Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 01
Gonga94 ยท Stories

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 01

ONYO???


Stori hii ina Maudhui ya Kimapenz** na ya buza kwa Mpalange'

****

Mwanadada au mwanamama Yunisi kulipokucha mapema asubuhi alikuwa bado amelala kitandani licha ya mumewe kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini, mwanamke huyo kama kawaida yake yeye ni kulala mpaka ahakikishe ameumaliza usingizi wote ndipo aamke, haijalishi iwe saa mbili asubuhi, saa nne au hata saa sita, mumewe Benson alimaliza kuvaa suti yake ya kazini na kumsogelea mkewe kitandani ambae ndiyo kwanza alikuwa anajigeuza kitandani akiendelea kuuchapa usingizi

"Naenda kazini, tutaonana baadae"
"Sawa kazi njema" mkewe alimjibu huku akijinyoosha kitandani, mumewe akatikisa kichwa kujisikitikia mwenyewe kwa jinsi ambavyo mwanamke huyo asivyojali kuhusu maandalizi yake ya kwenda kazini, akabeba begi lake la ofisini na kuanza kutoka taratibu kuelekea nje kwenye maegesho (parking) ili aingie kwenye gari lake na ndipo aliposikia geti dogo likigongwa na mlinzi akiwa amekaa kwenye kiti chake anauchapa usingizi

"Mboya!" alimwita kwa ukali, mlinzi huyo akakurupuka kwenye kiti hicho chenye mguu mmoja ambacho alikitegesha tu, akajikuta anaanguka nacho mzima mzima chali baada ya kukurupuka

"Naam bosi" aliinuka haraka haraka huku akikiokota kiti hicho na kukiweka vizuri kisha akamkimbilia bosi wake huyo badala ya kwenda getini ambapo kulikuwa kunagongwa geti

"Sasa unanifuata mimi tena badala ya kulifuata geti linalogongwa, wewe vipi?"
"Oooh samahani bosi" mlinzi alijibu na kugeuka mbio mbio kurudi getini

"Hapa nina mlinzi kweli au nina mtu tu ninayemsaidia maisha na jinsi ya kuishi?" Benson alitikisa kichwa kwa masikitiko akiwa amesimama pembeni mwa gari lake dogo, kisha akaufungua mlango ili aingie

"Kaka!" aliitwa akageuka na kukutana na dada wa kazi (housegirl) aitwae Mwaneke

"Unasemaje Mwane?"
"Tai yako haijakaa vizuri kaka ndo nilikuwa nakuja kukukumbusha tu"
"Oooh sawa asante" Benson, alijibu na kuifunga vizuri tai yake hiyo shingoni kisha akamtazama Mwaneke, msichana mweusi wa rangi na mwenye upara kichwani, mnene kiasi ambae kanyimwa sura tu ila nyuma mashalaah amebebelea kifurushi

"Kazi njema" alimpungia mkono mwanaume huyo aliyetabasamu tu na kuliondoa gari taratibu huku Mwaneke akilitazama kwa kulisindikiza kwa macho, akiwa amevalia gauni refu na pana la mtumba lililofika mpaka chini miguuni, likiziba hata kifurushi chake nyuma alichojazia kisionekane na yote ikiwa ni amri ya mama mwenye nyumba, Yunisi, gari la Benson lilipita getini kukiwa kumefunguliwa na mlinzi tayari, Mwaneke akibaki anatabasamu tu

"Yule alikuwa anaongea nini na mume wangu?" Yunisi alijiuliza huku akiwa amesimama dirishani chumbani kwake anachungulia kinachoendelea nje, Mwaneke aligeuka taratibu kurejea ndani kwenye nyumba kubwa

"Mwaneke, Mwane" aliitwa na mlinzi akasimama na kugeuka kumtazama, mlinzi huyo akimfuata huku akicheka cheka

"Sema shida yako"
"Sasa vipi lile ombi langu nilililokwambia Mwane eeh?"
"Ombi gani?"
"Aah Mwane unajifanya umesahau, twende basi tukaongelee chumbani kwangu"
"Nani aende kwenye chumba chako, tuongelee hapa hapa, nikumbushe"
"Aaah Mwane usinifanyie hivyo, ni kweli hukumbuki au unanifanyia makusudi tu?"
"Naona unazunguka zunguka sana, nina kazi ndani" alitaka kuondoka, mlinzi huyo akamshika mkono kumzuia
"Sikia, basi tufanye yameisha, mimi nakupenda na nilishakwambia mbona?"
"Siwezi kuwa na wewe, siyo hadhi yangu, nilishakujibu mbona?"
"Mimi siyo hadhi yako, we unachekesha kweli, una hadhi gani ya maana zaidi ya uhousigeli humu ndani?"
"Bora mimi housegirl nalala ndani kuliko wewe mlinzi unalala nje"
"Kwenda huko sura yenyewe huna, kichwani upara kama dume"
"Nipishe, mbona umenitongoza, hukuiona hii sura nyooo?" Mwaneke alimsonya akiondoka kuelekea ndani kwenye nyumba kubwa akimuacha mlinzi anaendelea kumtolea maneno ya kashfa, alipopandisha ngazi kuingia ndani akakutana uso kwa uso na Yunisi, mama mwenye nyumba

"Ulikuwa unamwambia nini mume wangu kwenye gari?" aliulizwa na bosi wake huyo aliyejishika mikono kiunoni akisubiri jibu...

#Comment
#Like

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 01

ONYO???


Stori hii ina Maudhui ya Kimapenz** na ya buza kwa Mpalange'

****

Mwanadada au mwanamama Yunisi kulipokucha mapema asubuhi alikuwa bado amelala kitandani licha ya mumewe kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini, mwanamke huyo kama kawaida yake yeye ni kulala mpaka ahakikishe ameumaliza usingizi wote ndipo aamke, haijalishi iwe saa mbili asubuhi, saa nne au hata saa sita, mumewe Benson alimaliza kuvaa suti yake ya kazini na kumsogelea mkewe kitandani ambae ndiyo kwanza alikuwa anajigeuza kitandani akiendelea kuuchapa usingizi

"Naenda kazini, tutaonana baadae"
"Sawa kazi njema" mkewe alimjibu huku akijinyoosha kitandani, mumewe akatikisa kichwa kujisikitikia mwenyewe kwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-ya-housegirl-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamu-ya-housegirl-sehemu-ya
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 03
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

979
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

836
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

653
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

460
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

263
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

161
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

92
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

9
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

2

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.6K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.52K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest