SHANGA TISA
EP: 16
MTUNZI: ASHROUPH K.A
{TAYLOR PERRY WA TZ}
CHAUSIKU na Kadra walirusha roho usiku huo kwa kwenda mbele. Hadi Kadra akafika kileleni mara nne mfululizo, jambo ambalo hakuwahi kulizoea hapo kabla.
Kwani alizoea tu kumridhisha mume wake mara moja moja kwa kupokea robo ya uume wake, kitu kilichokuwa kikimkera sana Pengo. Mana, siku zote Pengo alitamani kukutana na mwanamke wa shoka, mwanamke anayemudu kuivumiliya bakora yake yote imzame ndani. Huku raha yake ikiwa inaongezeka maradufu pindi ambapo mwanamke anayefanya naye anapolia kwa maumivu mara baada ya kuingiliwa na gobole lake refu lenye Pete juu.
"Chausiku, mbona huu mchezo ni mtamu hivi, sasa kuna haja gani ya mimi kumsumbukia Pengo? Si uni hakikisheni tu hii huduma shoga angu!?".
"Acha ufara wewe, sifa ya mke nikumudu kila ume. Na wala sio kusagana kama tunavyofanya hapa. Hii ni rusha roho tu, upo nyoyo!?". Alizungumza Chausiku, huku akiendelea kuivaa chupi yake, tayari kabisa kwa kuondoka nakurudi kwake, akihofia kufumwa na Pengo hapo ndani!
"Sawa, nimekuelewa! Nitajitahidi kama ulivyosema!". Alijibu Kadra, kisha Chausiku akampiga Kadra kijibao cha mzaha juu ya makalio yake. Kadra akalalama na kubinua kiuono juu.
"Utajiju, mie naondoka zangu...!". Akatoka zake nakusepa.
**
Usiku huo huo, Pengo na Bahati walifanya yao kule Lodge kwa kwenda mbele. Pengo akastaajabu,
Mana Bahati alikuwa amebadilika kila kitu, tofauti na vile alivyomjuaga mwanzo,
"Mmh!? Leo umekula kitu gani Bahati? Mbona haupoi? na hii michezo ya kupokea kubwa umejifunzia wapi!?".
"Wacha longo longo, wewe tia, au umechoka nije juu!?".
Pengo alizidi kushangaa, Mana Bahati alikuwa wa moto kupita kiasi.
"Ikalie bebi". Pengo aliomba.
Chap Bahati akamgeuza Pengo na kuja juu, akaanza kumwagia miuno ya karne. Hadi Pengo jasho likamtiririka mpaka kwenye mfereji wa ikweta!
"Leo ni leo, mpaka useme. Siunajifanya wewe ndo kidume mwenye bakora kubwa hapa mjini!? Sasa usikilizie moto wangu...!". Bahati aliongea, huku akiendelea kuikatikia bakora ya Pengo, ikawa inazama yote kabisa. Hadi ile Pete aliyovikwa Pengo nayo ikawa inazama pia. Wakawa wanagusana vinena vyao wenyewe kwa wenyewe!!
Yaani vibofu vya mikojo vikawa vinasalimiana kwa kugusana.
Jambo ambalo, Pengo hajawahi kuli expiriensi kutoka kwa mwanamke yeyote yule! Mana hata mama mzazi wa Bahati alikuwa hana uvumilivu kama huo.
"Bahati, utaniua, utania wewe mtoto. Acha kwanza ninywe maji! Kiu mama, kiu bebiii...!".
"Pwa! pwa! pwa! Pwa! Pwa!". Bahati hakuacha, alizidi tu kwenda juu chini juu chini. Hadi sauti ya pwa! Pwa! Ikawa inasikikika humo lodge kwa jinsi ambavyo matako yake yale makubwa yalivyo kuwa ya kitua kwa kishindo juu ya mapaja ya Pengo.
"Washa feni Bahati, utaniu ujue, niache hivyo pls!"
"Mpaka useme, mimi na mama yangu nani malaya aliyekubuhu!?".
"Ni wewe Bahati, mama yako hawezi hivi...!".
"Bado, nataka ujirekodi kwenye simu hii, alafu hiyo voice na video umuonyeshe. Mana anajidai kuwa yeye ndo nguli kuliko mimi!".
"Bahati, hiyo ni hatari ujue!".
"Hatari!? Bhasi tuendelee, mpaka hiyo Pete yako ibakie humo ndani ya papuchi yangu...mseng* mkubwa wewe!".
"Uwiii!...utaniua Bahati, acha tu nijirekodi...ili mama yako akakupigie saluti!".
Hapo ndipo Bahati alipo jitoa pale juu kwenye kiuno cha Pengo alipokuwa akijipimia mautamu!
Pengo akavuta pumzi, huku akiwaza jambo lake kichwani. Akaona ni bora lawama kuliko fedhea..
Akainama chini na kukiokota kiatu cha Bahati kilichokuwa na kisigino kirefu! Akakitazama, kisha akamtazama Bahati pia.
"Achana na kiatu changu, kunywa maji tujirekodi. Ili mama akaone!". Aliongea Bahati. Ila muda huo huo, Pengo akamgeukia Bahati kwa nguvu na kumchapa kisigino kile cha kiatu kichwani.
Bahati akaanguka chini kama mzigo, hapo hapo mwili ukapoa. Pengo akatoka nduki na kusepa zake, kwa mara ya kwanza kabisa akawa amemkimbia mwanamke gest, mara baada yakuona mambo yamemuwia magumu...ITAENDELEA
Mjomba kakutanishwa nacho????????
Soma yote kwa Tsh 1000/=
Lipia hapa 0675536572.
SHANGA TISA
EP: 17
MTUNZI: ASHROUPH K.A
{TAYLOR PERRY WA TZ}
BAADAYA kutoka humo Lodge, Pengo alipiga simu moja kwa moja nyumbani kwa mama mzazi wa Bahati, akamweleza kila kitu kuwa, mwanaye yupo Lodge kuna wahuni wamemzimisha. Mara baada ya kumpelekea moto kwa mtindo wa mtungo!
"Pengo, acha masihara yako bhana. Ujue nipo tu kitandani na kusubiria!".
"Wewe endelea kusubiria embe chini ya mnazi, mimi huko leo siji ng'oo! nipo kwangu na mke wangu wa ndoa. Fanya hima ukamnusuru kwanza mwanao, utajua mwenyewe, chelewa chelewa afe!". Pengo alikata simu, kisha akatafuta kibanda cha chips usiku huo hapo Tanga mjini. Akanunua kuku nusu na chips zake. Akavil vyote kutokana na njaa ya ghafla aliyoipata kule lodge mara baada ya kupelekewa moto mkali na Bahati!!...
Ghafla simu ya mama bahati ikaingia, Pengo akapokea muda huo huo.
"Wewe, umesema yupo Lodge gani!?"
"Mkumbala Lodge! Barabara ya sita Tanga mjini hapa!".
"Sawa, ngoja niende. Mana naipigia simu yake haipatikani!".
Mama huyo alikata simu, akachukua tax ili impeleke huko ilipo mkumbala Lodge.
Ndani ya muda mfupi tu akamudu kufika, akapokelewa na wahudumu wa Lodge hiyo, ndipo akaulizia uwepo wa mteja anayefahamika kwa jina la Bahati Nasibu!
"Ndio, mteja huyo tunaye, kwani shida nini!?".
"Nimeambiwa kuwa eti amezidiwa sana, Mana amepigwa mtungo na wanaume wengi kwa mkupuo! Na huyo Bahati ni mwanangu wa pekee. Hivyo naombeni tu mnipeleke nikamwone!".
"Mmh!? Mbona hatuna taarifa hiyo!?".
"Hamuwezi kuwa nayo, ndo maana nawaambia. Nipelekeni nikamwone!". Mama bahati alilazimisha huku akipiga makelele, hadi wahudumu wakaona isiwe shida. Wakaongozana naye mpaka kwenye chumba alichokuwa amekodi Bahati. Ila walipofika, walishangaa kweli kukuta mlango ukiwa wazi.
Ikawabidi wafungue nakuzama ndani.
"Toba ilahi!". Wote walishangaa, kwani bado Bahati alikuwa amelala chini kwa kuzimia, huku damu nyingi zikimvuja kichwani.
"Maskini mwanangu, ni nani wamekufanyia ukatili huu, si ni mara kumi elfu wangenifanyia mimi!? Ujue wewe ndo kula yangu na jeuri yangu hapa mjini!?". Mama mzazi wa Bahati alilaani.
Wahudumu wakapiga simu polisi ili kupata msaada, maana tukio hilo lilikuwa la kipolisi, wala si vinginevyo.
**
Kesho yake, Pengo ndo alikuwa mtu wa kwanza kumpigia simu mama Bahati, na kumuulizia juu ya maendelei ya kiafya ya Bahati!
"Nambie bebi, vipi. Mwanentu anaendeleaje!?". Alihoji Pengo
"We acha tu, anaendelea hivyo hivyo. Nakushukuru sana kwa taarifa yako. Mana usingenambia wewe, pengine mwangu angelifia pale pale Lodge usiku ule. Mana so kwa damu hizo alizokuwa anavuja!".
Bahati aligeuza shingo, akamtizama mama yake akiongea na simu hiyo, akajua tu. Bila shaka anaongea na Pengo. Akasubiri kwanza amalize ili amuulize baadaye.
Ndipo wakaongea kwa kirefu mpaka mwisho, ila mama bahati alipotoa tu simu yake sikioni. Bahati aliinua mdomo wake na kumuuliza,
"Kwani mama ulikuwa unaongea na nani!? Au ni Pengo!".
"Ndio, siunajua huyu ndo baba yako mdogo!? Na laiti asingenipigia simu kuna mbia kuwa kuna washenzi wamekufanyia huu unyama, wala nisingejua kitu pengine mpaka sasa!"
"Hahaha! Mama, ivi una akili kweli, yeye alijuaje kuwa nipo Lodge, au haujajiuliza swali hili!? na amejuaje kuwa nimepigwa mtungo!? Ee!?. Zinduka mama yangu, acha kuwa nyuma nyuma kama mkia". Bahati aliongea kwa kumkejeli sana mama yake! Hadi mama Bahati akajishangaa kidogo, Mana sio siri pengine Pengo alijua kitu kuhusu tukio zima lililomkuta mwanaye!
Aliwaza hivyo mama Bahati . Ingawa kimoyomoyo! .......ITAENDELEA
https://whatsapp.com/channel/0029VbAn7XYJP20v4L8NGV2J.