Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHANGA TISA.  EP: 08
Gonga94 · Stories

SHANGA TISA. EP: 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHANGA TISA.
EP: 08
MTUNZI: ASHROUPH K.A

HAUWEZI kuamini, Bahati alinuniana siku hiyo na mama yake, akagoma katu katu kupewa namba hizo za simu za Pengo na mama yake.

"Sinimesema sitaki? nitamuomba mwenyewe, kwani huwa sianakuja hapa kila siku kulewa?". Alisema Bahati, japo kwa jazba????

"Bahati, kwani kuna utofauti gani hizo namba nikikugea mimi na akikugea Pengo mwenyewe!?". Mama alimjibu.

"Nimesema kaa na namba zako, sizihitaji tena!". Bahati aliinuka juu nakutoka nnje kwa hasira.
Huku nyuma akimwacha mama yake akiwa anacheka sana kupita kiasi!????

"Hahaha,???? huyu mtoto naona anataka kupita alipo patoka. Hajui kuwa Pengo ndo usingizi wangu mie!? Mwana mshenzi huyu".
Alisema. Kisha akazipanga glass zake za kuwatilia wateja wake pombe hapo mezani. Tayari kabisa kwa kuianza kazi yake. Kazi ya kuuza pombe. Lakini hata na bangi pia, japo bangi huiuza kwa usiri sana.tena kwa siri mno! Kuliko hata jinsi anavyouuza mwili wake kimapenzi kwa baadhi ya wateja wanao hadaika na umbile lake.

Kwani sio siri, mama Bahati aliumbika kupita kiasi. Pengine kuliko hata baadhi ya mabinti unaowafamu hapo mtaani kwenu. ????

Mana alikuwa na tako, tena tako tako kweli???? lile la kuvunja chaga. Shingo yake ndefu kama ya twiga. Matiti ya wastani, yaliyomfanya muda wote wanaume wa hisi pengine hata kuzaa bado hajazaa.

Kiuno cha aina yake, kilicho bonyea ndani na kumwaga kwa kichini kama nyuki dondola ???? Ama hakika mama huyu alikuwa ni maana halisi ya kile tunacho kiita umbo namba nane.

Kuna baadhi ya nyakati, hata Bahati alikiri kuto kuufikia japo robo tu ya uzuri wa mama yake.

Ni mlevi gani aliyelewa klabuni kwa mama bahati alafu akavumilia kuyatizama tu matako yake pasina kuyatamani?

Jibu ni hapana. Mana hakuna! hakuna hata mmoja aliyekuwa na jeuri hiyo. Wengi miongoni mwa wateja wake wa pombe, waligeuka na kuwa wateja wake wa ngono pia, mana walishindwa kula kwa macho kila itwayo leo!

Kitu kilichomfanya Pengo asiwe na hisia za dhati sana za mapenzi kwa mama huyo. Ndo hivyo tu alizifuata pesa zake. Kwani kila alipomlala, Pengo alilipwa ada yake. Tena ada ya manaa kabisa, mana zilikuwa nu pesa taslim zaid ya shilingi elfu arobaini kwa kila walipo lala na kuzagamuana. ????

******
Kadra alichambwa sana na manesi, akaambiwa aache woga. Maana akiendekeza tabia yake ya kujidekeza kitandani nakujifanya hawezi kuhimili uume wa mumewe wenyewe pete, basi atampoteza mume. Na badala yake wataibuka makonkodi wengine wamsaidie shughuli ya kiunyumba! Nesi alisema;

"Wee endelea tu, au haujui kupata mume wa aina hiyo ni bahati? Wenzako wanawasakanya kwa udi na uvumba na bado hawampati, wewe unachezea bahati!?".

"Labda dokta useme wewe, maana mimi nimechoka. Na kama hamtaki aweke wazi hapa hapa. Kwani sio siri, hata mimi mwenyewe sijawahi kuijaribu bakora ya mwanaume mwenye pete. Naitamani kama nini!". Awee, Kadra aliposikia maneno hayo ya manesi, ili bidi akomae, ghafla akalipuka neno na kusema;

"Jamani dokta nitajitahidi, japo sio rahisi, nyie kawaida tu ila.... bila shaka hata ninyi wenyewe hamuwezi kuuhimili uume kama huo!".

"Kadra, unataka kutangaza vita na mimi!?, hebu sema suu uone!". Dokta wa kike aliyehusika na tatizo la kadri siku hiyo, alitania, ndipo kadra akaomba tu wa mwache mume wake. Wasije kuchepuka naye bure.

Baada ya mazungumzo hayo marefu ya utani, kadra aliruhusiwa kurejea nyumbani. Ila akapatiwa vidonge maalumu vya kusisimua homoni, ili awe anavimeza nusu saa kabla ya kuanza tendo la ndoa na mumewe! Ili vimsaidi kulegeza nyongo, pelvic muscles na mji wa uzazi, vitanuke vizuri wakati wote wa tendo!

"Ahsante sana dokta. Nitafanya hivyo, ili nisiabike tena!"

"Pambana shoga angu, ni fursa hiyo ujue!".

Wote walicheka kwa nukta hiyo.

Ndipo jirani wa karibu wa Kadra akaja nakumchukua shoga ake, wakatoka wote nnje huku akimsimanga. Akimtaka aache uzembe kitandani. Na badala yake amkatikie mumewe kama mwehu!

"Acha ufara Kadra! Hogo la jang'ombe hilo. Lipambanie vyema, ukicheza.....!".

"Hebu acha hizo Chausiku, ujue ile ni bahati mbaya tu"

"Bahati mbaya? Wakati hadi kujinyea ulijinyea!? Hahaha!" ????

"Usiongee kwa nguvu bhasi, utafanya watu wote watajua!". ????

"Acha wajue, tena wafahamu kuwa, mumeo ana bakora yenye Pete, ndefu kaa ya punda!". ????

Kadra alitizama chini kwa aibu.???? Huku wagonjwa waliokuwapo hapo mapokezini wakimtizama Kadra kwa mshangao. Tena wakinongona kwa chini chini.

"Ndo huyu!"

"Eee"

"Huyu ndo yule aliyenasiana!?".

"Kha! Natamani kumwona huyo bwana ake, ili nimpe maua yake!"

"Acha tu shoga angu, mana ninavyopenda dyudyu kubwa, nene na ndefu.. aki nikimwona na muiba!".

"Sio wewe tu, hata manesi wanamtani huyo jamaa ake kama nini, nimewasikia mwenyewe kwa masikio yangu wakisimuliana!".

"Unasemaje?".

"Habari ndo hiyo shosti! Ndefu tamu babu. Fupi inakera". ???????? ..ITAENDELEA

Je, UNAHISISI PENGO ATASALIMIKA KWELI? MAANA NI KILA MWANAMKE ANAYEZIPATA HABARI ZAKE, LAZIMA ACHIZIKE. HATA MIMI SIJUI, TUKUTANE EP 09

AU PATA FULL STORY KWA KULIPIA TU TSH 1000/=
NAMBA: 0675536572
JINA: MVUNGI

MALENGA MWENYE KALAMU ILIYOSAHAULIKA NYIKANI!

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHANGA TISA. EP: 08

SHANGA TISA.
EP: 08
MTUNZI: ASHROUPH K.A

HAUWEZI kuamini, Bahati alinuniana siku hiyo na mama yake, akagoma katu katu kupewa namba hizo za simu za Pengo na mama yake.

"Sinimesema sitaki? nitamuomba mwenyewe, kwani huwa sianakuja hapa kila siku kulewa?". Alisema Bahati, japo kwa jazba????

"Bahati, kwani kuna utofauti gani hizo namba nikikugea mimi na akikugea Pengo mwenyewe!?". Mama alimjibu.

"Nimesema kaa na namba zako, sizihitaji tena!". Bahati aliinuka juu nakutoka nnje kwa hasira.
Huku nyuma akimwacha mama yake akiwa anacheka sana kupita kiasi!????

"Hahaha,???? huyu mtoto naona anataka kupita alipo patoka. Hajui kuwa Pengo ndo usingizi wangu mie!? Mwana mshenzi huyu".
Alisema....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shanga-tisa-ep-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shanga-tisa-ep
SHANGA TISA  EP: 20
SHANGA TISA EP: 20
SHANGA TISA  EP: 17
SHANGA TISA EP: 17
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA  EP: 16
SHANGA TISA EP: 16
SHANGA TISA  EP: 10 ASHROUPH K.A
SHANGA TISA EP: 10 ASHROUPH K.A
SHANGA TISA  EP: 14
SHANGA TISA EP: 14
SHANGA TISA  EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A    {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA  EP: 13
SHANGA TISA EP: 13
SHANGA TISA  EP: 09
SHANGA TISA EP: 09
SHANGA TISA  EP: 19
SHANGA TISA EP: 19
SHANGA TISA  EP: 18
SHANGA TISA EP: 18
SHANGA TISA.  EP: 4
SHANGA TISA. EP: 4
SHANGA TISA  EP: {02}
SHANGA TISA EP: {02}
SHANGA TISA  EP 05
SHANGA TISA EP 05
SHANGA TISA  EP 06
SHANGA TISA EP 06
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA. EP: 1
SHANGA TISA. EP: 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

1K
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

827
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

823
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

404
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

185
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

153
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

88
BLACK BUTTERFLY 🦋 1

BLACK BUTTERFLY 🦋 1

72
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

62
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

62

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest