Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHANGA TISA  EP: 18
Gonga94 · Stories

SHANGA TISA EP: 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHANGA TISA
EP: 18

MTUNZI: ASHROUPH K.A
{TAYLOR PERRY WA TZ}

"Usione kama na kutukana mama yangu, tatizo una boa sana, haupendi kuushughulisha ubongo wako hata chembe. Ndo maana toka umenizaa mpaka leo, haujawahi kunifunza njia yoyote ile ya halali ya kuingiza pesa. Zaidi ya hii ya hii moja kunikuwadia!".

"Mwanagu, hata mimi sio kama ninapenda. Ni hizi shida na marejesho vikoba ya kusha damu!".

"Ndo ujiongeze sasa! Muulize huyo Pengo unayempenda kuwa, amejuaje kuwa jana niliingizwa Lodge na wahuni. Na akutajia majina yao. Laa sivyo namfungulia kesho ya udhalilishaji mahakamani!".

"Bahati, hebu tusifikie huko! Wewe shukuru mungu umepona, hayo mengine tuyape mgongo!".

"Sitaki, lazima Pengo aeleze ukweli, laa sivyo...!".

Ni kama vile Bahati alitaka ikae wazi kuwa, mtu aliyempelekea majeraha yale ya kichwa mpaka akazimimia ni Pengo, na wala si mwingine!
**

Huku upande mwingine, Chausiku alipitia nyumbani kwa Kadra, akabisha hodi mlangoni kwa muda mrefu sana bila kufunguliwa. Ila, wakati wote akiwa hapo nje, alikuwa haishi kuzisikia sauti za kimahaba zikitokea ndani ya nyumba hiyo ya Kadra,

Chausiku akawaza,

"Au leo Pengo yupo nyumbani mchana huu? Mbona lakini sio kawaida yake!?".

Aliwaza, ila akaamua kusogea mpaka dirishani. Kwenye dirisha la chumba alimokuwa akilala Kadra na mumewe siku zote.

Ila, alipofika hapo dirishani, alistaajabu kusikia miguno ya mtu anaye gugumilia utamu wa tendo la ngono safi, ikiongezeka maradufu!

Chausiku akajaribu kuchungulia ndani kupitia kioo cha dirishani.

Mama yangu! Ndipo akamwona rasmi Kadra akiwa amejilaza kitandani huku anajiingizia zinga la tango kubwa ukeni mwake.

Chausiku akafurahi sana. Akaona shoga ake kidawa, tayari keshaiva. Usikute hata chupa kesha jua kuikalia!

"We mwanamke! Hebu acha ujinga, mwenyewe unanogewa kama nini. Alafu hata pazia hujashusha, hauogopi kupigwa chabo!?".

Kadra alikurupuka, mara baada ya kuisikia sauti ya Chausiku ikiongelea dirishani kwake. Mbio mbio akalitoa lile zinga la tango ukeni na kwenda kuufungua mlango.

Chausiku akazama ndani.

"Nilikuwa na malizia zoezi la mwisho mwisho, siunajua leo ndo siku yangu rasmi kwenda kuwaonyesha wale mashangingi kuwa naweza kukalia chupa!?".

"Najua, usije tu ukaniangusha, maana ndo utakuwa mwisho wa ushoga wetu. Ujue wenzangu wanahisi kama vile unaenda tu kuwasanifu!".

"Leo sikuangushi shosti!?". Alijibu Kadra, huku akivaa haraka haraka ili waende kwenye shoo yao ya siri. Show ya kushindana kukavilia vyupa!

Walitoka zao nje, wakakodi boda, safari ya kuelekea Tanga mjini kwa macheni ikashika moto. Ili wakaonyeshane mautundu yao!

**

Bado Pengo alibaki kuishi kwa kujificha ficha, akawa hata haendi tena nyumbani kwa akina Bahati. Akawa anakutanaga tu na mama Bahati kwenye magesti na Lodge mbalimbali, yote kwa yote, ili tu asimtie tena Bahati machoni!

"Eti daddy, tutakuwa tunakutania huku mafichoni mpaka lini!? Ujue nimemiss kutiwa juu ya kitanda changu!? au wewe haupendi?".

"Mama Bahati, kwako siji tena, ng'oo! Labda Bahati ahame, maana sitaki kula kuku na mayai!".

"Sijakuelewa Pengo, ina maana Bahati anakutaka!?".

"Aisee! Sio lazima kila kitu uambiwe, na siku zote akili za kuambiwa changanya na zako!"

"Mmh!? Bhasi atanikoma, sipo tayari nikupoteze kisa mwanaharamu yule. Kwanza ndo hivyo tu hajui, baba yake alijinyea siku ananitungisha mimba, mana alikuwa na kibamia kiduchu kama cha kuku, alafu leo hii mtoto niliyemzaa atake kunikatisha huu utamu unaonipa!? Wala tu jamani, ataondoka yeye kama alivyoondokaga baba yake, ili akupishw wewe!". Mama Bahati alionyesha udhaifu wake mbele ya Pengo. Pengo akajua mchezo ushakwisha, tayari kesha mudu kumtoa Bahati kwenye njia yake...ITAENDELEA

KUNA MOTO MPYA UMEANZA KWENYE HADITHI YANGU YA SUPA TEACHER HUKO NI ? ZAIDI YA HAPA KWENYE SHANGA TISA.

Je, nani zaidi kwa Mama Bahati!? Mtoto au mchepuko!? Usikose Ep inayofuata. Ni ?

Soma full kwa Tsh 1000/=
06755365
Jina Komba

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHANGA TISA EP: 18

SHANGA TISA
EP: 18

MTUNZI: ASHROUPH K.A
{TAYLOR PERRY WA TZ}

"Usione kama na kutukana mama yangu, tatizo una boa sana, haupendi kuushughulisha ubongo wako hata chembe. Ndo maana toka umenizaa mpaka leo, haujawahi kunifunza njia yoyote ile ya halali ya kuingiza pesa. Zaidi ya hii ya hii moja kunikuwadia!".

"Mwanagu, hata mimi sio kama ninapenda. Ni hizi shida na marejesho vikoba ya kusha damu!".

"Ndo ujiongeze sasa! Muulize huyo Pengo unayempenda kuwa, amejuaje kuwa jana niliingizwa Lodge na wahuni. Na akutajia majina yao. Laa sivyo namfungulia kesho ya udhalilishaji mahakamani!".

"Bahati, hebu tusifikie huko! Wewe shukuru mungu umepona, hayo mengine...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shanga-tisa-ep-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shanga-tisa-ep
SHANGA TISA  EP: 20
SHANGA TISA EP: 20
SHANGA TISA  EP: 17
SHANGA TISA EP: 17
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA EP: 15
SHANGA TISA  EP: 16
SHANGA TISA EP: 16
SHANGA TISA  EP: 10 ASHROUPH K.A
SHANGA TISA EP: 10 ASHROUPH K.A
SHANGA TISA  EP: 14
SHANGA TISA EP: 14
SHANGA TISA  EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A    {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA EP: 11 FUNDI: ASHROUPH K.A {TAYLOR PERRY WA TZ}
SHANGA TISA  EP: 13
SHANGA TISA EP: 13
SHANGA TISA  EP: 09
SHANGA TISA EP: 09
SHANGA TISA  EP: 19
SHANGA TISA EP: 19
SHANGA TISA.  EP: 4
SHANGA TISA. EP: 4
SHANGA TISA.  EP: 08
SHANGA TISA. EP: 08
SHANGA TISA  EP: {02}
SHANGA TISA EP: {02}
SHANGA TISA  EP 05
SHANGA TISA EP 05
SHANGA TISA  EP 06
SHANGA TISA EP 06
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA EP 07
SHANGA TISA. EP: 1
SHANGA TISA. EP: 1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

1K
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

827
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

823
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

404
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

185
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

153
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

88
BLACK BUTTERFLY 🦋 1

BLACK BUTTERFLY 🦋 1

72
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*

62
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

62

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest