Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

SHANGA TISA EP 07

18th Apr, 2025 Views 17

SHANGA TISA
EP 07
FUNDI: ASHROUPH K.A
{Taylor Perry wa Tz}

Watu walijaa nje ya nyumba ya Pengo,
wakiulizana nini hicho kimetokea, kwani kwa kelele alizopiga Kadra ziliashiria kabisa tatizo zito kupindukia,
Pengina hata mtu angalidhanishia ni msiba!
Au kipigo cha mbwa koko!
"Jamanieee, vunjeni mlango tuingie, haiwezekani dakika zaidi ya tano zinapita kizembe na bado tupo hapa, mtu anauliwa huko ndani!?".
"Ndio, tuingieni tukaokoe!
Wanaume wenye misuli yao mine wakaukanyaga mlango wa nyumba ya Pengo kama karatasi.
Kitasa kikajipachua, wananchi wakazama ndani wakiwa na jazba!
Moja kwa moja hadi chumbani kwa Pengo.
Daa! Ile wanaingia tu chumbani, walipokelewa na harufu mbaya ya haja kubwa iliyochanganyika na damu ndani yake!

"Pengo, umemchinja mkeo?"????
"Hapana jirani, ni siri tu za ndani"????
"Siri za ndani?"????

Hapo sasa majirani waliokuwa na mawazo toauti tofauti kichwani wakaanza kuelewa!
Maana bado bakora ya Pengo ilikuwa imenasa ndani kabisa ya tundu la mkewe.

"Nisaidieni majirani, nakufa jamani,mume wangu kanichana!"????
"Wewe nawe? Unakuwa kama mtoto wa shule! Miaka yote hiyo bado tu haujamzoea mumeo? Kumbe ndo maana kila siku unalalamika kuwa anachepuka!".
Chausiku, ambaye huyu ni jirani wa nyumba ya kwanza tu toka hapo kwa Pengo, aliropoka,
Tena kwa kumchana makavu Kadra hadharani bila chenga!
"Usiseme hivyo Chausiku. Wewe haujui tu, Mume wangu si kama wanaume wengine!".

"Wapi wewe, hebu ishia hapo hapo. Acha kuanika mambo ya ndani hadharani. Wewe pambania kombe shoga angu!".
Chausiku na wanawake wengine wachache waliondoka zao.
Wakaona kabisa swala hilo haliwahusu,
Kwani lilikuwa ni laki ndoa zaidi kuliko hata kiujirani mwema!

Baadhi ya wazee wa heshima, walijaribu kuwa achanisha Pengo na mkewe kwa kuwavuta ili wapachuane.
Ikawachukua muda mrefu kidogo,
Ila baadaye sana. Nyama ya Pengo ikasinyaa zaidi.
Ndipo ikanasuka kutoka humo ndani ilipokuwa imenasiana!
Kadra akabaki anatoka damu, ndipo wakafanya uamuzi wakumfikisha kwenye hospitali kuu ya Wilaya ili apatiwe matibabu ya kina na kushonwa!

********

Bado Bahati alikuwa na msongo mzito sana wa mawazo, akawaza kitu chakufanya ili ampate Pengo kwa mara nyingine tena.
Akaona njia pekee ya haraka ni kwa kutumia fedha kama anavyofanyaga mama yake. Hapo ndipo Bahati akafungua begi lake kubwa na kukitoa kibubu chake cha kuhifadhia fedha. Kisha akakivunja na kuzivuna fedha za kutosha tu alizokuwa akizihifadhi kwa siri ndani ya kibubu hicho!
Kwani hata mama yake mzazi hakuwa akizifahamu.
Zilikuwa ni fedha ambazo, Bahati alipanga kuzitumia pindi atakapo hitimu kidato cha nne, kwa maana mwenendo wake mzima wa kimasomo alifahamu fika kuwa haukuwa mwema.
Hivyo alijua kabisa kuwa, hata faulu mtihani huo wa kidato cha nne.
Alishawaza siku nyingi na kuona ni bora afungue genge au saluni ya kike mara tu atakapo maliza elimu yake ya sekondari.

"Potelea pote! Wacha fedha hizi ni mlipe Pengo kama ada, maana hata mama yangu humlipaga pia. Na ndio maana Pengo kesha mfundisha na kumzoesha mama bakora yake. Lazima na mimi ni gharamike!".
Alijiwazia mawazo ya kaliba hiyo kichwani mwake,
Huku akizihesabu fedha zile nyingi tu kupindukia!

"Waoo! Kumbe nimedunduliza fedha nyingi kiasi hiki?".
Bahati hakuamini kabisa mara alipomaliza kuhesabu na kupata jawabu lake.

"Kha!? fedha taslimu, shilingi laki nane!?" ????

Alijikuta akicheka bila kutarajia!
Akaamini fika kuwa, hizo zitatosha kabisa kumlipa Pengo ili amzoeshe jinsi ya kuhimili bakora kubwa yenye pete, ili naye aionje starehe hiyo. Starehe pekee aliyokuwa ameibakisha kuifanya hapa duniani!!

"Hapa, nitachukua kiasi, zingine nitazibakisha. Wala sitampa zote, maana natumai nitaelewa haraka".
Bahati alikata shauri, akachukua bunda moja la noti, akalitia mfukoni pasina hata kulihesabu, zingine akazirudisha kwenye mkoba wake maalumu. Kisha akauficha ndani kabisa ya sanduku lake lile kubwa la nguo! baada ya hapo akatoka na kuelekea kibarazani, akatizama kila pembe, ila hakupatapo kumtia Pengo machoni kwa siku hiyo.
Bahati akaona isiwe taabu.
Akamfuata mama yake na kumnong'oneza kitu sikioni.

"Mama, eti Pengo kafika hapo kilabuni leo kweli?". Aliuliza Bahati katika namna ya kunong'ona.

"Hapana mwanangu, kwani nini kimezidi huko?".

"Sio kitu mama, nilitaka tu kujua, maana sikuchukua namba ya simu ya yule baba niliyelela naye jana! hivyo nikahisi pengine Pengo atakuwa nazo ili anigaie!".

"Mmh! Sasa unataka iweje?".

"Kwasasa, labda unipe namba za Pengo, ili nimpigie anipatie namba za yule sponsa!".

"Ati nini? Wewe leo wakuzitaka namba za Pengo? Siumekuwa ukimnanga hapa masiku yote kuwa hakufai kwa lolote?".

"Mama, lakini si ni namba tu!? sina la zaidi naye ujue".

"Akuu, ngoja nimpigie mie nikuunganishe naye weye!".????
Bahati aliposikia hivyo, akazira.
Akatoka zake nje mkukumkuku na kumwacha mama yake akiwa amebaki sebleni peke yake!
Mama akacheka!
Nakujiridhisha kuwa, Lazima Bahati aliwapiga chabo, hivyo kuna kitu cha ajabu anakitaka toka kwa Pengo!
Wivu ukaanzakumea kati yao, mama na mwanaye! Wote wakawa wanaihusudu kubwa. Tena yenye pete juu.....ITAENDELEA

JE, UNAHISISI NINI KITATOKEA? TUKUTANE SEHEMU INAYOFATA ILI TUJUE NINI KITAKACHOJIRI

AIDHA, UNAWEZA KUPATA HADITHI HII IKIWA FULL KWA KULIPIA TSH 1000/= BADALA YA TSH 2000/=

AU KUVISOMA VIPANDE KUMI VYA MBELE KWA KULIPIA TSH 150/= KWA KILA KIPANDE KIMOJA

MALIPO YAFANYIKE KWENDA NAMBARI HIZI
0675536572 TIGO
0692353657 AIRTEL

JINA LITAKUJA
"MVUNGI"

WAHI TU WAHI...

CHEZEA YENYE PETE WEWE! ????????

#MALENGA MWENYE KALAMU ILIYOSAHAULIKA NYIKANI!

https://whatsapp.com/channel/0029VbAn7XYJP20v4L8NGV2J.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest