SINGLE MOTHER NA BUSU LA MJEDA* *1---2*
*______________________________________*
*SEHEMU YA KWANZA*
Nilitoka nje nikiwa na mawazo kweli, bahati mbaya nikamwagia mkaka maji,kwa sababu ya stress sikukumbuka ata kuomba samahani, nilivyotaka tu kurudi ndani, akaniita we dada, mimi naenda tu,akanifata na kunilamba mtama, ilikuwa ni ghafla tu, ndo nashtuka, nikainuka nakumweka banzi, kwa yeye mwenyewe akashangaa nimepata ujasiri gani mpaka nimempigaπ, ile nataka kuongea nikawa nimecheki ivi chini kwa makini ni mjeda π, niliishiwa ata nguvu, muda huo nimemlowanisha na maji ya ukoko...
Alisema tu " naona unataka tupimane, amna kaka angu ni bahati mbaya tu mambo mengi, wala hata hakujibu, akanivua nilikuwa nimevaa khanga tu na tait, alinibeba akanitupia kwenye shimo la taka taka, afu akasema" samahani dada ni bahati mbaya, akaniacha akasepa, apo kuna watu nje, nilivuta kanga nikajifunika nikatoka ninanuka nimechafuka, machozi tu yananitoka...
Nilikimbilia bafuni, nilioga nakuoga uku nalia, nimetoka bado nahisi harufu, niliamua kuunga maji ya kuoga nikaoga tena, nikahisi ata nywere zimechafuka, nilijikuta nimepata hasira nilioga tena nikamuandaa na mtoto wangu wa miaka 7 Briton, tulitoka nikaenda kunyoa kabisa, wakati natoka salon, nikapishana na uyo mjeda tena akanisimamisha, sikusimama, akaniwahi kwa mbele akaniambia mrembo samahani unaweza nisaidia namba yako?...
Naona uko na haraka,nahitaji kuongea nawewe, nilimkata jicho " usinifanyie ivyo basi, akaanza kuongea na mwanangu, akataka kumpa pesa nikakataa, sitaki ugomvi na wewe, umeshanilipizia zaidi ata ya nilichofanya nazani inatosha, sitaki vioja nilivyonavyo vinanitosha, akashangaa usinambie wewe ndo yule dada uliyenimwagia maji machafu?, ata zikumjibu nikaanza kutembea tu, nimefika nyumbani nashangaa mtu uyu apa mpaka mlangoni kwangu, wewe kuna kitu chako unanidai?...
" Ndio nahitaji izo no zako, unawazimu no yangu sitoi, nilivyosema tu ivo, akamfunika mtoto macho kiaina, afu akaninyakua simu yangu, akakimbia nayo, ata nguvu za kumkimbiza sikuwa nazo ninayangu kichwani, nikahisi huenda ni jizi tu najisumbua, limevaa tu nguo za kijeda,nilijua ndo nimeibiwa ivo, nikaanza tu kulia uku mwanangu nilimwambia akacheze...
Nikiwa nalia ghafla mtu kaingia ndani na simu na kikapu,hivi hapa utampikia kijana wetu, ale vizuri,nilimtizama nikamjibu kwa ukali, sijakuomba chakula, " sijakuuliza kama unataka ama lah!, nimekupa na lazima uchukue, unapaswa kujifunza kupambana na dunia, sio risasi tu inayoua, hata moyo dhaifu una ua, nilipaniki nikachukia nikamfukuza ndani kwangu, kaganda tu natumia nguvu wapi, kawa kama kisiki, hatikisiki ata kidogo, nilivyochoka kumsukama....
Nikamuacha nikafata kisu,nilikuja nacho nikamtishia, "mrembo π₯° siogopi vita sembuse huu moyo wako? Nilikasilika nikaenda kuchukua maji nimmwagie kama kudeki nitadeki tu kabla sijamwagia akaniwahi na busu lakushtukiza afu akakimbia....
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu.....
Itaendelea....π₯
EP2.
Aisee nilitamani ata nimpige bisu, akili imludi kashaanza kunizoea mpuuzi mmoja uyu sasa ngoja nimuandalie dawa,niliandaa pilipili za Kusaga nikaziweka tayari tayari, na hii siku sikuwa na mboga nilikuwa nimefulia, nikachukua ile mboga aliyoleta, ilikuwa samaki, na mboga za majani matunda na viungo, samaki zilikuwa nyingi, nikawaza ata mafuta tu yakuzikaangia sina ila chini ya kikapu nikakuta laki, niliwaza nisijekuambiwa kulipa π€,ila hakuna ushaidi kama kaleta nitakana nilienda nikahemea mchele mafuta lita 5 nikaludi zangu kupika...
Nimeivisha simuoni mwanangu,nilimtafuta adi nikaanza kulia, nikiwa nalia mjeda akaja na mwanangu wanakimbia taratibu taratibu, nilimweka kwanza kofi, nakumwambia sitaki mazoea, kaa mbali na mtoto wangu na mimi vinginevyo nitakufurahisha, "mama B nakuacha sasa hivi kwasababu ya mtoto, lakini tunakoelekea nitakufundisha namna ya kumheshimu mmeo, aliongea kwa hasira sana, akataka kuondoka akarudi tena, " nina njaa uko ndani kuna chakula?..
Wee koma mimi sio mke wako, wala mfanyakazi wako, siwezi kukupikia kama ulijiletesha tule tuvyakula twako hio ni juu yako, sikukuomba,hakujibu alimtizama B akatabasamu nakuondoka, nilimchukua mwanangu, tukaanza kurudi kwenye chumba changu nilichopanga, nilifika nakuta mlango uko wazi mmh nikashtuka kuingia nakuta mjeda anatenga chakula kula...
Nilichukia yani kwanza nawachukia wanaume kupita kiasi, nilichukua ile pilipili nikamwagia machoni, aisee alichukia,alinishika kama anataka kunipiga, B akaanza kulia, mjeda akaniachia, afu akafunga mlango,alichukua maji akanawa B akawa anamwagilizia, alivyomaliza macho yake yalikuwa mekundu mno, alinishika mkono na B akawa anataka kututoa nje, nikagoma, alimshika B akamtoa nje, akanifungia kwa ndani, sikujua kaenda wapi niliita nakuita wapi, nikachukua simu nimpgie mtu aniijie kumbe simu imelowekwa kwenye maji na maisha yangu yalivyo afu nahalibiwa simu π, wanaume mbwa wameniharibia maisha wameona haitoshi sasa ni pesa zanguπ...
Nilianza kulia, nikiwa nalia mlango ukafunguliwa na kufungwa alikuwa mjeda kaludi peke yake, tena anaonekana kabisa anahasira na mimi mno, na mimi pia ninahasira nae, alishika mshiko wa kunitisha, akaanza kusema...Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu....
Itaendelea...π₯
Full 1000
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



