Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 20
Gonga94 ยท Stories

BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


KWETU MOROGORO GROUP FUN


Abigael alijikuta anamkumbatia Mr Qassano

"Hata sijui nitumie kauli gani ,ubarikiwe sana "

" Usijali Abby, muda wowote unakaribishwa "

Sasa lile kumbatio la Abigael, Qassano mwili ulisisimkaa , akamtoa haraka hakutaka habari zingine

"Tuwahi nyumbani eeh"

Akauwa mada kwa staili hiyo , akawasha gari kwanza akapita super market alinunua kila aina ya mahitaji ya nyumbani ya chakula, alipo toka hapo akampitisha duka la vipodozi akamchukulia lotion na mafuta mazuri pafyum ya kipoaji

Mizigo kibaoo ...

Wamefika nyumbani Recho ndio alikuwa wa kwanza kuanza kushusha mizingo, mama recho akawa bize kupika siku enyewe wakamuita Vicky pembeni wakamwambia usipike leo tutakula wote mchana , hali ya kuwa walimwambia wanampa sehemu ya kuishi tu kula ajitegemee peke yake

Akasema haina shida.....

*******

Masha na Boazi ilikuwa mechi mechii mpaka mchana wapo hoi wotee , Masha alikuwa ashajisahau anampa sifa zote Boazi kuwa anaweza kumpelekesha kweli kweli ..

Masha akamwambia Boazi awe anakuja kumpa hizo raha akajisahau .

Simu ya masha ndio iliwashtua kutoka kwenye huba lao, Masha akajitoa kifuani kwa Boazi Taratibu akasogea ilipo simu yake aliekuwa anapiga namba imehifadhiwa Nesi

Akapokea "enhee nipe habari "

"Aaah mtu wako amegoma kabisa yaani nimetumia njia zote lakini amekataa kabisa kukubali Operation "
Masha hakujibu kitu aliinuka akatoka nje ya chumba , hakutaka anayoongea boazi ajue

Alishuka ngazi akaingia chumba kingine akafunga na mlango kwa ndani

"We Neema wewe ,kwahiyo umeshindwa kabisa??"

"Nimetumia njia zote jamani lakini aaah nimeshindwa "

"Hakikisha mwezi ujao haupiti unajua amekaribia kujifungua yule si unajua lakini nimekupa pesa nyingi sanaaa Neema lakini Unazingua, pale amekataa tu ungemchoma hiyo sindano aisee sijui unafel wapiii aah"

"Nipe hii nafasi ya mwisho mie sikutaka tufike huko lakini wewe ndio ametaka basi wacha afie huko tumboni ,,Nitampatia Sindano ya chanjo na mtoto atakufa tumboni baada ya siku 8 tu. Kwahiyo hatojifungua kikiwa hai"

"Hayo unayoongea natamani hata ungekuwa leo ndio umefanya , yaan sasa hivi ndio ungekuwa unanipa taarifa hilo toto limekufa humo ningekuona wa maana sanaaa wewe bado miezi miwili tu azae aah "

Masha alikata simu kwa hasira, akaifuta ile namba akatoka nje kurudi kwa Boazi hasira zake akaenda kuzimaliza kwa Boazi kitandani ....

Masha alikuwa anafatilia hatua za Vicky anajua anapo ishi clinic anayotumia na ndio akaenda kutoa pesa nyingi kwa kwa nesi ili amuandikie Vicky operation lengo lake likiwa Mtoto atakapo zaliwa tu basi auawe kabla hata Vicky hajamuona mwanae wala asijue amejifungua mtoto wa aina gani hilo ndio lilikuwa lengo la Masha

Mashambulizi yake yamegonga ukuta Vicky ameponea chupu chupu kwa kusaidiwa na Alberto bila kujua ...

Siku hiyo Alberto alishinda nyumbani kwa kina Vicky walikula na hakufanya kazi yeyotee , mpaka jioni kabisa ndio kaondoka kwenda kwa Rahul ..

"Rahul ,una uhakika kuwa masha ndie yule mwanamkee???" Mr Alberto alimuliza Rahul mana haelewi elewi mambo

"Ulinambia anakoti la brown muhumu saa yako ya Philippines vyote alikuwa navyo yeye ,kwanini umeniuliza ??"

Mr Alberto hakujibu swali la Rahul lakini kichwani alikumbukaa Wakati anamuingilia Masha ,alikutana na kitu cha tofauti kabisaa na kile cha mara ya kwanzaa

Akakumbuka bint alikuwa hajawahi kuingiliwa na mwanaume palikuwa padogoo sasa jana mbona amezama mzimaa mzimaa na anaonekana mzoefu

Hata alivyomkumbatia hakuwa yule wa siku ile ahisi kumjua kabisaa Masha ,aliona ndio mara ya kwanza kabisa kukutana nae

Akamwambia Rahul "nitafutie nyumba nataka kuishi mbali na Masha kwanza kuna vitu niweke sawa........"

Aliamua kukaa mbali na Masha huku kichwani akiwa na mawazo mengine kabisaaaa .....

"Usinambie unataka kumuweka karibu Abby"

"Natamani iwe hivyo mana nahisi kuwa na amani nikiwa nae kuliko Masha ,lakini sintafanya hivyo nataka tu kuwa huru na Masha"

,"nikuombe kitu, unajua tangu umeanza kumuongelea Abby, umefanya nimkumbuke sana Vicky ,nilimuona mara chache lakin nilimuelewa sana, kwakua wewe masha anakuelew sana Embu naomba unipelelezee huenda anajua hata ndugu yake mmoja na Vicky "

"Unataka kuoaa kakaaa, hahah"
Alberto alikubali ombi la Rahul akamwambia atamsaidia huku anamtania .....

Masha bado ananiandama Vicky kumbeee๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ
Mr Alberto nae anamuhama Masha ๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„Kuna kitu amegundua kuhusu masha aauuuu???

Rahul nae anataka kuanza kufatilia habari za Vicky ,๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—

Ndo kwanzaaaa kuna kuchaaaa,

Mwisho season one tukutane season two .....

Byeee.
KWETU morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 20



KWETU MOROGORO GROUP FUN


Abigael alijikuta anamkumbatia Mr Qassano

"Hata sijui nitumie kauli gani ,ubarikiwe sana "

" Usijali Abby, muda wowote unakaribishwa "

Sasa lile kumbatio la Abigael, Qassano mwili ulisisimkaa , akamtoa haraka hakutaka habari zingine

"Tuwahi nyumbani eeh"

Akauwa mada kwa staili hiyo , akawasha gari kwanza akapita super market alinunua kila aina ya mahitaji ya nyumbani ya chakula, alipo toka hapo akampitisha duka la vipodozi akamchukulia lotion na mafuta mazuri pafyum ya kipoaji

Mizigo kibaoo ...

Wamefika...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bilionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi bilionea-ndani-ya-hoteli-sehem-ya
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 15
BILIONEA NDANI YA HOTELI  SEHEM YA 17
BILIONEA NDANI YA HOTELI SEHEM YA 17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest