Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐‘†๐‘ก๐‘œ๐‘Ÿ๐‘ฆ__; ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐’๐€๐‹๐Œ๐€ ๐–๐€๐๐†๐” โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ Sehem ya ::03 &04 &5
Gonga94 ยท Stories

๐‘†๐‘ก๐‘œ๐‘Ÿ๐‘ฆ__; ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐’๐€๐‹๐Œ๐€ ๐–๐€๐๐†๐” โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ Sehem ya ::03 &04 &5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


๐‘ฉ๐’–๐’“๐’–๐’…๐’‚๐’ ๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’–๐’๐’Š๐’›๐’Š

Mwanadada Akamlaza Vizur Sky Kisha nae akalala KWA Kutizama Miguu ya Sky(Mzungu wanne)
Wa Kwanza Kuamka Alikua Ni Bint akaandaa Chai Kisha Maji akapekeka Bafuni akanunua na Mswak Mpya KWA Ajili Ya Mgeni wake Kisha akamuamka Mgeni wake Sky Alipoamka Alishtuka sana Akauliza "Hivi nmelala Hapa" "Ulitaka Ukalale wapi Embu Amka Ukaoge Tuje Kunywa Chai" akajibiwa na Mwenyej wake "Kwani sangp" Sky Akauliza "Sa Tatu Hii" "Oooh Mungu wangu Nmechelewa hata na Kazini Hivi Kwanini Usingeniamsha Mapema" Sky alilalamika "Ulinipa Taarifa au mi Naota Tu Au mi Ni Jini Kujua Nitajua Taarifa zako Zote??" BASI Bint akamshushua

Sky akatoka Aende Kuoga Asubuhi Ile Wamama Kibao washajazana karibu na Mlango wa Bafuni "mh" Sky aliishia Kuguna Tu Mana Macho ya Wote yalitua Usoni kwake Hata Kutembea akaanza Kujikanyaga Lkn akajikaza Mpk kuingia Bafuni "Mh Shost leo kavusha" "Hehehehehe Chezea Upwiru wewe" "Na Anavyojikutana Maria Sร sa Mbona Leo Kaenda Kutร futa wa Kumkuna Hehehee" Hayo ni baadh ya maneno aliockia Akiwa Bafuni "Mh Mbona Kazi" Alibak Anajisemea Tu Mwenyew
Aliporudi ndani Ikabidi ampgie Cm rafika Ake Wa Karibu sana Allan Akampa Taarifa kuwa hatofika kazini Baada Ya Chai na Stor za hapa Na Pale Lkn Sky Akabak Kushangaa Bint Uyu hajagusia Kabisa Swala La Kuuliza Kwanini Alikua pale au kutaka Kujua Kwanini Sky Alikua Analia Vile walaa Bint Uyo Hakugusia Kabisaa "Hivi haya Ndo maisha Mnayoishi uku" sky aliuliza "Yapi" "Si hayo we Unaona sร wa Kabisa Asubuhi Asubuhi Watu ameshaweka Vikao Tena chooni aah" Sky alilalama "Aah achana Nao KILA Mtu ana mfumo wake Wa maisha"
Sky alimsogelea Sana Yule Dada Akamtazama Usoni Kisha akamuuliza "Unanipenda"?? Badala Ya Jibu Dada Huyo alicheka sanaa alicheka Mpk sky akaogopa alicheka Mpk akapaliwa Sร sa Sky Akabak anamtazama Tu Hajui Tena afanye nini Baada Ya Kuchekaa Akauliza " Unavyoniangalia Mimi niwakukupenda Wewe"??? "Sร sa Kwanini Nipo hapa" Sky aliuliza "Oke Nataka Unitumie Nani Nkutumie"๐Ÿ™„๐Ÿ™„ Sky akatoa Macho asielewe Nini anamaanisha Binti Huyo

JE Bint Uyo ni nani na Anataka nini KWA Sky

ITAENDELEA......
๐‘†๐‘ก๐‘œ๐‘Ÿ๐‘ฆ__; ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐’๐€๐‹๐Œ๐€ ๐–๐€๐๐†๐”โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
SEHEM YA :04
๐‘ฉ๐’–๐’“๐’–๐’…๐’‚๐’ ๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’–๐’๐’Š๐’›๐’Š

Sky Alitoa macho asielewe Ikabidi dada Yule acheke Tena Akasema "Mi nataka Tu Uwe Rafk Yangu inatosha Ckujui hunijui lkn Hali nliyokuona Nayo pale wala haikunipendeza usingeweza Kuinuka pale lbd Sijui ungekaa pale mpk sangp Nliwah kupitia hali kama ile nliona Dunia sio Yangu mapenzi sio Yangu pumzi zilikarbia kunikata ile Ck ckuona mbele Palikua na Giza na nlkaa Sehem ile Mpk nlipokuja kuzinduka mwenyew hakuna alonishika mkono wala kuniinua Nlpokuona Wewe Niliamin Mapenzi hayana Mwenyew wala Jinsia nlkumbuka Siku yalivyonikuta mimi nilikataliwa Mbele Ya Watu KILA mtu alishuhudia machozi Na kilio changu lkn hakuna aliejali Hivyo sikutaka Wewe upitie hali kama ile Ndo mna nilikuja Kukushika mkono Utoke pale Nilitaman kuinuliwa lkn hakuna alieniinua mie nilihisi we pia unataka Kuinuliwa pale Hivyo nilikuja kukuinua pale Chini Hivo nilifanya Kosa??"" Dada Uyu aliongea huku machozi yakimtoka akionesha kabisa Yalishamkuta kama ya Sky Pia Sky alimkumbatia Bila Kusema Kitu "Unaitwa Nani" Sky alimuuliza Bint Uyo "Naitwa SALMA"

Ndio Ni salma,, Salma Bint wa Miaka 26 Tu Akiishi Mwenyew Salma Ni Bint mchachalikaj mjasiliamal Wengi huita mpambanaji anajishughulisha Na Biashara ndogo ndogo za Ujasiliamali Hutengeneza Vitu vya asili na Kuuza Lkn pia huuza Bidhaa zake Online pamoja Na Nguo za wadada Viatu Nk anaishi mwenyew hana Boyfriend Baada ya Kuachana na Boyfriend wake Mwaka Mmoja Uliopita Elimu yake Ni 4m4 Felia Hana Mtoto wala Hajawah Kuolewa

Ndo kwanza kakutana Na Mkaka ambae hamjui ILa Tu kaamua kumsaidia KWA Sababu Tukio lililompata Ye Pia Liishamkuta Na akaamua Kuachana Kabisa na Mapenz akajikita katika Biashara zake Na sร sa anaendesha maisha yake Huyo Ni salma Mwanamke Asie na matatizo na Mtu naYupo san Bize naMaisha Yake Kuliko ya Mtu mtaan wanasema analinga Sana Hana Mda na Wanaume Wala mwanaume Hajali Chochote wla Kuwaza kuhusu Mapenz Sร sa Kakutana Na Sky ambae Anakidonda Kibichiii Kabisa Kutoka KWA Marry

๐‘†๐‘ก๐‘œ๐‘Ÿ๐‘ฆ__; ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐’๐€๐‹๐Œ๐€ ๐–๐€๐๐†๐”โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
Sehem ya :::05
๐‘ฉ๐’–๐’“๐’–๐’…๐’‚๐’ ๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’–๐’๐’Š๐’›๐’Š

HUO ndo Ulikua mwanzo wa Kujuana Sky na Salma Wawili hawa Ilikua mara Ya Kwanza Kujuana
"Mi Naitwa Sky Asante san Kwa Jana KWA masaa machache Nmekaa nawewee Nmesahau Hakika Nmepata Nafuu sana Nasema Asantee Nitakua Rafk Yako Leo Na KILA Siku Salma Umekua Shujaa wangu Wa Kipekee sana Marry Nampenda na Nlimpenda Ck zote Sijui Kakubwa na nini kama Mahitaj Nlimpa Kiasi Changu chote mapenz Yangu yote Nlimpa Yeye" Sky alijieleza KWA salma "Mpe Muda Atakaa sร wa naiman Atarudi Tu kwako Mpe Muda" salma Ilibidi tu ampe Tumaini Upya La kumpata Marry "No Simuhitaj Tena Inatosha" Sky aliongea Kwa Uchungu sana "Oooh Shit " Sky aliinuka KWA Hamak sana "Vp"
"Gari Yangu" hapo sร sa Sky akili ikakaa sร wa na akakumbuka Gari aliipak Mtaa wa Nyuma kabla ya Kufika KWA Marry "Ooh Mbona sikuona Gari Maeneo yale" salma Akamwambia "Yeah Nlipak Kule Maeneo ya Bar" "Inabid Uifate" salma Akampa Wazo "Hapana Siwezi Kurudi kule" "Vp unamuogopa Bado Yule Mwanamke?? "" Salma Akamuuliza Sky "Hapana Sitak kuonana nae Lbd kazin Tutakutana" "Ni Ngum sana kwako Kuonana nae unaonesha bado Unahisia nae na Mnafanya Kazi Sehem MOJA Hiyo pia Itakua Ngum sana kwako eeh Kama Gari Huezi Kufata KWA kuogopa Kuonana Nae BASI na Kazi Acha" Salma Akamwambia Sky na Sky akafikilia Ni Kweli Kama atashindwa Kufata Gari vipi kazini na Wapo Hospital MOJA Hapo Ilibidi Tu ainuke Kishingo Upande Salma Akamwambia Tutaenda Wote wala Ucjal Sky akamwangalia Akatabasam Akasema "Umekua Mlinzi wangu Asante Salma" *Ucjali Nitakulinda Kaka angu Mzur" basii wakacheka Kisha safarya Kufata Gari
Walifika Alipo Acha Gari Lkn wala Hawakuonana na Marry wala Kumuona Sky alikumbuka Tukio la Jana Na akainamia Usukani salma Akamshika Kichwa Na Kumlaza Kifuani kwake Akamwambia "Naomba Ulie Hapa Lia kama Unataka Kulia" Sky akalia Akalia Na Kulia Kisha akatoa Ile pete mana ilikataliwa aliiweka Kwenye Dashboard Na safar ya Kurudi KWA Salma Ikaanza walipiga stor Njia Nzima salma Akamuomba Alale Pia KwakeKesho Ataenda Kazini Sky alikubali

Asubh na Mapema Sky anamshwa Na SALMA "Amka Kaoge Chai Then Kazini" "Oooh Ucjali chai Nitakunywa cantin" "Chai lazima Unaamka Au Tunaendelea Kubishana??" sky akacheka KWA mikwala Ya salma Ukweli Alijikuta anamzoea sana Kuliko Kawaida aliogakisha chai "Mi Naenda " Karibu Tena" salma Alimjibu

Baada Ya Kutoka salma Pia alijiandaa KWA Ajir ya Kusambaza Oder zake Za Ck Hiyo
Sky Wakat anafika Kazini Alipak Gari Alipoingia Kwenye Lift alimkuta Marry na Shoga ake Kwenye Lift "Mh hata Nguo hajabadili kweli nmemvuruga" Marry Alisema Kimoyo moyo Lkn sky Alipoingia Alisamlia " Habar ya Asubuhi" marry alibunua Midomo Tu Hakuitika Akaitika Mwenzae ambae pia Ni mfanya Kazi Hapo
Siku Ikaanza KILA Mtu alishika Majukum yake Sky Alipo pata Mda alimpa Story nzima Allan ,,,Allan aliskitika sana Na KUMPA pole Nyingi ,,,,,"Kwahy Unampango wa Kurudiana Nae Au" Allan alimuuliza Sky "Aah hapana Mi mapenz Hapana Sitaki Mzee" Sky akajibu na Ikafata Kicheko "Nliona Asubuhi kaletwa na Uyo mshua wake" Allan aliongezea "Achana nae Tusimpe Airtime Mzee" Sky Ikabidi Abadili mada Kabisaaa

INAENDELEA .......
SOMA MPAKA MWISHOOO KWA SH 1000
๐‘ต๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š๐’‘๐’ ๐‘ฝ๐’๐’…๐’‚๐’„๐’๐’Ž ๐‘ด ๐’‘๐’†๐’”๐’‚ 0743433005 ๐’‹๐’Š๐’๐’‚ ๐‘จ๐‘ฎ๐‘ถ๐‘บ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ต๐‘ถ
๐‘ผ๐’Œ๐’Š๐’๐’Š๐’‘๐’‚ ๐’๐’Š๐’„๐’‰๐’†๐’Œ๐’Š ๐‘พ๐’‰๐’‚๐’•๐’”๐‘จ๐’‘๐’‘ ๐’Œ๐’–๐’‘๐’Š๐’•๐’Š๐’‚ ๐’๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ +255743433005 ๐’๐’Š๐’Œ๐’–๐’‰๐’–๐’…๐’–๐’Ž๐’Š๐’†

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐‘†๐‘ก๐‘œ๐‘Ÿ๐‘ฆ__; ๐‰๐€๐Œ๐€๐๐ˆ ๐’๐€๐‹๐Œ๐€ ๐–๐€๐๐†๐” โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ Sehem ya ::03 &04 &5



๐‘ฉ๐’–๐’“๐’–๐’…๐’‚๐’ ๐‘บ๐’Š๐’Ž๐’–๐’๐’Š๐’›๐’Š

Mwanadada Akamlaza Vizur Sky Kisha nae akalala KWA Kutizama Miguu ya Sky(Mzungu wanne)
Wa Kwanza Kuamka Alikua Ni Bint akaandaa Chai Kisha Maji akapekeka Bafuni akanunua na Mswak Mpya KWA Ajili Ya Mgeni wake Kisha akamuamka Mgeni wake Sky Alipoamka Alishtuka sana Akauliza "Hivi nmelala Hapa" "Ulitaka Ukalale wapi Embu Amka Ukaoge Tuje Kunywa Chai" akajibiwa na Mwenyej wake "Kwani sangp" Sky Akauliza "Sa Tatu Hii" "Oooh Mungu wangu Nmechelewa hata na Kazini Hivi Kwanini Usingeniamsha Mapema" Sky alilalamika "Ulinipa Taarifa au mi Naota Tu Au mi Ni Jini Kujua Nitajua Taarifa zako...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story__-jamani-salma-wangu-sehem-ya-03-04-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story__-jamani-salma-wangu-sehem-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.35K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 11
@majario LIVE

โ€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamikaโ€ฆ โ€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

โ€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema โ€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ๐Ÿ˜โค๏ธ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hiviโ€ฆ. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest