Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
Gonga94 · Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
lake. Sikuwa na sababu ya kukataa, tukaenda wote hadi kituoni.

Nilipofika nikaenda kuripoti kama kawaida, huko nikakutana na Afande Ruth. Mara ya mwisho hatukuonana, kwa hiyo tulizungumza sana tukipiga stori. Alifurahia kuniona nikiwa sawa.

Wakati mimi niko kwa Afande Ruth, Elijah aliamua kumtembelea Elton ofisini kwake. Ila Elton hakuwa na mood kabisa. Alikaa tu kimya, uso wake ulikuwa kama mtu mwenye mawazo mengi. Na ninajua kabisa alijisikia vibaya kwa sababu Elijah ndiye aliyenipeleka kituoni.

Elijah naye aligundua cousin wake hana furaha "Nimegundua hujafurahia kunilona, na tangu usikie nilimleta Gina, umekuwa mkali. Kama unampenda tu sema"

"Sina mapenzi naye Elton alikataa

"Sasa mbona unanikasirikia?"

"Just nimechoka hakuna cha zaidi"

"Wewe mwenyewe unajua Sijazoea kuona unaninyamazia hivi"

"Elijah, kama unavyoniona niko busy sana. Kama huna kitu cha maana cha kusema, tafadhali niache nifanye kazi

Elijah akainuka kwa hasira, akatoka ofisini.

Alipofika nje kituoni, akanikuta nimeshamaliza kuongea na Afande Ruth nipo namsubiri.

Nilimuona kabisa hakuwa sawa. Elijah ni mtu mtulivu, hawezi kukasirika kirahisi, kwa hiyo nilijua kuna kitu kibaya kimemkera.

"Elijah, nini mbaya? Mbona uso umebadilika?"

"Ni Elton, lakini usijali. Najua namna ya kudeal naye. Ameharibu mood yangu nzima. So Badala ya kurudi home, twende tukale ice cream kidogo ili tu-relax, sawa?"

"Sawa"

Tukapanda gari, Elijah akanipeleka sehemu nzuri sana ya ice cream. Nilifurahia mno, tulikula tukacheka. Baadaye akaamua twende mall.

Akanionyesha vitu vingi, akanifanyia shopping.

kidogo sababu sikutaka vitu vingi.

"Elijah, asante sana

"Usijali, chochote kwa ajili yako"

Baada ya hapo tuliamua kurudi home maana Ilikuwa jioni. Lakini tulipofika hatukutarajia kumkuta Elton nyumbani. Alikuwa amewahi kurudi, na japokuwa hakusema chochote, niliona

kabisa ndani yake amekasirika, Alijaribu kuficha, lakini macho yake yalionyesha ana wivu na hasira

Mimi nilichofanya tu ni kuingia store kama kawaida, nikawaacha yeye na Elijah sebuleni.

"Sasa uko sawa, tunaweza kuongea?"

"Nilionekana kama sikua sawa?" Elton akajibu.

"Bro, nilivyokuja ofisini ulikuwa tofauti. Hukuongea kabisa. Nilijua kuna shida"

"Tuachane na hayo! siku yako imekuwaje?" Elton aliuliza kimtego

"Siku yangu Imekuwa poa sana. Nilitembea sehemu tofauti, na nilikua na Gina

Elton akanyamaza sekunde chache kisha akasema, "Basi mara nyingine ukitaka kumtoa house girl wangu out, niombe ruhusa kwanza"

"Kwanini? Ni mtu mzima, sio mtoto"

"Kwanza kabisa, Gina ni mtuhumiwa. Ndio maana hatakiwi kuondoka Arusha hadi mwezi uishe. Unanielewa? Sasa vipi kama angekimbia? Ungetueleza nini polisi? Ndiyo maana sitaki umtoe bila ruhusa yangu

"Sawa nimekuelewa, ila haonekani kama anataka kukimbia. Alafu Hiyo ndio sababu pekee? Ama kuna nyingine?"

"Unadhani kuna sababu gani nyingine? Nimekwambia mara nyingi, sina hisia yoyote kwake. Nachojali ni kwamba mimi ndiye nimemtoa kituoni, mimi ndiye nitalipa deni lake. Kwa sasa niko responsible kwake hadi mwezi uishe. Hicho tu"

Baada ya kusema hivyo, Elton akachukua laptop yake akaenda chumbani. Elijah akabaki anatabasamu kimyakimya, maana alijua cousin wake tayari ameshafall, ila anajifanya mjanja kukataa.

Lakini ukweli ni kwamba Elton hakulala usiku. huo. Kila alipogeuka kitandani, mawazo yake yalikuwa juu yangu. Alikumbuka kila kitu, ile

mara ya kwanza tulivyofanya mapenzi kwenye gari, na ile mara ya pili ndani ya nyumba..

Yale matukio yalimvuruga kichwa. Na kila muda ulivyokuwa unasogea, kiburi chake kilianza kupungua polepole.

Basi aliposhindwa kulala kabisa, Elton akaamua anifuate. Akaamka, akatembea kimya hadi store. Akafungua mlango akanikuta nimejilaza tu bila. kufunga macho.

Nikamuuliza "Unahitaji kitu?"

"Hapana, nataka tu kujua kwanini ulitoka na

Elijah bila ruhusa yangu

Sikuwa na cha kumjibu. Wakati huo nilikuwa nimeshikwa na homa, mwili unatetemeka. Nilihisi kabisa nimechoka, labda kwa sababu ya kula kitu vya baridi.

Pia wiki kadhaa nilikuwa nalala sakafuni pamoja na kwenye vumbi. Nakumbuka mara kadhaa Elton alinimwagia maji baridi.

Elton hakuliona hilo mwanzoni, akaniuliza tena, "Mbona umenyamaza?"

"Sorry"

Akasogea karibu zaidi, akanitazama vizuri "Wewe uko sawa kweli?"

"Ndio, niko sawa

Nilikataa Lakini aliona kabisa nasema uongo.

Akaweka mkono juu ya kichwa changu kuangalia joto, akashangaa jinsi nilivyokuwa wabaridi. Hapo ndo akajua naumwa. Bila hata kufikiria mara mbili, alinibeba mikononi na kunipeleka chumbani kwake

Maoni

You're not logged in


profile
Ney 09 Nov 2025 08:05
Nzur
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari

lake. Sikuwa na sababu ya kukataa, tukaenda wote hadi kituoni.

Nilipofika nikaenda kuripoti kama kawaida, huko nikakutana na Afande Ruth. Mara ya mwisho hatukuonana, kwa hiyo tulizungumza sana tukipiga stori. Alifurahia kuniona nikiwa sawa.

Wakati mimi niko kwa Afande Ruth, Elijah aliamua kumtembelea Elton ofisini kwake. Ila Elton hakuwa na mood kabisa. Alikaa tu kimya, uso wake ulikuwa kama mtu mwenye mawazo mengi. Na ninajua kabisa alijisikia vibaya kwa sababu Elijah ndiye aliyenipeleka kituoni.

Elijah naye aligundua cousin wake hana furaha "Nimegundua hujafurahia kunilona, na tangu usikie nilimleta Gina, umekuwa mkali. Kama unampenda tu sema"

"Sina mapenzi naye Elton alikataa

"Sasa mbona unanikasirikia?"

"Just nimechoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-kumi-na-moja-ile-simu-ya-siku-ya-kuripoti-kituo-cha-polisi-ikafika-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-kumi-na-moja-ile-simu-ya-siku-ya-kuripoti-kituo-cha-polisi-ikafika-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

851
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

426
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

312
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest