NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈 ♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ SEHEM YA 09
Alex alitulia pale kwa Dakk 20 zaidi
Kisha akasogea Mpaka kwenye picha alichukua Zile Picha Na Kutimka Eneo lilee
Alex Alivyofika Kweny Makazi yake Alitoa Zile Picha Kutazama Trisha ni nanii ??
Alex Alitoa Macho asiamin macho yake Bint alie mpamia Hasubuhi Ndie Bint anaetakiwa Kumuua
Na Hapo Alex Alikumbuka Vizur Kuhusu mtu alieleta Picha Zile hapo Aliwaza Kati ya Yule Aliekua akiwapiga Picha Kwa kujificha na aliekua akimpga Picha wakiwa Wote Ni nani aliemuuza Bint??
Alikumbuka Siku ya Kwanza kumzimsha Yule Bint mtu aliempgia Simu Akaja
Hapo ndo Alikumbuka ni yule Jamaa waliekuwa Wanapiga Pic Wote
Alimsave (FUTURE HUSBAND)
NA Ndie Alieleta Picha Zile Pale
Alex Alikumbuka Vizur Muonekano wa Muddy Ndie Aliemuona Sehem Zote 3
"Kwahy Huyu Ni askar Asiye Muadilifu Sàsa Anamuuuza HADI Mpenz wake Duh"
Alex Alikua Anaongea mwenyew akistaajabu mauza uza ya Wapenz wale
"Na yule aliokuwa anawapiga Picha ni nani na Kwanini??"
Alex aliendelea Kujiuliza Maswali ambayo hakuwepo wa Kumjibu
****************************,************
Swala La Trisha Kuambiwa Picha Zinapelekwa Ukweni kwake Ilikua Furaha Sanaa KWA Upande Wake Alimpgia Ray Akampa Habar Hizo
Dada ake pia Alimpa Habr njema
Lakni si Ray wala Dada ake Hakuna Aliefurahishwa na Taarifa zile Wote Walikua wanajua Pale ,KWA Muddy hakuna Muoaj
************************************************************
Asubuh Alex alipanga Kuamkia Kwao Trisha Ili Kujua Anaanzia Wapi Kazi yake Na Kumsoma Bint huyo
Aizack nae Alikua ameshapajua kwao Trisha Asubh Hiyo alifika Kumtafuta Trisha Kwakua Aizack hakutaka Kujulikana Kama Mtu anefatilia Hiyo kesi
"Dada Habari"
"Poa tu"
"Samahani HIVI Naweza pata Dalali hapa Mtaan Kwenu wa Vyombo vya Moto"
Aizack alisimama sehem KWA Muda MREFU Sana Akiwa anawinda Trisha Kupita Njia Hiyo
Subira yake Ilizaa Matunda Trisha Alikua anatoka Kwenda mishe Mishe Zake Na akakutana Na Aizack
Aizack alijifanya anatafuta Dalali Ili anunue Piki Piki
"Mmh madalali Wapo ILa Ni huku mbelee Twende na mimi naelekea Njia Hiyo hiyo "
Trisha alitoka Akiongozana Na Aizack bila Kujua haswa Yeye Ndie Target na Sio Dalali
Wakat Huo Alex Alikua Akiingia Huo Huo Mtaa KWA Mbelee Aliona Trisha Na Jamaa Mmoja Wakiongozana Huku wanaongea
"Kuna Hii Aina Ya Piki Piki Ndo naitaj HIVI ulisha wahi Kuiona Mahara Popote"
Aizack aliongea Huku Akitoa Picha Ili kumuonesha Trisha Ni muda Huo Huo Alex Alifika Pale
Kitendo cha Trisha mumuona Alex Kilihamisha Kabisa Umakini wa Kuangalia ile Picha
"Hey We Mr Handsome"
Trisha alianza Kumshobokea Alex na Kusahau Habar za Aizack
Alex alimkumbuka Vizur Aizack Ndie Mtu alie Muona Akiwapiga picha Trisha Alipo Kuwa na Mpenzi wake
Alex hakuongea Kitu alimvuta Mkono Trisha Na Kwenda Nae Pembeni
Aizack hakuelewa Yule Jamaa ni nani Na Kwanini ameingia Kumtoa Trisha Pale.
Itaendeleaaa...
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈 ♥️ ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊
🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄🔄
:::
Full 1000
SEHEM YA 10
Alex alimvuta Trisha Mpaka pembeni Alikua Kapaki Piki Piki yake Akampakia Na Kuondoka KWA Kasi
Trisha Hakujua Hata Anako pelekwa Ni wapi Lakin Alinuamin Alex bila Hata Kujua Ni nani Piki Piki ilitembea Dakk Nyingi
Hapo Trisha Alianza Kuingia Na Wasi Wasi Sehem waliyo kuwa wanaelekea ni Sehem ambayo hakukua na Muingiliano mkubwa wa Watu
Kila Walivyozidi Kusogea Mbele Nawatu walizidi Kupungua
"We kaka Tunaenda wapii" Trisha alimuuliza Alex
Hakujibiwa Piki Piki ilikua Mafuta Tu
Alex alikua Amedhamiria Kwenda Kumaliza kazi yake Huko Huko
Trisha Alianza kumpiga magongoni Alex akitaka Asimamishe Piki Piki
Kwa Bahat Mbaya Kitambaa Chake Alichoshika Mkononi Kilianguka Chini huku Piki Piki ikiendelea Kutembea
"Simama Leso Yangu"
Trisha alipiga Kelele
Hazikusaidia Alex alikua Kimyaa
Trisha alijirusha kutoka Juu ya Piki Piki Akaanguka Chini
Ilikua Gafla Sana
Ilisababisha Alex kuyumba Yumba
Aliwah Haraka Kushika Break
Trisha Alikua Chini Miguu yake Haikumpa Support ya Kuinuka
Kimbaa Chake Kilikua Muhim sanaa
Alex alimsogelea
"Kitambaa Changu SIWEZI kukiacha Naomba Unichukulie Tafadhali"
"yaaan wewe unajirusha Kwenye Piki Piki kwa sababu ya Kitambaa"
"Ni Muhimu sana kaka Handsome Nichukulie Kitambaa Changu Huko Nyuma Kimeanguka "
Alex Alirudi Nyuma Kuchukua Hicho Kitambaa
"Yan mi wa Ajabu Kweli Natumwa Naenda Si Natakiwa Kumaliza Kazi hata hapa Hapa aaghaaa!!!"
Alex alienda Kuchukua Kitambaa huku akilalamika
Aliinama Kuchukua Na Kuondoka Kurudi alipo Trisha
Wakati Anampa kile Kitambaa Ndio Alipo staajabu sana
Baada Ya Kuona Ile Leso ni yake
Alikumbuka Siku za nyuma aliwah kumpa mdada aliekua analia Kwenye Kituo cha Daladala
Alex Alirudisha Kumbu Kumbu zake Nyuma Miaka Mingi sanaa
Alipo kuwa Na Mama yake Mzazi
Kitambaa Hicho alikitumia Mama yake Kumfuta Kila anapo Rudi Kutoka Kwenye kuzoa Taka Mitaani alikua akifutwa na Mama yake kwa Kutumia Kitambaa Hicho
Alex alikumbuka mama Yake Ni mtu alietunza Hicho Kitambaa na Kukijali sana
"Mama Si utafute Kitambaa kingine Hichi Naona kimefubaa"
Alex Siku MOJA Alimwambia Mama yake
"Siku moja kwa Kutumia Kitambaa Hichi Hicho Naomba Umfutie Machozi mwanamke Utakaekuja Kumpenda Kuliko mimi mama yako"
"Aah mama Mimi Nakupenda wewe na Nitakufutia wewe Siku Zote za Maisha yañgu Siwezi Kumpenda mwanamke Kuliko wewe mama yangu"
"Ipo Siku utaelewa maneno yangu"
Yalikua Maongez ambayo Alex Alikua anayakumbuka Miaka Mingi sana Kati ya yeye na Mama yake
Akiwa Mbele ya Trisha Alex alishindwa hata kupiga Hatua Alibaki Amesimama Kama mstimu huku Machozi yakitoka
Alimkumbuka sana Mama yake Wakat Huo
Trisha Alibak anamshangaa
"Huyu kaka Anatatizo Gani"
Trisha Alijiuliza Moyoni
Alex Alipiga Goti Alipo kaa Trisha
"Umetoa wap hii leso na Kwanini umetaka Kuumia Kwa Sababu ya Hichi Kitambaa"
Alex kwa Upole Alimuuliza Trisha Maswali yaliyoambatana
"Hichi Kitambaa ni Muhimu sana Kwangu Kuna Mtu alinipa Naamin ipo Siku atakiijia Nami namsubri Hii leso Ni Zaidi Hata Ya Uhai wangu"
Alex aliinuka Akiwa Anatoa Machozi alienda Akapanda Piki Piki yake na Kuondoka Eneo Hilo
"Hee Huyu kaka ni Mjinga Huyu haa sasa Mimi naenda Vipi Nyumbn Jamaniii hata Nauli sina Jamaniii aaah"
Trisha alisimama Akiwa analalama Huku akishuhudia Piki Piki ya Alex ikipotea Kabisa Kwenye macho yake
"Haki Nisije Nikakuona Kwenye maisha Yañgu Yotee We Kaka Ntakufurahisha"
Trisha Aliendelea kulalamika Alitoa Simu yake Ili mpigie Ray Rafiki yake Hata amshauri afanye nini
Akiwa anatafuta Namba anashangaa Mbele Yake Kumuona Mtu Ambae Hakutegemea Kumuona kwa Wakati Ule Pale
Alibak Tu Katoa Jicho Mbele akimtazama huyo mtu
ITAENDELEA
Soma mpaka mwisho kwa offer ya sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni