SHANGA TISA
EP: 18
MTUNZI: ASHROUPH K.A
{TAYLOR PERRY WA TZ}
"Usione kama na kutukana mama yangu, tatizo una boa sana, haupendi kuushughulisha ubongo wako hata chembe. Ndo maana toka umenizaa mpaka leo, haujawahi kunifunza njia yoyote ile ya halali ya kuingiza pesa. Zaidi ya hii ya hii moja kunikuwadia!".
"Mwanagu, hata mimi sio kama ninapenda. Ni hizi shida na marejesho vikoba ya kusha damu!".
"Ndo ujiongeze sasa! Muulize huyo Pengo unayempenda kuwa, amejuaje kuwa jana niliingizwa Lodge na wahuni. Na akutajia majina yao. Laa sivyo namfungulia kesho ya udhalilishaji mahakamani!".
"Bahati, hebu tusifikie huko! Wewe shukuru mungu umepona, hayo mengine tuyape mgongo!".
"Sitaki, lazima Pengo aeleze ukweli, laa sivyo...!".
Ni kama vile Bahati alitaka ikae wazi kuwa, mtu aliyempelekea majeraha yale ya kichwa mpaka akazimimia ni Pengo, na wala si mwingine!
**
Huku upande mwingine, Chausiku alipitia nyumbani kwa Kadra, akabisha hodi mlangoni kwa muda mrefu sana bila kufunguliwa. Ila, wakati wote akiwa hapo nje, alikuwa haishi kuzisikia sauti za kimahaba zikitokea ndani ya nyumba hiyo ya Kadra,
Chausiku akawaza,
"Au leo Pengo yupo nyumbani mchana huu? Mbona lakini sio kawaida yake!?".
Aliwaza, ila akaamua kusogea mpaka dirishani. Kwenye dirisha la chumba alimokuwa akilala Kadra na mumewe siku zote.
Ila, alipofika hapo dirishani, alistaajabu kusikia miguno ya mtu anaye gugumilia utamu wa tendo la ngono safi, ikiongezeka maradufu!
Chausiku akajaribu kuchungulia ndani kupitia kioo cha dirishani.
Mama yangu! Ndipo akamwona rasmi Kadra akiwa amejilaza kitandani huku anajiingizia zinga la tango kubwa ukeni mwake.
Chausiku akafurahi sana. Akaona shoga ake kidawa, tayari keshaiva. Usikute hata chupa kesha jua kuikalia!
"We mwanamke! Hebu acha ujinga, mwenyewe unanogewa kama nini. Alafu hata pazia hujashusha, hauogopi kupigwa chabo!?".
Kadra alikurupuka, mara baada ya kuisikia sauti ya Chausiku ikiongelea dirishani kwake. Mbio mbio akalitoa lile zinga la tango ukeni na kwenda kuufungua mlango.
Chausiku akazama ndani.
"Nilikuwa na malizia zoezi la mwisho mwisho, siunajua leo ndo siku yangu rasmi kwenda kuwaonyesha wale mashangingi kuwa naweza kukalia chupa!?".
"Najua, usije tu ukaniangusha, maana ndo utakuwa mwisho wa ushoga wetu. Ujue wenzangu wanahisi kama vile unaenda tu kuwasanifu!".
"Leo sikuangushi shosti!?". Alijibu Kadra, huku akivaa haraka haraka ili waende kwenye shoo yao ya siri. Show ya kushindana kukavilia vyupa!
Walitoka zao nje, wakakodi boda, safari ya kuelekea Tanga mjini kwa macheni ikashika moto. Ili wakaonyeshane mautundu yao!
**
Bado Pengo alibaki kuishi kwa kujificha ficha, akawa hata haendi tena nyumbani kwa akina Bahati. Akawa anakutanaga tu na mama Bahati kwenye magesti na Lodge mbalimbali, yote kwa yote, ili tu asimtie tena Bahati machoni!
"Eti daddy, tutakuwa tunakutania huku mafichoni mpaka lini!? Ujue nimemiss kutiwa juu ya kitanda changu!? au wewe haupendi?".
"Mama Bahati, kwako siji tena, ng'oo! Labda Bahati ahame, maana sitaki kula kuku na mayai!".
"Sijakuelewa Pengo, ina maana Bahati anakutaka!?".
"Aisee! Sio lazima kila kitu uambiwe, na siku zote akili za kuambiwa changanya na zako!"
"Mmh!? Bhasi atanikoma, sipo tayari nikupoteze kisa mwanaharamu yule. Kwanza ndo hivyo tu hajui, baba yake alijinyea siku ananitungisha mimba, mana alikuwa na kibamia kiduchu kama cha kuku, alafu leo hii mtoto niliyemzaa atake kunikatisha huu utamu unaonipa!? Wala tu jamani, ataondoka yeye kama alivyoondokaga baba yake, ili akupishw wewe!". Mama Bahati alionyesha udhaifu wake mbele ya Pengo. Pengo akajua mchezo ushakwisha, tayari kesha mudu kumtoa Bahati kwenye njia yake...ITAENDELEA
KUNA MOTO MPYA UMEANZA KWENYE HADITHI YANGU YA SUPA TEACHER HUKO NI ? ZAIDI YA HAPA KWENYE SHANGA TISA.
Je, nani zaidi kwa Mama Bahati!? Mtoto au mchepuko!? Usikose Ep inayofuata. Ni ?
Soma full kwa Tsh 1000/=
06755365
Jina Komba.