VYOTE NDANI GONGA94
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya 13
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
( CHONDE CHONDE SIO SHABIKI WA CHOMBEZO USISOME)
π Mke wa mchongo analia hapo namwangaria mjomba kwa asira Jamani nilichokiamua hapo ni cha asira sana ni kile liwalo na liwe,
Nilimshika mjomba kwa nguvu na nikam....π
Nikamvuta nje nikampa nauli aondoke kijijini simtaki tena kwangu uku namwambia,
" Nafanya ivi kwa heshima sana wewe ungekuwa mtu baki makofi yangekuhusu ondoka.
" Mjomba akaondoka uku anajisonya sonya,
Mimi nikaingia zangu ndani namwambia mke wangu wa mchongo,
Tuache aya nina nyege kweli mwenzio.
" Akaniambia,
Mimi ni wako na nipo kwa ajiri ya kukutoa nyege ila mume wangu Leo si unipeleke ata bar nikanywe soda.
" Mimi nikacheka uku kimoyoni najua kabisa uyu mshamba anataka kulijua jiji nikamwambia twende.
Akajiandaa twende hapo bar kumbe anataka kuvaa suruali alizonunua nione akiwa amevaa suruali anakuwaje,
Kiukweli kabisa umbo analo tena la mvuto tu yani linapendeza likiwa kwenye suruali,
Tukaenda zetu bar.
" Upande wa mke wangu mpendwa alienda kwao ila alishindwa kusema kwa mama yake yale ya mjomba na mama ikabidi aende kwa rafiki yake akamwambie,
Alimweleza mwanzo mwisho ila rafiki yake alimjibu kwa mafumbo alimwambia maneno aya.
" Shoga JIFUNZE kitu kupitia aya maneno,
Nyoka mmoja aliingia kwenye karakana ya seremala. Kulikuwa na msumeno umeanguka chini. Kwa bahati mbaya ulimgusa nyoka, akaumia kidogo. Kwa hasira, nyoka aliung'ata ule msumeno.
Alipoung'ata ule msumeno, aliumia tena (kwa kuwa ni wa chuma). Alipoona anazidi kuumia, akaouna ule msumeno ni adui m'baya sana. Ikabidi atumie nguvu zaidi kuung'ata. Akaamua kujizungusha kwa nguvu kwenye msumeno ule ili aubane na kuunyongelea mbali kabisa.
Masikini... Nyoka yule aliishia kujiua mwenyewe kwa hasira zake juu ya msumeno,
FUNZO:
Katika maisha, mara nyingine tunafanya maamuzi kwa hasira sana kwa lengo la kumuumiza yule aliyetukosea, bila kujua tunajiumiza wenyewe. Tujifunze kusamehe na kudharau baadhi ya watu, matukio, na vitu vilivyotukwaza iwapo kufanya hivyo hakutatuumiza zaidi.
" Mke wangu akafikilia sana yale maneno akapata jibu ya kuwa yeye atakiwi kuwa nyoka anaweza akavunja ndoa yake yeye mwenyewe kama nyoka alivyojiua yeye mwenyewe,
Akasema,
" Asante shoga kwa somo lenye maana kwa anayejua maana.
" Shoga yake akasema,
Nakupa na hili kalitafakari,
Siku zote jitafute ulipo na furaha yko iko wapi na siku zote furaha yako iko ndani yako na sio vitu vinavyokuzunguka sababu vitu vinavyokuzunguka sababu vitu hvo ni mapito tu ndo maana sababu ya furaha yako iko ndani mwako na kamwe usiruhusu ukawa mtu wa kuelekezwa kila ktu ukaishi ktk maisha ya wengine na mawazo ya wengine,
hebu jitafute uko wapi na maisha yko ni yapi sababu dunia ina mengi lkn ndo inatufunza hilo tusisahu hebu itafute fursa ya kuishi maisha yko km ww na mawazo yko km ww na ndoto zako km ww na sio ukaishi ktk maisha ya kuburuzwa na kila mmoja wetu sababu usipopata muda wa kutambua maisha yko bs wenye kutambua maisha yako,
watatumia fursa ya kutumia maisha yko sababu ww mwenyewe umeshindwa kutumia maisha yko usiwape watu hyo fursa ktk kila nyanja ya maisha yko huku ukimtegemea Allah sababu maisha ya furaha ni ya ucha mungu asikuambie mtu hayo mengine ni ya ziada kwanza jitafute ulipo ujue furaha yako hayo kwanza maamuzi ni yako ww.
" Mke wangu aliondoka pale na jambo la kutafakari mwenyewe uyo akarudi kwa mama yake uku ana mambo kichwani mwake.
" Upande wangu mke wa mchongo akatamani bia yani anataka kujaribu starehe,
Na mimi moyoni nasema acha anywe nikalifahidi kundu vizuri uyu si amevamia ndoa kwa mbele kazi anayo.
Kweli alikunywa bia mpaka akalewa nikarudi nae ajitambui,
Hapa nikampeleka kitandani moja kwa moja nikamvua nguo uku nasema mwenyewe Leo nalifahidi kundu,
Jamani nashangaa mwenyewe anabong'oa bong'o alafu anatanua matako macho ameyalegeza,
Mara simu yangu inaita naona mke wangu anapiga nikaenda kupokea simu kwanza ile napokea tu simu,
Uyu mke wa mchongo si akaropoka,
" Mume wangu mkundu unaniwasha si unaona nimetanua na wewe unaenda kuongea na simu zima simu uje unifahidi mimi umenianzisha mwenyewe huu mchezo nishanogewa mimi.
" Yani anaongea kipombe POMBE na simu mimi nilikuwa nishapokea,
Mke wangu ninayempenda anasema,
Aloo mume wangu wewe tabia gani hiyo unayofanya una.....?
ITAENDELEA
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimemf-la-mke-mdogo-kumkomoa-mama-yangu-mzazi-sehemu-ya
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya tano. π Wewe mke wa shabani njoo hapa nje uje ulale chumbani kwangu. ...
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya tatub π Yani ile sms kama ndio ilikuwa inaniongoza vile naenda kitandani kuomba mku
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya pili ( CHONDE CHONDE SIO SHABIKI WA CHOMBEZO USISOME) π Hapa ndio ukawa mtihani kwangu...
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya saba π Mimi nikajitia uziwi wa muda nikawa nataka kuikandamiza ndani
π₯π NIMEMFπ€..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ππ₯ sehemu ya nane π Yani kachanganya miguu anaenda kwa mama yangu