

Lidya alisimamisha gari lake na kuawafuata wale polisi, aliwasogelea na kuwaonyesha kitambulisho chake kuwa yeye ni afisa wa usalama na alitaka kuukagua huo mwili...

Alipata ruhusa na kufunguliwa mlango wa nyuma wa gari la polisi....

Lidya aliwasha tochi kwenye simu yake na kiingia ili kuutazama mwili...
Aliukagua vizuri na kubaini kweli ndiye mama alietakiwa kuonana nae..

Lidya alimshika yule mama mshipa wake wa fahamu shingoni na mkononi na kubaini kuwa bado yupo hai yule mama na hakuwa amekufa kama alivyosikia..

"" "" mnampeleka wapi sasa.??? Aliuliza lidya....

"" "" tunampeleka Mochwari hapo kwenye Hospitali ya Kimara mwisho... Alijibu askari mmoja kwa kujiamini..

"" "" "Hamna akili wapuuzi nyie... Hivi mnampeleka mochwari mtu aliekuwa hai...
Inamaana huwa hamkagui miili kwa umakini eti..
Mbona mnakuwa watu wa ajabu kiasi hicho.???..

Aliongea lidya na kwenda kuushika mwili wa yule mama na kuuvuta ili auhamishie kwenye gari lake...

Baadhi ya maaskari walimsaidia na wengine waliendelea na safari zao...

Wawili walipanda gari ya Lidya na kuongozana nae kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili...

Gari lilikimbizwa sana na baada ya dakika kama 25 walikuwa wameshafika hospitalini...

Baadhi ya manesi na madaktari walimpokea mgonjwa na kumpeleka kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.

Walimuwekea mashine ya kupumulia na kifaa cha kupima mapigo yake ya moyo ili kujua kama yupo hai au amesha kufa...

Kifaa kiliwekwa kifuani huku wanaangalia mistari kwenye Computer kubwa ukutani....

Mistari ilikuwa ikipanda na kushuka taratibu sana ikimaanisha ni muda mfupi tu anaweza kupoteza maisha endapo mstari wa kwenye compyuta ukanyooka.,.

Madaktari walichukua mashine ya kushtua mapigo ya moyo na kuanza kumkandamizia kifuani...

Baada ya mda kidogo mapigo yaliongezeka...

Madaktari walipata amani kidogo na kuanza kumpatia huduma zingine yule mgonjwa....
******
******

Muda ulikuwa umeenda sana, kulianza kusikika Adhana kwenye baadhi ya misikiti ikimaanisha Alfajiri imefika..

Hadi muda huo lidya alikuwa amekaa tu akisubiri majibu kutoka kwa Madktari...
****

Nusu saa baadae alitoka daktari mmoja kwenye chumba alipo mgonjwa wa Lidya..

Kwa haraka lidya aliinuka na kumfuata Daktari hadi mlangoni..

"" Vipi hali ya mgonjwa wangu.. Aluuliza Lidya..

"" "" Ni njema, alipata fahamu ila kwasasa amepumzika.. Unaweza kuendelea na majukumu yako alafu ukaja baadae kumuona..
Aliongea Dokta..

Lidya alimpa mkono daktari kisha kuondoka..

**********
Lidya alifika nyumbani kwake na kuoga vizuri kisha kuvaa nguo zake za kiofisi kisha kwenda kazini kwake kama Secretary...

Alifika kazini na kuendelea na majukumu yake kama kufanya usafi kwenye ofisi ya boss wake na kumuandalia chai...

Baada ya hapo lidya alirudi mezani kwake...

Kwa siku ya leo boss alichelewa kufika kazini...

Lidya aliamua kuinuka pale na kwenda kukaa karibu na wenzie ili apige nao story mbili tatu...

"" ""haaaaah secretary mbona umeumia umia mwilini.??? Au ulikuwa unabakwa.????
Aliongea dada mmoja kwa masanifu kwasababu walihisi yale majeraha yalisababishwa na boss wao kwasababu wanamjua kwamba akikataliwa huwa anabaka kwa nguvu..

" "" "Hapana. Nipo sawa ndugu.. Kuna vibaka walitaka kunivamia tu kwa usiku wa jana.. Nilipambana nao nikawamudu.. Ila nipo sawa kabisaa..
Aliongea Lidyaaa..

Baada ya Muda wakiwa wanaongea.. Aliingia Boss wao akiwa na majeraha baadhi pia..

Wale wadada walianzaa kukonyezana na kucheka kwa masanifu..

Boss alipita na kuingia Ofisi kwake bila ya kuongea na mtu..

Lidya aliinuka kwenye kiti kwa hofu na kwenda kukaa kwenye sehemu yake ya kazi yaani kwenye meza ya Secretary.

Aliwasha komputa yake na kuanza kupitia baadhi ya vitu. Dakika kama mbili baadae aliinuka na kwenda ofisi kwa boss kama vile haelewi chochote.

************
"" "Shkamoo boss.. Aliongea Lidya.

" "" Jamboo.. Vuta hicho kiti kaa hapo. Aliongea boss na lidya alienda kukaa....

"" "Hivi Juzi kilitokea nini.??? Nilikuja kupata fahamu karibu na asubuhi...

Yaani hata sielewi nini kilinikuta. Nilishangaa nipo msituni sana huko kibaha na nilikuwa nimefungwa kwenye mti...

Mlinzi wangu mmoja sikumuona ila kuna mwingine alienda kutoa taarifa kituo cha polisi kuwa tulivamiwa.

Hapa nawaza hao watu waliingilia kwa wapi na ilikiwaje nikapoteza fahamu bila kujua chochote kinachoendelea..

Aliongea Boss huku anamtazama Lidyaa machoni.....

"" "" Pole jamani My Boss kumbe ndio maana jana hukuja kazini... Poleeee....

"" "" " Alafu Bosssss.. Sitaki tena Apointment za kushtukiza kama zile.. Alafu mazingira yenyewe si salama.. Je tungeuliwa juzi Boss..
Aliongea Lidya kwa hasira sana na kutaka kuinuka ili arudi njeee kwenye sehemu yake ya kazi...

" "" "Basi nisamehe mrembo kweli naona umeumia hapo.. Naomba nisamehe kwasababu ya uzembe wangu.. Siwezi rudia kukualika mazingira kama yale tena...
Aliongea Boss na kuinuka kwenda kumshika mkono Lidyaa..

Bos alimuinua lidya na kumkumbatia kisha kumbusu huku akimuomba radhi..

Boss alifugua moja ya Droo za Ofisini kwake na kutoa Noti 15 za elfu kumi kumi na kumpa lidya ili akitoka pale aende hospitali..

Lidya alipokea huku anatabasamu kisha kurudi njee kwenye meza yake...

Aliendelea na kazi zake na wafanyakazi wengine walikuwa bize na kazi zao pia..

Walikuwa wakisanifiana tu Lidya na Boss wake...

Boss alishajua kabisa kuwa Muhusika wa yote huenda ni Lidya kwahiyo alikuwa akimtengenezea mtego ili Lidya aingie kwenye kumi na nane zake....

Lidya pia alihisi huenda Boss wake ndio alicheza mchezo wa kumteka mgeni wake alietoka moshi na kwenda kumtupa msituni kibaha...

"" "" "Kama boss hausiki" "" kwanini sasa yule mama baada ya kutekwa jana alienda kutupwa kwenye Mti ule ule niliomfunga boss juzi.??? Aliwaza mwenyewe lidya na kutabasam tu....

*****
*****

Huko hospitalini Mama yake Dayana alikuwa amepata Fahamu na kujikuta yupo hospitali akiwa na njaa sana....

Aliangalia kila kona na kumuona nesi yupo pembeni yake...

Yule mama hakutaka kukurupuka kwasababu alikuwa ni msomi na anajielewa..
Ilibidi akae kimya hadi alipochomwa sindano na yule nesi ili kupunguza maumivu..

"" "" "" "Nipatie kidonge cha Tramadol, nipe na maji madogo na chakula.. Kisha niletee Ice na Pamba pamoja na spirity...." ""
Aliongea mama yake Dayana akimwagiza Nesi.....

Nesi alishtuka kidogo baada ya kusikia yule mama kaagiza dawa kali sana za kutuliza maamivu.. Pia aliongea kwa lugha ya kidaktari utadhani anataka kujitibu mwenyewe......

"" "" "Hivyo vidonge vya Tramadol ulivijua wapi.????? Aliongea nesi..

"""""""Nesi hembu changamka unapo agizwa.. Najisikia vibaya sana.. Pia sindano yenyewe hujui kushika umenichoma vibaya hadi umeniumiza mkono.
Bora ningejichoma tu mwenyewe.....
Aliongea mama yake Dayana na kukaa pale kitandani..

Ilibisi nesi atoke na kwenda kumuita Daktari kwasababu alikuwa hamuelewi kabisa yule mgonjwa..

Wakati anatoka Lidya pia alikuwa anaingia kwenye Wodi ya mgonjwa wake..

"" "" Shkamoo mama... Aliongea lidya....

"" "" Marahaba hujambo binti..... Wewe ndio umenileta hapa.???
Aliongea Mama yake Dayana.

"" "Ndio.. Mimi naitwa Lidya.. Ndie Mwanamke ulielekezwa na Frenk kuja kuonana nae huku Dar....
Aliongea lidya na kumsogelea yule mama.....

" "" Frenk ntamuua nasema. Inamaana kaja kuniuza huku mjini mimi.. Nateseka nusu kufa..
Yaani najua yeye ndio mhusika mkubwa wa mipango yote ya mimi kutekwa...
Binti naomba uondoke. Kwasasa mimi siamini msichana hata mmoja hapa mjini.. Ondokaaaaaaa nasema ondoka we mwanamkeeee......

Aliongea kwa ukali sana mama yake Dayana hadi madaktari wakaingia kwenye ile wodi kujua kuna nini tena kimetokea......

ENDELEA....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****

????
NASEMA KWA MAMA
SEHEMU YA 13 na 14*
*****
Lidya aligeuza gari aliyokuwa anaiendesha na kuanza safari ya kuelekea Kibaha..

Akiwa njiani alishika simu yake na kumtumia Frenk ujumbe ili apate picha za huyo mama ambae alipaswa kuonana nae..

"" "Picha zake sina labdaa niende sebuleni kupiga baadhi ya picha zilizopo ukutani.." "" "
Frenk alijibu ujumbe...

" "" "Sasa hilo ni lakuniambia mimi kweli au ulipaswa kujiongeza tu na kunitumia hizo picha.. Hembu changamka.." ""
Lidy alijibu ujumbe kwa haraka huku anaendelea kuendesha gari...

Dakika kadhaa baadae alitumiwa pich alizohitaji.. Alizitazama na kuikariri sura ya huyo mama...

Aliendelea kukimbuza gari hadi kibaha.. Alifika na kukuta gari la polisi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-13-na-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.15K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

602
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

526
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

498
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

199
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

176
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

111
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

86
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest