Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 26, 27,

Endeleanayo.....
*
" "" "" Mfungeni huyu dada kamba... Na huyu Frenk mumvue nguo mumbake kama mlivyo agizwa na Dayana....

Aliongea yule kaka na kugeuka ili aondoke...

Nilibaki natetemeka tu baada ya kusikia yale maneno...
Lidya hakuwa na dalili ya kutoa msaada hata kidogo..

"" "" "" Lakimi Huyu dada mrembo tu hana lolote. Tumuache ashuhudue vizuri hili tukio... Aliongea miongoni mwa walinzi walio agizwa kunibaka...

Niliendelea kutetemeka na kuangalia kila upande kuona kama nitapata msaada lakini haikuwa hivyo.

Lidya alinitazama na kunikonyeza huku anatabasamu. Mimi pia nilijikuta natabasam tu kinafiki ila moyoni nilikuwa nikiogopa sana...

Wale majamaa walianza kunivua nguo hadi nikabaki na boxer tu....

"" "" Mnaona ni sawa kumuingilia mwanaume mwenzenu.???
Kati yenu nyie wanne hakuna mwenye hofu ya Mungu.????
Wanaume wazima na misuli yenu mnakuwa vibaraka wa mwanaume mwenzenu.. Tena mwanaume anae watuma hata hana mwili...
Kwanini ndugu zangu mnakuwa na Fikra finyu kiasi hiki.???..

Haya mumvalishe nguo zote mlizo mvua huyo kaka.... Muharakishe kumvalisha sitaki kuumiza mtu au kuua mtu, sijaamka vibaya leo, kwahiyo msitake siku yangu iende vibaya...

Aliongea Lidya kwa kujiamini sana huku anaangalia kila pande za kile chumba.

Wale majamaa walikuwa kimya kwa muda wakimtazama Lidya bila kummaliza....

"" "" Oya Mr Mbaga, hembu Hakikisha huyo dada haongei tena upuuzi kama huo.. Aliongea kaka mmoja akimwelekeza mwenzie...

Waliendelea kunivua hadi nikabaki uchi wa mnyama..

Mmoja alienda hadi usawa alipo Lidya na kumtazama usoni kisha kumtemea mate..
Lidya aliinua mkono wake na kujifuta,

"" "" Dada kuwa na nidhamu.. Unatuite sisi vibaraka.. Nitakuua Mbwa wewe, hembu kaa hapo chini unainuka kwenda wapi...
Aliongea yule kaka wakati huo Lidya alikuwa anainuka pale alipokaa....

Lidya hakumsikiliza yule jamaa.. Lidya alimsukuma yule kaka nyuma kisha kuinuka...

"" "" Nimewaambia mumvalishe huyo jamaa nguo zake.... Hamuelewi eti....
Aliongea lidya na kunisogelea..

Nilikuwa uchi wa mnyama hadi nilikuwa naona aibu..

Wale wakaka walitazamana na kumfuata Lidya kwa pamoja... Mmoja aliinua mkono wake na kumpiga lidya ngumi zito usoni....

Lidya aliinama na kugeukia upande wa pili, nadhani alikuwa akiisikilizia ile ngumi kwasababu ilikuwaa nzito sana....

Lidya aliinuka akiwa amekunja sana sura na kuwasogelea wale wakaka..
Kaka mmoja alirusha ngumi lakini alishikwa mkono, alishangaa anakunjwa mkono pamoja na ubaunsa wote lakini alizidiwa nguvu na binti mwenye mwili mdogo tu..

Lidya alirusha ngumi na kumpiga yule jamaa kwapani..

Jamaaa alirudi nyuma huku anaugulia maumivu, mwingine alienda kwa spidi lakini alizuiliwa kwa teke zito shingoni iliyomsindikiza hadi ukutani... Alijigonga kichwa ukutani na kupasuka. Damu zilianza kusamba karibu chumba kizima....

Wale majamaa ndio wajmkaona yule binti yupo siriazi na huenda anao uwezo...

Lidya alisogea mlangoni na kufunga kabisa mlango kwa funguo kisha kuweka funguo mfukoni kwake..

Wale majamaa baada ya kuona vile walianza kurudi nyuma kwa hofu huku yule aliepigwa ngumi la kwapa akiwa bado anaugulia maumivu kwenye pembe ya ukuta...

"" "" " Nimewaambia leo nimeamka vizuri sitaki matatizo nanyi.. Naomba mumvalishe nguo mlizo mvua huyo jamaa.. Sitaki kuumiza mtu aisee....
Alioanaagea lidya kwa kujiamini zaidi huku anawasogelea wale wawili ambao hakuwagusa kabisa kwa mkono wake.. ..

" "" "Nadhani mlitaka kunijua na mmenijua kwa kiasi fulani.. Au mnataka kunijua zaidi ya hapa.??? Maana mkinijua kabisa wote mtakuwa Jehanamu.. Aliendelea kuongea lidya....

Yule kaka aliepigwa ngumi ya kwapani aliinuka na kumtazama mwenzie aliekufa pembeni yake.....

Alishtuka sana na kuwahi kuja kuishika boxer yangu na kuanza kunivalisha..

Wenzao pia walikuja na kunivalisha nguo zangu zote hadi viatu...

"" "" "Tunaombeni Msamaha jamani.... Aliongea mmoja wa wale walinzi..

ENDELEEA......

" "" "Anakaa wapi Boss wenu?????
Lidya aliuliza....

" "" "" Ukitoka hapo mlangoni kata upande wa kulia kisha kata kulia tena utakuta mlango umeandikwa "R" ingia hapo utamkuta..
Aliongea mlinzi mmoja.

Lidya alienda karibu na yule alieumia kwapa na kumuongezea ngumi jingine mgongoni,
Yule kaka alijikunja zaidi na kupiga magoti huku anasikilizia maumivu....

Lidya aliinama na kuchovya mkono wake kwenye damu iliyokuwa imesambaa pale chini na kumpaka yule kaka aliempiga ngumi mgongoni..

Alimpaka pia kwenye baadhi ya sehemu za shati ya yule jamaa na kwenye suruali...

Baada ya hapo lidya alienda kufungua mlango na kuwataka wale ambao hakuwapiga waondoke mule ndani....

"" "" "" Mkitoka hapa sitaki hata muangalie nyuma.. Nataka mpige hatua kimya kimya hadi makwenu..

******

Kwa hofu niligeuka na kutazama upande wa yule kaka aliepasuka kichwa.. Bado nilikuwa naogopa sana kwasababu ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona maiti hasa ikiwa kwenye hali kama ile..

Wale wakaka wawili walitoka na kuondoka zao..
Yule aliepakwa damu alibaki bado anaugulia maumivu...

Lidya alimsogelea na kumshika ili ainuke...
Yule kaka aliinuka kwa uchovu sana na kuanza kutembezwa na Lidya ili atupeleke kwenye Ofisi ya bosi wake..

Tulitembea kama hatua kumi hivi hadi kufika kwenye ofisi ya bos wao..

Lidya alisukuma mlango na kumtanguliza yule kaka aliekuwa amepakwa damu uso mzima....

"" "" "" Mamaaaaa mamaaaaaa..
Zilisikika sauti kama mbili za kike mule ndani...

Tulifuati sisi pia mimi na Lidya tukaingia ndani....

Tulikuta mabinti wawili wapo uchi wamejibana kwenye ukuta wanatetemeka baada ya kuona mtu kaingi akiwa na damu mwili mzima.....

Boss wao pia aliinuka na kututazama.. Alikuwa uchi pia....

"" "" "Aaaahhhhh,,, Pumbagu sana. Wametoka vipi huko ndani hawa wapumbavu. Mbona mnaniletea matatizo..
Aliongea yule boss wao huku anatutazama..

" "" "" Wewe Frenk unajikuta shujaa sana. Aliekwambia uwapige walinzi wangu ni nani.??

Aliendelea kuuliza boss..

Sikumjibu chochote zaidi ya kugeuka na kumtazama Lidya....

**********
"" "" "Razac, habari yako. Kama Frenk alivyoshtuka umemjulia wapi jina lake... Naamini na wewe unashaanga sana nimekujua vipi.....

Sikujua kama wewe ndio upo kwenye mkanda mzima wa binti wa Dokta Moureen..

Unamdanganya mtoto wa watu eti mumuibie mama yake kwa kumdanganya kwa picha za kipumbavu mlizotega Lodge..

Unayo makosa mawili ya kujielezea, moja ni kumrubuni binti kuacha chuo na jingine ni kujaribu zoezi la utapeli...

Mbali na hayo unazo kesi saba za Madawa ya kulevya..
Ni miongoni mwa "" "Most wantend people" "" watu wanao tafutwa sana..

Kuanzia sasa upo chini ya ulinzi...

Naomba usogee huku mbele ukiwa uchi hivyo hivyoo...

ALIONGEA LIDYA HUKU ANAMTAZAMA YUPE KAKA KWA UMAKINI..

YULE KAKA ALIKUWA KIMYA AKIMTAZAMA TU LIDYA BILA KUMMALIZA...

"" "" Kumbe wewe ni mpelelezi.. Aliuliza Razac...

"" "" Nadhani nitakuwa mpelelezi.. Haya mashtaka yako utaenda kuyajibia Dar es Salam.....

Lidya alijisachi na kutoa sim yake mfukoni na kuandika ujumbe, sikujua anautuma wapi..

Alimaliza na kurudisha simu mfukoni...

Tuliendelea kutazamana bila kuongea chochote....

Wale mabinti waliokuwa uchi walirushiwa nguo zao na kuvaa,,

Razac pia alipewa zake akavaa kinyonge sana...

Lidya alikuwa kimya akiwa anajiamini sana.. Hakuwa na hata silaha mkononi lakini hakuwa na tatizo lolote..

Baada ya muda tulisikia brek za magari njee..

ENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,

????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 26, 27,

Endeleanayo.....
*
" "" "" Mfungeni huyu dada kamba... Na huyu Frenk mumvue nguo mumbake kama mlivyo agizwa na Dayana....

Aliongea yule kaka na kugeuka ili aondoke...

Nilibaki natetemeka tu baada ya kusikia yale maneno...
Lidya hakuwa na dalili ya kutoa msaada hata kidogo..

"" "" "" Lakimi Huyu dada mrembo tu hana lolote. Tumuache ashuhudue vizuri hili tukio... Aliongea miongoni mwa walinzi walio agizwa kunibaka...

Niliendelea kutetemeka na kuangalia kila upande kuona kama nitapata msaada lakini haikuwa hivyo.

Lidya alinitazama na kunikonyeza huku anatabasamu. Mimi pia nilijikuta natabasam tu kinafiki ila moyoni nilikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-26-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.15K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

602
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

528
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

498
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

199
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

176
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

111
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

108
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

86
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest