SHANGA TISA
EP: 10
ASHROUPH K.A
KADRA alimngoje sana Pengo hapo nyumbani kwake mpaka bhasi, wala asijue mwenzie kenda viwanja anapokoswa roho kila siku.
****
Kumbe hatimaye hayawi hayawi mwisho huwa, Pengo aliingia nyumbani kwa akina Bahati akiwa amevalia zake msuli kama kawaida!
Huku upande wa juu akiwa amevaa tisheti ile ile ya jana.
Tsheti ya Arsenal!
Na kizibao cheusi cha kaunda suti!
Kichwani hakuwa amevalia kofia yake ile ya kufuma kwa uzi, bali leo hii alionekana na kapero nyekundu iliyofanana zaid na rangi ya tsheti.
"Amani ipo kweli humu ndani?". Pengo alisalim.
"Itakosekanaje kwa mfano? wakati hatimaye baba mwenye nyumba tayari umeshafika!?". Alijibu mlevi mmoja aliyekuwa akimwonea sana wivu Pengo kwa jinsi anavyozagamuana na mama Bahati hapo kilabuni kila siku.
"Ujue nini, huju jamaa anakamdomo sana, kwani mama bahati si yupo? Kwanini asimtongoze na yeye ajaribu bahati yake!?"
"Si ndo hapo sasa, ana bwajaja hovyo kama demu. Riziki ya mwenzi usiilalie mlango wazi!". Walevi wengine waliokuwamo hapo kibarazani walidakia. Ikawa sasa Pengo kapata sapoti, hadi yule mlevi wa mwanzo aliyeonyesha kumonea Pengo wivu, akatoka zake nnje na kuondoka kabisa. Siku ikawa mbaya kwake.
Wakati hili likiendelea hapo kibarazani, Bahati alikuwa zake chumbani anajifanyia mazoezi yake ya kimya kimya ya kukalia chupa.
Tena siku hii Bahati alikuwa amenunua soda ya Pepsi big akainywa yote na kubaki na chupa tupu.
Kisha akaipakaza mafuta ya parachuti, chupa ikawa chepe chepe! Bahati akavua bikini yake nyekundu???? na kusalia mtu asiye mavazi, vyombo vyote vya siri vikajianika hadharani!!
hapo mbele ya kioo kikubwa cha kujitazamia alipokuwa amesima.
Bahati akauma mdomo, macho akayafumba, sura nayo akaikunja! Huku moyo ukimdunda kwa hofu kiasi!
Taratibu taratibu Bahati akaanza kuchutama kwenda chini usawa wa pale ilipokuwapo chupa ile ya Pepsi Big.
Katikati kabisa ya miguu yake! Huku kichwani akiamini fika kuwa, kiungo chake cha siri kita lengana na chupa hiyo, aliweka shabaha kwa umakini mno!
Akavuta pumzi nzito ndani. Akashuka kwa kasi hadi mdomo wa chupa ukagusana kabisa na mashavu ya uchi wake.
Ghafla woga ukamuingia tena, hamu nayo ikamkata. Akajikuta akinyanyuka juu kabla hata chupa ya Pepsi big hajaimuingia.
Muda huo huo, ikasikika sauti ya mama yake ikiita kwa nguvu nje ya mlango wa chumba alichokuwamo Bahati.
"Wee kijuso, hebu toka humo chumbani! Una lala una raha gani mwaya. Wakati huku kilabuni ndo kazi ishaanza. Pengo unayemtaka ameshakuja. Kazi kwako sasa, ushindwe weye tu!".
Bahati aliposikia hivyo, hasira zikamkaba, akajilazimisha kuikalia ile chupa kwa lazima. Hadi ikaingia kiduchu!
Sauti ya kulalama ikamtoka bila kutarajia!
"Auuch!".
"We Bahati, upo na nani humo ndani!? Au kuna kibwana chako cha siri umekiingiza ndani? Mbona hujanambia? Ndo kusema saivi unataka utiane mie nisipate pasenti yeyote ile!?".
"Sio ivyo mama. Nakuja nilikuwa najaribu kukurusha tu roho ili nione utasemaje!".
Bahati alijitoa kwenye ile chupa upesi upesi, akaisukumia uvunguni mwa kitanda ili kuficha ushahidi. Kisha akauendea mlango na kuufungua. Katika hali ile ile ya kuwa uchi wa mnyama.
Kwani yeye na mama yake walijuana vyema. Zaidi ya waarabu wa pemba wanavyojuana kwa vilemba!
Mama bahati alitupia jicho ndani mara tu baada ya mlango huo kufunguliwa, akapekisheni kila kona kwa umakini wa juu. Ila, hakuona mtu mwingine yeyote yule humo ndani.
Zaidi tu ya mwanaye Bahati.
Ila, akastaajabu kidogo mara baada ya kuiona chupa ya mafuta ya parachuti ikiwa imefunguliwa mfuniko nakuwekwa juu ya kitanda.
Mama bahati akacheka kidogo kwa kejeli! "Hahaha!"
"Unacheka nini mama!?".
"Wala tu, na yacheka hayo mafuta. Maana yana kazi chungumzima. Sijui weye unayatumia kwa ipi hasa!".
"Mi..mi..mimi. Naya.. mama bhana. Si ni mafuta tu lakini!?". Bahati alijibu. Ingawa kwa kigugumizi, hadi mama yake akajua kabisa, bila shaka bintiye huyo anamichezo michafu ya kujijegejua mwenyewe..
"Haya, bhasi vaa upesi uje sebleni umuone Pengo!".
"Pengo wako au pengo wangu!?". Naye Bahati akajibu kwa shari, mama yake akabaki tu ana....ITAENDELEA
Achana kabisa na Mambo ya kiraru raru!
Ndefu nene, kati ina Pete
Full story tsh 1000/=
Malipo hapa. 0675536572.