Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SHANGA TISA  EP: 10 ASHROUPH K.A
Gonga94 ยท Stories

SHANGA TISA EP: 10 ASHROUPH K.A

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHANGA TISA
EP: 10
ASHROUPH K.A

KADRA alimngoje sana Pengo hapo nyumbani kwake mpaka bhasi, wala asijue mwenzie kenda viwanja anapokoswa roho kila siku.

****

Kumbe hatimaye hayawi hayawi mwisho huwa, Pengo aliingia nyumbani kwa akina Bahati akiwa amevalia zake msuli kama kawaida!
Huku upande wa juu akiwa amevaa tisheti ile ile ya jana.
Tsheti ya Arsenal!
Na kizibao cheusi cha kaunda suti!
Kichwani hakuwa amevalia kofia yake ile ya kufuma kwa uzi, bali leo hii alionekana na kapero nyekundu iliyofanana zaid na rangi ya tsheti.

"Amani ipo kweli humu ndani?". Pengo alisalim.

"Itakosekanaje kwa mfano? wakati hatimaye baba mwenye nyumba tayari umeshafika!?". Alijibu mlevi mmoja aliyekuwa akimwonea sana wivu Pengo kwa jinsi anavyozagamuana na mama Bahati hapo kilabuni kila siku.

"Ujue nini, huju jamaa anakamdomo sana, kwani mama bahati si yupo? Kwanini asimtongoze na yeye ajaribu bahati yake!?"

"Si ndo hapo sasa, ana bwajaja hovyo kama demu. Riziki ya mwenzi usiilalie mlango wazi!". Walevi wengine waliokuwamo hapo kibarazani walidakia. Ikawa sasa Pengo kapata sapoti, hadi yule mlevi wa mwanzo aliyeonyesha kumonea Pengo wivu, akatoka zake nnje na kuondoka kabisa. Siku ikawa mbaya kwake.

Wakati hili likiendelea hapo kibarazani, Bahati alikuwa zake chumbani anajifanyia mazoezi yake ya kimya kimya ya kukalia chupa.

Tena siku hii Bahati alikuwa amenunua soda ya Pepsi big akainywa yote na kubaki na chupa tupu.

Kisha akaipakaza mafuta ya parachuti, chupa ikawa chepe chepe! Bahati akavua bikini yake nyekundu???? na kusalia mtu asiye mavazi, vyombo vyote vya siri vikajianika hadharani!!
hapo mbele ya kioo kikubwa cha kujitazamia alipokuwa amesima.

Bahati akauma mdomo, macho akayafumba, sura nayo akaikunja! Huku moyo ukimdunda kwa hofu kiasi!

Taratibu taratibu Bahati akaanza kuchutama kwenda chini usawa wa pale ilipokuwapo chupa ile ya Pepsi Big.
Katikati kabisa ya miguu yake! Huku kichwani akiamini fika kuwa, kiungo chake cha siri kita lengana na chupa hiyo, aliweka shabaha kwa umakini mno!

Akavuta pumzi nzito ndani. Akashuka kwa kasi hadi mdomo wa chupa ukagusana kabisa na mashavu ya uchi wake.

Ghafla woga ukamuingia tena, hamu nayo ikamkata. Akajikuta akinyanyuka juu kabla hata chupa ya Pepsi big hajaimuingia.

Muda huo huo, ikasikika sauti ya mama yake ikiita kwa nguvu nje ya mlango wa chumba alichokuwamo Bahati.

"Wee kijuso, hebu toka humo chumbani! Una lala una raha gani mwaya. Wakati huku kilabuni ndo kazi ishaanza. Pengo unayemtaka ameshakuja. Kazi kwako sasa, ushindwe weye tu!".

Bahati aliposikia hivyo, hasira zikamkaba, akajilazimisha kuikalia ile chupa kwa lazima. Hadi ikaingia kiduchu!
Sauti ya kulalama ikamtoka bila kutarajia!

"Auuch!".

"We Bahati, upo na nani humo ndani!? Au kuna kibwana chako cha siri umekiingiza ndani? Mbona hujanambia? Ndo kusema saivi unataka utiane mie nisipate pasenti yeyote ile!?".

"Sio ivyo mama. Nakuja nilikuwa najaribu kukurusha tu roho ili nione utasemaje!".

Bahati alijitoa kwenye ile chupa upesi upesi, akaisukumia uvunguni mwa kitanda ili kuficha ushahidi. Kisha akauendea mlango na kuufungua. Katika hali ile ile ya kuwa uchi wa mnyama.
Kwani yeye na mama yake walijuana vyema. Zaidi ya waarabu wa pemba wanavyojuana kwa vilemba!

Mama bahati alitupia jicho ndani mara tu baada ya mlango huo kufunguliwa, akapekisheni kila kona kwa umakini wa juu. Ila, hakuona mtu mwingine yeyote yule humo ndani.
Zaidi tu ya mwanaye Bahati.
Ila, akastaajabu kidogo mara baada ya kuiona chupa ya mafuta ya parachuti ikiwa imefunguliwa mfuniko nakuwekwa juu ya kitanda.

Mama bahati akacheka kidogo kwa kejeli! "Hahaha!"

"Unacheka nini mama!?".

"Wala tu, na yacheka hayo mafuta. Maana yana kazi chungumzima. Sijui weye unayatumia kwa ipi hasa!".

"Mi..mi..mimi. Naya.. mama bhana. Si ni mafuta tu lakini!?". Bahati alijibu. Ingawa kwa kigugumizi, hadi mama yake akajua kabisa, bila shaka bintiye huyo anamichezo michafu ya kujijegejua mwenyewe..

"Haya, bhasi vaa upesi uje sebleni umuone Pengo!".

"Pengo wako au pengo wangu!?". Naye Bahati akajibu kwa shari, mama yake akabaki tu ana....ITAENDELEA

Achana kabisa na Mambo ya kiraru raru!

Ndefu nene, kati ina Pete

Full story tsh 1000/=
Malipo hapa. 0675536572

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHANGA TISA EP: 10 ASHROUPH K.A

SHANGA TISA
EP: 10
ASHROUPH K.A

KADRA alimngoje sana Pengo hapo nyumbani kwake mpaka bhasi, wala asijue mwenzie kenda viwanja anapokoswa roho kila siku.

****

Kumbe hatimaye hayawi hayawi mwisho huwa, Pengo aliingia nyumbani kwa akina Bahati akiwa amevalia zake msuli kama kawaida!
Huku upande wa juu akiwa amevaa tisheti ile ile ya jana.
Tsheti ya Arsenal!
Na kizibao cheusi cha kaunda suti!
Kichwani hakuwa amevalia kofia yake ile ya kufuma kwa uzi, bali leo hii alionekana na kapero nyekundu iliyofanana zaid na rangi ya tsheti.

"Amani ipo kweli humu ndani?". Pengo alisalim.

"Itakosekanaje kwa mfano? wakati hatimaye baba mwenye nyumba tayari umeshafika!?". Alijibu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shanga-tisa-ep-10-ashrouph-k-a

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shanga-tisa-ep
SHANGA TISA  EP: 20
SHANGA TISA EP: 20
SHANGA TISA  EP: 17
SHANGA TISA EP: 17
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA  EP: 16
SHANGA TISA EP: 16
SHANGA TISA  EP: 14
SHANGA TISA EP: 14
SHANGA TISA  EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A    {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA  EP: 13
SHANGA TISA EP: 13
SHANGA TISA  EP: 09
SHANGA TISA EP: 09
SHANGA TISA  EP: 19
SHANGA TISA EP: 19
SHANGA TISA  EP: 18
SHANGA TISA EP: 18
SHANGA TISA.  EP: 4
SHANGA TISA. EP: 4
SHANGA TISA.  EP: 08
SHANGA TISA. EP: 08
SHANGA TISA  EP: {02}
SHANGA TISA EP: {02}
SHANGA TISA  EP 05
SHANGA TISA EP 05
SHANGA TISA  EP 06
SHANGA TISA EP 06
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA. EP: 1
SHANGA TISA. EP: 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

999
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

445
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7

411
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

124
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

7
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

4

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.4K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.18K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia โ€œOndoka! Unasubiria nini tena?โ€๐Ÿ˜’ โ€œHutanipeleka hostel?โ€ โ€œNo, sina mudaโ€ โ€œKwa nini? Nitarudi vipi jamani?โ€...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest