Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

1st Jun, 2025 Views 76

TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 03

****

Dada wa kazi (housegirl) Mwaneke alianza kufua furushi kubwa la nguo alilotolewa nje, likijumuisha nguo za wanafamilia wote, mama, baba na watoto wao wawili, kuanzia nguo za nje mpaka nguo za ndani, kazi aliyopewa na mama mwenye nyumba hiyo, mwanadada Yunusi ambae hajui kazi yoyote ya ndani zaidi ya kujipodoa na kula na kulala na hata mapishi huwa hagusi kabisa jikoni, akatoka akisimama mlangoni kumtazama dada wa kazi (housegirl) huyo anavyohangaika na nguo

"Eeh hapa kazi tu hakuna kulala, hakuna hela inayotoka burebure, umeomba kazi, fanya kazi" alimwambia

"Sawa dada" Mwaneke aliitikia huku akizichambua chambua nguo akitafuta za kuanza nazo hasa nyepesi

"Na ufue vizuri hizo nguo zote ziishe na zitakate, siyo ilimradi tu" mwanadada huyo alimjibu huku akimpita akiwa tayari ameshajiandaa, akielekea getini kwa ajili ya kutoka, bajaji ikiwa imeshafika inamsubiri,

"Hivi huyu mwanamke anajionaje kwa mfano?" Mwaneke alimtazama bosi wake huyo mpaka alipoondoka, akazitupa nguo hizo akizichambua chambua kwa hasira na kuzitapanya kisha akasimama huku akiwa amejishika kiuno akishusha pumzi

"Nimekwambia mimi si unajifanya mjuaji, kazi kwako, fua hizo, ungenikubalia ningekusaidia tungefua moja baada ya nyingine kwa mahaba kabisa mpaka tungemaliza" mlinzi alimwambia, Mwaneke akamgeukia akimtazama kwa kumpandisha na kumshusha

"Nani aliyekwambia nataka msaada wako, nani mimi, thubutu, ni heri niziache tu bila kuzifua kuliko kusaidiwa na wewe mtu usiye na mbele wala nyuma"

"Mimi na wewe Mwane ni nani asiye na mbele wala nyuma, ungekuwa una mbele wewe ndo ungefulishwa minguo yote hiyo hahaha"

"Eeh naifua ndiyo, ila siku si nyingi utajua nguvu ya mwanamke siyo kama yako wewe mwanaume, na utajuta kunichukulia poa"
"Thubutu, unaota ndoto za mchana"
"Eeh nitakutuma kuanzia maji mpaka unipeleke chooni kwa kunibeba mgongoni"

"Unaleta dharau Mwane, usinichukulie poa, mimi nikubebe wewe na upara wako huo?" mlinzi alishikwa na hasira baada ya vita ya maneno aliyoianzisha kuanza kumshinda

"Eeh kwani si nitakulipa"
"Acha dharau nitakupiga" mlinzi alilivuta gauni la Mwaneke
"Hebu niache utanichania gauni langu" alijitahidi kujitoa mikononi mwa mlinzi huyo kwa bahati nzuri honi ya gari ilisikika getini

"Wewe bahati yako, ningekupasua, sipendi dharau mimi" mlinzi alimuonya huku akiliachia gauni lake
"Si umechokoza nyuki mwenyewe, acha wakuume, mwehu nini?" Mwaneke aliliweka weka vizuri gauni lake huku honi ikiendelea kupigwa mfululizo getini, mlinzi akakimbilia geti na kulifungua, lilikuwa gari la Benson, baba mwenye nyumba ambae alishusha kioo cha dirisha na kumkata jicho mwanaume huyo

"Siku hizi umekuwaje, umeshaichoka kazi?"
"Hamna bosi, nilikuwa chooni"
"Kama umeshindwa kazi sema atafutwe mtu mwingine anayejua majukumu yake"
"Hapana bosi, naweza majukumu, samahani" mlinzi alijibu huku akijikuna kwa wasiwasi, gari hilo dogo likampita taratibu na kuegeshwa huku Mwaneke akiwa hayupo pale nje tayari ameshakimbilia ndani asionwe na mwanaume huyo, baba mwenye nyumba, alikuwa chumbani kwake ameacha mlango wazi huku akiwa ameishika nguo ya ndani (boksa) ya mwanaume huyo mikononi na yeye mwenyewe alishalivua gauni lake kubwa na pana alilolivaa akijifunga upande wa khanga moja nyepesi mwilini, akimchungulia kupitia dirishani

"Leo lazima aingie kwenye kumi na nane zangu" aliongea na kusogea mlangoni wakati huo Benson alikuwa ameingia sebuleni akitokea nje

"Mwane, Mwane?!" aliita bila kujibiwa, alipokatiza mlangoni kwa mwanadada huyo dada wa kazi (housegirl) akamkuta amesimama huku ameishika boksa yake mikononi, akajibanza asionwe na kumchungulia ili kujua kinachoendelea, akimtazama msichana huyo kuanzia chini mpaka juu, kijikhanga chepesi alichojifunga na jinsi nyuma alivyovimbiana na Mwaneke alishajua kuwa bosi wake huyo yupo mlangoni amejificha anamchungulia lakini akijifanya kama hajamwona bado

"Benson nakupenda sana na ndiyo maana naumia mkeo asipokujali, sijajua kama hakujali nje tu au mpaka huko chumbani kitandani, yaani boksa yako hii mpaka nimekuja nayo chumbani, nikiitazama najisikia kulowa lowa tu kwa jinsi navyokupenda wewe baba" aliongea mwenyewe huku akiigeuza geuza boksa ya mwanaume huyo na kuibusu, Benson mwenyewe akishuhudia, Mwaneke hakuishia hapo akaishika boksa hiyo na kuiingiza ndani ya khanga yake katikati ya mapaja akijipapasia papasia huku akiguna guna kimahaba na kufumba macho kabisa akijitekenyea tekenyea kwenye uch** wake, kitendo kilichomvuruga zaidi mwanaume huyo ambae alijikuta akijishika shika zipu ya suruali yake akijipapas** papas** Jogoo'????wake aliyekuwa ameshasimama tayari na akashindwa kujizuia na kujitokeza kabisa

"Mwane!" alimwita msichans huyo aliyeshtuka na kulisitisha zoezi hilo, akiificha boksa nyuma mgongoni
"Kaka?!"
"Unafanya nini?" alimwuliza huku akipiga hatua kumkaribia, akiingia chumbani
"Nilikuwa nachukua nguo yako tu nikafue na..." kabla Mwaneke hajamaliza sentensi yake alijikuta tayari ameshashikwa kiunoni na mwanaume huyo

"Usinidanganye Mwane nimeona kila kitu" alimjibu na kuanza kumbusu busu shingoni, tayari uchu wa tendo ukiwa umempanda mpaka kichwani

"Kaka jamani niache?!" Mwaneke alilalamika akasukumwa mzima mzima akiangukia kitandani kwake.....
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest